CHRISTIAN BELLA/TANZANIA NDIO NCHI YANGU, KONGO NIMEZALIWA TU/NI MUDA SASA WA KUWA RAIA WA TANZANIA

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 203

  • @praymwalu
    @praymwalu Жыл бұрын

    PRAY apa from DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 ki ukweli Tanzania ni inchi nzuri Sana mana ata inasifiwa kuwa inchi yenye amani sana Africa na natamani one day nije kuishi uko piya ila kitu ambacho ninge mu shauri kakangu bella yeye abaki kujuwa Tanzania itabakia tu kama inchi iliyo muleya na kumukuza mpaka leo Ila DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 itabaki kama inchi iliyo mzaa kwa iyo mimi binafsi nisinge mushauri kubadili u raia ajivuniye kuwa mukongomani ANAYE ishi tz na ime mufanya a still sana kwenye game la musique Tanzania🇨🇩🇹🇿 ❤❤❤❤❤❤

  • @BarakaIssa-dy5rn

    @BarakaIssa-dy5rn

    3 ай бұрын

    Amani Sawa ila usiwekeze ndugu yangu usilo lijua ni usiku wa giza😂😂😂😂😂

  • @praymwalu

    @praymwalu

    3 ай бұрын

    Kwa nini useme ivio,??

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Жыл бұрын

    christian bella ni mwanamuziki mzuri kila nyimbo yake ni nzuri nampenda sana

  • @RuzoOwzy

    @RuzoOwzy

    Жыл бұрын

    Za siku hizi sio nzuri, amezidisha sana bongo flava ndani yake.

  • @reginaldmushi9784
    @reginaldmushi9784 Жыл бұрын

    Mimi namkubali sana Bella yupo vizuri🇹🇿🎤🇨🇩🤝✨🌙🦅🤘🎶🎧🔥🔥

  • @King_186
    @King_186 Жыл бұрын

    Mpaka hapa alipofikia tayari ni Mtanzania mwenye asili ya Congo,,big up my brother Bella,,tulikaa nyumba moja hapo Sinza one time

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    Bella uwe mtanzania au mkongo hivyo hivyo haijalishi we ❤ you

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Жыл бұрын

    Safi sana hapo mwijaku jifunze hiyo aloo nimekukubali sana mwamba Bella big brother

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 Жыл бұрын

    We ni mtanzania kabisa na hata si mkongo brother, we love you

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Жыл бұрын

    Nampenda bella sana😍😍❤nashukuru nilipiga nae picha😀

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana tabia yako ndiyo inayokufanya unapendwa siyo mtu wa mitandaoni sana na ngoma zako matusi hakuna uko kama ladylike utafanikiwa sana ninachoomba uwe raia wa Tanzania na utapewa bila wasi

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Жыл бұрын

    Nampenda sana Bella jmniiiiiiiiii yy na nyimbo zake yaniii yupo damuniii haswaaaa ❤❤❤❤

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Жыл бұрын

    Bella❤ akili nyingi sana big up nimekuelewa mucongo damu 😂😂😂 ila mtzd damu stay blest bro chapa kazi

  • @user-rb9uv3kr8e
    @user-rb9uv3kr8e Жыл бұрын

    Naipenda Sana nyimbo ya mama hongera Sana

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Жыл бұрын

    Nakupenda sana Bella, Mziki wako ustarabu wako, huna maskendo, Chukua tu Uraia Tz ❤

  • @killerboi8756
    @killerboi8756 Жыл бұрын

    SWAHILI YA DRC I LIKE IT🎉

  • @depsmilindi8424
    @depsmilindi8424 Жыл бұрын

    Mimi mkongomani, but ninge pendelea kabisa uwe mtanzania, kwasababu tanzania ndio inchi ilio kupa fursa ya kukutangaza ulimwenguni... Kweli utabaki kuwa mkongomani alisiya ila mtanzania kama inchi yako ya ulezi.... Na wish uchukuwe urahiya... Na hata ivo, sisi wakongo tuna wapenda sana Watanzania, kwani ni inchi ina rahiya watulivu na wenye upendo mno. Hawanaga matatizo na sisi. So hata ukiwa mtanzania ao mkongomani, yote mali yetu tu, karibu

  • @ismaelmsembwa7292

    @ismaelmsembwa7292

    Жыл бұрын

    Hiyo ni kweli ndugu yangu❤

  • @naturelle1097

    @naturelle1097

    Жыл бұрын

    Vraiment

  • @SophlaJackson-nt1nc

    @SophlaJackson-nt1nc

    9 ай бұрын

    🙏🙏🙏🇹🇿🇨🇩

  • @machinesintanzaniatv3909

    @machinesintanzaniatv3909

    6 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @istahijunior4229
    @istahijunior4229 Жыл бұрын

    Mimi ni mshabiki wa Bella na napenda saaana nyimbo zake...!!! Ila yeye ni mwanamuziki wa kwanza kutoka congo wa kizazi hiki. Walikuwepo akina Remmy Ongala mzee King kiki mzee Banana Zoro

  • @MansouryVanman
    @MansouryVanman Жыл бұрын

    Huyu Jamaa ukimskiliza vizur utagundua Africa tunatoa sana Uraia kwa wageni wenye ngozi Nyeupe (western peoples) lakini kwa Waafrika wenye mapenzi na nchi zetu hatuwapi. Hawa ni moja ya watu muhimu.

  • @mawazoaliselemani

    @mawazoaliselemani

    5 ай бұрын

    Hilo ndilo lilivyo..sema wapumbavu wengi hawajui kumsikiliza mtu. Wakamwelewa

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Жыл бұрын

    My No. 1 Artists. CBO to the World❤

  • @BAYANGANDA_TV
    @BAYANGANDA_TV Жыл бұрын

    Washa moto mpaka Congo Kinshasa watambue

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Жыл бұрын

    Belaaa voice killer

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Жыл бұрын

    Nakubali bro serikali ikufikilie ikupe uraia wa Tanzania itakuwa poa sana

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 Жыл бұрын

    Mtu apangi kwa kuzaliwa na kwa Bella itabaki ivyo . Historia ita sema alikua Mkongomani alie kuwa nafanyia kazi yake ya Mziki Tanzania

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын

    Bella wewe ni wetu tanzania, nakupenda sana, kongo poleni sana nakupeni poleni

  • @queen.christelle1

    @queen.christelle1

    Жыл бұрын

    Pole mwenyewe kwani kama ni mtanzania ama mcongo ama mtu mwegine shida iko wapi

  • @trezovyalirendi8170

    @trezovyalirendi8170

    Жыл бұрын

    Congo kuna wa saani wengi

  • @rukiaiddyyahaya9506

    @rukiaiddyyahaya9506

    Жыл бұрын

    @@queen.christelle1 inaumaaa inabidi uzoeee

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Big up Sana 💪 kwake bella ngoma zake Kal sana

  • @andrew29468
    @andrew29468 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni msanii mzuri hana makeke na miziki yake haina lugha mbaya Aombe atapata

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Жыл бұрын

    *baba levo kila sehemu yupo duh namkubali sana*

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib Жыл бұрын

    Tayari uraia unao Bella " ifike mda watu weusi tuishi kw umoja zaidi mambo ya ubaguzi tuweke kando,, pia lazima kuwa wangwana haswa unapopewa uraia zingatia Sheria za nchi na tuwe makina na watu ambao wana niya mbaya kw maendeleo ya Africa hao ndo tupingane nao,,, love u Africa,,

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Жыл бұрын

    Brother mi mwenyewe nakubali sana kazi zako!! Show zako Kigamboni pale ESCROW, PWEZA. Natamani nipate Ratiba ya Show zako kwa wiki nzima ili nijue na nifike!!

  • @silaskojwando2450
    @silaskojwando2450 Жыл бұрын

    Hongera Bela,kulipo hazina ya mtu ndiko moyo wake uliko

  • @abigaelmabuga1315
    @abigaelmabuga1315 Жыл бұрын

    Bella me natamani upate uraia wa Tz maana umekaa miaka hata kiswahili chako ni cha bongo tupu😂

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын

    The Good musician u'r creater

  • @fredericmbokobest
    @fredericmbokobest Жыл бұрын

    Jamani watu na vyote vilivyopo duniani ni vya Mungu. Mipaka iliwekwa na watu tu. Na sisi kama wakongo atuna kikwazo na mtu ijapokuwa matatizo yetu. Kwaiyo jamaa (CBO) yuko huru kuwa na uraia aupendao. Ila asili ubaki daima kwa mtu, hata leo apewe uraia wa Tz lakini atasemekana tu ni mtanzania mwenye asili ya Congo. All the best kwa yote utakayo yaamuwa

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 Жыл бұрын

    ni sawa na Solomon mkubwa wa kenya yaani kenya ndiye nchi ilimtengeneza kawa msanii mkubwa ila mzaliwa wa congo .

  • @musakaphu4581

    @musakaphu4581

    Жыл бұрын

    Kenya unaenda Leo Kesho unapewa ID ,na ukoo hadi 😂😂

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 Жыл бұрын

    Congo inawasani wengi wanakuzidi kwimba we choko.ungekuwa congo hungejulikana.ulikuja Tanzanie inchi kimuziki ikingali chini.huwezi kulinganisha congo na Tanzanie kimuziki.hata Burundi kimuziki ya live band iko mbele sanaaaa ya tanzania na wasani wa bongo wanafahamu iyo.wakija Burundi wanashindwa kuimba live.Burundi ni mambo ndogo kuimba live.hamuna mwanamuziki kama kidumu

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    We jamaa hujui kiswahili kabisa , na huelewi amesema yawezekana angekua congo asingejulikana kwani kasema ye mkali kushinda wacongo Kua Kua muelewa

  • @Inzaghi809

    @Inzaghi809

    Жыл бұрын

    @@fahadfaraj6474 sasa njo weye unakifahamu? Mbona ulisikia message yangu?

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    ​@@Inzaghi809 MIMI SIJAWAHI KUSIKIA NJIMBO ZA WARUNDI TOKA NIZALIWE.

  • @Inzaghi809

    @Inzaghi809

    Жыл бұрын

    @@salimmalaka256 ulisha hama tangu ulizaliwaka?

  • @catherinemuhagama7338

    @catherinemuhagama7338

    Жыл бұрын

    ​@@salimmalaka256 😂😂😂😂Jamaniii nmecheka sijui watakua wanatumia lugha gan kuimba😅

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Жыл бұрын

    Huyu hataki kukana uraia wa Kongo nahisi hamjamwelewa kama alikuwa anataka uraia angekuwa ameshapata

  • @deusdeodavid5360

    @deusdeodavid5360

    Жыл бұрын

    kama ww unailukana uraia wa nchi yako

  • @hamzaeleuter8268

    @hamzaeleuter8268

    Жыл бұрын

    Jua sheria kwanza

  • @alimasiburdan520
    @alimasiburdan520 Жыл бұрын

    Mm na patikana Lubumbashi natamani sn niwe star wa mahizo Tanzanian kama Kanumba

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 Жыл бұрын

    Tanzania ni wagumu sana kutowa uraia!! Marehemu Remy ongala) walimpa uraia !! baada ya wiki anafariki 😅😅

  • @roggerskilongozi1195

    @roggerskilongozi1195

    Жыл бұрын

    Kweli ukiwa unakaribia kufa ndo wanakupa dar umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SarahElias-kv2fu

    @SarahElias-kv2fu

    Жыл бұрын

    😂

  • @tanaboymbabe7935
    @tanaboymbabe7935 Жыл бұрын

    Bella ana mpinzani is he talented man salute sana apewe2 uraia

  • @saidindizeye2206
    @saidindizeye2206 Жыл бұрын

    Tanzania ni inchi ambayo tunaipenda wengi tu na tunatamani kuwekeza, ila sasa tatizo linakuja kwa hio sheria ngumu ya kwamba mgeni haruhusiki kumiliki ardhi na ndico kinaco tuvunja nguvu natamani hio sheria itolew kwa sisi wa africa ikatumik kwa wazungu kwa sababu africa tuko wamoja tuje tuwekeze na tujihisi kuwa nyumbani na wa Tanzania wanaotaka kuwekeza inchi zingine wawe huru.

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Umesema vizuri , lakini umesahau kuwa kama mtanzania utamilikishwa ardhi , shida si ardhi shida hawataki uraia pacha, alafu ukisema africa moja unakosea kwani kila nchi inasheria zake na utamaduni wake na wa africa kiasili ni watu wakuwaka asira kukalibisha kila mtu unaweza kujitengenezea vita katika nchi kama bado haujajipanga kikamilifu, Tanzania si marekani au uchina ambao wenzetu wananguvu ya kijeshi, mimi naona uraia watanzania ni mzuri kwa watanzania wenyewe na nchi zingine zilichochini yake kiuchumi

  • @lindemwenda8354

    @lindemwenda8354

    Жыл бұрын

    Ukioa au kuolewa pia Tz pia huruhusiwi kumiliki ardhi?

  • @LomatakopaoBadboy-nl4uj
    @LomatakopaoBadboy-nl4uj Жыл бұрын

    Uyo ni mcongomani mwenye asilia ya kitanzania🇨🇩✌️🇨🇩

  • @nahumumgwama2280

    @nahumumgwama2280

    Жыл бұрын

    Hapana uyu ni Mtanzania mwenye asili ya congo tunampenda Sana huyu ndg anajiheshim sana

  • @mariamkimweri6247

    @mariamkimweri6247

    Жыл бұрын

    Point of correction, Ni mtanzania mwenye asili ya Congo.

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 Жыл бұрын

    Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Жыл бұрын

    Yaan nasmile interview yoote asee Bella nampenda sana sauti yake ukiskiliza unapata feelings fotauti nzuri wewe ni mtanzania tu maana mpaka tulisahau kama wew si mtanzania 😅

  • @MuhamadMarcel-ug8uf
    @MuhamadMarcel-ug8uf Жыл бұрын

    Rudi nyumbani, nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani ukiishi ugenini usisahau kuwaambiya watoto asili ya kwenu maana ugenini ukiyafanya mazuri unaitwa mtanzania ukikosea unaitwa mcongomani aliye kimbia inchi, ebu kumbuka alivyoambiwa mayele bungeni amekuja kutetema huku nenda kateteme kwenu ukiwa na bunduki mkononi

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 Жыл бұрын

    Inch gani iyo kwa kupata uraia mpaka kubelembeleza raisi dohh😮😮

  • @nyembomajid1262

    @nyembomajid1262

    Жыл бұрын

    Africa shida kweli bado tuna ukabila kimia kimia ulaya kupewa uraia sio shida sanaaa lakini Africa balaaa

  • @BinPlatnumz
    @BinPlatnumz Жыл бұрын

    WELCOME TO BUFFALO NEW YORK BELLA🎉🎉

  • @modestepastorkuwan9950
    @modestepastorkuwan9950 Жыл бұрын

    Bella

  • @charlesgmwinuka6269
    @charlesgmwinuka6269 Жыл бұрын

    Bela wa bongo anipe nafasi me nahamia congo

  • @user-gr2ec5uj1s
    @user-gr2ec5uj1s Жыл бұрын

    Nakukubari sana kijana wangu ht ivo leo nimeshangaa ww nu kijana usopenda mambo ya mitandaon nakupendagasana huna misifa mtt wangu

  • @LaurensiaTeodor
    @LaurensiaTeodor Жыл бұрын

    Wakaliua leo Ndo nimekusikia

  • @saidmkwabis1467
    @saidmkwabis1467 Жыл бұрын

    Hv Cristian berla unajiskia je unavyoishi Tanzania tunavyowapenda lkn nyinyi tunavyoenda kwenu mnatunyanyasa sana pia mkongo hata akiwa rafikiyako ukiwanae hatakwenye mizunguko hatokwambia karibu nyumbani kwake na kama anakataa wamuulize hapo aongee ukweliwake

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 Жыл бұрын

    Twoo kaka ukuu wamungu hutimia nchi tofauti nakwenu hata yesu pia

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani5 ай бұрын

    Ni ushamba tu watu wanaishi muda mrefu tanzania na hawapewi uraia kama remmy ongala,lakini ngozi nyeupe nyingi zimepewa uraia.

  • @tabibutaibu001
    @tabibutaibu001 Жыл бұрын

    Hongela kaka

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Жыл бұрын

    Love U Bella

  • @amiliabdala2513

    @amiliabdala2513

    Жыл бұрын

    Sawa Ila Acha kujidai unaishi mtaani kwetu ukisalimiwa unamimba achaizo.

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Жыл бұрын

    Africa Sheria ZAKIJINGA sana ukitimiza miaka mitano lazima upewe uraia

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 Жыл бұрын

    Uraia haupatikani kwa kuishi miaka mingi kwenye nchi ambayo sio yako..rahasha. ila waweza kupata uraia kwa kufuata process na sheria ya iyo inchi unayoiomba uraia,,,sie wenyewe tupo huku kwenye nchi za watu tena tumekulia huku uku..huu sasa ni mwaka wa 23..lakini hatuna hata citizen ship..tumetumia resident permit mpaka tumechoka sasa!😀

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Жыл бұрын

    NIPO TAYARIII UWE MTANZANIA BELLA

  • @francismanda74
    @francismanda74 Жыл бұрын

    Akili nyingi sana bella 👍👍

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Жыл бұрын

    Wakongo wanavyongea bhn ,,,kuna kisaut cha mayeleeeee kwa mbali jamaa akiongea

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu38193 ай бұрын

    Mahojiano mazuri sana,Kweli fuata utaratibu

  • @juressemabili5133
    @juressemabili5133 Жыл бұрын

    Mimi na mushauri asibadilishe kwa sababu Congo saivi atakuwa na haja YA kurudi Congo ,piya anapata fursa YA kukutana na ma presidenti ,sasa iyo fursa na hata ipata tena ,abaki ivitu kuzaliwa mcongo asibadilishe

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Жыл бұрын

    Tunakupenda kaka bela

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Жыл бұрын

    Bera na kukubari sana mwamba

  • @sebastianmathew8475
    @sebastianmathew8475 Жыл бұрын

    Bella fannya hivyo wewe ni Mtanzania kabla haujaisha huu mwaka.

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Жыл бұрын

    Ndio. Tunatamani. Sanna. Bela. Uwee. Mtanzania. Mwenzetu. Sijuwi. Kwanini. Wasimpe. Uraiya. Huyu. Mtuu

  • @user-sg3rm4lc1q
    @user-sg3rm4lc1q3 ай бұрын

    I feel what Bella is going through but he shouldn’t make it seams like it is the end of the world to be a Tanzanian citizen

  • @Kasongopetro
    @Kasongopetro Жыл бұрын

    Tunamtaka kk yetu bella congo🇨🇩 baba levo jieshimu saaana atutaki bifu na tanzania 🇹🇿 please don’t do that to our brother

  • @abwevincent1438
    @abwevincent1438 Жыл бұрын

    Kweli kaka

  • @nostalgic_moments_tz
    @nostalgic_moments_tz Жыл бұрын

    Number 1st

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 Жыл бұрын

    Bwana Bella unako ishi ndo kwenu baba Kongo umezaliwa Ila TZ ndo nyumbani.mimi ni mukongo Ila soon by God grace I will like to be a South African because I have been living in SA for 13years now.

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Жыл бұрын

    Me napenda sana Congo madini kama yote matepeli waliingia kutapeli madini yetu

  • @diasporastylish
    @diasporastylish Жыл бұрын

    C.B.O 🔥

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Жыл бұрын

    R.I.P JPM

  • @jamesemanuelmpeleta5299
    @jamesemanuelmpeleta5299 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua sanaa kujibuu maswaliii

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 Жыл бұрын

    CBO❤

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese Жыл бұрын

    Nakubali ngomma zako kaka

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe9649Ай бұрын

    Huyu mwamba hana mambo mengi very simple hata mavazi yake ni mtu anajielewa huyo ndio kioo cha jamii sasa

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 Жыл бұрын

    Mukana kwao ni mtumwa wewe ni mkongo ila kama utabadili uraia ni sawa tu

  • @kasimkassam9565

    @kasimkassam9565

    Жыл бұрын

    Kama kwenu akuna faida na wewe tupa kule

  • @robertamsini1256

    @robertamsini1256

    Жыл бұрын

    ​@@kasimkassam9565 akuna faida gani wakati unatumikisha simu na Mali inatokeya kwao uko

  • @kasimkassam9565

    @kasimkassam9565

    Жыл бұрын

    @@robertamsini1256 anasema tanzania ndio nchi yangu wewe unaleta mambo ya simu na Mali, nataka kukujulisha kwamba watu wote ni watanzania 😁

  • @robertamsini1256

    @robertamsini1256

    Жыл бұрын

    @@kasimkassam9565 acha zako bwana uyo nimu congo 🇨🇩 tu

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Maneno yakipumbavu hayo

  • @alimajaliwa6049
    @alimajaliwa6049 Жыл бұрын

    I never know Bella is from congo..big up kaka uko vizuri

  • @nyemowanyotanjemaudm4360
    @nyemowanyotanjemaudm4360 Жыл бұрын

    Wewe nimwamba Sana toka zaman nakukubaligi Sana

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Жыл бұрын

    Bella ni Fundi na tuna kukubali sana

  • @GustaveZigashane-yr9rt
    @GustaveZigashane-yr9rt Жыл бұрын

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️

  • @nurunyamziga2268
    @nurunyamziga2268 Жыл бұрын

    Leo ndio nimejua Mwamba christian bella hajaapply. Binafsi nataman angeapply hata jana

  • @kankukelly614
    @kankukelly614 Жыл бұрын

    Hiyo permit classe A wengine tumeipata miaka mingi iliyopita

  • @JosephkNtiga-ww8uz
    @JosephkNtiga-ww8uz Жыл бұрын

    Jaman me wakwaza kambisa naomba like zangu

  • @mmbaya4004
    @mmbaya4004 Жыл бұрын

    Kama ww mwanetu njoo 🇨🇩 ✌️ mchi ya utajiri achan na aho wabaguzi tu, njoo upambane nakina faly ipupa uku bna 🇨🇩🇨🇩✌️

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Wangekuwa wabaguzi amgeliishi hapo , hauna akili wewe

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Жыл бұрын

    Dual ciizenship ingefaa but Tz hakunaga

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 Жыл бұрын

    Kwa nini apa panakua pagumu sana kupata uraiya wakati sote ni back man ifike paala sheria ifanyiwe maboresho

  • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
    @EmanuelyMbagalla-rt2vm9 ай бұрын

    Ahahahah! Bella jibu jepesi tu kuwa, Afrika ni Moja, mengine ni mbwembwe tu. Hapa ni nyumbani kama Kongo hata usipokuwa na documents.

  • @user-hi9xd9ok1e
    @user-hi9xd9ok1e Жыл бұрын

    Nimekukubali bela

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Жыл бұрын

    hivi kwanini wakongo bado wanapata shida ya uraia... kwanini tunawabana waafrika wenzetu. mbona tunaushamba hivi

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Wakongo sio wapumbavu walio wengi hiyo si plan yao

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Жыл бұрын

    jibu lingekuwa ndio unataka au hapana sasa anatoa maelezo marefu hatakiiii jmn japo tunampenda kubali upate uraia kaka

  • @awdhiamiri7451
    @awdhiamiri7451 Жыл бұрын

    jombaa , bela anastaili kuwa mutu ya Tz awadh Apa Toka chuga

  • @jamesemanuelmpeleta5299
    @jamesemanuelmpeleta5299 Жыл бұрын

    Wewe tayarii ni mtanzaniaa

  • @jumadaima1833
    @jumadaima18333 ай бұрын

    Bela hata watu wa Moçambique wanakujua kama Tanzaniano

  • @williammaxmillian5738
    @williammaxmillian5738 Жыл бұрын

    MUNGU ni mwema

  • @user-qc3cl8hs8b
    @user-qc3cl8hs8bАй бұрын

    uje uku 🇨🇩 tupigane vita Na Awa mbweya warwanda

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 Жыл бұрын

    Baba levo awe anasubiri amalize kuongea

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Жыл бұрын

    Uraiya Pacha, ndo solution

  • @hajiabdullakoba-jz5vj
    @hajiabdullakoba-jz5vj Жыл бұрын

    Jamaa Bella anajitambua hakurubuki anafata utaratibu ukonikwakumalizia

Келесі