ENG. HERSI AMVUTA HAKIMI WA PSG KWENYE SHUGHULI YA YANGA |YANGA NA HAKIMI FOUNDATION KUTOA MISAADA..

Спорт

Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv

Пікірлер: 26

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb25 күн бұрын

    Jamani Hadi raha kwaweli acha MUNGU awape watu wengi uelewa na ufahamu wa kuweza kufanya mambo makubwa na ya manufaa .. hongera sana eng hersi pamoja na jopo lako mbarikiwe sanaaaaaa viva !!!! ❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi27925 күн бұрын

    safi saan rais wetu

  • @abdelhakdihaji4909
    @abdelhakdihaji49099 күн бұрын

    الله.ينسرك.على.دينك.يحكيمي.عزيزعلى.قلوبنى

  • @barakamjinja2153
    @barakamjinja215325 күн бұрын

    Safi sana

  • @TamazirtTa
    @TamazirtTa10 күн бұрын

    Se comsa les houme de fetuer viva afreka

  • @user-ep4cd4fe1w
    @user-ep4cd4fe1w25 күн бұрын

    Hana hata muda nae dah nyie

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754325 күн бұрын

    TUACHE UONGO INJINIA HENSI NI BORA SANA KWENYE MIPANGO YA TIMU. HONGERA SANA

  • @AbasiRashid-z8p
    @AbasiRashid-z8p25 күн бұрын

    Nani mshamba

  • @AbasiRashid-z8p
    @AbasiRashid-z8p25 күн бұрын

    Nani limbukeni

  • @VaiEliass
    @VaiEliass25 күн бұрын

    Kimekuuma mtoto wa mangungu

  • @user-ov6gd7fy4j
    @user-ov6gd7fy4j25 күн бұрын

    Wangap wamemuona uyo dada wakiiind baada yakumuona hakimi kazifumua nywele

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn25 күн бұрын

    Mnapendg kujikuza ninyi vyura..

  • @Anuarmustafa4128

    @Anuarmustafa4128

    25 күн бұрын

    Hahahahahaaaaaaaaa roho zinawauma mikia

  • @raymondmilanzi
    @raymondmilanzi25 күн бұрын

    Ulimbukeni na ushambaaa tu

  • @user-fj3jt1bt4l

    @user-fj3jt1bt4l

    25 күн бұрын

    Ww ni pimbi ushabiki mpaka kwenye maendeleo

  • @buumoko375

    @buumoko375

    25 күн бұрын

    Bado hujasema jobe mpaka useme

  • @happinessmwisse1152

    @happinessmwisse1152

    25 күн бұрын

    Bado unasema mpaka Ute ma

  • @hamidabakari-cs5sk

    @hamidabakari-cs5sk

    25 күн бұрын

    Kama ww usiye muelewa

  • @Anuarmustafa4128

    @Anuarmustafa4128

    25 күн бұрын

    Bado hamjasema mpaka mkojowe

  • @malietamaliet
    @malietamaliet25 күн бұрын

    Makolo wanasikia uchungu gungu best wake yeye ni waganga

  • @mahmoudhamisi673

    @mahmoudhamisi673

    25 күн бұрын

    Acha ushamba wewe

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    25 күн бұрын

    Ingeniuma kama ningesikia Yanga inajengewa viwanja, Academy, kupewa Ndege na kufanya mazoezi yao Uingereza uwanja wa Wembley. Mbali na hapo ni ushuzi unajamba upepo ukipita mko palepale😂😂😂

  • @malietamaliet

    @malietamaliet

    24 күн бұрын

    @@GibsonNtamamilo kama aijakuuma hii ama ujafurahishwa na alichokifanya bhs tofaut Yako na ng'ombe ni namna ya kutembea tu

  • @AbasiRashid-z8p
    @AbasiRashid-z8p25 күн бұрын

    Nani mshamba

  • @AbasiRashid-z8p
    @AbasiRashid-z8p25 күн бұрын

    Nani mshamba

Келесі