Well done Hakimi kwa kuwahamasisha vijana wetu wawe legend players kama yeye...........hongera Eng. Hersi kwa dhamira chanya ya kupromote soka letu. Hakika hawa vijana wamepata kitu kikubwa sana kwa tukio hili?
@petercostakisoka11 күн бұрын
Kutesa kwa zamu acha na wao walisota sanaa
@nellykira781211 күн бұрын
Hivi Hersi ni Guide wa Hakimi au😂😂😂
@MakameMsafir11 күн бұрын
Kwann isidake😂😂😂 mm mwana yanga ila usidake imenifurahisha
@dullahbatuf922311 күн бұрын
Inapendeza
@mgenikhalfan747111 күн бұрын
Wacha wivu ww nguruwe fc kwa iyo tukusaidieje akiwaona ivo vyura
@davidmziray204811 күн бұрын
Ila yanga wanaharakati nyingi
@devotabashome109011 күн бұрын
Si bora kaviona hivyo vyura...wivu tu
@user-px1gd4de7k11 күн бұрын
Jamaa kaja kufanya utalii nasikia alivyotoka kuangalia wanyama ameona asiyende bila kuona vyura FC. Ana enjoy kuona vyura live na kurukaruka navyo
@naomisambala4041
11 күн бұрын
Sasa kama kawaona simba mbugan kwan kuna ubaya kuja kuwaona na vyura?😂😂😂
@FatmaRajab-ll8gw
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂mahasid utawajua tu duniani😊
@user-px1gd4de7k
11 күн бұрын
Ila vyura janjajanja nyingi walivyosikia Simba imepanda viwango nafasi 6 2024/25 vilabu Bora barani Africa. Wakaona waanze kuzurura iliwapotezee make wao hata 10 hawamo. Na kutafuta watalii wakupiga nao picha ili mradi nao waonekane wako duniani. Vilabu vyote ambavyo vimejihakikishia kuwa ndani ya 10 Bora havina mihemuko namba tu ndio zinazoongea
@allytwalib7787
11 күн бұрын
mipasho ya kike hii
@IkoUwasi-it6qy
11 күн бұрын
unateseka na nini nafasi ya sita klabu bingwa msimu huu haupo @@user-px1gd4de7k
@dundoonlinesingeli10 күн бұрын
hawakabiii eti ahaaaaaaaa wanamuogopaaaaa
@RamadhanMussa-xt4qz10 күн бұрын
Ina pendeza sana
@user-ce1ps5hy4f11 күн бұрын
Refa unapulizaje kipenga hiyo kama wauza mitumba ilala boma 😂😂
@jonathankisingi107010 күн бұрын
Et usidake.....
@user-qy4vk2qp9t11 күн бұрын
Mala avunjike mguu 😂
@user-nl3fk6it3e11 күн бұрын
Achen wivu nyie mikia fc
@kanoleausi420411 күн бұрын
kwa Nini wasimkabe😂
@johnmwakila2067
11 күн бұрын
Penda sana rais wetu
@jumannechibaladya622311 күн бұрын
Eti usidakeeeeeeeee ....haya machizi kweli Kama mlikuwa hamtaki adake si mngeacha goli wazii
Пікірлер: 30
Well done Hakimi kwa kuwahamasisha vijana wetu wawe legend players kama yeye...........hongera Eng. Hersi kwa dhamira chanya ya kupromote soka letu. Hakika hawa vijana wamepata kitu kikubwa sana kwa tukio hili?
Kutesa kwa zamu acha na wao walisota sanaa
Hivi Hersi ni Guide wa Hakimi au😂😂😂
Kwann isidake😂😂😂 mm mwana yanga ila usidake imenifurahisha
Inapendeza
Wacha wivu ww nguruwe fc kwa iyo tukusaidieje akiwaona ivo vyura
Ila yanga wanaharakati nyingi
Si bora kaviona hivyo vyura...wivu tu
Jamaa kaja kufanya utalii nasikia alivyotoka kuangalia wanyama ameona asiyende bila kuona vyura FC. Ana enjoy kuona vyura live na kurukaruka navyo
@naomisambala4041
11 күн бұрын
Sasa kama kawaona simba mbugan kwan kuna ubaya kuja kuwaona na vyura?😂😂😂
@FatmaRajab-ll8gw
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂mahasid utawajua tu duniani😊
@user-px1gd4de7k
11 күн бұрын
Ila vyura janjajanja nyingi walivyosikia Simba imepanda viwango nafasi 6 2024/25 vilabu Bora barani Africa. Wakaona waanze kuzurura iliwapotezee make wao hata 10 hawamo. Na kutafuta watalii wakupiga nao picha ili mradi nao waonekane wako duniani. Vilabu vyote ambavyo vimejihakikishia kuwa ndani ya 10 Bora havina mihemuko namba tu ndio zinazoongea
@allytwalib7787
11 күн бұрын
mipasho ya kike hii
@IkoUwasi-it6qy
11 күн бұрын
unateseka na nini nafasi ya sita klabu bingwa msimu huu haupo @@user-px1gd4de7k
hawakabiii eti ahaaaaaaaa wanamuogopaaaaa
Ina pendeza sana
Refa unapulizaje kipenga hiyo kama wauza mitumba ilala boma 😂😂
Et usidake.....
Mala avunjike mguu 😂
Achen wivu nyie mikia fc
kwa Nini wasimkabe😂
@johnmwakila2067
11 күн бұрын
Penda sana rais wetu
Eti usidakeeeeeeeee ....haya machizi kweli Kama mlikuwa hamtaki adake si mngeacha goli wazii