UTAFITI WA PROFESA IMMACULATE NIGULA KUHUSU LAANA ZA MABABU NA MILA NA DESTURI
Utafiti wa Profesa Immaculate kuhusu Laana za Mababu na mila na Desturi
Жүктеу.....
Пікірлер: 15
@CharlesMkumbo-gh6eh11 күн бұрын
Imekaa vizuri sana, Prof. Nhigula. Tafadhali, fikiria kuandika kitabu na Mungu akuwezeshe.
@DennisMungai-pf6rbАй бұрын
Maarifa ni muhimu,,,,huwezi kuishi ni rohoni tu bila maarifa ni kujidanganya..hongereni
@alex_vincent23 күн бұрын
Hallelujah
@pastorm.e.mwakalonge7020Ай бұрын
It was very powerful
@geofreymshama821115 күн бұрын
Congratulations Dr but your research create different question to me especially when you preach and start deliverance service about that manifestation of word.
@haningtonkabuta9387Ай бұрын
This has been so powerful. Tunaombaa vyuo vyetu vya Biblia viwe vinafanya matukio kama haya mara kwa mara.
@christopherchisuligwe512Ай бұрын
A Good lesson
@jothammalale8702Ай бұрын
Yes Uwasirishwaji wa Mada ngumu na mhimu Kama hizi Upanuliwe zaidi na vyuo vyetu .ni saa ya kuponya kanisa
@feliciankabasa8995Ай бұрын
Huu ni mdahalo mkubwa sana,suala hili linahitaji muda,of course presentation ni nzuri kwa Dr.i appreciate your doctrines
@franaelisumari5108Ай бұрын
Glory be to God
@umojaupendo6020Ай бұрын
Sijui wenzangu mna mtazamo gani kuhusu utafiti maana naona kama baadhi wanauchukulia kama jambo linalopingana na mpango wa Mungu. Anachokiongea Profesa hapo ni sahihi kabisa. Kumbuka huyu ameitwa na Mungu Kwa ajili ya kufundisha Kweli ya Injili. Amekubali kuitika. Ameyatoa Maisha yake kama sadaka. Ameenda shule ili ajue kweli zaidi. Isitoshe yawezekana wakati anaandaa utafiti huu amesali sana, amefunga ili Mungu amjalie hekima ya kupima Kweli . Yawezekana wakati wa kuiandaa pia hakulala n.k. Hii yote ni kuhakikisha anatafuta suluhu la kibiblia kuhusu suala la laana. Watu wa namna hii wanapaswa kutiwa moyo maana kazi yao ni ya sadaka sana. Tusipinge utafiti huu kwani umefanywa na mtu aliyeitwa na Mungu kwa ajili hiyo.
@tradingtechautomation6937 күн бұрын
Nimemsiliza huyu resercher ila right off the bat she is biased, second genetics do affect behavior which is indeed generational so you might be suppressing your success because of a behavior that you aquire genetically , enough research has been done on identical twins to prove that behavior is indeed genetic. Separated twins from infancy tend to dress the same, have the same hobbies, choose the same kind of careers and so many things even though they have never met... About curses. Third, Covenants do follow generations depending on how they were made but they can be broken, by faith in Jesus ofcoz.
@user-bw5wj8dw5qАй бұрын
Wewe ni mtanzania au muingereza? Ongea kiswahili mama
@tradingtechautomation693
7 күн бұрын
Acha kulalamika
@kamtanzania23 күн бұрын
Kama laana za ukoo zina waathiri na walio okoka basi Kifo cha Yesu msalabani ni kazi bure. Hiyo ndo ile Injili nyingine ambayo Paul alisema ikihubiriwa na yeyote hata kama ni Malaika au wao wenyewe wakirudi kuhubiri tofauti na walicho hubiri kuhusu wokovu basi na alaaniwe.
Пікірлер: 15
Imekaa vizuri sana, Prof. Nhigula. Tafadhali, fikiria kuandika kitabu na Mungu akuwezeshe.
Maarifa ni muhimu,,,,huwezi kuishi ni rohoni tu bila maarifa ni kujidanganya..hongereni
Hallelujah
It was very powerful
Congratulations Dr but your research create different question to me especially when you preach and start deliverance service about that manifestation of word.
This has been so powerful. Tunaombaa vyuo vyetu vya Biblia viwe vinafanya matukio kama haya mara kwa mara.
A Good lesson
Yes Uwasirishwaji wa Mada ngumu na mhimu Kama hizi Upanuliwe zaidi na vyuo vyetu .ni saa ya kuponya kanisa
Huu ni mdahalo mkubwa sana,suala hili linahitaji muda,of course presentation ni nzuri kwa Dr.i appreciate your doctrines
Glory be to God
Sijui wenzangu mna mtazamo gani kuhusu utafiti maana naona kama baadhi wanauchukulia kama jambo linalopingana na mpango wa Mungu. Anachokiongea Profesa hapo ni sahihi kabisa. Kumbuka huyu ameitwa na Mungu Kwa ajili ya kufundisha Kweli ya Injili. Amekubali kuitika. Ameyatoa Maisha yake kama sadaka. Ameenda shule ili ajue kweli zaidi. Isitoshe yawezekana wakati anaandaa utafiti huu amesali sana, amefunga ili Mungu amjalie hekima ya kupima Kweli . Yawezekana wakati wa kuiandaa pia hakulala n.k. Hii yote ni kuhakikisha anatafuta suluhu la kibiblia kuhusu suala la laana. Watu wa namna hii wanapaswa kutiwa moyo maana kazi yao ni ya sadaka sana. Tusipinge utafiti huu kwani umefanywa na mtu aliyeitwa na Mungu kwa ajili hiyo.
Nimemsiliza huyu resercher ila right off the bat she is biased, second genetics do affect behavior which is indeed generational so you might be suppressing your success because of a behavior that you aquire genetically , enough research has been done on identical twins to prove that behavior is indeed genetic. Separated twins from infancy tend to dress the same, have the same hobbies, choose the same kind of careers and so many things even though they have never met... About curses. Third, Covenants do follow generations depending on how they were made but they can be broken, by faith in Jesus ofcoz.
Wewe ni mtanzania au muingereza? Ongea kiswahili mama
@tradingtechautomation693
7 күн бұрын
Acha kulalamika
Kama laana za ukoo zina waathiri na walio okoka basi Kifo cha Yesu msalabani ni kazi bure. Hiyo ndo ile Injili nyingine ambayo Paul alisema ikihubiriwa na yeyote hata kama ni Malaika au wao wenyewe wakirudi kuhubiri tofauti na walicho hubiri kuhusu wokovu basi na alaaniwe.