Highlights | Coastal Union 1-0 Dekadaha FC | Dar Port Kagame Cup 09/07/2024
Спорт
Wagosi wa Kaya, Coastal Union wameanza vema michuano ya Kombe la Kagame (CECAFA Dar Port Kagame Cup), ikiitandika Dekadaha FC ya Somalia bao 1-0.
Goli hilo pekee la mchezo limefungwa na Ramadhan Mwenda dakika ya 45, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la KMC, Mwenge Dar es Salaam.
Пікірлер: 25
Amna team hapa coastal union mnaenda kutuabisha bure tu!! Mtakula goals kumi kumi tu
Nawakubali sana wana wagosi wandima
Bonge la uwanja raha sana mwaka huu kmc itasumbuwa
Penelty foe dekadaha
Coast bado kazeni kimataifa sana
Kumbe kmc wana uwanja wao
Coastal union kama mnaenda kimataifa na timu hii bado sana mjipange la sivyo taifa litaaibika sana😂😂😂🙌🙌🙌
@proisolution7166
14 күн бұрын
kweli coastal mjipange mpo slow tunawapenda ligi yetu iwe na timu nyingi nzuri.
@husseinmhenga-xd3gr
13 күн бұрын
Ulitaka timu gani!?
Ndiyo wameukamilisha hivyo
Nawakubali wana mangush
Costal Kila la heri
ONGERA KMC KWA UWANJA MZURI, KUNA TIMU ZA MWAKA 47 mpaka leo ni majungu tu ...
hyuu uwanja mbona hautumiki ligi kuu
@johnmlay4759
14 күн бұрын
Uwanja mpya ndo kwa umeanza kutumika
@shabanponera2895
14 күн бұрын
Ligi kuu msimj wa 24-25 utatumika
@leonardmartine662
14 күн бұрын
Hayo mazingira ya nje kama sio Dar
@AhmadSalim-dm4uk
14 күн бұрын
6:41
@vinny.morales
13 күн бұрын
Ni mpya
Huu ni uwanja wa azam
@julyjulius7652
14 күн бұрын
Apana ni mpya wa kmc
@AdhamAlliy-mg5py
14 күн бұрын
Wa kmc
@omarylukindo5306
14 күн бұрын
Kmc
@julyjulius7652
14 күн бұрын
@@omarylukindo5306 😂😂😂yeah ni kmc
@julyjulius7652
14 күн бұрын
@@AmaniKasekwa-uw8hp wa kmc bahna