Келесі
- 14:04
- 4,8 МЛН
- 00:22
- 6 МЛН
- 7 күн бұрын
- 00:21
- 5 МЛН
- 13 күн бұрын
- 00:12
- 21 МЛН
- 15 күн бұрын
- 00:20
- 19 МЛН
- 19 күн бұрын
- 30:06
- 4,5 МЛН
- 50:37
- 575 М.
- 21:14
- 1,9 МЛН
- 44:56
- 176 М.
- 0:45
- 7 МЛН
- 0:36
- 30 МЛН
- 1:00
- 7 МЛН
- 0:54
- 15 МЛН
- 0:19
- 2,3 МЛН
- 0:31
- 8 МЛН
Пікірлер: 802
Asanite kwa mheshimiwa Marehem Kwa kusimama na MUNGU siku sake zote akiwa Raise wa inichi. MUNGU yuko nae huko alitangulia Amen 🙏❤️🙏❤️ you
Rip baba wewe ulikuwa msada Kwa wengi nikiona venye ulikua unasaidia bila ubaguzi kwakweli umeacha pengo Tanzania ambalo hakuna atakaye liziba 😭😭😭 am from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@samwelilaizer8609
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 hakika utakumbukwa milele
Nime lia kwasababu alikufa wakati yupo kwa mikakati yakutaka kusaidia Congo🇨🇩 , aka acha akisema tu kwamba sisi wa Congomani tupo wa ndugu nawa tanzania🇹🇿❤️
@felisterjonathan7638
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙏
Huyu ndie Raisi Africa ambae nilimutambua ,aendelee kupumuzika Kwa Amani.🇰🇪🇰🇪
Magufuli tutaku miss baba yetu kipenzi. Nilikupenda sana upeo. Pumzika kwa amani baba yangu. Ameen. Wote tuko njiani.
@LowassaKipara
3 ай бұрын
🎉😢 2:00
@DavidHubert-pw5lg
Ай бұрын
rest in peace
@Alephideli
14 күн бұрын
W
R.I.P. BABA, TUNAKUOMBEA UPUMZIKE SALAMA UKO ULIKO, NASI TUTAKUJA, ILI KWA PAMPJA TUMLAKI BWANA YESU MAWINGINI!! AMEEN
@salomewandya7257
Жыл бұрын
🙏🙏
KWA HILO NAGUFULI ULIISHINDA DUNIAA, NA INAKUHESHIMU SANAA. MAANA BAADA YA MUDA MFUPI MPAKA WAZUNGU WOTE NAO WAKAACHANA NA CARANTIINI ZAO. LAKINI HAYO YALIKUWA NI MAONO YAKO MAGUFULI.
Bba yetu hakika wew ulikuwa jembe la watanzania htutapta kiongozi kma wew mungu akupumzishe kwa aman
@user-cj2nl3lr2u
2 ай бұрын
Mungu hawez kkuacha hko ulipo akupe maisha ya milele...cku ikipendezwa tutakaa pamoja na kufrahi pamoja mungu muangazie mwanga wa milele
Mungu akupumzishe baba, umetutoa gizani ingawa kinachoendelea sasa hapa tz, sijui ndolaana!!.
Banana mungu wa mbinguni akulaze mahali pema.mungu awakumbuke uzao walk daima
Huyu ndie raiAfrica ambae❤❤❤❤ Amazing and🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sawa na zaburi 109 Mungu tunaomba usinyamaze juu ya hao waliohusika na huu baba
May you continue resting in peace Rais magufuli, you listened your electorate and help ed them solve problems without favouring the rich. Be blessed abundantly
Tutakukumbuka mirere jemedar magu turkupenda rakni mungu kakupenda zaid ustarehe kwaamani ameni
Rip african legend.How u loved ua electorates; visited them, heard their tribulations and sorted them head-on; delights my heart tremendously.May the rest of African leaders emulate this.❤ from 🇰🇪
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele
Mtetezi wa nyonge hatuwezi kukusahau mzee continue resting in power😭😭😭😭 watching from kenya
Dkt John P Magufuli. May his soul Rest In Peace. He lives in our minds, I loved and I still loving his comments!!! From Moz, 🇲🇿❤️🇲🇿❤️🇲🇿❤️
@user-mm1fu2uo1h
8 ай бұрын
Xxxx videoss
Hakika umeacha pengo kubwa sana ktk Nchi yetu ya Tz, Baba,tunakukumbuka kwa mengi sana kipenzi chetu. Mungu akupokee ktk nuru ya USO wake, na utuombee nasi tuufikie Uzima huo wa milele. Aminaa.
@meysampaul
2 ай бұрын
mteteziwawa nyonge ulalesalam
Baba magufuli pumuzika kwa amani tulikupenda sana na mungu akakupenda zaidi
May your soul continue rest internal peace baba pombe magufuri, mahari tumefika tuna kumbuka neno lako kwa uzuli si kwa ubaya
Acha hbr za maneno ya Kuambiwa mzee Muache mzee wetu wetu apumzke
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI AMINA.
Namkumbuka sana huyu mwamba JPM! Mwenyezi mungu ailaze mahala pema pe
@NamakoyeMadina
2 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Namkumbuka magufuli Munguakupe Kaulisabti magufuliwetu
Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi, sijawahi kona raisi kama wewe mpaka mwisho wa dunia hii hata kuwepo maana jina la Mungu ulilitumia sana kwenye mipango yako yote Mungu aipokeye nafsi yako kwa amani
Rest in eternal peace the second father of our Nation,,, we will miss you dady🙏🙏🙏🙏🙏
@JamesNaftary
4 ай бұрын
Amina kubwa
Enyewe mungu umemchukuwa raisi mwaminifu, uzidi kumweka mahala pema peponi. Hakuna raisi Kama huyu duniani hapa😭😭😭😭
Mungu akulaze mahala pema pepon baba magufuli. Amina
Hatukuoni ila tunashindw kukusahau Ewe yesu kristo wa Nazaleth ulie mfufua lazaro mkumbuke kipenzi chetu rais wa wa nyonge bado tunakulilia
Hapa alikuwa ameanza kuumwa jmn,na msiba wa kijazi ulimuumiza sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭RIP baba
Huyu mwamba alikuwa jiwe hasa. Kipindi balozi Kijazi alikufa corona ndo iko peak times..lakini hakuna mteule wake aliyevaa barakoa.. JPM aliishi maneno yake.. R.I.P kiongozi wetu
@jastinesamboto4674
Жыл бұрын
Mbona kafa Sasa kama alikuwa jiwe?
Endelea kupumzika kwa Amani baba, hakika sitakusahau milele
ASANTE SANAAAAAAAAAAA 💪 mzee umetuachia urithi wa maneno na tunayafata kama 2pac vile🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwanini mungu anaacha watu wenyelohombaya waishi alafu watuwemakama wewe magufuli wanakufahalakaa duuuuu cjui nichaguwelipi kati yakuwa kama magufuli au niwe nalohoo mbaya makatili wanaishisana duuuuu🙏🙆
Ktk Maisha ya mwanadam yoyote anae ishi chini ya jua hakuna kitu kizur Kama kuishi vzr hata mng mwenyewe anapenda Hadi raahaa ,,yeemweee,,,
Tutakukumbuka daima 😭😭😭😭😭Hadi kesho tutaendelea kuumia Sana
@msafirimkude2688
Жыл бұрын
Tutakukmbuka Daima Manatulikua Bd Tunakupenda👋👋👋
@KZ2L2lzQyvl
Жыл бұрын
Subscribe
@user-gu6dk6tk5p
Жыл бұрын
🤗😂😍
mabeberu na majizi ya mali za afrika hayataki kabisa kuona kiongozi kama huyu yanapanga njama za kumuua haraka sana,yalimuua mzee wetu Gadaff,Mzee Thomas Sankara na Magufuli, walidhani wanamzuia Gadaff sasa BRICS inataka toa sarafu ya kuishinda dola,walizani wamemshinda Sankara sasa yuko kijana Ibrahim hatari sana na tz patakuwa sawa tu kwa ukuu wa Mungu wa waafrika aliye uweka utajiri wote afrika
Yaaan daaaaah kwel chuma kimeanguka nchi hii inayumba yumba tu Kila sehem tozo watu bidhaa wanajipangia pangia Bei tu mitandao ndio usiseme
@elizabethpetro1258
Жыл бұрын
Usisahsu makato ya kutoa pesa kwenye benk na cm Ni balaa tupu
RIP MAGUFULI MY PRESIDENT,,Never forgettable
R.I.P Magufuli may God put your soul in enternal peace ☮️
@salomejuma5672
Жыл бұрын
R,I,P 😭.baba Magufuli , love my
@mosesekales8233
Жыл бұрын
Moses
@mandachezi5604
Жыл бұрын
arikiba
@Filbet
9 ай бұрын
Valelia😢
I love you my dady even if you dead but still remember forever 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Utakumbukwa daima baba i mc u Mungu akulaze mahali pema peponi Amina
Mama Janeth Magufuli Mungu akutie nguvu akupe uvumilivu kwa baba yetu mpendwa kutuacha najua inauma sana ni pengo kwa taifa kwa ujumla 😢...... Mungu atuwezeshe watanzania kwa ujumla Amina❤❤❤❤
Mungu ailaze roho ajali pema mbinguni
Magufuli mpendwa wetu,binafsi naamini maneno yako yanaishi.Duuh nyie huyu baba R.I.P a man of God who lead Tanzania,😭😭😭💔💔
Mungu akupe pumziko la milele
Kweli yako hakuna linalo kufika mbaka mungu atake nice one, mungu atakusamehe
président pumuzika ❤ 🙏.umeenda kama haunashida na DRC .mama suluhu mungu akupe nguvu. niwewe unajaribu sikiliza shida za wacongomani katika viongozi mbalimbali asante.❤🇨🇩🌹💪
MUNGU Ndiye Muweza! Asante baba JPM.
Unforgettable president dear Tanzanians
Huyu Mzee Tanzania na Africa nzima hatasahaulika alikuwa mwamba na nguzo muhimu Kwa wengi
Mungu akulaze mahali pema peponi Ndugu yetu kipenzii sana;. Maana wewe ulikuwa kiongonzi wa kweli uliyeteuliwa na Mungu wetu mkuu.
Tutakukumbuka daima kwa maneno yako mazuri baba .tutakulia daimma I
Tanzania yetu sote wapo wanao Seema yao ila watapita ns wataiacha
Mungu akutangulie miss you presedent magu
mungu akulaze mahal pema baba yetu
Baba sina neno mm ,😭😭😭😭
Mungu akuweke mahalipema zaidi amin
Nimeipenda
Mungu amlaze mahalapema peponi. Amin. Mbeleyake nyuma yetu
Inatia huruma kwajembe kama hiring mmungu amrehemu mtu huyu kwani hakua naatia kabisa nimeamini siku zone msema kweri huchukiwa
I wish😢 we could have a president like this
RIP Mr John Joseph Pombe Magufuri( )
Rip from 254 Kenya
Pole baba Mungu anajua mwanadamu hawezi
Alivyomalizia '...na sisi tupo njiani,tunakuja..'
Duhuu vizuliuwa avidum mungu akulaze mahalipema
Laha ya milele umupe we beans na mwanga wa milele umuangazie apumuzike kwa amani ,amina
Utaendelea kuwa kiongozi Bora , shupavu katika Tanzania Wala hatutakusahau kamwe baba yetu
Huyu baba c alikuwa malika gabriel kabisa jaman😭😭I mc u ddy.ila mbn kwa mama uchumi umeshuka 😢 mambo yameenda hobelahobela ndan ya muda mfupi sn jm.MUNGU TUPIGANIE WATANGANYIKA JMN HALI YETU INAZID KIELEKEA KULE MAHAL NYE HERE ALITUTOA
Jp ungekuwepo mpaka leo hii nchi yetu ingekua Mbal sana duh binadam Wabaya mh nitazid kukuombea magu
Baba ulisema tutakukumbuka kwa yale ulioyoyaongea sasa wanyoge ndio tutakukumbuka kwa yale ulioyoyaongea mungu hakulaze mahara pema peponi hamina
🇨🇩 We love you so much I am always proud of you go well Papa
I love this man. He is a true leader. God bless his soul!
@kassimchuo5290
Жыл бұрын
Aaaamin thumma aaaamin
@faustineluyange5945
Жыл бұрын
Gllklljllllshĺslkjslhls
@faustineluyange5945
Жыл бұрын
@@kassimchuo5290 slaklk
@faustineluyange5945
Жыл бұрын
Ksslk
@faustineluyange5945
Жыл бұрын
@@kassimchuo5290 ks
R.l.P. baba nakuombea mungu akupumzishe salama tuko nyumba yako baba
Magafuli alikuwa prezoo mazuri Baraza la Africa mzina😭😭
Duu Mungu akupumzishe kwamani 😭😭
Hakika alikuwa mkombozi wa nchi yetu japo hatukulitambua hili, Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. Amina
Unajua mtu mwenye wito wa uongozi huwa anaonekana tu hyo ndo alikuwa Kiongozi sasa but for now tunaendesha tu R.I.P JPM 😭😭😭😭
Rest in peace baba Magu. My hero muombaji Mungu wa Kweli bila kusita. +254
Mungu amlaze Mahala pema amin
Magufuli .mungu akuweke mahali pema roho ingali inao ngoza. Afrika nzima ,mkenya
@AntidiusWilliam
9 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika ni Nani atakae tufuta machozi sisi pia tunakuenzi vip mzee wetu mbona umetuacha papaya mamma hii
Mungu akulaze mahali pema peponi
Huyu ni kiongozi mtetezi wa wanyonge
Mungu yupo tunasimama kwa imani tutakuona kwetu mbinguni.
Pumzika kwa amani raisi wetu John pombe magufuri tulikupenda Sana ulilipenda taifa lako la Tanzania
Tunakukubuka sana baba tutazidi kklilia baba😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
R.I.P dady 😭😭😭😭 forever in my heart 💔💔
Mungu akutunze vizuli laisi wangu
Ulisema nyampande unapajua maji yatafika pumzika Kwa amani maji yapi nyampande ahsante baba
Mung akupunzishe mahali prima pepin amen 😢😢
God akunjalie pumzik la milel heaven.Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭
Mungu ailaze loho yako mahal pema pepon hakika ww ulilitetemesha jiji pamoja tanzania nzima🇹🇿😂😂😂😂😂😂😂oohoooo!
Wewe ni hero milele am from Kenya but you made it continue resting
@ignasimkavagila9488
Жыл бұрын
Kilikuwa chumba Cha pua
Mungu yupo, hakuna kuteseka ukiamini Mungu, hatarinda roho yako na hata watoto ña pia wanjukuukuu, hayavichiki
Hotuba ya kiume. Iliyojaa hekima ,utashi na ujasiri, huyo ni miongoni mwa nguzo imara zilizowahi kuushikilia bara la Africa R.I. P Daddy
May God protect's soul and countiue RIP until we meet again shujaa. 🇰🇪🇰🇪
Pumzika Kwa Amani Rais wetu JPM