EXCLUSIVE: KIONGOZI WA WAMASAI ZANZIBAR AFUNGUKA BAADA KUPIGWA 'STOP' KUTEMBEA NA SIME NA VIRUNGU
Ойын-сауық
EXCLUSIVE: KIONGOZI WA WAMASAI ZANZIBAR AFUNGUKA BAADA KUPIGWA 'STOP' KUTEMBEA NA SIME NA VIRUNGU
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 255
Waache waende I ee na utamaduni wao.Bila kuwa n a wamasai tusingekuwa na utamaduni. Acha utamaduni uendelee. Ninawapenda sana❤
@SALEHSALEH-lk5jr
5 ай бұрын
Siyo kweli kwamba bila wamasai kusingekuwa na utamaduni maana kila kabila au kila jamii ina utamaduni wake, muhimu kuheshimu Sheria za nchi au eneo husika
@mamboshepea8888
5 ай бұрын
@@SALEHSALEH-lk5jr utamaduni wako ni upi??!!😦
@AwatifAly-gw9qo
5 ай бұрын
Waendeleze utamaduni watanganyika
@minaeli5989
5 ай бұрын
Kabila nyingi zimeacha utamaduni wake muwache wamasai
@personpeter2221
5 ай бұрын
@@AwatifAly-gw9qoWamasai cyo Tanganyika tu wapo maeneo mengi sana hii Africa na cyo Tanganyika cyo Zanzibar cyo Kenya kote wanatembea na hayo mavitu yao
Wamasai wapewe mauwa yao, wamekuwa wakimbizi kwenye nchi, hawana watetezi, hatua ya Wamasai imekaa poa sana, fiiiimbooo Chapaa!!
Ila mkitaka kujua matumizi ya hizo silaha mkatembelee morogoro maeneo kilosa dumila ifakara pwani mkaone wakulima wanavoonewa na wamasai naamin mtakuwa wakwanza kupinga hizo silaha
@ruu6592
5 ай бұрын
Mm ni mkenya nipo morogoro away wakazi wa mlandizi awanaruksa ya kufuga ukifuga wanakuibia ni uwape wao wakufugie mwaka Jana walikwenda kuwaibia jeshi ngombe zao awakuamini wana msemo wanasema mswahili afai kufuga
@MathayoKimbey
5 ай бұрын
Acha uongo na uchonganishi wew dada hivi wew ukiambiwa uache mila yakwenu kwa lazima utajiskia je
@peterdeus6093
5 ай бұрын
@@MathayoKimbey hujawai kukaa hayo maeneo ndo maana, wakulima wanachomwa mikuki wanajeruhiwa na hizo silaha wengine had wanakufa kwa kipigo pale wanapowazuia wasiingize mifugo kwenye mashamba yao wanatumia nguvu kama una mtu ama ndugu kilosa jaribu kumuuliza
@jumahamadomar9124
5 ай бұрын
@@MathayoKimbeyhawajakatazwa wasifuate mila yao bali mkuu wa wilaya amekataza kutembea na kisu au rungu katika wilaya yake kwa sababu wameanza kuzitumia vibaya,na agizo limetolewa kwa yoyote iwe masai au sio masai kisu na rungu marufuku ispokuwa wauza madafu na chungwa tu na wao wakianza kutumia vibaya watatumenyea kwa meno
Anaongea kama kiongozi mwerevu na mwenye busara 👍
Mzee anaongea kwa busara
Wamasai sasa hali yetu kila kona ila hatunaga shida na mtu. Wengine hudharau wamasai sana. Hilo la wao kupelekwa porini ni la kufuatilia kama ni kweli hiyo kampuni ya ulinzi ichunguzwe
Mimi naona bado kabla ya kutoa adhabu hiyo au maamuzi ilipaswa kufanya uchunguzi kwasababu hawa jamaa huku kwetu hawana vurugu
Aliesikia mkuu wa ULAYA gonga like
Maagizo ya DC yanamapungufu. Ame-generalize sana kwamba kila mtu wa jamii ya kimaasai awajibishwe kwa makosa ya wengine. Maamuzi haya ya DC si sahihi.
wapigeni askari vizuri maana hawana adabu ata kidogo
Professional Interview
Mwekiti achukue jukimu la kutafautisha baina wamasai na wanao jibandika . Wawe na vitambulisho NIKWELI WAPO WANAO JIFANYA
Haya sasa toka ngorongoro hadi zanzibar na kule wanatekwa na kupelekwa msituni kupigwa hilo halisemwi mpaka waanze kujitetea ndo serikali unanyanyuka kwa sababu masai amepiga mtu lakini wakati watu wanampiga masai serkali kimya tunawaangalia tuu.
Kifupi ni marufuku Zanzibar kutembea na silaha ni sawa utamaduni ni wao lakini utamaduni unafanyika pale mtu alipotoka , sio kutembea na marungu na masime ,
Bright leader
Kama umesikia FOROSANI gonga like
Jaman hebu waacheni wa Masai mbona hawana shida
Katika sehem zote za dunia ukija huku kwa kina ankal utafikiri kama upo maeneo yanapo tupiwa mandondocha au miskule kila unaeskia anaongea bas utumbo mtupu maneno yao yana chuki ubinafsi ubaguzi sasa yanajitokeza mpaka kwa baadhi ya viongozi wa wilaya hii haipo sawa kabisa
@bilalkhamis_
5 ай бұрын
Nyie wenyewe Wabaguzi kweli kweli
@user-xl3xy6db2g
5 ай бұрын
@@bilalkhamis_ alie kubagua wewe nani au unakunya tu ukijiskia nenda popote kwenye mkoa wowote hutapata vibwengo vya kukufanyia vibwanga ni huku tu kwa kina ankal
Maasaii huyu nikiongozi mwerevu sana
Wamasai waache kutembea na silaha kwani kuna baadhi ya wahuni wanajificha kupitia magazine ya kimasai
@mikemutabuzi3665
5 ай бұрын
wapi, sehemu gani eneo gani na walimpiga nani? Tuache ushabiki wa kipumbavu, wageni wanatuharibia mila zetu, eti leo muambiwe msivae kanzu vibarakashea au wanawake wasivae hijabu, Mtasemaje? Waliofanya tukio wakamatwe, Ila watu fulani I asifanye wengine kuhukumiwa, Mnafurahia marekani wanawake wa kiislam kunyanyaswa kwa sababu ya hijab? Tusilete ya kule yaje huku kwetu ndugu zangu.
@abdifaraji2883
5 ай бұрын
Hata huko bara kuna sehemu ukivaa hijabu unachekwa na kubiwa umepitwa na wakati. Hakuna wabunge wa Wamasai, mbona hatuwaoni kuingia Bungeni wakivalia kimasai nakupachika sime kiunoni na marungu mkononi? Niliwahi kudhalilishwa na Wamasai huko Nungwi waliponiona nimekaa na mwanamke wa kizungu ambaye alikuwa mgeni wangu, wakataka wamchukue wao. Na Waunguja nao wawe na umoja wao huko bara, kwani kila Munguja huko Bara anaitwa Mpemba. Kusiwe na mapendeleo na ubaguzi wa rangi na kikabila. Tutii sheria na utamaduni wa sehemu tunazohamia.
We are the best always...so hakuna mwenye kutuzuia kwa hilo
Wazanzibari hawatupendi wa bara, msiogope kusema hili.
Wamasai wa Zanzibar wanafanya vitendo vibaya. Wanaingia kwa uadui ndani ya hoteli na kuwasumbua watalii kwa kuuza vitu vyao. Askari akimwambia aondoke, wanatoa ujeuri, kama ile mapigano ya video.
Wapeni silaha zao, hao ni wapiga Kura wetu,tusisahau msaada wao wakati ukifika
@aqmmsm55
5 ай бұрын
na kura karibu
@hajihassan5433
5 ай бұрын
@@aqmmsm55Hivi sasa hatuhitaji karatasi yoyote, anaejitaji nchi afanye Mapinduzi.
@ahmedalbalooshi8518
5 ай бұрын
@@hajihassan5433 mwambie Rais afute uchaguzi ili tusipate gharama ya pesa na vilio
@MahmoudDouchi
5 ай бұрын
@@hajihassan5433mara nyingi wewe comment zako hua nizakihafidhina sana zilojaa ukereketwa na ujinga mwingi.
Zanzibar vurugu mechi watu wengi kweli masai wauza vitatu wote wameondoka dar wapo Zanzibar kila kona wapi na wanunuzi wanunuzi wenyewe wazanzibari hawana pesa vurugu mech
Zanzibar kwan wao wanajionaje mpk wanalet sheria za hovyo hovyo
@adnanidarous3117
5 ай бұрын
tuna mamlaka yetu na tamaduni zetu za asili ziheshimiwe
@hajihassan5433
5 ай бұрын
Palipoharibika patengenezwe lakini Zanzibar ni nchi kama nchi nyingine hivyo inaweza kutunga Sheria zake.
@abdulatifismail4747
5 ай бұрын
Kaa kwenu
@breymbasa3451
5 ай бұрын
@@adnanidarous3117tamaduni zenu zipi zilizoingiliwa nani kaingilia utamaduni wa mwenzake baina yenu na wao,wamekukataza nn kwenye utamaduni wako?
@ahmedalbalooshi8518
5 ай бұрын
@@hajihassan5433 sikufikiria kuwa utakuwa na mtazamo kama huu
Makatazo hayo yaende sambamba na makatazo ya jamii nyingine kufaa mavasi yanayoaashiria tamaduni ya jamii ya kimaasai
Hiyo mwenye kitti Wa wamasai , yeye Mwenyewe si mmasai Jina ni Makau huyo ni Mkamba Wa Kenya .
Kumbukeni kwamba sio wamasai mwenye furugu tu hata nyinyi pia munao furugu Sana Sana usiseme tu wamasai ndo mwenye ugovi Kila kitu ni wamasai tu hanjeni unyanyaje wa kizanzibari
@gloryjohn1746
5 ай бұрын
nahis hat wew ni masai manake andik yako tu 😂😂😂😂 eti furugu😂😂😂🙈💉🙈🙈🙈
@OmerSuley-gl7go
5 ай бұрын
Wamasai mumezidi
@Shuu.A
5 ай бұрын
Rudini kwenu wamasai msituharibie zanzibar yetu
@jenyyusuph4973
5 ай бұрын
Mungu bariki wa masai na fimbo Mira iliyoqapatia Inshaalah watu wa serikali wote ni wakorofi sana wanajivuna kwasababu watalindwa na mi bunduki Yao wakimpkonya mtu arithi wanamshikia bunduki machinga pia wanamshikia bunduki masai katembeza fimbo uchungu unakupandeni kwani wo sio watu?
@jenyyusuph4973
5 ай бұрын
@@Shuu.Anyinyi wenyewe pia wakorofi mkuki kwa ngurue
Acheni kuharibu utamaduni wao.Nyie siyo wakoloni Mwishowe mtaanza kuwaambia wanawake wasivae vitam b aa kichwani nk
@ahmedalbalooshi8518
5 ай бұрын
Grace,usichafue hali ya hewa.Suala sio nguo zao bali ni SILAHA(MARUNGU NA SIME).Hivo ni vyombo vya shari.Usilinganishe scafu ya kichwa na RUNGU AU SIME..
@Shuu.A
5 ай бұрын
@@ahmedalbalooshi8518ndio hapo kishalewa huyo masai rudi kwenu kama huwezi sheria ya znz
@mamboshepea8888
5 ай бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 Hui ni utamaduni wao!!! Mbona huku bara wanatembea nazo hawadhuru mtu yeyote!!! Watu wanauana hata kwa mawe bhana!!!
Hatuwezi kuishi bila silaha zetu totally fanyeni mfanyavyo
@PrinceHendry-hp8vv
5 ай бұрын
Silaha za kijadi kaeni nazo emboret mjini silaha ni bastola
@OmerSuley-gl7go
5 ай бұрын
Rudi kwenu utembee na silaha
@mamboshepea8888
5 ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go Kwao wapi.??!!....acha ujinga na sisi tukiwarudisha kwenu mtajua hamjui!!😦😦
@bilalkhamis_
5 ай бұрын
@@mamboshepea8888Turudisheni kwani shida nini tupo tayari
Si waliwafukuza Ngorongoro, tandika hao wajifunze kuheshimu Tamaduni za wengine.
Walewamasai walitakiwa kuchukuliwa hatuakali sana zakisheria ili kuzuia uzalilishaji wajeshiletu la polisi
Kwa kifupi mkuu huyo ana chuki na jadi ambayo haijafanana na yake na ni fikra ambazo hazina uzalendo na utaifa unaoheshimu jadi na tamaduni kama urithi unaofanya nchi hii iitwe nchi ya jadi zote kuishi kwa Amani...
Me wakwanz kulike
Viongozi wanahumiza amani ta nchi. Wamasai Munachafua amani. Kiujumla Hatutaki maombi maovu ya kutembea na silaha. Tusiende kinyume na Viongozi wakuu wa Serikali ktk suala la amani
Wamakonde Mila Yao ni kutembea na pinde lkn mda Sasa hukuti mmakonde kule bungi au kiboje kutembea na upinde, Ata wa zanzibar asili yetu kutembea na visu viunoni lkn Leo ukikutwa na kisu unakamatwa labda uwe mvuvi au mfugaji Tena uwe maeneo ya kazi zako sio umekoga unatembea au kwenye usafiri na jamii na kisu kiunoni kwasasa haikubaliki wala hatununi. Iwe nyie wamasai nongwa
Kila sehemu kuna utaratibu wake, kila jamii ikikibakiwa iishi kwa mila zao basi hakuna atakae kuasalama
Kuna kitu kinaitwa Displine watu wamechoka
Acheni kujitetea bhn cha msingi watanzania nyote mrudi kwenu tuachieni na Zanzibar yetu
Tunanyanyaswa kila Kona ya nchi hii, hatuna shida na watu hapo tumejitetea, da a inabidi watutengee nchi yetu, hatutakubali hivi ila waendelee kutujaza chuki zaidi IPO siku
Sasa utEndaje mjini na sime na rungu si waende navyo wakati wanalinda
Mbona hamjawahoji NA wale askari
Masai tunao sana na hawana tatizo lolote
Hatuwezi kutembea bila rugu sime vimbo ni sawa sawa tunatembea uchi kabsa
@ahmedalbalooshi8518
5 ай бұрын
Kama hamuwezi na hamutakiwi kuwa na hizo silaha basi muende sehemu ambayo munaweza kutembea na silaha zenu
@sbboymkaliofficial9108
5 ай бұрын
Kama hamuwezi rudini kwenu Zanzibar Hakuna Masai Zanzibar kuna watumbatu 😂😂😂😂 mnatuletea utamaduni WA pilini mjini
Muache kutembea na siraha wamasai wa ss hawana nizam tofauti na wazamani walikuwa hawatumii ovyo siraha zao
Hii ni jadi na utamaduni wetu jamani kwahiyo mkituambia tusidumishe mila zetu ni sawa na kulazimisha kabila letu kubadilisha mila na desturi zetu kitendo ambacho siyo haki za binadamu
Munatuletea matitzo.zanzibar mubaki.kwenu hii ni nchi ya utulivu
Занзибар разве не Танзания? Почему там свои отдельные законы? Масаи это бренд Танзании. Нельзя быть расистами никому. Я часто вижу на Занзибаре как притесняют масаев, говорят что они приезжие, но они такие же граждане Танзании как и Занзибарцы.
Kwamujibu wa maelezo ya mkuu wa wamasai ni ivi" ikofifti fifti Mana Masai katoa sababu zenyekufikirika pia kwanini migomvi hutokea
Hatuhitaji utamaduni hapa lowasa alikuwa hatembei na rungu Wala sime hakubadilika wacheni kujifanya mnaumia na tamaduni
@moviekaa
5 ай бұрын
Mbona Nyerere alitembea na fimbo na hamukusema 😂😂😂😂. Huko ni kufeli, aliyevunja sheria achukuliwe hatua sasa ikitokea mtu mwingine kampiga mwenzie na jiwe mutatoa mawe yote mtaani?😂😂😂.
Sikilizeni nyie wamasai. Wazanzibari pia wanao huwo utamaduni wa visu hupewa na wazee wao wanapaokuwa wadogo na wanapokuwa wakubwa hupewa mapanga sawa. Lakini silaha hizo hawatembei nazo majiani sawa. Kwaufupi hakuna ruhusa special mji mkongwe tumefahamiana
Ayo mashuka yana tosha kuwa utamaduni ayo mapanga tembeeni nayo porini ukooo😅
Mkuu wa wilaya amefanya jambo la busara na ikiwa lazima waishi Zanzibar basi lazima wafuate sharia za ZANZIBAR.
@bakarfaki-vb8kv
5 ай бұрын
Inatia huruma sana 😢 wamasai hawana shida mbona ?
@rafaelolemoono6830
5 ай бұрын
Kupiga mtu nazi halafu usijibu ndio sheria za Zanzibar???
@mamboshepea8888
5 ай бұрын
@@rafaelolemoono6830 Hawa jamaa wanaringa sana mbona huku hakuna anaewanyanyasa...endeleeni tu mtakuja kujuta!!!
@ahmedalbalooshi8518
5 ай бұрын
@@mamboshepea8888 Huku wapi?Kuwa wa wazi.
@mamboshepea8888
5 ай бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 we ulitaka kuwe wapi!!!! Nimesema huku bara mbona wanatembea nazo tu hawajampiga mtu???!!!😓
Interview haiko vizuri hii.
Utamaduni mbele ya Sharia zanchi..? acheni hzo km kila mtu aachwe adumishe utamadun wke bc itakua n fujo
Wasijione wakali hapa watu wakali zaidi Yao
Kama Ulikua Ni Mpango Wa Wazanzibar Kuwakataa Wamasai Wajue Wamasai Ni Asili Yao Iyo Uyo Mkuu Wa Wilaya Ajue Utamqduni Ni Zaidi Ya Ukuu Wake Wa Wilaya Asilete Ujinga Wake Ni Utamaduni Kikubwa Waambiwe Utamaduni Usigeuke Kuwa Kelo
Sio fair hata kidogo but ubaguzi
Nauliza je utamaduni wa kiislamu wa wanawake kuvaa ninja kama sehemu ya kujistili kwa wanawake inapo tokea mwanamke 1 n.k akaiuka na kufanya uharifu akiwa na mavazi hayoo je ? ni sawa kuzuia wanawake wa kiislam kustili kwa kosa la mtu moja au kikundi flani ? Huoni utakuwa umewaingilia tamaduni ya kiimani kwa wale wema ? Maamuzi yalio amuliwa n ya kimihemko .
HUYU KIONGOZI WA MAASAI ANA HEKIMA SANA INGEKUA NI MTU OVYO OVYO NA HAYO MASWALI ANAYOLENGWA NAYO INGALIKUA ASHACHAFUA HEWA😂
👍👍👍🇹🇿
Zanzibar hakuna ujambazi wala simba, haina haja ya kutembea na silaha kama mnatishia amani za wananchi na watumishi wao. Hatuna haja ya kujuwa matumizi wala nini. Ukienda kwa mwenye chongo, nawe fumba lako jicho. when you are in Rome, you have to live like what Romans do. That is it. 😜
Mmasai bila fimbo rungu na sime anakuwa mmasai wa ajabu kabisa hivyo wacheni watu na mila zao.
@bilalkhamis_
5 ай бұрын
Waache wafanye uko uko kwao wasitusokote
Msilete ujinga wenu zanzibar sio nch ya wasanii
@rafaelolemoono6830
5 ай бұрын
Ukileta ujuaji wa kizanzibari wa kutupwa Nazi uchekewe???
@joantharajab4583
5 ай бұрын
Zanzibar nchi ya mapembe TU na mchuzi wa maji
😢😢😢🤕🤕🤕
Sasa na nyie masai sime na rungu za nn mjini Acha mkataze mnatutoboaga na mafimbo yenu kwenye dala dala
@gloryjohn1746
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@PrinceHendry-hp8vv
5 ай бұрын
Sindio glory
Achaneni na kubebana na silaha
Zanzibar kama longido ss😂😂😂
Wamasai wanawaonea raiya sana
@justice607
5 ай бұрын
Mnatakiwa mchapwe, muwaone kama watu wengine, hacheni zarau waswahili
@user-hu1qm7kj5z
5 ай бұрын
So 😢jiunge au nawe kawaoneee mwehu
Wavue hayo mashuka yao kwanini wanatembea na virungu nasime zanini
Waachiwe Mira Yao wamasai sio wakorofi wale itakua waliwakosea kama hivyo walinzi wa wa Raisi mawaziri nao wapigwe marifuku kutembea na bunduki
Jadi kafanyeni huko porini huku niustarabu nendeni huko pori kwenu
Loh
Tamaduni wamasai
huyu mwandishi ni kenge hajui chochote fara huyo
Serikali isiwaruhusu tena kutembea na virungu...rudini bara ikiwa mnataka kutembea na virungu!
@jenyyusuph4973
5 ай бұрын
Serikali wakiwakosea wamasai Tawire masai wakijitetea rudini Bara rudisha Ndugu zetu
shika adabu yako wee zanziba hakuna simba
Kabila hili linasumbua sana tanzania yote kwann selekali ipo kmya wanatakiwa kuajibishwa
Nchihii imeshauzwa bilaumakini nasi tutauzwa
Masai hachokozi.mtu ilaukimchokoza uta mpata tuu
Mila na desturi ya masai ni kuvaa Shuka awe na sime na rungu pia fimbo huyo ni masai. Wamasai wapo kila kona ya Tanzania pia nchi za nche za jirani wanakuwa na vitu vyao vyeto vya jadi sasa iweje leo zanzibar. Kuna fitina Kati ya wazanzibar na wamasai kwenye utalii maana wageni wanaoingia zanz wanavutiwa zaidi na culture ya masai kitu ambacho kinamkera mzanzib hivyo wanataka kuua mila za wamasai isionekane zanzib.
@bilalkhamis_
5 ай бұрын
Waondoke kwani umasai asili yao Zanzibar au..... Km wageni wanavutiwa nao basi watakuja uk uko arusha sijui wapi
Masai tandika hao wasikuzoeee
@rayisadesigns2646
5 ай бұрын
Mtakapochokonolewa huko kilimanjaro na maasai halafu uje useme haya unayoyasema
Sawa
Zanzibar bila wamasai haitanoga hata kdg
@OmerSuley-gl7go
5 ай бұрын
Aliyekwambia nani? Kwan Hapa ni Ngorongoro?
@Shuu.A
5 ай бұрын
Kakwambia nani na wamasai na wabongo ndio waloiharibu znz sio wamenogesha wameharibu warudi kwaooooo
@upendooropi6419
5 ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go tatizo hujui chochote we
@upendooropi6419
5 ай бұрын
@@Shuu.Akawarudishe wewe kama utawaweza tz na znz ndo nyumbani kwetu
Sisi wamasai tumekuwa Kama wakimbizi kwani kwanini tumekoza haki yetu
@mohammedabdallah6390
5 ай бұрын
Usijali Zakaria yataisha tu hayo ni upepo tu mmbaya umepita waTz sote wamoja
@SagafuAngelo
5 ай бұрын
Haki yenu kupiga watu au mmekoxa haki gn yan
Tanzania hawapendi wamaasai 💔 ndugu zetu mkuje Kenya! hatuwezi acha mila yetu! but Tz clearly doesn't protect our people, they're all evil, wicked and inhuman nation!
Mmefanya vizuli Sana masai zanzibaa niwanyanyasaji sana
@breymbasa3451
5 ай бұрын
ila binadamu nyie 😢 Usimshuhudie Mtu uongo Unyanyasaji wao ninini?
Mmewachokoza wenyewe wamasai mbona zamani hawakuwa hivi🥸🥸🥸
@knight6757
5 ай бұрын
Je wange kuja huko na mifugo .🤔
@ahmedalbalooshi8518
5 ай бұрын
Uchochezi ni adui mbaya
Mbona pale kariakoo Kuna wapemba tele wanafanya biashara hawabuguziwi wacheni tu wafanye biashara zenu hizo ndo kura zenu musiwaonee
@bilalkhamis_
5 ай бұрын
Kwani huku zenji na nyinyi hamfanyi biashara na umeskia wapi kupigwa marufuku..... au na sisi uko tunaranda na mapnga na marungu kama wagonjwa
Hao walitaka kuniuwa washenzi hawa
@fettyrashid9042
5 ай бұрын
Uliwafanyaje ?
Wafukuxeni warudi kwao
@zedekiahjulius6
5 ай бұрын
Kwao wapi
Kudadeki zenu masai nyote sio muondoke muende kwenu hamtaki kutii sheria
Bora mupingwe na ngombe zenu mumeyata yenyewe hata Bado Kwanza hao ni wapiga wenu 2025 .wapeni kazi hao ni Ndugu zenu wa damu hawana baya hao
@OmerSuley-gl7go
5 ай бұрын
Zanzibar ni ya Wazanzibari sio Wamasai na sheria zetu haziruhusu mtu ambaye sio Mzanzibari kupiga kura Zanzibar kumchagua kiongozi yoyote
@Shuu.A
5 ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go ndio hapo sasa
@rafaelolemoono6830
5 ай бұрын
ila mkija bara sasa...hata nchi ya wamasai ni Tanzania yenu....
Hamuoni upande wenu munakozea Sana
@ahmedalbalooshi8518
5 ай бұрын
Upande wa nani?
Ushauri wangu kama ni mapanga ya mila watengeze mapanga butu au ya mbao
@danielmakelemo2395
5 ай бұрын
😂😂😂
@jacquelinesangau4767
5 ай бұрын
😂😂
@kingofthefamily
5 ай бұрын
😂😂😂
@jenyyusuph4973
5 ай бұрын
We shika adabu yako hakuna GA Mila butu
Yafukuzeni hayo maumbwa
@denisraphael2964
5 ай бұрын
unajisikiaje kuita binadam mwenzako mbwa?
Hiyo ni unyanyasaj kabisa
Msituletee utamaduni wa polini mjini apa Zanzibar hakuna simba wala mamba 😂😂😂
Waondoke tu kukaa uchi ndoutaduni gn Sasa
@mataypanga5262
5 ай бұрын
Afadhali wao kuliko nyie wanaume mnaovaa kanzu kama gauni😂
@bilalkhamis_
5 ай бұрын
@@mataypanga5262 Kwa upande wako..... kiufupi waondoke tu
@jenyyusuph4973
5 ай бұрын
Mnafiki ww mkubwa Tena ushendwe mbona wasanii wanaovaa nguo za ndani na kuhamasisha zinaa wakija znz husemagi? Au ni kwasababu utaduni wakizungu unawalupeni?
@mataypanga5262
5 ай бұрын
@@jenyyusuph4973 Kwani nyie waislamu hamfanyi zinaa? Wake wengi au kupeana talaka siyo zinaa?. Unatia aybu wewe😁