VITUKO VYA ELIUD NA DOTO MAGARI WALIVYOFIKA DUBAI KWA AIR TANZANIA

Пікірлер: 54

  • @Gades106
    @Gades106Ай бұрын

    Kwani kuna walio sikia mama ni mwanagu sana wanipe like

  • @ombenkallenge1924
    @ombenkallenge1924Ай бұрын

    🎉🎉🎉 nimekuwa wa kwanza nipe like zangu

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813Ай бұрын

    Dotto ana inferiority complex hajasoma lakini pia ana chuki (jealous) kwa waliosoma.

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1oАй бұрын

    Doto magari muwache Eliud azungumze n'a yeye

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090Ай бұрын

    Mbona show ya kihindi badala asli ngoma za kitanzania ila kwa yote tujipe hongera Tanzania tunaendelea kusonga mbele

  • @AbdallahHajis

    @AbdallahHajis

    Ай бұрын

    Waarab sio wahindi

  • @Kabwela776
    @Kabwela776Ай бұрын

    Air Tanzania hamko serious kabisa yaani ubalozi mnapa huyo kichaa anawapigia watu makelele

  • @bakarikayugwa3295

    @bakarikayugwa3295

    Ай бұрын

    Kaa wewe basi 😂

  • @mlyambisipaul8399

    @mlyambisipaul8399

    Ай бұрын

    Wivu

  • @mwingadulle7400

    @mwingadulle7400

    Ай бұрын

    Kabisaaa yani daaah ety kichaa😂

  • @iddirajabu-vk7ej

    @iddirajabu-vk7ej

    Ай бұрын

    Usichokielewa kwa doto magari nini kwaio,kusema panda airtanzania kiwaambia watu ulitaka degree

  • @judithgodfrey6503

    @judithgodfrey6503

    Ай бұрын

    Yaaniii

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    Tumia deodorant dotto magari kwenye makwapa tafadhali!! Acha makelele bwana wee!!!

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Ай бұрын

    Kama wewe utumie Colgate maana huo mdomo wako unanuka balaa

  • @joshuason557

    @joshuason557

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂​@@fahadfaraj6474

  • @LuckyTemu

    @LuckyTemu

    Ай бұрын

    M2 akpata punguza chuki kila m2 na fungu lake

  • @anthonyrichard2931

    @anthonyrichard2931

    Ай бұрын

    Watu mnawivu tu mwacheni dotto atambe bwana

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007Ай бұрын

    Mama leo ndege na omani air tupambane na.yakwetu

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492Ай бұрын

    Dangerous people

  • @aronlevason5831
    @aronlevason5831Ай бұрын

    Mbona kama doto anachekesha kuliko eliud

  • @joycehaule9717

    @joycehaule9717

    Ай бұрын

    Pole

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279Ай бұрын

    Kuna baba love na @mwijaku 😂😂na kuna eliudi na dotto magari 😂😂😂

  • @hasanipoy3976

    @hasanipoy3976

    Ай бұрын

    Baba love hama baba levo

  • @shericktv509
    @shericktv509Ай бұрын

    Dikshesheni

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147Ай бұрын

    Mara ya kwanza kuingia Dubai nilikuwa kituko siwez kusahau ila kwa sasa nimezoea naona km kwa mtogole

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352Ай бұрын

    Dotto wasijisahaulishe hapo ubavuni ipo 🏹

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279Ай бұрын

    Mtu siyo nyau😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅Mganga MUNGU 😂Aloooooooo

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249Ай бұрын

    Dotto muda woteee kwapa lake linatemaaaa sana sijui waliokaribu yake mijasho utazani yupo juwani analima😢😢😢

  • @Baira240
    @Baira240Ай бұрын

    Diksheshe au dictionary tuchukue ipi

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813Ай бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674Ай бұрын

    Hongereni 🎉

  • @user-gy7mk8ur1f
    @user-gy7mk8ur1fАй бұрын

    😅😅

  • @ibrahsnipergaming
    @ibrahsnipergamingАй бұрын

    HII NI MAMBO KANI

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540Ай бұрын

    Mutu siyo nyau😂😂😂😂

  • @bilsonstewart2661
    @bilsonstewart2661Ай бұрын

    Mbona kama wanaweza kufanya kitu hao jamaa

  • @waporimediatv5627
    @waporimediatv5627Ай бұрын

    Dollars zinakosekana daa huu ni ujinga mtupu

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084Ай бұрын

    Kwa hiyo tusiende shule 😅😅😅😅

  • @brownsebastianmwibi5647

    @brownsebastianmwibi5647

    Ай бұрын

    Yeye mwenyewe amekiri kuwa wanaye wanasoma! Then tusiende shule? Shule haikupi mafanikio ila inakuongezea ubora kwenye ulichokipata. Kwa mfano Dotto kapata bahati nyingi, lkn anahitaji mtu anayejua kiingereza ili kumsaidia kumfungua akili kwenye vitu anavyoshangaa.

  • @IMANWILLIAM-bl2ui

    @IMANWILLIAM-bl2ui

    Ай бұрын

    tusiende shule, twende Dubai

  • @Zuu673

    @Zuu673

    Ай бұрын

    Unamdomo kama wa doto?😂😂😂

  • @samirhumud7408

    @samirhumud7408

    Ай бұрын

    Yaani mtu kama hajui kiiengereza ndio akili yake imebana?Duu kazi ipo kwa kweli Yaan kiengereza ndio cha kumfumbua akili mtu

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973Ай бұрын

    Dotto hachani nywele Wala ndevu ndio mganga wake alivomuambia

  • @longinuskomba9887
    @longinuskomba988712 күн бұрын

    Doto mdomo sn

  • @KwizeraBeathe
    @KwizeraBeatheАй бұрын

    😅😅😅

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2tАй бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @Mwakibinga_wisdom
    @Mwakibinga_wisdomАй бұрын

    Sio dictation ni dictionary 😃

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    😀😀😀😀

  • @ibraagift6772
    @ibraagift6772Ай бұрын

    😂

  • @user-fl7ld9pf1l
    @user-fl7ld9pf1lАй бұрын

    MTU sie nyie

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64Ай бұрын

    Nchi yetu inamambo sana. Yaani katika watu milion 60 Doto magari ndio balozi wetu wa air Tanzania. Sio sitaki apate kazi, hapana ,angalieni za kumpa zinazofanana nayeee.

  • @djurio

    @djurio

    25 күн бұрын

    Mungu huwainua wasitarajiwa ili utukufu wako ujidhihirishe....Wakati wa Mungu hauna pingamizi. Ukihitajika utaitwa.😂😂

  • @franktimoth9786
    @franktimoth9786Ай бұрын

    Madishi nyie

  • @frankngoloka5416

    @frankngoloka5416

    Ай бұрын

    Madishi wenzio wanapiga Hela?

Келесі