UTACHEKA VITUKO VYA CHID BEENZ KWA MLINZI WA DIAMOND PLATNUMZ ONESMO
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 63
Yote kwa Yote Bado ana aminii katika Dua na anawaombea wote 🙏
😂😂😂😂love u chid! Swali nzuri sana😂
Dah yani hapo madawa tu sijui smart gin,mwamba bado connection aipo
Mwanangu sana
👍
✌️👍👊.
Yan chidy mlev mlev kbc an
Brazaaa kama umerudi kwene gemu rudi kweri kaka nakubari kazi zako mpaka sasa nakupa kua wew ndo rapper nambaaa moja bongo
Nakubali kaka unajuwa kutowa ukweli
Onesmo kakutana na maswali makali😂😂😂😂
Benz mnyama sana halaf mshkaji ni enterteiment sana kiufupi anajua❤❤❤❤@genius chid benzino
@Hyden_tz
11 ай бұрын
Ilalaaaaaaa
Acha Unga we Shubamit
Chid kila akihojiwa lazima amtaje Nasibu. OG’s hawajishushishushi hivo. Na ajifunze kuongea kiprofesheno
Chidy Benz mwamba wa kitambo Sana
Sema bangi sio nzur
Ati kofia inakaa kikapu😂😂😂😢Baba Levo hapo napo ume tukwanwa😂😂
Hapo uskute smart gin ndo inaongea😂😂😂😂
Sema chid benz ata aweuke vip ila ni kichwa Sana
Wasafi msiwe mnamuoji jamaa akiwa tungi asee mnamchoresha
@scorasticaclement6308
11 ай бұрын
umeona eeee
Namaind sound ya chidii sana iko na ubora wapi chichichichiiiiiiiiiidibenzi
Kashawaka tyr😂😂😂
Chibu anampenda sana chid
I'm appreciated u nigga chid mazuna...
Ukiona Kichwa Kikubwa Ujue Dume, Akiwa Simba 👉 Dume, Sisimizi 👉 Dume, Ng'ombe 👉 Dume, Chui 👉 Dume, Kuku 👉 Dume, Bata 👉 Dume, Kichwa Kikubwa Ni Alama Ya Kiume😂
@deusmbuge5740
10 ай бұрын
Kweli kabisa
Kofia ya baba levo kikapu dadeq shikamoo chidy benzi😂😂😂
Nawaza hv mwanamke wa chidy Benz anaish vp na chidy daah
Aaliyah ange combine na mchagga ingekua bonge la show
Haha sema maproduce wapya
Hakiri nyingi daaah
Kwa mfano Diomond akiwa na demu unakaaga chumbani pembenii eeh
Madawa yamempoteza sana huyu mwamba
Jamaa anaonekana bado dawa zinamuendesha
@binaljabirmshihirzanzibar8369
11 ай бұрын
Anatumia mchiz ndio shida yake huyo tenaaa kuna time kimyaaa kimyaaa ila ss hv waz waz tuu
Uyu mwamba ni nomaa namwelewaga xaana
Kichwa kikubwa😂😂😂
Unakaaga chumbani pembeni au? dahhhh ungetuacha kusikie iyo dahhh
@mariamusaulo4429
11 ай бұрын
Hiyo ya chumbaniii pembeni tungeisikia bhana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bado anakula Bwimbwi
Akiwaga dem unakaaga chumbani?😂😂
Ila chidi mwehu nyie akiwa na demu unakaa chumbani ee 😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Still bado ana ufahamu mkubwa
Ukisha mkubali mtu hakika huoni baya lake..
chid mtu na nusu
Network haipo pombe mbaya sana wallahi mtu unapauka
Kofia ya chawa kama kikapu 😂😂
Unga kitu mbaya sana jamani, usijaribu kula unga, wewe kula ugali tu
Bwimbwi litakuua Chid umechakaa utafikiri umemwagiwa oil chafu.
@mohammadoman8963
11 ай бұрын
Pombe zinamchakaza
@samsondawson6982
11 ай бұрын
Unawashwa unataka akule matako
Mrudisheni bado anaumwa huyu mwamba
@josephstephen1079
11 ай бұрын
hahahaha tayar kashapona huyo
Kabla ya yote nasoma coment nimeanza kucheka
Hachukui miaka kadhaa huyu
Ilala mabegani🦍
huyu jamaa watu wanampenda lkn haya madawa cjui karogewa wapi
@jumahamad9463
11 ай бұрын
ALIBADIRI YA MPAKISTANI NI MBAYA
@jumahamad9463
11 ай бұрын
ALIBADIRI YA MPAKISTANI INAFANYA KAZI
@stevewanga957
11 ай бұрын
@@jumahamad9463 hapo nomaa