WAUWANA WENYEWE KWA WENYEWE KATAVI

KATAVI: MATUKIO ya mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, visasi na imani za kishishikina yanaendelea kushamiri katika Mkoa wa Katavi ambapo Jeshi la Polisi mkoani humo linawashikilia watuhumiwa 12.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani amesema watuhumiwa hao 12 wamejihusisha na mauaji mbalimbali kwa nyakati tofauti mkoani humo katika kipindi cha mwezi Juni, 2024.
Kamanda Ngonyani amesema mara baada ya taratibu za kisheria kukamilika watawafikisha mahakamani watuhumiwa hao.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер