PART 1: RUBANI MSTAAFU GALWAY ASIMULIA MKASA WA 1988, NDEGE YA TANZANIA ILIVYOTEKWA WAKIWA ANGANI..

PART 1: RUBANI MSTAAFU GALWAY ASIMULIA MKASA WA 1988, NDEGE YA TANZANIA ILIVYOTEKWA WAKIWA ANGANI..
Hii ni stoti ya kusisimu ya Rubani Mstaafu Galway Galway Aelizaliwa 1950 huko Vijijini Kabisa Mkoani Manyara Kipindi hicho uliitwa mkoa wa Arusha akiwa Mtoto kutoka katika familia ya kifugaji alienda peku shuleni bila viatu lengo lake likiwa kuwa Rubani tu wakati watoto wengi wao walikataa shule na kulilia kwenda Kuchunga Ng'ombe na Mbuzi.
Alitolewa Jeshini na Mwalimu Nyerere miaka ya 70 na Kupewa Usukani wa Ndege baada ya marubani Wengine kugomea Mishahara kwa kudai ni Midogo.karibu kwenye the Unique story utafaamu jinsi ndege aliyokuwa akiiendesha ilivyotekwa 1988 na vijana wa Kitanzania akiwa Angani.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 66

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera48312 жыл бұрын

    Askofu Methodius Kilaini anaweza kusimulia vizuri mkasa huu...alikuwa mhanga wa tukio

  • @Mc_Chabala
    @Mc_Chabala7 күн бұрын

    Hii story wangehoji SIMULIZI ZONE ingekuwa safi sana

  • @felixmathias6362
    @felixmathias63622 жыл бұрын

    Ayo mtafute huyu mzee atupe elimu. Anahistoria nzuri sana kwa kizazi Cha sasa

  • @JovinaryJuventus
    @JovinaryJuventus7 күн бұрын

    Safi sana mzee

  • @mussakamando2678
    @mussakamando26782 жыл бұрын

    Hii srory angehojiwa na TIK TV ingenoga sana. Jamaa wanajua kuendesha mahojiano sana.....

  • @zacharyanthony6083
    @zacharyanthony60832 жыл бұрын

    Mzee anajua kusimulia vzur sana. Na mike alitakiwa awe nayo yeye sabab yeye ndo aliebeba kipindi sasa ilo jama sijui alijui linamkatisha..irudiwe na millad ayo

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah5852 жыл бұрын

    Asante mpiganaji Capt. Galwei.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, hongera sana Babu

  • @opportunities2767
    @opportunities27672 жыл бұрын

    Uyo mzee ana story nyingi sana mwandishi unamkatisha

  • @saumusalimuhassan2499

    @saumusalimuhassan2499

    2 жыл бұрын

    True

  • @geofreyshaurimoyo5918

    @geofreyshaurimoyo5918

    2 жыл бұрын

    Mtangazaji hana uwezo wakumuhoji mambo mengi mzee wetu huyo Rubani mstaafu

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth46522 жыл бұрын

    Mwandishi tulia kidogo, mpe muda ajieleze

  • @abbasirovya6118
    @abbasirovya61182 жыл бұрын

    Shida mwandishi hauna weledi wa kazi yako kiasi cha kutosha. Ukiwasikiliza ni mnarap kama MC's wa kwenye sherehe wakati upo kwenye interview na mtu muhimu sana. Mwajiri jaribu kufanyia kazi comments jitahidi kuwajengea uwezo watumishi wako, kuna mapungufu mengi sana. Kwa nia njema tunataka vijana wenu wawe bora zaidi.

  • @one2tell508

    @one2tell508

    2 жыл бұрын

    Shukran kama umeliona hilo, yaaan mwandishi kama yupo sebleni na familia yake ni hovyo sana.

  • @christopherpaulo9490
    @christopherpaulo94902 жыл бұрын

    Safi mzee

  • @bojobunton7138
    @bojobunton71382 жыл бұрын

    Mwadishi anauliza maswali kwa utashi wake binafsi, aulizi maswali ya msingi au kufuata utaratibu unaotakiwa, anamkosea heshima mzee,kwa kumbandika swal kabla hajamaliza

  • @annabadru2352
    @annabadru23522 жыл бұрын

    Rubani mzuri sn

  • @MrBm-369
    @MrBm-3692 жыл бұрын

    Big up kubwa sana kwenu global tv hapo bado serikali 2

  • @eligiusvitalis3504
    @eligiusvitalis35042 жыл бұрын

    Jamaa anauliza Maswali mno hadi anamtoa kwenye mazungumzo maalum

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu2 жыл бұрын

    GLOBAL TV Online, tafadhalini muyazingatie malalamiko ya watoa comments za watazamaji. Malamiko yao yanamuelekea muhoji maswali. Naomba mumrekebishe asiwe na tabia ya chura

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529Ай бұрын

    Ni mwaka 1982,na ilitekwa ilikuwa mwanza ilikuwa inaelekea London lkn llitua nairobi kujaza mafuta

  • @irinirinnariss2864
    @irinirinnariss28642 жыл бұрын

    Uko vizur

  • @one2tell508
    @one2tell5082 жыл бұрын

    Mwandishi mpuuzi sana hajui hata kuhoji, sijui maswali ya hovyo anayatoa wapi

  • @horacemnyasa5400
    @horacemnyasa54002 жыл бұрын

    ✈️✈️❤️❤️✈️✈️

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS2 жыл бұрын

    Kwel mzee yuko wap

  • @frankmgunjimgunji9261
    @frankmgunjimgunji92612 жыл бұрын

    Mtangazi ges unajifanya unajuw nyoooooo

  • @josephbonday8510
    @josephbonday85102 жыл бұрын

    Lol,Babu ULIPAMBANA sana kumbe..🤸💪

  • @mhebhoamoskisimple2095
    @mhebhoamoskisimple20952 жыл бұрын

    Naomba kupata part tu yake plz 🙏.mnitag ili niipate

  • @aliomari1439
    @aliomari14392 жыл бұрын

    Sauti

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani19482 жыл бұрын

    Mwandishi kiazi sanaa,,,, kwanini hataki kutulia utafikiri anamuhoji mke wake sebuleni mapepe kibao swali juu ya swali ndio nini ht haachi mwenye anamuhoji akajieleza vizur,,, Angekua Millard mbona tungefurahi sana

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala53072 жыл бұрын

    Jifunze kuuliza maswali ya maana siyo ya joking

  • @netlity5532
    @netlity55322 жыл бұрын

    Kaka mtangazaji umezingua hapa, huyu Mzee alikuwa na mengi ya kuongea kudadeek

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77092 жыл бұрын

    Na tuliotekwa mtuhoji basi mbona tupo!

  • @deneagrofarms5884

    @deneagrofarms5884

    2 жыл бұрын

    Wewe ulikuwa abiria enzi hizo🤣🤣🤣

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    2 жыл бұрын

    @@deneagrofarms5884 ndiyo nikitoka mwanzo nikafika mpaka Athens na mateso yote tulipata

  • @deneagrofarms5884

    @deneagrofarms5884

    2 жыл бұрын

    @@fatmaabdallah7709 🤣🤣🤣🤣

  • @jameskyando178
    @jameskyando1789 ай бұрын

    Kagera war ilikua mwaka gan??? Sijamwelewa pilot apo kasema 1971??

  • @azizaj776
    @azizaj7762 жыл бұрын

    Siyo mwaka 1988 ilikuwa kati ya mwaka 1982 - 1983

  • @fouardsomi1528
    @fouardsomi15282 жыл бұрын

    Mwandishi next time jipange before kumropokea msomi kiasi iki

  • @sigifridaloyce7116
    @sigifridaloyce7116 Жыл бұрын

    hatare

  • @khadijaali1168
    @khadijaali11682 жыл бұрын

    Mtangazaji hampi nafasi yakuelezea vizuri anamkatisha ty na maswali akianza kuelezea tu anampiga swali lingine 😃😃😃😃😃😃😃

  • @sifuelmamuya457
    @sifuelmamuya4572 жыл бұрын

    milad ayo amtafute huyu amuhoji kwa ustadi mzuri huyu mwandishi ni kiaziiii

  • @d.a.t3383
    @d.a.t33832 жыл бұрын

    Galway mwanafunzi wa baba Mwl Aloisi Ravasco Maisaka

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid88952 жыл бұрын

    Wewe muandishi una kiherere

  • @janegeogre3234
    @janegeogre32342 жыл бұрын

    we mtangazaji mbona kenge ivoooo??... hujui kuhoji kilaza wewe!

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu25812 жыл бұрын

    .

  • @momoyusufu3424
    @momoyusufu34242 жыл бұрын

    weee mtangazaji unaboa sana badala ya kumuacha mzee aongee wee ndio maswali kibao unamkatisha sana mzee,mpaka hata yeye anakushangaa next time jiangalie.

  • @AsiaMkusa
    @AsiaMkusa2 жыл бұрын

    Ebu hii stori irudiwe mwandishi anatuangusha Af Galway ana madini mengi sana irudiwe irudiwe irudiwe

  • @benjaminibirama6664
    @benjaminibirama66642 жыл бұрын

    Inchi imetoka mbari

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    2 жыл бұрын

    “ Nchi imetoka mbali” 😊

  • @glorydenis5111
    @glorydenis51112 жыл бұрын

    ninyi global punguzeni sauti mwanzo wa matangazo yenu

  • @robertmosha6801
    @robertmosha68017 ай бұрын

    Mwandishi deshii unakosa detail muhimu..infantry unajua ni nini

  • @angelkapimba2434
    @angelkapimba24342 жыл бұрын

    mtangazaji hajatulia kabisa, babu hajamaliza kuongea kabandika swali. atulie kaka mtangazaji

  • @maftahanachumatv7017
    @maftahanachumatv70172 жыл бұрын

    Mtangazaji unaharaka ya kuuliza kabla hajajibu vizuri swali unamuuliza lingine ! Jitahidi kutulia akijibu

  • @josephmandelapenet4587
    @josephmandelapenet45872 жыл бұрын

    MillardAyo mtafute huyu mzee mana hawa jamaa wameharibu interview hii.

  • @bigjizee4130
    @bigjizee41302 жыл бұрын

    Mwandishi Bogus kabisa, hata hakuna consistent ya interview

  • @hasyno9805
    @hasyno98052 жыл бұрын

    Akielezea kitu muache aeleze unaturudisha nyuma mtangazaji

  • @omarmkendwa1254
    @omarmkendwa12542 жыл бұрын

    Dah Naikumbuka hiyo siku na watekaji nawafahamu maana hao watekaji walikuja mitaani kwetu

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    Ай бұрын

    🤔

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu25812 жыл бұрын

    Muandishi una boa ndio tatizo la waandishi vilaza mzee ana madini mengi sana lakini uwezo wako wakuhoji mdogo umeharibu interview idea ni nzuri but poor credibility

  • @benntanga2966
    @benntanga29662 жыл бұрын

    Huyo Rubani nafahamu tulikuwa naye jeshini kikosi cha Anga.

  • @peterandrew2795
    @peterandrew27952 жыл бұрын

    Baba lawo'' lari

  • @franciskibay8948

    @franciskibay8948

    2 жыл бұрын

    Babu Janjaaa

  • @TheKigosi
    @TheKigosi2 жыл бұрын

    Mwandishi ana haraka mno

  • @mussakamando2678
    @mussakamando26782 жыл бұрын

    Mwandishi ameharibu mahojiano kwa kuuliza maswali ambayo sisi watazamaji anataka tumwone anajua masuala ya ndege.🤣🤣🤣🤣 Huu ni ujinga kabisa. Kama na yeye anataka jamii imwone anaijua aviation industry au ijue kuwa ameshapanda ndege mara nyingi atafute chombo cha habari kimuhoji ili ajibu ili tumwone ameshapanda sana ndege....😒😒😒

Келесі