Welcome to Super Tamutamu, the super brand Online TV. Our videos are based on comedy, natural home remedies, funny stories and animals. You can also find us on Facebook, Twitter and Instagram with the same name, Super Tamutamu.
We will be offering the highest quality content that you will never find elsewhere. Don't forget to subscribe and to share the links of our videos on other social media.
Keep enjoying!
Пікірлер
nice
Ww makonda mungu agupe kuukumu inci Uwe president
Ongera sana makoda
Usimlinganishe na Magufuli
Mwenyekit haelewi majukumu yake mwizi huyoo
Huyo nimwizii
🇰🇪🇰🇪🇰🇪😢😢😢😢 Heri tungempata sisi Huyu Rais Ee Mungu naomba umlaze mahali pema Rais huyu ❤
Kiongozi mchapa Nazi na mwadrfu hakika tunamfutilia saana alikuwa mwenezi kafanya mazuli sana kwetu watanzania akawa mkuu was mkoa bado mambo yake yanaonekana dunia nzima Arusha oyee tuleteeni makonda Songwe jamani Atunyoshee mafisadi huku. Mpaka tutafka ilimadamu Mungu Anamakusudi na Tanzania
Wenyeviti wengi hawajui kbsa majukumu yao aise
Wenyeviti wa vijiji wanaburuzwa sana hata huku kwetu na hao watendaji ila kinachotakiwa wasomi tuingie kushika hizo nafasi kwa maslahi ya taifa
Tunataka uwe rais unatukuna Sana makonda
Wao waliandika notes kwa weźao sheria ni msumendo
Anauza nchi yetu Hana maana
Makonda wanyoshe baba mupaka waacha rushwa
Hivi ninyi Ni wasafi kiasi gani?! Sasa mbona mmekubaliana na ushauri wake kwamba sukari sasa iagizwe na Serikali badala ya walanguzi wa viwanda
The music which shows counting numbers before the video starting is so annoying. It takes 2 minutes to start the video ? Mnatupotezea muda kwa kweli kusubiri kusikia / kuangalia video. Jaribuni kufupisha please. 🙏🏾
Ni wa KZread dear. Si wetu sisi.
Safi sana tumbua tumbua makonda
ukweli mheshimiwa inafaa kuchukua kijiti cha mzee wewe unafaa, unawafaa watanzania. usihofu amua inawezekana Mwamini Mungu piga kazi.
Mungu wa mbinguni akubariki na aliongezae zaidi na zaidi amen
Unajichanganya Mkuu
Taarifa mbaya kivipi?
Ona wababaishaji wanavo sumbuka saa ukweli ukisha washukia hao wote nivichaka haram serikalini wawakilishi wasio na sifa kazini tumbua hao nnje ya sistim wako waadilifu wengi tu,
Hakika naomba uwe raisi wa jamhuri ya tanzani hata mungu anaona
Will remember you jah man
Njoo tena ngorongoro kutatua kero za wanachi jamani
2030 hutakuwa rais wa Tanzania
😂😂😂
Uko sahihi sana msigwa
Hapo hakuna viongoz .. makonda tusaidie
Hiyo sio sawa akitaja utamponza huyo dada ww makonda tumia akili mate ofeecn
Tundu tafsida inorder to redews the beatanes of wards
Tundu tafsida inorder to redews the beatanes of wards
Nikwel umetenda haki
Father may god give u a long life in your work Amen🙏
I hope you one day will be the president of Tanzania. You will replace our loss president Maghufuli.
This is makonda kwakweli
Nakuombeya uje uwe lais jaman labuda utaikombowa Tanzania
Nile uone
Mh makonda lini utakuja kwetu huku miono yan kuna uvundo wakwendaaaa
Chadema ndie mkombozi wawatazani
Uko vzr dada lete mamboh
Mkuu una Tisha kama upupu tumbua Mafi sadi hao kabisa safi unge hami shiwa Tanga najua tunge ishi kama ulaya makondavmungu akulinde sana broo❤❤
😢
❤❤
Duuh! hakika wewe unafaa katika taifa retu najuwa watu wengine huwa hawataki ukweli lakini nawiwa kusema mungu akuatamie naakupadishe ukupereke dalaja lajuu zaidi
Kila mkoa ikiwa hivi mama hutakua namaswari
Hamjambo ndugu zangu wa tz,nawaombeni kwenye uchaguzi wa uraisi ujao mum mumchague mh..Makonda.
Hon. Gwajima hongera kwa maoni yako yenye tija kwa nchi yetu.
Kumbe hizi tunaona sio hizo tuu husikilizwa, hizi ni zile ngumu!! Hakika Mhshmw Makonda ni jembe la Tanzania, chini ya mama Samia .
❤❤
TMU Mungu azidi kuwatangulia, Mama Samia na uongozi wako wote, Mungu azidi kukutangulia ktk kutupatia wakuu wa mikoa na Wilaya...❤