JE! YESU AKIZALIWA AMA ALIUMBWA? ANA MWAZO AMA HANA?
Жүктеу.....
Пікірлер: 34
@fredykiluka6606Ай бұрын
Kwanz tunakupenda wew kaa hapa apa ,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿miaka 100 usirud kenya umekaa nao sana wengine tulikuwa tunakupenda tangu upo kenya
@kennleviwayne1087
Ай бұрын
Barikiwa Ndugu
@prochesernest5439
Ай бұрын
Uongo mnapenda nyie wasabato
@christophersimwinga6689
Ай бұрын
@@prochesernest5439 ndugu huyu anasema yesu alizaliwa sawa alizaliwa na mariamu je kabla ya kuzaliwa na mariamu yesu alikuwa mbinguni Nako kule mbinguni alizaliwa na nani ? You 1:1 inasema Neno au Yesu alikuwa Kwa Mungu . Kwa Mungu ni mbinguni je huko mbinguni alizaliwa na nani ?
@user-le6pf7lq2yАй бұрын
Barikiwa sana pr Ndacha kwa kazi njema Mungu aendelee kukutumia kuisema kweli
@user-xy1cj9wo7xАй бұрын
Mungu akuzidishie Zaid ya hapo
@stephensena7195Ай бұрын
Amen Mwalimu wangu,,,Mungu akubariki sana kwa kweli unafanya Kazi mzuri
@callennyabonyi5580Ай бұрын
Heko mwalimu na team yako mungu aziidi kuwaongoza kwa kila hatua
@Dominant97Ай бұрын
Wooooh real blessed
@PaulRuben-eu5nhАй бұрын
Ubarkiwe ndacha Mungu akutienguvu
@countercheck887Ай бұрын
Barikiwa Mwl Ndacha
@paulwambua4956Ай бұрын
Aminaa 💯💯
@catherinenyokabi5746Ай бұрын
Thanks mwalimu GOD BLESS you so much kwa mafunzo mazuri watu wegi wanaelewa
@JuliusKioko-ub7lwАй бұрын
Pure truth 🙏
@SebastianiSsulluyАй бұрын
Mungu akubariki mwalimu
@JamesMoses-jd1yqАй бұрын
Ndacha kamaliza mechi lililobaki ni waislam wote kumkubali yesu
@franciscomtambakuluca2830Ай бұрын
Ndacha wew ni mualimo wa kweli
@raymondngajagu66Ай бұрын
Mr Ndacha Mungu awatie nguvu nimefatilia mafundisho yako na mr Daniel Mwakamwa , Daniel amekazania sana kupinga sabato kwa wakolosai 2:16 ukweli Paulo hilo alilitoa hapa Ezekiel 45:17 Vyakula,vinywaji,hivyo vilikuwa vinatolewa siku ya upatanisho so Yesu alishakufa kama mpatanishi
@mjombawallace4966
Ай бұрын
Ata soma 1corinthians 6:9_10 walevi hawataenda mbinguni so it means hizo chakula na vinywaji so halali
@Johanes-xb1bmАй бұрын
Hivi pastor Ndacha, wewe biblia uliikariri ama unapokuwa kwenye mijadala hapohapo unaletewa mistali kwa biblia kutegemea na mada na swali?? Pastor Ndacha binafsi napenda mafundisho yako, ninafatilia mijadala yako muda mrefu.
@JamesMoses-jd1yq
Ай бұрын
Mie pia namshangaa
@Denis_prudence
Ай бұрын
😂😂😂😂 huyu jamaa mm mwenyewe namshangaa mana mambo yanachukaga tu kama maji
@fauwilliam6780
Ай бұрын
Huyu ni mtu wa kuombea sana Ana jitoa kwa moyo
@DanielErnest-nn2zjАй бұрын
Hasa ukizingatia watanzania tunakupenda kitambo tu, mtumishi karibu sana Tanzania jisikie upo nyumbani
@hamidmussa838Ай бұрын
Mmmm!
@SamsonHumbeАй бұрын
Yesu ana mwanzo au naye ni wa milele.
@AnafBandaАй бұрын
Naitwa Robert naitaji tujadil ilo SoMo la utatu
@opujejoshmahjoshmah1432
Ай бұрын
Number yake kwenye Screeni hapo mpigie kaka
@user-le6pf7lq2y
Ай бұрын
Japo sikujui ila nadhani utapoteza wakati hakuna awezaye kutetea utatu kwani haupo katika maandiko
@MirajiHemediАй бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri bali sasa unatuchanganya ,maana unasema Yesu ni Mwana wa Mungu tena ana haki ya kuwa Mungu, sasa mbona unasema yesu si Mungu mwana? Yohana 1:18 hakuna aliyemwona Mungu wakati wowote, Mungu mwana pekee aliye katika kifua cha Baba huyu ndiye aliyemfunua. Na huo utatu mbona uko kimaandiko 1Yohana kwa maana wako watatu washuhudiao Mbinguni Baba, na Neno na Roho mtakatifu nawatatu hawa ni umoja .Neno ni Yesu Yohana 1 :14 naye neno alifanyika Mwili. Bwana Yesu hana mwanzo wa siku zake wala mwisho wa siku zake kama Melkizedeki. Yesu ni Neno lilitoka kinywani mwa Mungu Baba yetu. Isaya 55:11.
@christophersimwinga6689Ай бұрын
Huyu jamaa anapotosha watu kwa mfano yesu kabla hajazaliwa na mariamu alikuwepo je alikuwa amezaliwa na nani kabla ya kuzaliwa na mariamu ? Mungu hazai anaumba huyu jamaa hajui hata maana ya kuzaa je kabla yesu hajazaliwa duniani alikuwa mbinguni kule mbinguni alizaliwa Kwa mama yake aitwaye nani ? YESU KABLA YA KUZALIWA NA MARIAMU ALIKUWA MBINGUNI JE NA KULE MBINGUNI ALITOKEA WAPI? Ndacha asema Nako alizaliwa, kama Nako mbinguni alizaliwa mama yake kule mbinguni aliitwa nani ? Acha kufundisha ujinga ww
@albertvalentino130Ай бұрын
Ndacha hujui kitu ---- umejaa ujinga wa kisabato ---- Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu ---- 1 Tim 3 : 16 .--- Hivi unajua maana ya milele ---- sasa Yesu anafananaje na Mungu ikiwa Yesu ana mwanzo,ila tu hana mwisho,kwasababu Mungu,hana mwanzo wala mwisho --- mbona unajikontadict ---- umetoa mishiiiiiipa unaongea Nonsense.
@christophersimwinga6689
Ай бұрын
Yes anaongea kwa kujichanganya anakubali yesu ni Mungu pia anakataa yesu sio Mungu . anasema yesu ana mwanzo kuwa alizaliwa kule mbinguni kama alizaliwa mama yake alikuwa nani
Пікірлер: 34
Kwanz tunakupenda wew kaa hapa apa ,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿miaka 100 usirud kenya umekaa nao sana wengine tulikuwa tunakupenda tangu upo kenya
@kennleviwayne1087
Ай бұрын
Barikiwa Ndugu
@prochesernest5439
Ай бұрын
Uongo mnapenda nyie wasabato
@christophersimwinga6689
Ай бұрын
@@prochesernest5439 ndugu huyu anasema yesu alizaliwa sawa alizaliwa na mariamu je kabla ya kuzaliwa na mariamu yesu alikuwa mbinguni Nako kule mbinguni alizaliwa na nani ? You 1:1 inasema Neno au Yesu alikuwa Kwa Mungu . Kwa Mungu ni mbinguni je huko mbinguni alizaliwa na nani ?
Barikiwa sana pr Ndacha kwa kazi njema Mungu aendelee kukutumia kuisema kweli
Mungu akuzidishie Zaid ya hapo
Amen Mwalimu wangu,,,Mungu akubariki sana kwa kweli unafanya Kazi mzuri
Heko mwalimu na team yako mungu aziidi kuwaongoza kwa kila hatua
Wooooh real blessed
Ubarkiwe ndacha Mungu akutienguvu
Barikiwa Mwl Ndacha
Aminaa 💯💯
Thanks mwalimu GOD BLESS you so much kwa mafunzo mazuri watu wegi wanaelewa
Pure truth 🙏
Mungu akubariki mwalimu
Ndacha kamaliza mechi lililobaki ni waislam wote kumkubali yesu
Ndacha wew ni mualimo wa kweli
Mr Ndacha Mungu awatie nguvu nimefatilia mafundisho yako na mr Daniel Mwakamwa , Daniel amekazania sana kupinga sabato kwa wakolosai 2:16 ukweli Paulo hilo alilitoa hapa Ezekiel 45:17 Vyakula,vinywaji,hivyo vilikuwa vinatolewa siku ya upatanisho so Yesu alishakufa kama mpatanishi
@mjombawallace4966
Ай бұрын
Ata soma 1corinthians 6:9_10 walevi hawataenda mbinguni so it means hizo chakula na vinywaji so halali
Hivi pastor Ndacha, wewe biblia uliikariri ama unapokuwa kwenye mijadala hapohapo unaletewa mistali kwa biblia kutegemea na mada na swali?? Pastor Ndacha binafsi napenda mafundisho yako, ninafatilia mijadala yako muda mrefu.
@JamesMoses-jd1yq
Ай бұрын
Mie pia namshangaa
@Denis_prudence
Ай бұрын
😂😂😂😂 huyu jamaa mm mwenyewe namshangaa mana mambo yanachukaga tu kama maji
@fauwilliam6780
Ай бұрын
Huyu ni mtu wa kuombea sana Ana jitoa kwa moyo
Hasa ukizingatia watanzania tunakupenda kitambo tu, mtumishi karibu sana Tanzania jisikie upo nyumbani
Mmmm!
Yesu ana mwanzo au naye ni wa milele.
Naitwa Robert naitaji tujadil ilo SoMo la utatu
@opujejoshmahjoshmah1432
Ай бұрын
Number yake kwenye Screeni hapo mpigie kaka
@user-le6pf7lq2y
Ай бұрын
Japo sikujui ila nadhani utapoteza wakati hakuna awezaye kutetea utatu kwani haupo katika maandiko
Wewe ni mwalimu mzuri bali sasa unatuchanganya ,maana unasema Yesu ni Mwana wa Mungu tena ana haki ya kuwa Mungu, sasa mbona unasema yesu si Mungu mwana? Yohana 1:18 hakuna aliyemwona Mungu wakati wowote, Mungu mwana pekee aliye katika kifua cha Baba huyu ndiye aliyemfunua. Na huo utatu mbona uko kimaandiko 1Yohana kwa maana wako watatu washuhudiao Mbinguni Baba, na Neno na Roho mtakatifu nawatatu hawa ni umoja .Neno ni Yesu Yohana 1 :14 naye neno alifanyika Mwili. Bwana Yesu hana mwanzo wa siku zake wala mwisho wa siku zake kama Melkizedeki. Yesu ni Neno lilitoka kinywani mwa Mungu Baba yetu. Isaya 55:11.
Huyu jamaa anapotosha watu kwa mfano yesu kabla hajazaliwa na mariamu alikuwepo je alikuwa amezaliwa na nani kabla ya kuzaliwa na mariamu ? Mungu hazai anaumba huyu jamaa hajui hata maana ya kuzaa je kabla yesu hajazaliwa duniani alikuwa mbinguni kule mbinguni alizaliwa Kwa mama yake aitwaye nani ? YESU KABLA YA KUZALIWA NA MARIAMU ALIKUWA MBINGUNI JE NA KULE MBINGUNI ALITOKEA WAPI? Ndacha asema Nako alizaliwa, kama Nako mbinguni alizaliwa mama yake kule mbinguni aliitwa nani ? Acha kufundisha ujinga ww
Ndacha hujui kitu ---- umejaa ujinga wa kisabato ---- Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu ---- 1 Tim 3 : 16 .--- Hivi unajua maana ya milele ---- sasa Yesu anafananaje na Mungu ikiwa Yesu ana mwanzo,ila tu hana mwisho,kwasababu Mungu,hana mwanzo wala mwisho --- mbona unajikontadict ---- umetoa mishiiiiiipa unaongea Nonsense.
@christophersimwinga6689
Ай бұрын
Yes anaongea kwa kujichanganya anakubali yesu ni Mungu pia anakataa yesu sio Mungu . anasema yesu ana mwanzo kuwa alizaliwa kule mbinguni kama alizaliwa mama yake alikuwa nani