AFISA ALIYE FANYA KIBURI MBELE YA MAKONDA AKIONA CHAMOTO MBELE YA WANANCHI ARIPULIWA PAPO HAPO
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 163
@RevCharlesJPeter4 ай бұрын
Ingekuwa watendaji wote wangefanya kazi vizuri huenda kazi ya mheshimiwa Makonda ingekuwa ndogo sana
@saitawilson73075 ай бұрын
Big up mh. Makonda 🙏🙏 unanipa raha sana wewe kaka!..
@PromissGmtotoАй бұрын
Daaaah 😢😢😢😢😢 Mwenyezi mungu akulinde babaetu MKUU WA WAKUU WA mikowa
@user-uy8vp1fr7e5 ай бұрын
CDE. PAUL CHRISTIAN MAKONDA Anakipaji sana cha kuhoji. Mungu ametisha sana kumleta huyu.
@omwanatyson6241Ай бұрын
I really love this man your doing a great work sir keep it up
@user-yw7uu6mc3m5 ай бұрын
Makonda uko safi msaidie mama,halafu baadaye kamata mwenyewr kijiti charisma yako ni kubwa ya uongozi bwana yesu asifiwe.
@user-lf7nu6gg9s
3 ай бұрын
Amin
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza mtumishi wake...kwa mkono wa Mungu unatusaidia wanyonge wa nchi hii, Zaburi 35: 1..... ikakufunike wewe na viongozi unaoshirikiana nao, kwa jina la Yesu.
@mudiyork77024 ай бұрын
Ni haibu sana kwa mtu yoyote kuto muanga mkono mheshimiwa mkonda. Big up na kama hunaipenda nchi yetu Tanzania na maendeleo basi mheshiwa makonda piga kazi naomba Allah akujalie maisha marefu na salama pamoja na Mama yetu Samia suluhu more love ❤❤❤
@GraceKakweneАй бұрын
Kaka mungu akulinde na kazi yako nzuli
@MerinaPauli2 ай бұрын
Kiukweri nh makonda umeiludisha ccm yetu chama chetu sasa kazi iendelee mungu akulinde
@josephmaroa6365 ай бұрын
Mungu akulinde ndugu makonda❤❤❤❤❤❤❤
@barakamanga55025 ай бұрын
Ma Hana majibu mpaka huruma, mambo kama haya kazini una bambikizwa tu na Wa kuu mda kama huu Wana kugeuka inakula kwako,
@user-vo1wo4lu4c5 ай бұрын
Makonda hoyeeeee mungu akutunze baba
@MasungaJoojiАй бұрын
Makonda pinga supana hao mafisadi mungu akunlinde nawenyehusuda
@lehayaabed74695 ай бұрын
Makonda endelea kufanya haswa usitishwe na wananchi wasiojielewa Kwan ww nikiongozi kweli
@user-mf9tu4yu3p5 ай бұрын
KAZI NZURI SANA MAKONDA
@onesmomwakasege52155 ай бұрын
Jamani mama anatia uruma sana bila shaka itakuwa wajanja wamemcholesha
@Bushira-gi4wx3 ай бұрын
Endelea kuchapa kazi Mwamba
@rahmarama56695 ай бұрын
Hakika huwezi kufa kwa kupambania Haki ya wengine,Live Longer Makonda
@bugybuster57884 ай бұрын
Genius makonda
@SarupiiMuster3 ай бұрын
Makonda nihatali makonda fanya uje kwamgwe wilaya yahandeni bara bara hatuna aisee
@saitawilson73075 ай бұрын
Aminaa👏 hakika hautakufa bali utaishi!...🙏🙏🙏
@msafirimfilinge82225 ай бұрын
Mama anakiburi huyo!😂😂😂😂
@geofreykazaula79405 ай бұрын
Big up Makonda, nakukubali sana, kweli Mama akae atulie wewe piga kazi.
@rashidmkoga30535 ай бұрын
Makonda ana kula raha kwakweli
@rosesilio9008Ай бұрын
Mnang'ang'ania uongozi halafu kutekeleza mambo ya nchi na wana nchi mnaleta leta utapeli
@user-nc1fy9dt6r3 ай бұрын
Uko sawa Makonda Mungu akutangulie
@MahmoudTwalib3 ай бұрын
Namkubali Sana muheshimiwa makonda mungu amuwake mile na milele
@abduawesu91655 ай бұрын
Makonda ndie Rais wetu wa baadae.
@davidkiula429
4 ай бұрын
Hakika upooo sahihi kama mimi nionavyoo
@AminaMwakapotela-hr1mq2 ай бұрын
Nimeimpenda hapo🎉😮😊
@WinifledyMbugi-ur1hq5 ай бұрын
Makonda anakubarika kila kona nchi nzima
@thadeos-hu3wj2 ай бұрын
Big up brother
@jonathanyotham62224 ай бұрын
Big up makonda Nakupenda sana
@RhodaAmashaАй бұрын
👍👍👍
@user-if9gi2rx8f5 ай бұрын
Makonda amekuwa jaji police mwanasheria takukuru mwenyekiti wa Kijiji mratibu nk hii ndio bongo
@user-ct4vj9gg6w
5 ай бұрын
Ww ulitaka awe nani uyo anatekeleza ilani ya chama punguzeni unafiki
@user-mc6zk5wj8p
5 ай бұрын
Unataka makonda afanye kazi gani ? Akili huna kabisa kichwa maji
@RhodaAmashaАй бұрын
Kwa kweli makonda anafaa sana
@AbduKalimu5 ай бұрын
Yaan nashindwa niseme nn ,makonda jiandae tukupe urais,
@christopherclement41592 ай бұрын
Mungu ni mwema
@ibrayomapenzi70485 ай бұрын
Adili tv for life
@VeronicaMsenga2 ай бұрын
Makonda 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@greenwellnsyukwe47295 ай бұрын
Hakika kz ipo, Afisa utumishi hajui uhamisho wa watumishi wakati yy ndoo mwenye Mafaili yote ya watumishi, hata Afisa utumishi wa Wilaya hawezi kuhamisha bila wa Mkoa kufahamu, ni uzembe au kutajua wajibu wake.
@sabihaibrahim1435 ай бұрын
😂mitume imetokea mbea
@zobakazizi76375 ай бұрын
Tanzania ni shida. Hao wanaapa kulinda na kutotoa siri za serikali.
@stephenmsanzu9850
5 ай бұрын
Wewe kama huelewi karibu kufuatilia jambo
@kaundasutikaunda7769
5 ай бұрын
Kwahiyo ww kuiba kwako ndio siri sio.
@Sunrise-xp9ymАй бұрын
Kazi inaanza tena
@Oscar-qs7tn5 ай бұрын
Hongera Sana mama Kwa kulinda kiapo chako
@adamapollo9859
5 ай бұрын
Usenge😂😂
@user-fd7pp1eu5s5 ай бұрын
Mmh
@aminaomary55674 ай бұрын
Makonda❤❤❤❤
@user-in6sv4gh5uАй бұрын
Kila nikikutazama kaka naiona pcha ya magifur
@josephjacob60544 ай бұрын
Fanya Kaz mtumishi wa mungu
@AmriMzeru5 ай бұрын
Jamani kuhama ni haki ya mtumishi,iwe ana sababu au Hana sababu
@VeronicaAdam-lx8yd
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 had mtu kuham kunashid ten kubwa san
@faustinthomas95513 ай бұрын
Dooo!!huyu mama kunawatu wanampangia haamui mwenyewe
@liverpoolfootballclub9985Ай бұрын
Makonda deal na kina mama in a soft way. Kina mama hao ni viumbe dhaifu
@al-bleproshooteur1922Ай бұрын
🎉
@npiperito195 ай бұрын
Tz mbele, ila sisi mosambique akuna cheriya, na laiti kama tungekua na cheria izo, angalau tungekaa na amani🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@Thisisgrace9792 ай бұрын
Hii ni mbwembwe kwaajili ya kura, save this.
@user-gr9hq8ki4u5 ай бұрын
❤
@JoweriJowerimarikoАй бұрын
Joweri
@user-oz3vh3gm5k4 ай бұрын
❤❤❤
@MauaHaji-ur4ln5 ай бұрын
Makonda ❤❤❤❤
@najimsuleiman36904 ай бұрын
Makonda ni Mpumbavu. Huyu mama hawezi kuamliwa na msemaji wa Chama. Hizi ni drama tu....😂😂
@bonabonala55595 ай бұрын
mama huyo ni mjinga kama ma ccm wenzake hilo ni tatizo lao wakoloni weusi ccm
@athumanmnguruta3385 ай бұрын
Tunaomba picha ya mhalifu iivutwe tumtambue
@RevCharlesJPeter4 ай бұрын
Na mheshimiwa anamwambia wazi kuwa "najua mengi kuliko wewe". Hapo pagumu sana
@user-hc3px3oq1l5 ай бұрын
mi kwa mawazo yangu atumbuliwe tu maana hilo ni jipu
@user-yk5gm5qj4u5 ай бұрын
Mkuu makonda serikali Kuna vilaza sasa afisa utumishi hajui mmmmh hafai
@Nyasasorpfamily5 ай бұрын
Watu kama hao ndio wanatuludisha nyuma kwenye taifa hili
@bugybuster57884 ай бұрын
Ujue sijui viongoz kama hawa wanapatikana kwa njia gani kiongozi jeuli kiasi hicho au wanapitishwa na mabwana zao wanao waweka madarakani na kila maamuz wanawasikiliza mabwana zao
@BeatusAntony4 ай бұрын
Tikit 2:00
@user-pe8wh5bw2h2 ай бұрын
Akae kwa kutulia pambn baba
@keffaonchiri78134 ай бұрын
Makonda hoyeeeeeeeee!
@user-im4jv9he2t5 ай бұрын
Makonda unafeli wapi?kakuambia boss wake ndie mwenye uamuzi
@HashimYahya-ic2wn2 ай бұрын
Makonda nitumie namba yako nikutumie mirioni 3
@user-pe8wh5bw2h2 ай бұрын
Viongez wote wangekuwa km makonda nchi inaendelea sn yani nijembe kuliko majembe yot nakuaminis sn
@user-vl8nz4uv6k4 ай бұрын
Makonda mbona mkoa wa pwani aufiki?
@Nashohaule2 ай бұрын
Nawengine wajiandae
@user-mg6qd7si5c5 ай бұрын
Kweli Mheshimiwa Hao ni Mchwa Kabisa
@user-dw6bk7sy2n5 ай бұрын
Jamani makonda nakupenda bure
@HelmanIsaac4 ай бұрын
Ulitumia cheo kama fimbo makonda wangu
@charlesnyao89705 ай бұрын
Mimi ni Mkenya ila nafuatilia mambo ya Tanzania. Makonda fanya kazi. Magufuli style
@emmaghati5463
4 ай бұрын
Hello bro hamia Tanzania
@liverpoolfootballclub9985
Ай бұрын
254🇰🇪🇰🇪 tupo hapa.
@happynescostat74202 ай бұрын
Mungu akupe ulinzi, maraika wakuzingire, roho mtakatifu akuvae miguuni mpaka kichwani🎉🎉🎉
@gastonbiyagwa90615 ай бұрын
Katiba mpya ni muhimu.haya mambo ni uzalilishaji
@user-bd9ms4pg9z4 ай бұрын
Taarifa itv
@user-ic4zo2pj8v2 ай бұрын
Duuh
@wallacekikaho15095 ай бұрын
Mama kulinda kiapo cha utumishi wake
@modestalois25354 ай бұрын
Mtu mwenye akili timaru huwezi zungumzia tetesi
@jamesmgimba74035 ай бұрын
Binaadam wabaya sana
@JojiVedastusiАй бұрын
Makond tunakutegemea bab gombea ulais baba unastair bab
@Fatuma-io6xg5 ай бұрын
T
@davidkiula4294 ай бұрын
Hasa hawa ma RC, wakurugenzi, DC pamoja na baadhi ya mawazili kiukweli sio waadirifuu kabisa na hawamtakiii mema mheshimiwa Rais
@abelraphael97465 ай бұрын
Akigombea urais kapita
@edwinmaruchu55665 ай бұрын
Eti wanawake wanaweza nyambafu.
@user-bs4dx5so3q5 ай бұрын
Makonda Fanya kaz
@user-pe8wh5bw2h2 ай бұрын
Patamu hapo
@davidkiula4294 ай бұрын
CCM namuomba MUNGU sanaaa hiii inchi apewee Paul makonda, Sina maana wengine hawafaii no ni mtazamo wangu tuuu nachukia sanaaa watu ambao wanaharibu taswila sahihi ya nchi hiii, maana Kuna watu wameteuliwa kwenda kumsaidia Rais Kazi cha kushangaza wanatenda yao binafsi kiukweli nawachukia sanaaa tenaa sanaaa
@mariamngorongoromaria66345 ай бұрын
Watumishiiiii mh
@msafiriomary8932 ай бұрын
Vibaka wengi awamu hiiii
@user-gf3hn6un4e4 ай бұрын
Madonna njoo namanga longido
@JustinMkwanda5 ай бұрын
Acha kufanya utani na jina la MUUMBAJI hali unajua ni kibaraka wa shetani unatafuta laana ya haraka
@user-ef2ln1mx3s4 ай бұрын
Watanzania ni mazombi kushangilia ujinga wa makonda kwani yeye sio mamlaka ya kumnanga mtumishi kwa mjibu wa Shelia za kazi
Пікірлер: 163
Ingekuwa watendaji wote wangefanya kazi vizuri huenda kazi ya mheshimiwa Makonda ingekuwa ndogo sana
Big up mh. Makonda 🙏🙏 unanipa raha sana wewe kaka!..
Daaaah 😢😢😢😢😢 Mwenyezi mungu akulinde babaetu MKUU WA WAKUU WA mikowa
CDE. PAUL CHRISTIAN MAKONDA Anakipaji sana cha kuhoji. Mungu ametisha sana kumleta huyu.
I really love this man your doing a great work sir keep it up
Makonda uko safi msaidie mama,halafu baadaye kamata mwenyewr kijiti charisma yako ni kubwa ya uongozi bwana yesu asifiwe.
@user-lf7nu6gg9s
3 ай бұрын
Amin
Mungu azidi kukutunza mtumishi wake...kwa mkono wa Mungu unatusaidia wanyonge wa nchi hii, Zaburi 35: 1..... ikakufunike wewe na viongozi unaoshirikiana nao, kwa jina la Yesu.
Ni haibu sana kwa mtu yoyote kuto muanga mkono mheshimiwa mkonda. Big up na kama hunaipenda nchi yetu Tanzania na maendeleo basi mheshiwa makonda piga kazi naomba Allah akujalie maisha marefu na salama pamoja na Mama yetu Samia suluhu more love ❤❤❤
Kaka mungu akulinde na kazi yako nzuli
Kiukweri nh makonda umeiludisha ccm yetu chama chetu sasa kazi iendelee mungu akulinde
Mungu akulinde ndugu makonda❤❤❤❤❤❤❤
Ma Hana majibu mpaka huruma, mambo kama haya kazini una bambikizwa tu na Wa kuu mda kama huu Wana kugeuka inakula kwako,
Makonda hoyeeeee mungu akutunze baba
Makonda pinga supana hao mafisadi mungu akunlinde nawenyehusuda
Makonda endelea kufanya haswa usitishwe na wananchi wasiojielewa Kwan ww nikiongozi kweli
KAZI NZURI SANA MAKONDA
Jamani mama anatia uruma sana bila shaka itakuwa wajanja wamemcholesha
Endelea kuchapa kazi Mwamba
Hakika huwezi kufa kwa kupambania Haki ya wengine,Live Longer Makonda
Genius makonda
Makonda nihatali makonda fanya uje kwamgwe wilaya yahandeni bara bara hatuna aisee
Aminaa👏 hakika hautakufa bali utaishi!...🙏🙏🙏
Mama anakiburi huyo!😂😂😂😂
Big up Makonda, nakukubali sana, kweli Mama akae atulie wewe piga kazi.
Makonda ana kula raha kwakweli
Mnang'ang'ania uongozi halafu kutekeleza mambo ya nchi na wana nchi mnaleta leta utapeli
Uko sawa Makonda Mungu akutangulie
Namkubali Sana muheshimiwa makonda mungu amuwake mile na milele
Makonda ndie Rais wetu wa baadae.
@davidkiula429
4 ай бұрын
Hakika upooo sahihi kama mimi nionavyoo
Nimeimpenda hapo🎉😮😊
Makonda anakubarika kila kona nchi nzima
Big up brother
Big up makonda Nakupenda sana
👍👍👍
Makonda amekuwa jaji police mwanasheria takukuru mwenyekiti wa Kijiji mratibu nk hii ndio bongo
@user-ct4vj9gg6w
5 ай бұрын
Ww ulitaka awe nani uyo anatekeleza ilani ya chama punguzeni unafiki
@user-mc6zk5wj8p
5 ай бұрын
Unataka makonda afanye kazi gani ? Akili huna kabisa kichwa maji
Kwa kweli makonda anafaa sana
Yaan nashindwa niseme nn ,makonda jiandae tukupe urais,
Mungu ni mwema
Adili tv for life
Makonda 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hakika kz ipo, Afisa utumishi hajui uhamisho wa watumishi wakati yy ndoo mwenye Mafaili yote ya watumishi, hata Afisa utumishi wa Wilaya hawezi kuhamisha bila wa Mkoa kufahamu, ni uzembe au kutajua wajibu wake.
😂mitume imetokea mbea
Tanzania ni shida. Hao wanaapa kulinda na kutotoa siri za serikali.
@stephenmsanzu9850
5 ай бұрын
Wewe kama huelewi karibu kufuatilia jambo
@kaundasutikaunda7769
5 ай бұрын
Kwahiyo ww kuiba kwako ndio siri sio.
Kazi inaanza tena
Hongera Sana mama Kwa kulinda kiapo chako
@adamapollo9859
5 ай бұрын
Usenge😂😂
Mmh
Makonda❤❤❤❤
Kila nikikutazama kaka naiona pcha ya magifur
Fanya Kaz mtumishi wa mungu
Jamani kuhama ni haki ya mtumishi,iwe ana sababu au Hana sababu
@VeronicaAdam-lx8yd
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 had mtu kuham kunashid ten kubwa san
Dooo!!huyu mama kunawatu wanampangia haamui mwenyewe
Makonda deal na kina mama in a soft way. Kina mama hao ni viumbe dhaifu
🎉
Tz mbele, ila sisi mosambique akuna cheriya, na laiti kama tungekua na cheria izo, angalau tungekaa na amani🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hii ni mbwembwe kwaajili ya kura, save this.
❤
Joweri
❤❤❤
Makonda ❤❤❤❤
Makonda ni Mpumbavu. Huyu mama hawezi kuamliwa na msemaji wa Chama. Hizi ni drama tu....😂😂
mama huyo ni mjinga kama ma ccm wenzake hilo ni tatizo lao wakoloni weusi ccm
Tunaomba picha ya mhalifu iivutwe tumtambue
Na mheshimiwa anamwambia wazi kuwa "najua mengi kuliko wewe". Hapo pagumu sana
mi kwa mawazo yangu atumbuliwe tu maana hilo ni jipu
Mkuu makonda serikali Kuna vilaza sasa afisa utumishi hajui mmmmh hafai
Watu kama hao ndio wanatuludisha nyuma kwenye taifa hili
Ujue sijui viongoz kama hawa wanapatikana kwa njia gani kiongozi jeuli kiasi hicho au wanapitishwa na mabwana zao wanao waweka madarakani na kila maamuz wanawasikiliza mabwana zao
Tikit 2:00
Akae kwa kutulia pambn baba
Makonda hoyeeeeeeeee!
Makonda unafeli wapi?kakuambia boss wake ndie mwenye uamuzi
Makonda nitumie namba yako nikutumie mirioni 3
Viongez wote wangekuwa km makonda nchi inaendelea sn yani nijembe kuliko majembe yot nakuaminis sn
Makonda mbona mkoa wa pwani aufiki?
Nawengine wajiandae
Kweli Mheshimiwa Hao ni Mchwa Kabisa
Jamani makonda nakupenda bure
Ulitumia cheo kama fimbo makonda wangu
Mimi ni Mkenya ila nafuatilia mambo ya Tanzania. Makonda fanya kazi. Magufuli style
@emmaghati5463
4 ай бұрын
Hello bro hamia Tanzania
@liverpoolfootballclub9985
Ай бұрын
254🇰🇪🇰🇪 tupo hapa.
Mungu akupe ulinzi, maraika wakuzingire, roho mtakatifu akuvae miguuni mpaka kichwani🎉🎉🎉
Katiba mpya ni muhimu.haya mambo ni uzalilishaji
Taarifa itv
Duuh
Mama kulinda kiapo cha utumishi wake
Mtu mwenye akili timaru huwezi zungumzia tetesi
Binaadam wabaya sana
Makond tunakutegemea bab gombea ulais baba unastair bab
T
Hasa hawa ma RC, wakurugenzi, DC pamoja na baadhi ya mawazili kiukweli sio waadirifuu kabisa na hawamtakiii mema mheshimiwa Rais
Akigombea urais kapita
Eti wanawake wanaweza nyambafu.
Makonda Fanya kaz
Patamu hapo
CCM namuomba MUNGU sanaaa hiii inchi apewee Paul makonda, Sina maana wengine hawafaii no ni mtazamo wangu tuuu nachukia sanaaa watu ambao wanaharibu taswila sahihi ya nchi hiii, maana Kuna watu wameteuliwa kwenda kumsaidia Rais Kazi cha kushangaza wanatenda yao binafsi kiukweli nawachukia sanaaa tenaa sanaaa
Watumishiiiii mh
Vibaka wengi awamu hiiii
Madonna njoo namanga longido
Acha kufanya utani na jina la MUUMBAJI hali unajua ni kibaraka wa shetani unatafuta laana ya haraka
Watanzania ni mazombi kushangilia ujinga wa makonda kwani yeye sio mamlaka ya kumnanga mtumishi kwa mjibu wa Shelia za kazi
Tanzania nakuja