Q CHIEF APANDISHA MIZUKA JUKWAANI, DIAMOND AMTUNZA MINOTI, SHOO BAB KUBWA...
Ойын-сауық
Q CHIEF APANDISHA MIZUKA JUKWAANI, DIAMOND AMTUNZA MINOTI, SHOO BAB KUBWA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 199
Q chilaa anaimbaaa bana🥰😍😍😍ila bangi mbayaa nyieee🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗salute kwake.huyu na tid ni FIREEE
@rehemaothman2200
2 жыл бұрын
umeonaeeee 🤣😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
@Sppah697
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Musicians that make me rock all.the time...qchief still is a living legend jamani....hakuna kama.yy
@erickminja6170
2 жыл бұрын
Baraaa
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
Q Chief, Q Chief, Q Chief wewe una kipaji na sauti ya kuimba hakuna hapa nchini. Just come down, tulia, kuwa composed na ufanye vitu kwa mpangilio. Wewe ni full package, unajua mpaka unakera. Pls Diamond Platinum mshike mkono huyu Q Chief mungu atakulipa.
@abou2607
2 жыл бұрын
Kinega huyu ashikiki
@miltonemusumbah2544
3 ай бұрын
Hakuna vocalist Kama QChief Africa nzima. Akiacha tu kiburi Jamaa anaezaenda world-wide
Ameupika mwingi sana Love Q chila ❤️❤️❤️👌
@wilsonkazungu2403
2 жыл бұрын
Kweli😀😀😀😀😀 teja
Always diamond admire him so much diamond love him like his own bro
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
@AlekyzTheGreat55
2 жыл бұрын
True he's one of his idols
Natamanii ningekuwepo😆😂😂Q chilla ni Moto Wa Kuwakia Mbali jamani🔥🔥🔥🔥💕💕💞💞
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
@vanessastafford5120
2 жыл бұрын
Mimi nilikuwepo Yani ni hatari
Q Chillar give it all…………. The energy is fantastic amazing
Kiukwel mumeuwa sana nimekubal from Burundi 🇧🇮
@kennywilliam2466
2 жыл бұрын
Wangekuwa wameuwa siungeona diffender ya police hapo
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
Unamwaga maji bro keep on it, you do better
Huyu Kaka ana sauti ni vile Tu bangi
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
I like the energy big love from Canada ,Simba
He is the best since day one ila bangi or pombe sio Chai kaua
Sema ana vibe mpaka anatoka kwenye utimamu yani kufanya sifa mpaka kuboa its better for him tujifunze kwa Diamond hakuna shoo ana fanya akatoka kwenye utimamu
@lucykristensen7145
2 жыл бұрын
Hela zimemtia uchizi
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
😂😂🤣
Q chil this he can sing he has got nice voice mashallah 💢💢💢💯
Angeweza kufanya show kali watu wakaenjoy lkn kaifanya kiutan utan mpk kaboa
@millymack1370
2 жыл бұрын
Unga
Jamaa lina kipaji sanaaaaaa🔥🔥🔥
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
Katika legends ninaowakubali wapo watatu: 1) TID 2) Chiddy Benz 3) Q Chillah.... Natamani siku ipigwe Collabo
@davidcurtis8556
2 жыл бұрын
Umefeli sanaaaaaaaaa hawa wote wanaimba lkn kassimu mganga ndio mganga wao, acha kabisa jamaa ndio alieishika hii stage.
Unaweza sana Qchillah
Leo umesokota mpka kimeeleweka ila umeua I love you q chillar wang
Wow wow wow just wow 🥰❤️💯
Great
sifa nyingi Qchief
Tz w hv many talents, 🙏
Wow this guy can sing 💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
Mpeni airtime chillar! Anajua sana!
Q-Chillar anaimba sana tatizo moja tu, Ameingia kalewa njwii
@marlonstudios4408
2 жыл бұрын
Yupo topuuuuuu
Much love Q chills❤️💞
Q chief is So energetic....Pure Entertàinmen😂🙌🏾🙌🏾
More love from 254
Mjanja kwel 😂😂anawataja watu ili wammwagie mihela 🤣🤣
@user-qe8jj2cl8q
2 жыл бұрын
Anajua kutembea na fursa,...sio fala huyu jamaa
Q chief he is the best performance
@zennahmtoto1867
2 жыл бұрын
Yeah🙌🏻
@user-dn7gn6ib4k
2 жыл бұрын
Yes that's true he is indeed
Sasa hapo banging.iko wapi si anaweka madoido kufurahisha baraza? Safi sana.
Q chilla ana energy kumzidi Boss wao na zuchu hawa ndio wasanii wa kuimba live
Chila mwenyewe 😍😍😍😍
Njaa mbaya
Natamani TID angepata nafasi ya kupiga show hapa tusikie tonality yake kwenye live band
Sasa q chief unakwama wapi Aisee! Vocal bado Ni hatariii! Yaani inavyotoka live Ni Kama unasikiliza wimbo uliorekodiwa!
🔥🔥🔥🔥
Anachezesha vyombo yeye mwenye na kuimba yupo vzr anawachangamsha wapigaji ....watazamaji pia, anatumiwa vyombo vzr
Kaka una sauti masha Allah sijui ni kipi kinakurudisha nyuma wengi wanasema ni bangi ila mm siezi kusema lolote maan sijakuona wakati unavuta au unakujywa pombe ila niseme tu unakipaji kaka
Nice
@Cadomusic_tz
2 жыл бұрын
Naomba sapoti ako kwa channel yngu kusubscribe
Hongera sana kwake Q chilla
Hela naokota mwenyewe sitaki bamsa Nina hali mbaya....njaa mbaya nyie😂😂😂🙌🙌🙌
@Saidkhel
2 жыл бұрын
😂😂😂
@Saidkhel
2 жыл бұрын
Lkn si yuko konde gang pesa ipo kule
@jamesom1544
2 жыл бұрын
@@Saidkhel hakuja pesa konde bwanaa bra bra nyingi kule
@jamesom1544
2 жыл бұрын
@@Saidkhel 🙌🙌🙌
@Saidkhel
2 жыл бұрын
@@jamesom1544 duuuh maisha siri jaman
Ng'ombee hazeek maini ❤gonga Like hapaa
🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏
🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Nzuri kbs
Legend
Cjakuja kuimba nmekuja kukusanyaa 😅😅❤️❤️❤️🔥
Amejua ananjaa kama mm tu. Et bro diamond wakat yy ndio mkubwa. Kwakweli hali mbaya manebo mengi
Chiller master
Sip
🔥🔥🔥🔥💝
😘😘😘❤
Bless chillah
Uyu jamaa yuko Realy sanaa,Anakwambia huu ndo muda wakukusanya Kodi ya Nyumba🇿🇦🇿🇦
old is gold
Diamond he like him and admire him so much
Ila njaa mbaya sana.. Q chief kawa mswahili sana
@khamisramadhan5133
2 жыл бұрын
😃
@rahimaan6481
2 жыл бұрын
Kwani kuna njaa nzuri?
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Namisifa
@happynjukiz6495
2 жыл бұрын
Acha wivu wewe
Sijawahi kujuta kukupenda Chillah, napenda sana mziki wako kila ukiimba uchoshi, much love brother ❤️💕
Izo hela zilifika kwa wife wake kwelii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
Dah kutoka kuwa msanii mkubwa adi muimba kalioki Naumia kuona hawa watu wa zamani hawapewi airtime
@veronicalufingo3513
2 жыл бұрын
Akishindwa kujipa yeye nani atampa aendelee kula unga
Old is gold
Huyu baba noma sana siyo poa hachuji hata kidogo
Nasibu hv make it all
Ila mwanangu uache bia za kitonga kb zarau bhana
Q chief the legend👌👌👌💪
Ashee
Legend big up zaidi ya upendo mondi bin Laden kafanya unyama pia 😍😍
Mahaba ndindindi
Uyu kaka wanadamu walimuaribiya maisha yake amebaki tu pombe ata ukimusaidiya kesho anakuwa chizi
@maicgado58
2 жыл бұрын
Kiukweli umefunika
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
Huyo mama amekatiza diamond kuendelea kumimina mipesa na buku zake apo..aarrghhh
Chillah anajua Sana kuimbaaa Yani anakipaji hasiliaaa kabisaaa muda wote aliokaaaa bench lakini karudi sauti IPO vilevileee ladhaaa Ile ilee
@mamboleotv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X6Jm0deEpNvMj6Q.html
Q chill💥💥💥💥💢💢💢💢💢💢👍👍👊👊✊
wapiga bendi bado hatunao tz .. but big up for trying
Nic San jmn
Nakuelewaga kaka huwa haukosei
Mi sijaelewa performance hii. Sijamsikia QChila wa "Kama unataka demu".
Namkubaliiiiiiii sani
Heheheee chilar jamani
Yani anakusanya mikwanja bila jasho🤣🤣
Ananza vizul badae anapoteza kujiamini ananza kuelezashida jukwani duh maganja aya sio pw
kaka nakukubali toka kitambo
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kablaa ya kuingiaa kwenye stage nahisi mwambaa alikuwa ameshakulaa vitu😂😂
I wishing if I was there I should give money
Q🔥🔥🔥
Vocals 💯 bangi💯
@RuzoOwzy
2 жыл бұрын
😀😀😀. Nmeelewa kuanzia Bangi...
Kwa mwenye hakili ameboa tuu labda uwe una vibe kichwan ndio uinjoi bila ivyo hamna
@Djroja_mo
2 жыл бұрын
Kashindwa na Kassim
@rehemaothman2200
2 жыл бұрын
Hana umakini leo
@MiaTheLathini
2 жыл бұрын
Tafadhali Mnisupport 👇🏾 kzread.info/dash/bejne/a6Z_lZtylNjXe7A.html sina shughuli nyingine Mjini hapa
@raybby9291
2 жыл бұрын
usikute kawajaza kichwani
@MiaTheLathini
2 жыл бұрын
Tafadhali Mnisupport 👇🏾 kzread.info/dash/bejne/a6Z_lZtylNjXe7A.html sina shughuli nyingine Mjini hapa🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Atibiweee jamani
Sema anaboa kudhihirisha njaa waziwazi, hovyo kabisa
@kakaaignas3675
Жыл бұрын
Kabisa
Nilikuwa na nsubiri chai alio kunwa iliyayuka 🤔 he broke 💔 nilitengea aibe kwa isia na utulivu 5💘💘💘
Acha tyuuuu
VIJANA BANGI SIO NZURI
Kudadek 🙌🙌🙌🙌🙌
Dah uyu jamaa anajuwa sana kuimba dah htr bangi jamani sio nzuri
Chillar anajua sanaaa jmn
Kama ni bangi minimezipenda "amazing vibe"
Jamaa anaujua mziki hadi basi anaona kama band wanamkosea
😂 😂 😂 Chila bana