VUTA NIKUVUTE NZITO MKANDARASI AEKWA KATI “PESA LAZIMA ZITOKE”
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 45
Wamelemaa na manguo ja kijani hawajielewi
Hata ukiona shughuli za maendeleo watu wanazivalia nguo za chama hapo hapana liwalo wizi mtupu saivi zama zakufanya kazi na nguo za chama zimeisha na huo ndo mwanzo wakurejesha nyuma umoja na mshikamano baina ya wazanzibari uliopo.
MTANGANYIKA KULA HELA ZA WAZANZIBAR MAANA NI KOLONI LENU!
Sasa hayo matambara ya ccm ndio hamuna nguo za kuvaa au ndio kukosa kujielewa au bado kampeni zinaendelea WAPUMBAV kweli
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hajihassan5433
3 жыл бұрын
Achia suala la nguo potezea kabisa CCM ndio wenye Serikali.
@jumamohamed3168
3 жыл бұрын
@@hajihassan5433 Nimekuelewa Haji ,hawa ccm ndio wametuharibia mji kwa kujengwa ovyo ovyo bila mipango miji ,watu wanajijengea tu bila kusimamiwa ili mji upendeze kutokana na mpangilio mzuri kutoka kiwanja cha nyumba moja na nyingine ,mimi siwakubali hawa jamaa huku ninakoishi mimi hata njia wameshindwa kutoa ,njia zilizopo ni zakulazimisha tu sio zilizipangwa na kutolewa kabla watu hawajahamia kuwa wengi,halmashauri ya wilaya inakwenda kutoa njia na kuweka koni ,watu wakienda kujenga njia zinakuwa zimeshatolewa kila anaejenga nyumba njia anaiona kuwa zimeshatolea .hawa jamaa wameshindwa kutufanyia Zanzibar kuwa yenye mvuto na kupendeza .
Wewe acha kumuelekeza DC kumuweka ndani Mkandarasi. Ni Police pekee ndio chombo chenye mamlaka ya kumkamata mtuhumiwa tena hatakiwi AONESHWE bali wagunduwe wenyewe. Kuna hadi Masheha wanadhani wanaweza kumuweka mtu ndani ukiachia Polisi mtu pekee mwenye mamlaka ni Rais tena wa Tanzania akiwa kama Amiri Jeshi Mkuu (Mkuu wa Askari) nna wasiwasi hata Rais hana uwezo huo kisheria labda yatumike mabavu.
ccm .wacheni siasa ktk maendeleo yanchii .mbona mwinyi yy .hapendi kuvaa hii miguo yenu..
Chama tena sio serikali tena inayo jenga mirad ya maendeleo dah
@hajihassan5433
3 жыл бұрын
Serikali ipo chini ya Chama ndio mfumo wetu na kwa sasa ni CCM. Kila Kiongozi wa Serikali akiwemo Rais Boss wao ni CCM na Kiongozi wa CCM wa eneo ndie Msimamizi wa watendaji wa Serikali kwa sababu ndie mwenye Ilani.
@adammakame2154
3 жыл бұрын
@@hajihassan5433 mh rais ni Ccm lkn akienda kusimamia maendeleo haend km ni mwanachama wa Ccm anaenda km rais so na wao wanapaswa waache uchama washulikie maendeleo
Waseme tu kua hiyo kampuni ni ya upigaji dili tu.
Miradi mingi hapa kwetu Zanzibar wakandaras ni bongo cjui kwa nn.
Wabongo warudi Bongo watuachie Zenji yetu,
@jakayamati3510
3 жыл бұрын
Na wazenji ambao wapo bongo vp waondoke na nyumba zao uku au acha mawazo ya kizamani kuwaza kujitenga tu muda wte
ni kweli msimpe mkataba wa ujenzi kwa mtu asie na uwezo wa kujenga miundo mbinu
Kwa iyo hiyo miradi ni ya ccm lkn ipo chini ya wizara ya elimu ? Na ipo unguja tu pemba haipo ? Ama ni vipi ?
@iddijumaali7192
2 жыл бұрын
😃😃😃
Serekali toeni pesa msilete siasa hapo
@luqmanhafidh8914
3 жыл бұрын
Ndo mana wamekuja wengi😅😅
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Rahaaa kama cinema 😂😂😂😂
Zanzibar hakuna engineer au?
Makamo wa Rais,hapo kuna madudu,kuna mambo hapo yamejificha,inaonesha hapo hapo wamo wahusika washatafuna pesa za wananchi,ni ujanja tu hapo unachezwa,hili suala ni kazi ya serikali na si chama,kuna madudu hapo,tena uwezekano wa mabilioni,watu wamewahi,kabla hujaingia jemadari,upo mchezo hapo unachezwa.
Pesa hamna afu mnakuwa wakali
Badilisheni nguooo nakuoneni wachafu
JANJA JANJA TU HAWAWEZI KUWA MAKANDARASI HAO NI WAPIGA HELA TU
Mbona shuhuli za serikali mnavaa nguo za chama
@khamisiserenge9660
3 жыл бұрын
Nawewe kavae ya chama chako wende
@khamisiserenge9660
3 жыл бұрын
Nawewe kavae ya chama chako wende
@xxl5239
3 жыл бұрын
@@khamisiserenge9660 sio hivo ndugu. Hilo halitakiwi kisheria ukiwa mtumishi wa Uma
@luqmaneme9105
3 жыл бұрын
Kwn wenye serekali ni chama gn n wanatekelez ilani gn
@mohammedelkharous254
3 жыл бұрын
Nani kakipa chama kusimamia miradi ya serikali? Mimi nilithania ujinga huu umeisha! Ningekuwa mimi ndio mkandarasi nisinge poteza muda wangu na kukutana na wao. Kwani nilisaini contract na wizara ya elimu au ccm?
Wakati mumeshinda kwa wizi wa kura endeleeni kuibiyana mkunano kiyama