ALICHOKUTANA NACHO MKUU WA MKOA USIKU, ZANZIBAR - ZIARA YA KUSHTUKIZA
Mkuu wa mkoa Ayoub Mohammed Mahmoud aliingia mtaani kwa kushtukiza, ila hiki ndicho kilichotokea. Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Hairath Haroub #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 256
❤❤❤ Shukran KTV TZ ONLINE hakika hii fahari yetu. Hongera sana mkuu wa mkoa. Yaani km viongozi wote wangekuwa km ww bc naamin nchi yetu ingeendeley zaidi na zaid kwani unawajibika ipasavyo.
Ongera Mkuu waa mkowa mwenyezi mungu akupe maisha marefu
mashaaa Allah mh Ayoub nakupenda sana sana sana kwa kwa ajili ya Allah ...Allah azid kukuongoza uwe muadilif ktk uongoz wako
Dah muheshimiwa nakupenda kwa juhudi zako za kutupenda wananchi wako na kutujali.
Hongera sana kiongozi
SubhanaAllah. Hii mtihani Wallahi. Mkuu wa mkoa pole na majukumu. Shukran ktv tz Online media 👌👍
Allah akuongoze akuzidishie imani
Dah muheshimiwa allah akufanyie wepesi unaonesha mfano mzuri sana kwa jamii
Huyu Mh namkubali sana asee yukoo poaaa👊👊👊👊👏👏👏💪💪
Mashaallah mungu akuzidishie kher na barka in shaallah unayo fanya ni kazi nzuri alhamdullahi
Mashallah fanya kaz mkuu kwa ajili ya Allah usiogope mtu ukimtegemea Allah kaahidi ulinzi tu kwa yoyote na mambo utayaona mepesi
Safiiiiiii Sana mkuu Ana hekima MA sha Allahu,
NNAIMANI 100% NA MKUU WA MKOA HUYU, JINSI ANAVOJALI MAISHA YA WANYONGE.... UTENDAJI WAKE NA JINSI ANAVOJALI VILIO VYA WANYONGE NAMFANANIZA NA RAIS MAGUFULI.. ALLAH AKUBARIK Mh. AYOUB..
Mungu akupe maisha marefu
Hongera Muheshimiwa endelea kuiweka sawa zanzibar kwa maadili yake na heshima irudi kama zamani na Mungu atakulinda Ameen
nampa big up sana Mh,Ayoub, hongera sana kwa hekima NA buasra zako
MashaAllah Allah kakujalia kauli yeny busala.. Allah akuzidishie in shaa Allah 🙏🏻
Hongrea mkuu wa mkoa kwa kutuoa maneno mazur tofauti na viongoz wengine Mungu akusimamie. Ww ni kiongozi bora sio bora kiongozi kama wakina makonda.
Mheshmiwa Ayoub hongera kwako kwa kazi nzuri ndelea hivo hivo
Mkuu wa mkoa Allah akupe kila lenye kheri na ww akulinde akuhifadhi na akustiri pole sana na majukumu mazito ila pia nawashauri wananchi ww unawabeba na wao wanatakiwa wajikaze ili angalau kukupunguzia majukumu