UTAPENDA HARMONIZE, TID, Q CHIEF NA CHRISTIAN BELLA WALIVYO IMBA PAMOJA
Ойын-сауық
Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
Пікірлер: 60
YESSSSSS👌👌👌👍👍👍☝️☝️☝️THATS BIG PARTYYYYYY NA HAWA NDIO WAIMBAJIIIII SIKIA NYIMBO HIZOOOO ZINAZO KULETEA UJUMBE NA USINGIZI MNONOOOOOOO NA FURRASAKHAAAAA SIO WALEEEEE WATOVU WAADABUU WENYE MAADILI YA KIHUNI NA WAKOSA RADHI KINA WALEEREE WACHAAFUUUUUU HAWA NDIO WASAAAAAFI BEANAWEEEEEE WENYE BLESS NA RATHI ZA WAZAZI NA WALEZI WAOO👍👍👍👌👌👌👌😘😘😘😘
@neemakaluwa1841
3 жыл бұрын
Nawakiungana wafanye tours za mikoan pamoja watauwa kinomaaaa. Hawa ndo wenye bongo flavour yao kiukwel.
Kondegang for life na kuoga hapo nibule like za 🐘 zote ni hapa
Bella bella belaaaaaaaaaa hiyoo wimboo ni firee mpaka kizaz chote kifutweee,nan kama mama!!!!!! Unaweza toa tears
Tid iyonyimbo angeitowa remix ilitikisa enzi hizo bala
Q-Chillah, Bellah & TID are Talented Individuals🙌🙌🙌🙌 ...My all-time favourites👌🏾 Sema Bongo we don't respect & treasure our Artists...Sijui kwanini...But Thank you Konde Gang for recognizing them🤗🙏
Kumbe wengiii wao wanaomtukana diamond wapo upande wa harmonizee 🙌🙌🙌🙌🙌
@asyamgeni9819
3 жыл бұрын
Tatizo daimond ana kiburi basi watu wanaendekeza uteam tu but harmonize hana kiburi weww umemuona daimond kama anawataka hao waimbaji wa zamani hawataki he think he the best
Konde kama konde mungu akutangulie
Oooh my God! Q Chila umeniliza. You are just good. What happened to these legends. Ooh God Bless them
Big up konde gang keep it up
Nani kama mama Christian bella ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏
My bro harmo God be with you
Mi naona nyimbo za zamani ndo zilikuwa nzuri zaidi
konde nakuja likizo kutoka Dubai,nitakuja konde gang kukusalimu mimi ni amble boy kama wewe nakukubari sana nachukua sana watu wakikusema vibaya mimi napiga mzigo Dubai ila bongo ni nyumbani nitakuja nikuonyeshe kazi ikiwezekana uzifanye hapo konde gang, ila kaza siku zote ukitaka kushinda mitihani mkimbilie Allah ndiyo kila kitu.mwezi wa nane natimba huko bongo
@omakywazamani6696
3 жыл бұрын
Wallah mie nipo pamoja nawe chuki zawa Tanzania dhidi yahu kijana mi naona ni dhulma kubwa lknhaya yote tisa mungu kamunyuwa hakuna wakumshusha from paris huku tunataka kumletahuku France hapa paris na Marseille na nice watamkoma wale wcb
Show ilikuwa saf sana
Ni fireeeeee 🔥🔥🔥🔥
Mungu atakusaidia,ikoo kineno umekitoa wapiii
Jembe ni jembe the big boss konde gan
Palinoga jamani 🔥🔥🔥💕💕💕💕
Vigogo wa bongo penda San jamani. Mko gd gd
Old is Gold always hahaa
🇨🇦🇨🇦🇨🇦 eshima kwa mama 💝💝💝
Iko powa jaman ❤️
Jaman zaman walikua wanaimba
Q-Chillah killed it
I really loveed the song
I wish President Konde can bring king Chillah and Sir. T. I. D watupe vitu tuwakere👌🔥💯 wenye Kiki wabaki na Kiki zao 😂😂😂
❤❤❤❤🌻🌻🌻🌻anjela🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ma G KONDEBOY always u did Good
Good konde for tids kind
Bella weye ni noma kwenye show ❤❤
Safi Sana 🐘
💥💥💥💥💥💣
Noma sana
Tid ananifanya nitake kukohoa sauti inamakohozi
🥳🥳🥳💃💃💃💃
Top band
Congretulation
😂😂😂😂Mungu atakusaidia
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mziki uko hukuu Aisee..
Nice
Bella anakwambia "MUNGU ATAKUSAIDIA"
Yani badala aimbe anawambia wanaomskiza awasikii na wapige kelele hahaha
🔥🔥🔥🔥🔥
Kondeee
Bella vous avez montrer comment se fait la live
Respect kwa mnyama.
@hakithedy7298
Жыл бұрын
Umekosa ata like moja
Karb saan kond gang
Td
M
Q chief bana kongo balingi yo mingi
Ahaaa bado sana wcb ndo habali ya mjini😁😁😁
@ramshayboy2474
3 жыл бұрын
Wcb sasa ivi akuna mziki mziki uko konde genge for every body
Nice