Uwiiiiiiii...Gwajima AVURUGA na KUTINGISHA Bunge, Duuh! Dunia YAMFUTILIA!!!

Ойын-сауық

Пікірлер: 11

  • @user-lk1wu8cs5c
    @user-lk1wu8cs5c9 күн бұрын

    Asante sana gwajima.

  • @annamariajackson4842
    @annamariajackson48425 күн бұрын

    Hon. Gwajima hongera kwa maoni yako yenye tija kwa nchi yetu.

  • @frankjohn8706
    @frankjohn87069 күн бұрын

    Mtu wa Mungu tatizo haki haki haki serikali hazitendi haki zinalazimisha utulivu na kuuita amani

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing9 күн бұрын

    Hili Bunge halina maana yaani kama hamjui hata maana ya mipango sasa mnafanya nini kelele tu! Hili Bunge lifutwe tu mnapoteza hela ya umma!

  • @johnsonkapira222
    @johnsonkapira2229 күн бұрын

    Haya yote yanahitaji kuwa na Katiba bora ya nchi otherwise huwezi kuwa na hiyo political will.

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    5 күн бұрын

    Katiba bora isingemuweka bungeni huyo msemaji....

  • @CharlesElias-zh5hz
    @CharlesElias-zh5hz9 күн бұрын

    Wabunge wangekuwa kama ww, Tanzania ingekuwa na maendeleo kama Japan, India na Urus.

  • @magotimteki6704
    @magotimteki67049 күн бұрын

    Hayo ndiyo yanasumbua wizara ya Elimu kila mtu anakuja na mioango yake

  • @SadockMlowe
    @SadockMlowe9 күн бұрын

    Hiyo niakili kubwa mno.

  • @ElibarickAllex

    @ElibarickAllex

    9 күн бұрын

  • @sumayasumaya6455

    @sumayasumaya6455

    9 күн бұрын

    Hakika

Келесі