Video- NIKI MBISHI AKIZUNGUMZA KUHUSU TETESI ZA YEYE KUACHA MUZIKI

Kwenye XXL interview kutoka Clouds FM

Пікірлер: 26

  • @morganrichard4384
    @morganrichard43849 жыл бұрын

    I guess Nikki mbishi is right for decision what he made ... for real Tanzania music especially for HipHop it thing like behavioral dba of Tanzania hawataki kufikirishwa

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid77358 жыл бұрын

    kaka ni kweli play boy pamoja na ile party kila cku c lazma wikiend zile zinatofaut na nyimbo zako nyingne

  • @saidiathumani4677
    @saidiathumani46777 жыл бұрын

    ongeeni kiswahili makuma nyinyi msichanganye changanye mna2changanya2 tusio elewa tunataka tuelewe tupo nyumbani apa atupo nawazungu

  • @idrisahamza1023
    @idrisahamza10234 жыл бұрын

    Hilo dongo kawapiga hao hao clouds

  • @tulisanga2023
    @tulisanga20235 жыл бұрын

    Nikiwaangalia akina babu tale hapo nyuma nagundua kuna unafiki Fran ambao ulitengenezwa hapo ili waiuwe hip hop ya akina nikk waiingize mizik yao yakiwaki yan mpk watangazaji hapo wanajua wanachokitengeneza lakin hawaja weza so Niki mbish jina lako linaumba na linajieleza ubishi unabisha mpk wamesanda wenyewe safiiii

  • @josephatmazinde1628
    @josephatmazinde16284 жыл бұрын

    Hao hao wanaokuhoji ndiyo wazinguaji tu. Wanataka uendelee halafu support zero. Pambavu

  • @guttoflava3321
    @guttoflava33219 жыл бұрын

    man way.. nao podes parar de fazer hip hop

  • @nelysonmasolwa4192
    @nelysonmasolwa41925 жыл бұрын

    nlishaangaliaga hiii kitu 4 years ago,,narudi tenà Ku comment,,, presenters wabovu,,babu tale whack

  • @johnsonngido1009
    @johnsonngido10098 жыл бұрын

    Nikki usiache 'game' mkwanja ni makaratasi tu. Hata amri kumi za MUNGU wangependa zihaririwe ili wafurahishe miili yao. Tumbo sio chochote muhimu kuelimisha jamii achana na miziki ya 'bazoka'.

  • @rangoafro3068
    @rangoafro30686 жыл бұрын

    mbishi ukiacha naacha kuskiliza hip hop

  • @wankwapilakitundu3796
    @wankwapilakitundu3796 Жыл бұрын

    Kama unaacha mziki acha kmyakmya acha mabango mjomba

  • @samben5917
    @samben59179 жыл бұрын

    nikki alizingua

  • @jacksonsaid783

    @jacksonsaid783

    9 жыл бұрын

    NGER YU DON DE FUCK SYTEM GOIN !!!SHUT DE FUCK UP

  • @jacksonsaid783
    @jacksonsaid7839 жыл бұрын

    kwelli niki tublishe Game

  • @felixrumisha5132
    @felixrumisha51329 жыл бұрын

    m nadhan watu hawapendi kuumiza ndonga that's y hawapendi hphp

  • @ashahassan8433
    @ashahassan84339 жыл бұрын

    NI about cheese n nothn else

  • @charlesnicholaus8087
    @charlesnicholaus80879 жыл бұрын

    nick rudi ktk game bado unahtajka kufanya mapinduz

  • @denisadrian9765
    @denisadrian97655 жыл бұрын

    Ndo maanaa mnakufa kwa pressure na mawazo

  • @eduwamb4194
    @eduwamb41947 жыл бұрын

    iko F*kup kama hawaelewi hiphop na number 1 daiamond iz not hiphop na panganga mingi mbishi do ur thing niko katikati ya 1000 f*k all ths prizentaz

  • @okoamsite4857
    @okoamsite48577 жыл бұрын

    ubishi ukizidi unakuaga ushamba

  • @heggajunior2606
    @heggajunior26067 жыл бұрын

    Too fake

  • @heggajunior2606
    @heggajunior26067 жыл бұрын

    Too fake