WAZIRI SLAA ATOA MAAMUZI MAGUMU GHOROFA LA MAREHEMU LILILOZUA BALAA KUBWA KARIAKOO "Usinipangie"
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem
Пікірлер: 119
Huuu ndio mfano wa viongozi wazalendo anatenda haki kwa wote ,maana akuna mwenye kuuvunja wakfu kama ulishaandikwa na marehemu ,ongera sana mheshimiwa waziri silaa kwa kutenda haki pasi na hofu ongera sana ,mwenyezi mungu akujalie kila la kheri inshallah
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Yani muishimiwa sijawai kuacha kukuelewa mungu akuhifadhi waziri muadilifu
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mashaallah hongera sana mungu akusimamie kwahilo kiongozi wangu wallah Nakufurahiya sana uwepo wako
@sangajaffar7419
4 ай бұрын
Hongera sana waziri silaa mwenyezi mungu akupe nguvu na afya njema ,akulinde na akusimamie ktk kazi yako
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Yani huyu mtoto MUNGU akulinde kijana wetu mzalendo katika Taifa lako siku sijazo vijana hawa wazalendo wakipata madaraka makubwa zaidi basi Tanzania wajanja wajanja uonevu kwisha
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@jamilajumaa2980
4 ай бұрын
Ameen
Safi kabisa.Wahuni walishauhujumu wosia wa marehemu
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Tafuta chako usisubiri kurithi huo ni uvivu!! Ona sasa unadhulumu hadi nyumba ya Mungu!!!.
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Asante Sana Waziri Kwa kuelimisha Watu
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Alhamdulillah ...mh wazir
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Silaa waziri, Bashe na makonda wanarudisha imani yangu kwa CCM. Ongera Mama Samia Mungu akubariki
@ICONTVTZ
2 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mashaallah safi sana
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Ukisikia viongozi wadilifu wawe kma hivi.Allah akulipe
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri mwenye hekima na mpenda haki
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Pole mwanangu una mtihani sana watu wa hovyo wamepindisha pindisha sheria una kazi sana waziri.
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mashaallah jamani mheshimiwa kwanini hamkuliangalia hili suala mapema mmpaka watu wamepigana mapanga kuuana na uwezo mlikuwa nao yule dada kalalamika mara nyingi kaka zake wanamdhulumu wanavunja mpaka wasia wa marehemu. Ila nahisi madhali waziri kalisimamia hili suala litaisha inshaallah
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
WAKOME KUDHULUMU HAKI ZA WATU.YAANI HAPO WAMETAKA KUMDHULUMU MAREHEMU.MWENYEWE NDO ALITAKA WAQFU.WATU NJAA ZAO WANAJISAHAU
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kweli sekta ya ardhi imepata wazir wa Ukweli, Pia nimegundua kuwa sekta hiyo inabidi iwe inapata wenye uelewa mpana wa sheria bila hivyo tatizo linakuja kuwa ni kushinda mahakamani miaka nyingi bila sbb za msingi kumbe sheria ipo wazi kabisa na tatizo linaishia na kupunguza kero za ardhi. Mungu akubariki sana na akutangulie ktk majukumu yako ya kila siku kwa kazi nzuri sana ktk Taifa letu.
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Raisi wangu uteuzi wa safari hii Mungu aendelee kukupa hekima maana una vichwa sana sana. Ukichanganya Mhe Makonda ni hatari
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akulinde sana kazi ni ngumu kweli kweli mahamusi ya hekima sana ❤❤❤❤
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MrKhatibu
4 ай бұрын
Ameen
Nakuelewa sana Waziri, kazi unaiweza!!
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mh waziri, Mungu yupo upande wako.. Hatokuacha kamwe. Usichoke kutenda haki
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Imam nae anatuhumiwa kula mlungulaaa
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
🔥🔥 Alhamdulillah
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akupe Uadilifu zaid na akupe nguvu katika uadilifu kiongozi
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Nakuona katika jicho la tatu we ni kiongozi mkubwa baadaye
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri tunakuombea MwenyeziMungu akufanyie wepesi kwa uadilifu wako. Mwenyezi Mungu akupandishe cheo kwa kuisimamia Dini yake
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Takbirrrrr
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kiongozi mwadilifu. Allah akuhifadhi. Nyie wenye tamaa ya mali amwogopi siku ya mwisho
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mh kaka yangu waziri jerry mungu hakulinde wewe siyo mtawala bali kiongozi jasiri tena mzalendo kwelikweli muongoza njia Mtetezi Roho ya mh mangufuli na nyerere ikufunike nakristo kumbe mh mangufuli yupo
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Safi sana
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akuongoze katika kheri mh waziri amiin🙏
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu Bwana mwenye kofia anasoma kwa umakini ukidhani ana hisa ndani ya Jengo , nahisi huyu ndio Miongoni wa dhulumaji
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mambo yote yachelewe lakin Madrassa irud hapa, ...hapo ndipo nimepanda mno umenyoosha maelezo mheshimiwa mengine yote tupa kule..
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Yaani watu hadi mungu waogopi
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mitano tena Wazir
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@opportunities2767
4 ай бұрын
@@ICONTVTZ kuwafutilia mnaenda wap😊
Hayaqq chachaaaa nimeanza kukuelewq Slaha ukienda hivi urais 2030 kura yangu unayo ila usinomoe tena nyumba za.watu.wqpqtanishe
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Shekh imamu ubwabwa njaa kali
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
😢,mashekh na maimamu imekuwa tatizo
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Sheikh anawaza jinsi ya kurudisha pesa za watu.
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Hii ni nyumba ya baba iko katikati ya mji ambayo alinunua mwaka 1977.kwa kuandika majina 2ya watt akashindwa kupata nyingine akaita wtt kurisisha kwa maandishi 4.wte hawa baba na mama moja.bli wapo watatu wa mama wa kambo ambayo mama alitamka bila maandishi wapatiwe wte saba haki
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri mwenyezi mungu Skype kila la kheri masha yako yote
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
NIMEFURAHI SANA MUHESHIMIWA ULIVYOTOA MAAMUZI HAYO.PELEKENI NJAA ZENU HUKO
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Manake hakuna dharura ya kuhamisha hiyo madrasa kupeleka 2 nd floor
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA MAJUMBA YAWATU KADHULUMU WATU WENGI SANA
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Mimi naulizia kma titledeed ni jina ya watoti 2usia aliandika baba watoto 4na mama akatamka watoto Saba bli hao ni watoto wa 3ambao ni mke wa kwanza hii miradhi imetawa imetawaliwa na hao 2 haki Iko wapi jamani.kwani hao ni watoto Saba.😢
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
UKINUNUA ENEO UNAPEWA HATI ILI UKAIBADILISHE MAJINA HUWEZI KUANZA NA KUBADILI MAJINA KISHA UKANUNUE NYUMBA , HAPO WAZIRI SIJAKUELEWA VIZURI AU HUKUPATA MAELEZO YA KUTOSHA?
@opportunities2767
4 ай бұрын
Sasa yeye hana na hawez kua nayo sababu tayar apo kuna utapeli umefanyika
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
MALI YA WAISLAMU BABA YAO IMAMU KADHULUMU KAWAACHIA WATOTO NAO WANADHULUMIANA, MTIHANI KWELI
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Wanasema wao dini Yao ni ya haki happy kwani vipi Tena wenye dini ya haki? Kulikoni mnauza Hadi maadrssa?
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@muhammadtwaha516
4 ай бұрын
Hapo kuna uislam na mwislamu ni vitu viwili tofauti
watu waovu wanakiuka aliyoacha mwenye mali
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatili
Acha midhali za kijinga wasaidie watu mambo ya ndoa na nyumba ya mtuuu
@jackmabirangacharles9398
4 ай бұрын
Jaribu kumwelewa Waziri alikuwa na Maana gan? Usiwe na Mhemko ndugu yangu hajaingilia ndoa ila Kampa mfano mwepesi huwezi kununua nyumba kama nyumba hiyo haina Hati ndugu
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ayububakari9942
4 ай бұрын
wewe ndio mjinga ndio maana kawapigia mfano wajinga wasiofahamu HUWEZI KUSEMA HII NYUMBA NI YANGU ILIHALI HAUJAMILIKI HATI (KAMA VILE HUWEZI KUSEMA MKE NI WANGU ILIHALI BADO HUJAKABIDHIWA RASMI KWA KUFUNGISHWA NDOA NA KUPEWA (HATI) CHETI CHA NDOA. VILE VILE HUWEZI KUDAI NYUMBA NI YA KWAKO ILIHALI HUJAKAMILISHA TARATIBU ZA KUKABIDHIWA (HATI) KWELI MCHUMBA NI WAKO NA UMETOA MAHARI YOTE LAKINI NDOA BADO HAIJAFUNGWA (HATI MILIKI)
Mh. waziri wa ardhi, hapo hujatenda haki. Umefanya maamuzi ya kuwafurahisha baadhi ya warithi. Umewanyima baadhi ya warithi haki yao ya kurithi. Wakfu ubaki kama ulivyo waache wauze urithi wao wale wanataka kuuza. Na wasiotaka kuuza wabaki na urithi wao. Maana yangu ni kwamba, mnunuzi achukue sehemu ya warithi waliyomuuzia. Ila wakfu uheshimiwe na maelezo mengine ya marehemu yazingatiwe.
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@syliviakente9460
4 ай бұрын
Fuatilia toka mwanzo mgogoro ulivyo anza utaelewa
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
4 ай бұрын
@@syliviakente9460 N, ukweli usiofichika, mgogoro umekua mkubwa kutokana na warithi wengine, kutaka urithi wao ili uwanufaishe. Sasa wanataka nyumba yao iuzwe kisha wagawane. Warithi wengine hawataki nyumba iuzwe. Hapo ndipo mgogoro unapoanzia. Sasa ili kuwasaidia warithi hawa, mambo mawili yanaweza kufanyika. (a) wasiotaka iuzwe wanunue haki ya wanaotaka iuzwe. (b) Wasiotaka iuzwe wawaruhusu wauze sehemu ya urithi wao tu wale wanataka kuuza.
@selemanisalum7685
4 ай бұрын
Hao watoto badhi wanarahana na njaa utaudhaje mali ya wafu haiuzwi tambua hilo
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
4 ай бұрын
@@selemanisalum7685 Mrithi akiwa na njaa na tabu nyinginezo, basi msaada pekee ni kile alichonacho kimfae. Ana urithi wa kitu chochote, basi atauza na kutatulia shida zake. Tumeshuhudia watu wakiuza mashamba ya urithi, magari ya urithi na hata nyumba za urithi.
Sitaki kuamini mkinga aingie chakike, Pole sana Michael lkn km ni haki yako ni haki yako. Wanasema km ipo ipo ila wauzaji ni wahuni km hawakuzingatia wosia wa marehemu
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Msikiti wa madina siswali tena huyo jamaa mwenye ndevu nyekundu mhhh
@ICONTVTZ
4 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia