Asante eng.Hersi hakika ww ni mfano kwa vjn wenzako kwa kuthamini/kuipenda Tz yetu pia kuunganisha wenye upendo wa kutoa kwa wenye uhitaji,Allah akulipe mema ww pia wazazi wako wawili,Aamin
@chrissantkaunda99582 күн бұрын
Asante kwa kuja Ashraf hakimi
@MNAZARETYTV2 күн бұрын
Wakwanza kabisa,wananchiii💚💛💚💛
@joelmwanje20082 күн бұрын
Uyo ndo Rais wa vilabu vyote Africa 👏
@ChenchiKing2 күн бұрын
Thanks For Coming In Tanzania Achraf We Happy To See Big Player In Tanzania 🇹🇿 Congrats President Ersi💚
@timcee26702 күн бұрын
hapo engineer ana mipngo ya miaka 5 ijayo, hii ni misingi tu
@augustinomkongwa5444
16 сағат бұрын
Haswaaaa anaiona yanga ya 2040
@eliyaomali2 күн бұрын
Asante kututembelea tunashukulu sana
@chazzmgonja40772 күн бұрын
Welcom brother Achraf Hakimi
@hanifamziray2772 күн бұрын
Safiii sn heris una mambo mazuri kwa mama samia
@jacobnduya7982 күн бұрын
Mi Simba lkn Injia kapiga mwingi sana👏
@MomoMaoukilКүн бұрын
Merci achraf hakimi .nous sommes des frères avecc les poubelles tanzanie 👍❤️❤️🇲🇦🇲🇦🇲🇦
@oussamaelmokhtari4733
14 сағат бұрын
Wtf bro!! who are you ?
@azizcherkaoui2135Күн бұрын
👍🏼👍🏼👍🏼Hakimi you make Morocco proud
@Kimweri_tz2 күн бұрын
Engneer the best president ever since everlast
@user-st3es5hu9f2 күн бұрын
Wajua kwa pesa anazovuna anaweza kuwa mdhamini kiasi flan hiv Hakimi😊
@selemanmcharazo10 сағат бұрын
Ila Safi sanaaaa Engineer kwa kuzidi kuitangaza Tanzania na club yetu ulimwenguni itafanya ifike mbali kimafankio ikiwezekana hata kuvutia wadhamini toka nje.
@AmanaAmos-hv3yz2 күн бұрын
Welcome again❤❤❤
@user-gx9jr5le2fКүн бұрын
Yanga wanapenda sifa
@AdyanMbuyu2 күн бұрын
Yani ao makolo awajaona ata kasura cha hakimi wanaishia kusikia bombani🤣🤣🤣
@shaibusaady24202 күн бұрын
Allaah Akbar
@mohamedikassimu70162 күн бұрын
Hii imeenda. Historically
@mariajames55582 күн бұрын
💛💚🧡💛💚🧡 yanga
@ayubumwalunenge49802 күн бұрын
Welcome again...
@PanchoValentino-wh7wt2 күн бұрын
Pamoja saana MWAMBA
@mussandikumana35612 күн бұрын
Karibu sana Bongo
@alimkumbukwa83632 күн бұрын
Asante hesi da aaa kwa kwel Salm nyingi kutoka kahama
@barakayusuph4617
2 күн бұрын
sasa ahsante kwa lipi😂😂
@alimkumbukwa8363
2 күн бұрын
😂 uyu mtu S unajua n clbrt ivo at a said I a kuitngz ynga pia
@barakayusuph4617
2 күн бұрын
@@alimkumbukwa8363ila watani😁
@MoajGraphics2 күн бұрын
Yanga Bingwa
@fahadrashid97542 күн бұрын
Rais wa wanaume ashraf hakim in tanzania
@baddiekid
2 күн бұрын
😂😂😂
@ezrayohana3541
2 күн бұрын
Siujanja wa kutunza mali lakini pia anasaidia wanyonge😢😢😢
@emmanuelnyakunga83202 күн бұрын
Awo walinzi wanawatisha wageni Kuona Kama vile Tanzania hakuna Amani😂😂
@umojamedia4167
2 күн бұрын
Iyo ni mali ya psg lazima iwe salama
@JastinRuben-lg9goКүн бұрын
mimi ni mwanasimba lakin engeerer umeupiga mwingi sana
@dmswaggbamboostick45762 күн бұрын
Hakimi ni mwananchi
@marcobulili43412 күн бұрын
Hao walinzi utafikiri wanataka kumteka mgeni! Haya makampuni ya ulinzi yanatishia mani yetu. Tanzania ni salama haihitaji ulinzi wa kupitiliza kama huu. Tunawaogopesha wageni
@husseinmbwana8160
2 күн бұрын
Kusema haya ni matumiz mabaya ya mabodygard😅😂
@bahatinassorali5222
2 күн бұрын
Kaa kwa kutulia😂😂
@amosalfred418
2 күн бұрын
Kuna mwenzao hapo kaja kuwatoa😂😂😂😂
@anuarymzee9898
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@makenzijoseph9732
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-mw3yp6kl5c2 күн бұрын
Uyu jamaa namtumia kwenye game langu ni anaoverlap balaa ndo anaongoza kwa goli la mbali😅😅😅😂
@YohanaEsborn
2 күн бұрын
😂😂😂
@saidihermes3107
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@domisonrichman64992 күн бұрын
Karibu
@selemanmcharazo11 сағат бұрын
Kama tutafanikiwa kumsajili Dube ni usajili nzuri lakini pia kutengeneza heshima Kwa sababu Azam Kwa muda mrefu wamekuwa wakirubuni wachezaji wetu ukiacha Fei Kuna ngasa, chirwa, Ngoma, Dumayo Ili kama Wana viongozi wanaojitambua waache huo ujinga sisi tunaushawish mkubwa Kwa wachezaji wao tukiwataka team kubwa.
@user-jo9vb9qi3p12 сағат бұрын
Good congratulations
@KELVANNYJUNIORКүн бұрын
Welcome brother
@SussankhanKhan14 сағат бұрын
👏👏👏👏💛💛💛
@DicksonNasibu-tv7vrКүн бұрын
Amazing situation
@amanididas76602 күн бұрын
ashraf ameduaa baada ya kusikia mama samia hoyeee,,anajiwazia ndo nn hiki yarab leo nmejichanganya😂😂
@haidhabushiri95582 күн бұрын
Kumbe walikutana Paris engineer noma
@Mindcmusicc6 сағат бұрын
Wa pili kabisaa❤❤❤❤
@emanuelyngoi44402 күн бұрын
nice🎉🎉🎉🎉🎉
@Ertanza20Күн бұрын
🎉🎉🎉Asante Rais wetu kwa mgen mkubwa Daima mbele nyuma mwiko🎉
@SadikiSaid-cp1pt2 күн бұрын
😂😂😂😂 yanga washamba sana yani sandio nn iki
@yahayaannu36632 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@chamimdesa1482 күн бұрын
Well come again
@naftalykaaya95462 күн бұрын
Alikuwa nyumbani kabisa
@balikiabdala8232 күн бұрын
🎉
@aproniamasatu58102 күн бұрын
miaka ijayo wazee wetu wa kitoka unaweza hata kuongoza nchi una hekima saaana
@JastinRuben-lg9goКүн бұрын
duuuuu.jaman tokeni mbere ya hakim anaogopa mtamporaa
@Ushashi262 күн бұрын
Amakweli tunamegwa tz pakubwa San nimtazamo tuu😢😢
@poncianbwiho28102 күн бұрын
Naona atasajiliwa😅😊
@sadikidaudi4602 күн бұрын
Kote mnafanya sawa ila hao walinzi nikituko pia mnawatisha wageni
@poncianbwiho28102 күн бұрын
🎉😢
@Lamekkiria14 сағат бұрын
Akipiga mwingi engneer
@Sumaiyafisoo2 күн бұрын
Manshaallah 😂😂😂😂
@user-nl3fk6it3eКүн бұрын
Roho zinawauma makolo
@ikramerasmus19552 күн бұрын
Kalibu bongo hakim
@simonjoshua12332 күн бұрын
Uzeni club mumsajir hakimi
@chinxk33062 күн бұрын
Hao washkaj hapo nyuma kama vile wanalinda dhahabu mpaka wakatolewa 😂😂
@HasnatShaban
2 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚
@AyubuMsindo2 күн бұрын
Yni hapo ndomnaona kma mmmechukuwa ubingwa wa Afrika mngecheza nasevila ingekuwaje
@zachmaselle66352 күн бұрын
Na mimi naomba hao walinzi kwa robo saa tu nishushe presha.
@MwakilaFredrick
Күн бұрын
😂😂😂 dar nimecheka Kwa sauti
@hamidabakari-cs5sk2 күн бұрын
Safi sana
@omaryamiri31752 күн бұрын
Anateseka kama Ruto
@user-jo5uu9un4b2 күн бұрын
Eti mtu analindwa kama anataka kutekwa
@amanididas76602 күн бұрын
alaf tusibebe mara 4 ??co kweli
@josephsamwel28452 күн бұрын
Sadik said ww ndo mshamba kama kimya kolo
@batalingayachristopher-ry5lv2 күн бұрын
Hauna Akili,kama unaona tanzania niamani lala mrango wazi
@ummusumayyah-e8k
Күн бұрын
😂😂😂
@owenfweta32392 күн бұрын
Hayo mavazi ya walinzi yasikubabaishe, yasikutishe 😂 Hizo zote ni MBWEMBWE tuuuu 😂😂
@malietamalieta96582 күн бұрын
Makolo jemedari Mzee wa jambia mezeni wembe Raha sivyo mtasonya sana😂😂
@Mary-fs4mc
2 күн бұрын
Wembe watachelewa kusema bye bye kale kasumu ka panya katafaa zaidi, na safari Yao itakuwa ya haraka zaidi😂.
@malietamalieta9658
2 күн бұрын
@@Mary-fs4mc 🤣🤣🤣🤣 nimechek kinoma
@Mary-fs4mc
2 күн бұрын
@malietamalieta9658 furahi kipenzi maisha yenyewe mafupi haya, jamaa wanaroho mbaya sana hao, kwahiyo tuwawahishe sehemu husika na tusiwachoshe sana.
@malietamalieta9658
Күн бұрын
@@Mary-fs4mc nawajua vizuri Yani kitu Ata kama ni kidog na kipo upande wetu wanakipamba na kukikuza vizuri awavioni na emagine
@Mary-fs4mc
Күн бұрын
@malietamalieta9658 Hawapendi mafanikio yetu na raisi wetu , sasa acha roho ziwafukute wakishindwa kuvumilia basi vitanzi ,sumu nk.vipo bila order ni wao tu.
@DANIELSARAKIKYA-o6n2 күн бұрын
kutalii tuu ila kusajiliwa ahaaaaa😂🤣
@user-iu2cm5um6e2 күн бұрын
Welcome once again,hakimi feel free.
@SurprisedMacawBird-qh7dg2 күн бұрын
Mbona hakim anaogopa nini?
@Djugaripro2 күн бұрын
samaani muwe munaweka subtitle sio wote tunajua lugha zote asante
Пікірлер: 111
Asante eng.Hersi hakika ww ni mfano kwa vjn wenzako kwa kuthamini/kuipenda Tz yetu pia kuunganisha wenye upendo wa kutoa kwa wenye uhitaji,Allah akulipe mema ww pia wazazi wako wawili,Aamin
Asante kwa kuja Ashraf hakimi
Wakwanza kabisa,wananchiii💚💛💚💛
Uyo ndo Rais wa vilabu vyote Africa 👏
Thanks For Coming In Tanzania Achraf We Happy To See Big Player In Tanzania 🇹🇿 Congrats President Ersi💚
hapo engineer ana mipngo ya miaka 5 ijayo, hii ni misingi tu
@augustinomkongwa5444
16 сағат бұрын
Haswaaaa anaiona yanga ya 2040
Asante kututembelea tunashukulu sana
Welcom brother Achraf Hakimi
Safiii sn heris una mambo mazuri kwa mama samia
Mi Simba lkn Injia kapiga mwingi sana👏
Merci achraf hakimi .nous sommes des frères avecc les poubelles tanzanie 👍❤️❤️🇲🇦🇲🇦🇲🇦
@oussamaelmokhtari4733
14 сағат бұрын
Wtf bro!! who are you ?
👍🏼👍🏼👍🏼Hakimi you make Morocco proud
Engneer the best president ever since everlast
Wajua kwa pesa anazovuna anaweza kuwa mdhamini kiasi flan hiv Hakimi😊
Ila Safi sanaaaa Engineer kwa kuzidi kuitangaza Tanzania na club yetu ulimwenguni itafanya ifike mbali kimafankio ikiwezekana hata kuvutia wadhamini toka nje.
Welcome again❤❤❤
Yanga wanapenda sifa
Yani ao makolo awajaona ata kasura cha hakimi wanaishia kusikia bombani🤣🤣🤣
Allaah Akbar
Hii imeenda. Historically
💛💚🧡💛💚🧡 yanga
Welcome again...
Pamoja saana MWAMBA
Karibu sana Bongo
Asante hesi da aaa kwa kwel Salm nyingi kutoka kahama
@barakayusuph4617
2 күн бұрын
sasa ahsante kwa lipi😂😂
@alimkumbukwa8363
2 күн бұрын
😂 uyu mtu S unajua n clbrt ivo at a said I a kuitngz ynga pia
@barakayusuph4617
2 күн бұрын
@@alimkumbukwa8363ila watani😁
Yanga Bingwa
Rais wa wanaume ashraf hakim in tanzania
@baddiekid
2 күн бұрын
😂😂😂
@ezrayohana3541
2 күн бұрын
Siujanja wa kutunza mali lakini pia anasaidia wanyonge😢😢😢
Awo walinzi wanawatisha wageni Kuona Kama vile Tanzania hakuna Amani😂😂
@umojamedia4167
2 күн бұрын
Iyo ni mali ya psg lazima iwe salama
mimi ni mwanasimba lakin engeerer umeupiga mwingi sana
Hakimi ni mwananchi
Hao walinzi utafikiri wanataka kumteka mgeni! Haya makampuni ya ulinzi yanatishia mani yetu. Tanzania ni salama haihitaji ulinzi wa kupitiliza kama huu. Tunawaogopesha wageni
@husseinmbwana8160
2 күн бұрын
Kusema haya ni matumiz mabaya ya mabodygard😅😂
@bahatinassorali5222
2 күн бұрын
Kaa kwa kutulia😂😂
@amosalfred418
2 күн бұрын
Kuna mwenzao hapo kaja kuwatoa😂😂😂😂
@anuarymzee9898
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@makenzijoseph9732
2 күн бұрын
😂😂😂😂
Uyu jamaa namtumia kwenye game langu ni anaoverlap balaa ndo anaongoza kwa goli la mbali😅😅😅😂
@YohanaEsborn
2 күн бұрын
😂😂😂
@saidihermes3107
2 күн бұрын
😂😂😂😂
Karibu
Kama tutafanikiwa kumsajili Dube ni usajili nzuri lakini pia kutengeneza heshima Kwa sababu Azam Kwa muda mrefu wamekuwa wakirubuni wachezaji wetu ukiacha Fei Kuna ngasa, chirwa, Ngoma, Dumayo Ili kama Wana viongozi wanaojitambua waache huo ujinga sisi tunaushawish mkubwa Kwa wachezaji wao tukiwataka team kubwa.
Good congratulations
Welcome brother
👏👏👏👏💛💛💛
Amazing situation
ashraf ameduaa baada ya kusikia mama samia hoyeee,,anajiwazia ndo nn hiki yarab leo nmejichanganya😂😂
Kumbe walikutana Paris engineer noma
Wa pili kabisaa❤❤❤❤
nice🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉Asante Rais wetu kwa mgen mkubwa Daima mbele nyuma mwiko🎉
😂😂😂😂 yanga washamba sana yani sandio nn iki
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Well come again
Alikuwa nyumbani kabisa
🎉
miaka ijayo wazee wetu wa kitoka unaweza hata kuongoza nchi una hekima saaana
duuuuu.jaman tokeni mbere ya hakim anaogopa mtamporaa
Amakweli tunamegwa tz pakubwa San nimtazamo tuu😢😢
Naona atasajiliwa😅😊
Kote mnafanya sawa ila hao walinzi nikituko pia mnawatisha wageni
🎉😢
Akipiga mwingi engneer
Manshaallah 😂😂😂😂
Roho zinawauma makolo
Kalibu bongo hakim
Uzeni club mumsajir hakimi
Hao washkaj hapo nyuma kama vile wanalinda dhahabu mpaka wakatolewa 😂😂
@HasnatShaban
2 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚
Yni hapo ndomnaona kma mmmechukuwa ubingwa wa Afrika mngecheza nasevila ingekuwaje
Na mimi naomba hao walinzi kwa robo saa tu nishushe presha.
@MwakilaFredrick
Күн бұрын
😂😂😂 dar nimecheka Kwa sauti
Safi sana
Anateseka kama Ruto
Eti mtu analindwa kama anataka kutekwa
alaf tusibebe mara 4 ??co kweli
Sadik said ww ndo mshamba kama kimya kolo
Hauna Akili,kama unaona tanzania niamani lala mrango wazi
@ummusumayyah-e8k
Күн бұрын
😂😂😂
Hayo mavazi ya walinzi yasikubabaishe, yasikutishe 😂 Hizo zote ni MBWEMBWE tuuuu 😂😂
Makolo jemedari Mzee wa jambia mezeni wembe Raha sivyo mtasonya sana😂😂
@Mary-fs4mc
2 күн бұрын
Wembe watachelewa kusema bye bye kale kasumu ka panya katafaa zaidi, na safari Yao itakuwa ya haraka zaidi😂.
@malietamalieta9658
2 күн бұрын
@@Mary-fs4mc 🤣🤣🤣🤣 nimechek kinoma
@Mary-fs4mc
2 күн бұрын
@malietamalieta9658 furahi kipenzi maisha yenyewe mafupi haya, jamaa wanaroho mbaya sana hao, kwahiyo tuwawahishe sehemu husika na tusiwachoshe sana.
@malietamalieta9658
Күн бұрын
@@Mary-fs4mc nawajua vizuri Yani kitu Ata kama ni kidog na kipo upande wetu wanakipamba na kukikuza vizuri awavioni na emagine
@Mary-fs4mc
Күн бұрын
@malietamalieta9658 Hawapendi mafanikio yetu na raisi wetu , sasa acha roho ziwafukute wakishindwa kuvumilia basi vitanzi ,sumu nk.vipo bila order ni wao tu.
kutalii tuu ila kusajiliwa ahaaaaa😂🤣
Welcome once again,hakimi feel free.
Mbona hakim anaogopa nini?
samaani muwe munaweka subtitle sio wote tunajua lugha zote asante
@salmamlokela1987
2 күн бұрын
😅😅😅
Munapiga makofi munaelewa anachoongea
Hao bodyguard wamevuta mosh tatu
Hawa jamaa washamba walinzi
Vitisho tuu