YESU ALIZALIWA AMA ALIUMBWA? ANA MWAZO AMA HANA?

Ойындар

JE! YESU AKIZALIWA AMA ALIUMBWA? ANA MWAZO AMA HANA?

Пікірлер: 34

  • @fredykiluka6606
    @fredykiluka6606Ай бұрын

    Kwanz tunakupenda wew kaa hapa apa ,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿miaka 100 usirud kenya umekaa nao sana wengine tulikuwa tunakupenda tangu upo kenya

  • @kennleviwayne1087

    @kennleviwayne1087

    Ай бұрын

    Barikiwa Ndugu

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    Ай бұрын

    Uongo mnapenda nyie wasabato

  • @christophersimwinga6689

    @christophersimwinga6689

    Ай бұрын

    ​@@prochesernest5439 ndugu huyu anasema yesu alizaliwa sawa alizaliwa na mariamu je kabla ya kuzaliwa na mariamu yesu alikuwa mbinguni Nako kule mbinguni alizaliwa na nani ? You 1:1 inasema Neno au Yesu alikuwa Kwa Mungu . Kwa Mungu ni mbinguni je huko mbinguni alizaliwa na nani ?

  • @user-le6pf7lq2y
    @user-le6pf7lq2yАй бұрын

    Barikiwa sana pr Ndacha kwa kazi njema Mungu aendelee kukutumia kuisema kweli

  • @user-xy1cj9wo7x
    @user-xy1cj9wo7xАй бұрын

    Mungu akuzidishie Zaid ya hapo

  • @stephensena7195
    @stephensena7195Ай бұрын

    Amen Mwalimu wangu,,,Mungu akubariki sana kwa kweli unafanya Kazi mzuri

  • @callennyabonyi5580
    @callennyabonyi5580Ай бұрын

    Heko mwalimu na team yako mungu aziidi kuwaongoza kwa kila hatua

  • @Dominant97
    @Dominant97Ай бұрын

    Wooooh real blessed

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nhАй бұрын

    Ubarkiwe ndacha Mungu akutienguvu

  • @countercheck887
    @countercheck887Ай бұрын

    Barikiwa Mwl Ndacha

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956Ай бұрын

    Aminaa 💯💯

  • @catherinenyokabi5746
    @catherinenyokabi5746Ай бұрын

    Thanks mwalimu GOD BLESS you so much kwa mafunzo mazuri watu wegi wanaelewa

  • @JuliusKioko-ub7lw
    @JuliusKioko-ub7lwАй бұрын

    Pure truth 🙏

  • @SebastianiSsulluy
    @SebastianiSsulluyАй бұрын

    Mungu akubariki mwalimu

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yqАй бұрын

    Ndacha kamaliza mechi lililobaki ni waislam wote kumkubali yesu

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830Ай бұрын

    Ndacha wew ni mualimo wa kweli

  • @raymondngajagu66
    @raymondngajagu66Ай бұрын

    Mr Ndacha Mungu awatie nguvu nimefatilia mafundisho yako na mr Daniel Mwakamwa , Daniel amekazania sana kupinga sabato kwa wakolosai 2:16 ukweli Paulo hilo alilitoa hapa Ezekiel 45:17 Vyakula,vinywaji,hivyo vilikuwa vinatolewa siku ya upatanisho so Yesu alishakufa kama mpatanishi

  • @mjombawallace4966

    @mjombawallace4966

    Ай бұрын

    Ata soma 1corinthians 6:9_10 walevi hawataenda mbinguni so it means hizo chakula na vinywaji so halali

  • @Johanes-xb1bm
    @Johanes-xb1bmАй бұрын

    Hivi pastor Ndacha, wewe biblia uliikariri ama unapokuwa kwenye mijadala hapohapo unaletewa mistali kwa biblia kutegemea na mada na swali?? Pastor Ndacha binafsi napenda mafundisho yako, ninafatilia mijadala yako muda mrefu.

  • @JamesMoses-jd1yq

    @JamesMoses-jd1yq

    Ай бұрын

    Mie pia namshangaa

  • @Denis_prudence

    @Denis_prudence

    Ай бұрын

    😂😂😂😂 huyu jamaa mm mwenyewe namshangaa mana mambo yanachukaga tu kama maji

  • @fauwilliam6780

    @fauwilliam6780

    Ай бұрын

    Huyu ni mtu wa kuombea sana Ana jitoa kwa moyo

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zjАй бұрын

    Hasa ukizingatia watanzania tunakupenda kitambo tu, mtumishi karibu sana Tanzania jisikie upo nyumbani

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838Ай бұрын

    Mmmm!

  • @SamsonHumbe
    @SamsonHumbeАй бұрын

    Yesu ana mwanzo au naye ni wa milele.

  • @AnafBanda
    @AnafBandaАй бұрын

    Naitwa Robert naitaji tujadil ilo SoMo la utatu

  • @opujejoshmahjoshmah1432

    @opujejoshmahjoshmah1432

    Ай бұрын

    Number yake kwenye Screeni hapo mpigie kaka

  • @user-le6pf7lq2y

    @user-le6pf7lq2y

    Ай бұрын

    Japo sikujui ila nadhani utapoteza wakati hakuna awezaye kutetea utatu kwani haupo katika maandiko

  • @MirajiHemedi
    @MirajiHemediАй бұрын

    Wewe ni mwalimu mzuri bali sasa unatuchanganya ,maana unasema Yesu ni Mwana wa Mungu tena ana haki ya kuwa Mungu, sasa mbona unasema yesu si Mungu mwana? Yohana 1:18 hakuna aliyemwona Mungu wakati wowote, Mungu mwana pekee aliye katika kifua cha Baba huyu ndiye aliyemfunua. Na huo utatu mbona uko kimaandiko 1Yohana kwa maana wako watatu washuhudiao Mbinguni Baba, na Neno na Roho mtakatifu nawatatu hawa ni umoja .Neno ni Yesu Yohana 1 :14 naye neno alifanyika Mwili. Bwana Yesu hana mwanzo wa siku zake wala mwisho wa siku zake kama Melkizedeki. Yesu ni Neno lilitoka kinywani mwa Mungu Baba yetu. Isaya 55:11.

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689Ай бұрын

    Huyu jamaa anapotosha watu kwa mfano yesu kabla hajazaliwa na mariamu alikuwepo je alikuwa amezaliwa na nani kabla ya kuzaliwa na mariamu ? Mungu hazai anaumba huyu jamaa hajui hata maana ya kuzaa je kabla yesu hajazaliwa duniani alikuwa mbinguni kule mbinguni alizaliwa Kwa mama yake aitwaye nani ? YESU KABLA YA KUZALIWA NA MARIAMU ALIKUWA MBINGUNI JE NA KULE MBINGUNI ALITOKEA WAPI? Ndacha asema Nako alizaliwa, kama Nako mbinguni alizaliwa mama yake kule mbinguni aliitwa nani ? Acha kufundisha ujinga ww

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130Ай бұрын

    Ndacha hujui kitu ---- umejaa ujinga wa kisabato ---- Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu ---- 1 Tim 3 : 16 .--- Hivi unajua maana ya milele ---- sasa Yesu anafananaje na Mungu ikiwa Yesu ana mwanzo,ila tu hana mwisho,kwasababu Mungu,hana mwanzo wala mwisho --- mbona unajikontadict ---- umetoa mishiiiiiipa unaongea Nonsense.

  • @christophersimwinga6689

    @christophersimwinga6689

    Ай бұрын

    Yes anaongea kwa kujichanganya anakubali yesu ni Mungu pia anakataa yesu sio Mungu . anasema yesu ana mwanzo kuwa alizaliwa kule mbinguni kama alizaliwa mama yake alikuwa nani

Келесі