PART 1: RUBANI MSTAAFU GALWAY ASIMULIA MKASA WA 1988, NDEGE YA TANZANIA ILIVYOTEKWA WAKIWA ANGANI..
PART 1: RUBANI MSTAAFU GALWAY ASIMULIA MKASA WA 1988, NDEGE YA TANZANIA ILIVYOTEKWA WAKIWA ANGANI..
Hii ni stoti ya kusisimu ya Rubani Mstaafu Galway Galway Aelizaliwa 1950 huko Vijijini Kabisa Mkoani Manyara Kipindi hicho uliitwa mkoa wa Arusha akiwa Mtoto kutoka katika familia ya kifugaji alienda peku shuleni bila viatu lengo lake likiwa kuwa Rubani tu wakati watoto wengi wao walikataa shule na kulilia kwenda Kuchunga Ng'ombe na Mbuzi.
Alitolewa Jeshini na Mwalimu Nyerere miaka ya 70 na Kupewa Usukani wa Ndege baada ya marubani Wengine kugomea Mishahara kwa kudai ni Midogo.karibu kwenye the Unique story utafaamu jinsi ndege aliyokuwa akiiendesha ilivyotekwa 1988 na vijana wa Kitanzania akiwa Angani.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 66
Askofu Methodius Kilaini anaweza kusimulia vizuri mkasa huu...alikuwa mhanga wa tukio
Hii story wangehoji SIMULIZI ZONE ingekuwa safi sana
Ayo mtafute huyu mzee atupe elimu. Anahistoria nzuri sana kwa kizazi Cha sasa
Safi sana mzee
Hii srory angehojiwa na TIK TV ingenoga sana. Jamaa wanajua kuendesha mahojiano sana.....
Mzee anajua kusimulia vzur sana. Na mike alitakiwa awe nayo yeye sabab yeye ndo aliebeba kipindi sasa ilo jama sijui alijui linamkatisha..irudiwe na millad ayo
Asante mpiganaji Capt. Galwei.
Mashallah, hongera sana Babu
Uyo mzee ana story nyingi sana mwandishi unamkatisha
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
True
@geofreyshaurimoyo5918
2 жыл бұрын
Mtangazaji hana uwezo wakumuhoji mambo mengi mzee wetu huyo Rubani mstaafu
Mwandishi tulia kidogo, mpe muda ajieleze
Shida mwandishi hauna weledi wa kazi yako kiasi cha kutosha. Ukiwasikiliza ni mnarap kama MC's wa kwenye sherehe wakati upo kwenye interview na mtu muhimu sana. Mwajiri jaribu kufanyia kazi comments jitahidi kuwajengea uwezo watumishi wako, kuna mapungufu mengi sana. Kwa nia njema tunataka vijana wenu wawe bora zaidi.
@one2tell508
2 жыл бұрын
Shukran kama umeliona hilo, yaaan mwandishi kama yupo sebleni na familia yake ni hovyo sana.
Safi mzee
Mwadishi anauliza maswali kwa utashi wake binafsi, aulizi maswali ya msingi au kufuata utaratibu unaotakiwa, anamkosea heshima mzee,kwa kumbandika swal kabla hajamaliza
Rubani mzuri sn
Big up kubwa sana kwenu global tv hapo bado serikali 2
Jamaa anauliza Maswali mno hadi anamtoa kwenye mazungumzo maalum
GLOBAL TV Online, tafadhalini muyazingatie malalamiko ya watoa comments za watazamaji. Malamiko yao yanamuelekea muhoji maswali. Naomba mumrekebishe asiwe na tabia ya chura
Ni mwaka 1982,na ilitekwa ilikuwa mwanza ilikuwa inaelekea London lkn llitua nairobi kujaza mafuta
Uko vizur
Mwandishi mpuuzi sana hajui hata kuhoji, sijui maswali ya hovyo anayatoa wapi
✈️✈️❤️❤️✈️✈️
Kwel mzee yuko wap
Mtangazi ges unajifanya unajuw nyoooooo
Lol,Babu ULIPAMBANA sana kumbe..🤸💪
Naomba kupata part tu yake plz 🙏.mnitag ili niipate
Sauti
Mwandishi kiazi sanaa,,,, kwanini hataki kutulia utafikiri anamuhoji mke wake sebuleni mapepe kibao swali juu ya swali ndio nini ht haachi mwenye anamuhoji akajieleza vizur,,, Angekua Millard mbona tungefurahi sana
Jifunze kuuliza maswali ya maana siyo ya joking
Kaka mtangazaji umezingua hapa, huyu Mzee alikuwa na mengi ya kuongea kudadeek
Na tuliotekwa mtuhoji basi mbona tupo!
@deneagrofarms5884
2 жыл бұрын
Wewe ulikuwa abiria enzi hizo🤣🤣🤣
@fatmaabdallah7709
2 жыл бұрын
@@deneagrofarms5884 ndiyo nikitoka mwanzo nikafika mpaka Athens na mateso yote tulipata
@deneagrofarms5884
2 жыл бұрын
@@fatmaabdallah7709 🤣🤣🤣🤣
Kagera war ilikua mwaka gan??? Sijamwelewa pilot apo kasema 1971??
Siyo mwaka 1988 ilikuwa kati ya mwaka 1982 - 1983
Mwandishi next time jipange before kumropokea msomi kiasi iki
hatare
Mtangazaji hampi nafasi yakuelezea vizuri anamkatisha ty na maswali akianza kuelezea tu anampiga swali lingine 😃😃😃😃😃😃😃
milad ayo amtafute huyu amuhoji kwa ustadi mzuri huyu mwandishi ni kiaziiii
Galway mwanafunzi wa baba Mwl Aloisi Ravasco Maisaka
Wewe muandishi una kiherere
we mtangazaji mbona kenge ivoooo??... hujui kuhoji kilaza wewe!
.
weee mtangazaji unaboa sana badala ya kumuacha mzee aongee wee ndio maswali kibao unamkatisha sana mzee,mpaka hata yeye anakushangaa next time jiangalie.
Ebu hii stori irudiwe mwandishi anatuangusha Af Galway ana madini mengi sana irudiwe irudiwe irudiwe
Inchi imetoka mbari
@gooddeeds162
2 жыл бұрын
“ Nchi imetoka mbali” 😊
ninyi global punguzeni sauti mwanzo wa matangazo yenu
Mwandishi deshii unakosa detail muhimu..infantry unajua ni nini
mtangazaji hajatulia kabisa, babu hajamaliza kuongea kabandika swali. atulie kaka mtangazaji
Mtangazaji unaharaka ya kuuliza kabla hajajibu vizuri swali unamuuliza lingine ! Jitahidi kutulia akijibu
MillardAyo mtafute huyu mzee mana hawa jamaa wameharibu interview hii.
Mwandishi Bogus kabisa, hata hakuna consistent ya interview
Akielezea kitu muache aeleze unaturudisha nyuma mtangazaji
Dah Naikumbuka hiyo siku na watekaji nawafahamu maana hao watekaji walikuja mitaani kwetu
@masalakulwa7601
Ай бұрын
🤔
Muandishi una boa ndio tatizo la waandishi vilaza mzee ana madini mengi sana lakini uwezo wako wakuhoji mdogo umeharibu interview idea ni nzuri but poor credibility
Huyo Rubani nafahamu tulikuwa naye jeshini kikosi cha Anga.
Baba lawo'' lari
@franciskibay8948
2 жыл бұрын
Babu Janjaaa
Mwandishi ana haraka mno
Mwandishi ameharibu mahojiano kwa kuuliza maswali ambayo sisi watazamaji anataka tumwone anajua masuala ya ndege.🤣🤣🤣🤣 Huu ni ujinga kabisa. Kama na yeye anataka jamii imwone anaijua aviation industry au ijue kuwa ameshapanda ndege mara nyingi atafute chombo cha habari kimuhoji ili ajibu ili tumwone ameshapanda sana ndege....😒😒😒