ALICHOKUTANA NACHO MKUU WA MKOA USIKU, ZANZIBAR - ZIARA YA KUSHTUKIZA

Mkuu wa mkoa Ayoub Mohammed Mahmoud aliingia mtaani kwa kushtukiza, ila hiki ndicho kilichotokea. Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Hairath Haroub #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 256

  • @talibabdullah3762
    @talibabdullah37625 жыл бұрын

    ❤❤❤ Shukran KTV TZ ONLINE hakika hii fahari yetu. Hongera sana mkuu wa mkoa. Yaani km viongozi wote wangekuwa km ww bc naamin nchi yetu ingeendeley zaidi na zaid kwani unawajibika ipasavyo.

  • @allimaryam276
    @allimaryam2764 жыл бұрын

    Ongera Mkuu waa mkowa mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @rauhiyajuma1471
    @rauhiyajuma14715 жыл бұрын

    mashaaa Allah mh Ayoub nakupenda sana sana sana kwa kwa ajili ya Allah ...Allah azid kukuongoza uwe muadilif ktk uongoz wako

  • @firstname600
    @firstname6005 жыл бұрын

    Dah muheshimiwa nakupenda kwa juhudi zako za kutupenda wananchi wako na kutujali.

  • @khadijasaidimustafa3585
    @khadijasaidimustafa35853 жыл бұрын

    Hongera sana kiongozi

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    SubhanaAllah. Hii mtihani Wallahi. Mkuu wa mkoa pole na majukumu. Shukran ktv tz Online media 👌👍

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor53495 жыл бұрын

    Allah akuongoze akuzidishie imani

  • @hababuukhamis7098
    @hababuukhamis70985 жыл бұрын

    Dah muheshimiwa allah akufanyie wepesi unaonesha mfano mzuri sana kwa jamii

  • @godfreyakyoo5359
    @godfreyakyoo53595 жыл бұрын

    Huyu Mh namkubali sana asee yukoo poaaa👊👊👊👊👏👏👏💪💪

  • @msfatma946
    @msfatma9465 жыл бұрын

    Mashaallah mungu akuzidishie kher na barka in shaallah unayo fanya ni kazi nzuri alhamdullahi

  • @dm9299
    @dm92995 жыл бұрын

    Mashallah fanya kaz mkuu kwa ajili ya Allah usiogope mtu ukimtegemea Allah kaahidi ulinzi tu kwa yoyote na mambo utayaona mepesi

  • @mufamozmufash166
    @mufamozmufash1665 жыл бұрын

    Safiiiiiii Sana mkuu Ana hekima MA sha Allahu,

  • @hajjialy2413
    @hajjialy24135 жыл бұрын

    NNAIMANI 100% NA MKUU WA MKOA HUYU, JINSI ANAVOJALI MAISHA YA WANYONGE.... UTENDAJI WAKE NA JINSI ANAVOJALI VILIO VYA WANYONGE NAMFANANIZA NA RAIS MAGUFULI.. ALLAH AKUBARIK Mh. AYOUB..

  • @halimasaidi2492
    @halimasaidi24924 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu

  • @adamsoud4862
    @adamsoud48625 жыл бұрын

    Hongera Muheshimiwa endelea kuiweka sawa zanzibar kwa maadili yake na heshima irudi kama zamani na Mungu atakulinda Ameen

  • @aliameri7008
    @aliameri70085 жыл бұрын

    nampa big up sana Mh,Ayoub, hongera sana kwa hekima NA buasra zako

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu5 жыл бұрын

    MashaAllah Allah kakujalia kauli yeny busala.. Allah akuzidishie in shaa Allah 🙏🏻

  • @mkukafurtrich4972
    @mkukafurtrich49724 жыл бұрын

    Hongrea mkuu wa mkoa kwa kutuoa maneno mazur tofauti na viongoz wengine Mungu akusimamie. Ww ni kiongozi bora sio bora kiongozi kama wakina makonda.

  • @abalqassimhalli6731
    @abalqassimhalli67315 жыл бұрын

    Mheshmiwa Ayoub hongera kwako kwa kazi nzuri ndelea hivo hivo

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud43285 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa Allah akupe kila lenye kheri na ww akulinde akuhifadhi na akustiri pole sana na majukumu mazito ila pia nawashauri wananchi ww unawabeba na wao wanatakiwa wajikaze ili angalau kukupunguzia majukumu

Келесі