URUSI wayafanyia uchunguzi makombora ya ATACMS ya Mmarekani ambayo yamekuwa magumu kuyaharibu vitani

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 102

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m5 күн бұрын

    Ni kama Himars tu!! Ilikuwa vigumu sana kuiharibu au kuidungua, lkn wakalikamata hilohilo mfumo wa Himars, kisha ndo wakaweza kuijua na kuizima afu kuharibiwa kabla ya kuleta madhara. Russia ni wajanja sana!!!

  • @shomaryramadhani270
    @shomaryramadhani2705 күн бұрын

    Duuuuh jaman tuwaombee tu mungu awape mioyo ya kustisha mapigano vita sio nzuri kuna watu wanakufa bila hatia

  • @jumamussantuiche

    @jumamussantuiche

    4 күн бұрын

    @@shomaryramadhani270 wazo lako mzuri marekani na umoja wa ulaya biashara yao migogoro duniani.

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda79275 күн бұрын

    Ndio mjue sasa kwann russia wameficha silaha mpya na wanatumia zaidi silaha za kizamani

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo5 күн бұрын

    Habari nzuri kwa team Russia 🇷🇺🙏🙏

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART5 күн бұрын

    Ilo kombora Russia ikishindwa kulifanyia uchunguzi linapelekwa china hapo ndio inakua mwaisho wake utaskia china na yeye ana makombora ya atacams anauza

  • @makanjamkabila

    @makanjamkabila

    5 күн бұрын

    Kwani wewe unaona wa china 🇨🇳 wapo juu kwa technology ku zidi russia 🇷🇺

  • @hashimumwinyi2239

    @hashimumwinyi2239

    5 күн бұрын

    Iran baba linaenda mabingwa wa reverse

  • @user-zd1zc8dr1f

    @user-zd1zc8dr1f

    4 күн бұрын

    ​@@makanjamkabilawachina wana copy hatareeee

  • @AjudeKaluwa-bp1zz

    @AjudeKaluwa-bp1zz

    4 күн бұрын

    Tena wanaboresha zaidi

  • @sirpaza8513

    @sirpaza8513

    4 күн бұрын

    Urusi na Marekani ndio top. China wanakuja kwa kasi

  • @jotafungo4622
    @jotafungo46224 күн бұрын

    Safi sana Urusi

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko97655 күн бұрын

    Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche5 күн бұрын

    Urusi anaga baiya

  • @SelemaniMeena-oo3os
    @SelemaniMeena-oo3os4 күн бұрын

    Urusi kuichalenji marekani ni rahisi mno, ila marekani kuichalenji urusi ni ngumu mno

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw5 күн бұрын

    Ufanisi mwema kwa urusi...

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy5 күн бұрын

    Apa US kapokea wastan kwa idadi

  • @theempire4058
    @theempire40585 күн бұрын

    Alafu ukija kwenye ule ushabiki wetu wa kipumbavu mtu anakuambia mrusi yupo juu kwa silaha wakati hapa tu kabomu kadogo kanatoa jasho, aya hatujui kuna mengine mangap tofaut bado mmarekani hajayatoa, putin ajifunze na ajipange kupitia hili kutengeneza silaa za kisasa.

  • @HarounRashidKuyawa

    @HarounRashidKuyawa

    5 күн бұрын

    kwenye mfumo wa ubongo wa binadamu hakuna binadamu mwenyewe kujua Kila kitu,Kwa hiyo technology Kila mtu ana yake,kujua ya mwezako kuna faida mara mbili,na kuhusu silaha Urusi ndio nchi yenye mabomu Hatari Zaid ya nuclear kuliko nchi yeyote duniani,Acha undezi fatilia utambue

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    Ww choko hujielew mrusi ndo mweny technology zaid ya hao mashoga

  • @theempire4058

    @theempire4058

    5 күн бұрын

    @@omarymwaluko9765 tuache ushabiki usio na maana, umeona apo kabisa urusi ndo anaanza kujifunza uo mfumo afu unasema urusi iko juu

  • @theempire4058

    @theempire4058

    4 күн бұрын

    @@omarymwaluko9765 poa

  • @vumiliamgingu1579
    @vumiliamgingu15795 күн бұрын

    🇷🇺🇷🇺🇹🇿 🔥

  • @kanutimosha1193
    @kanutimosha11934 күн бұрын

    😅😅 yangu macho na masikio muache mwenye ngufu apite

  • @user-ow6fw2lw7n
    @user-ow6fw2lw7n5 күн бұрын

    Urusi ni mwamba wa vita duniani

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie74905 күн бұрын

    🎉 Nice urusi ikojuu

  • @paschalcosmas6093

    @paschalcosmas6093

    5 күн бұрын

    Unajielewa kweli wewe?...wakat mwenzio hajapata ufumbuz wa hilo Bomu hlf ww unasema yupo juu?...je, hujui kuw makombora mangapi yenye high technology ambayo Marekan kayaficha?

  • @ShawnBeatz

    @ShawnBeatz

    5 күн бұрын

    Unabishana na machawa wa putin😂😂😂​@@paschalcosmas6093

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    ​@@paschalcosmas6093marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani

  • @Maxtechtv
    @Maxtechtv5 күн бұрын

    😂😂 kichwa vita

  • @CalebThomas-ie4zy
    @CalebThomas-ie4zy5 күн бұрын

    Warus wapo vzur sana kivita ila marekan ananguv kubwa ya washirika hii ndio itampa ugum putin

  • @mohamedngoshani2067

    @mohamedngoshani2067

    5 күн бұрын

    Uko vzr

  • @nick1o7bang17

    @nick1o7bang17

    5 күн бұрын

    Marekani anatumia nguvu putin anatumia akili mingi tatizo linaanzia apo

  • @theempire4058

    @theempire4058

    5 күн бұрын

    Kuweni na akili na acheni kugeuza mada kinachoongelewa hapa ni silaha mpya alizonazo mmarekani ambazo mrusi hana, kwa maana iyo putin anatakiwa awe makin kwa hili kumbukeni hii kwake ni silaha mpya na wanaanza kujifunza

  • @eliasaNgahehwa-l2f

    @eliasaNgahehwa-l2f

    5 күн бұрын

    Kila mtu ana technology yake yake, ​@@theempire4058

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    ​@@theempire4058ww choko urusi anasilaha kali kuliko hao mashoga

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko97655 күн бұрын

    Urusi kiboko ya mashoga

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack95775 күн бұрын

    Sasa wamelipataje

  • @thefactbook...1607

    @thefactbook...1607

    5 күн бұрын

    Katika vita kupata silaha za adui ni kawaida kuna njia mbili 1. Jamming(electronic warfare) 2. Lilitunguliwa kabla ya kulipuka ila namba 1 ni uhakika zaidi.

  • @hamzamasoud9120

    @hamzamasoud9120

    5 күн бұрын

    @@thefactbook...1607 vile vile linawezwa kumiss Fire (kutoripuka)

  • @rashidmaty7824
    @rashidmaty78245 күн бұрын

    Ww Aly twakujua ni team west ww

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    5 күн бұрын

    Ally ni Hana UPANDE kama smaa iyo HABARI ni toka juzi

  • @lakasid3860

    @lakasid3860

    5 күн бұрын

    Naww tunajua ni team Russia kwaiyo tulia

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    Ali kashakuwa mwanachama wa. mashoga

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    5 күн бұрын

    @@omarymwaluko9765 anachokiripoti ALLY ndicho kimeripotiwa na vyombo vingine vya kuaminika vya kimataifa HATA vile pro Russia

  • @josepheriah5977
    @josepheriah59774 күн бұрын

    Marking wafanyia uchinguzmakombora ya urus iskanda

  • @user-nw1zz5xg2d
    @user-nw1zz5xg2d5 күн бұрын

    Ujanja nkuwahi hii ndio karata ya vita

  • @kwisa4899
    @kwisa48995 күн бұрын

    mbona watu munaona hii ni big deal munaijua fab 3000?

  • @user-go3xe4mk4w
    @user-go3xe4mk4w5 күн бұрын

    Mmarekan ndio mkali wa hz kaz kwahiyo kaen kwa ku2lia na bd

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani

  • @hamidamussa-sy4fm

    @hamidamussa-sy4fm

    5 күн бұрын

    Marekani ananguvu

  • @PAULNYANDILE

    @PAULNYANDILE

    5 күн бұрын

    ukapimwe akili kwanza😂😂😂

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.655 күн бұрын

    👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝

  • @minanifreddy6969
    @minanifreddy69695 күн бұрын

    Sns ya warusi

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    Mashoga hawana jambo wanapigwa tu

  • @user-ww5iu4gz4b

    @user-ww5iu4gz4b

    5 күн бұрын

    Ww pinga kwa hoja tu wenzio wanaleta nondo za uhakika sasa ww kataa kwa logic na facts sio useme ya urusi tu ww pinga kwa hoja za msingi mtu kuchagua wapi apende haikatazwi hata ww penda marekani ila ukija na habari hapa njo nayo ilionyooka

  • @user-ig3qn9zw6b

    @user-ig3qn9zw6b

    4 күн бұрын

    ​@@user-ww5iu4gz4bwatuleteye nondo za huko tanzania ili tuahelewe

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk5 күн бұрын

    🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️👑

  • @kanutimosha1193
    @kanutimosha11934 күн бұрын

    Mrusi ni baba sio sadam au kadafi

  • @directortwicep3028
    @directortwicep30284 күн бұрын

    Ujanja wote wa Mrusi anaanza kulifuatilia kombora la mmarekani 😂 Hawa jamaa teknolojia bado na mmarekani hawezi peleka kwasasa silaha more advance ukraine hilo kombora lakitambo na bado linawapa wakati mgumu mrusi 😂😂😂

  • @paschaljuma3312

    @paschaljuma3312

    4 күн бұрын

    Nenda kaolewe marekan

  • @InnocentZamkulu
    @InnocentZamkulu5 күн бұрын

    Wakigundua hilo Marekani ita tengeneza next level 💯

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    Marekani mashoga Urusi ana technology kubwa zaid yake

  • @user-ig3qn9zw6b

    @user-ig3qn9zw6b

    4 күн бұрын

    ​@@omarymwaluko9765we shabukia ila hacha kudanganya watu

  • @kanutimosha1193
    @kanutimosha11934 күн бұрын

    Kama afngastani ilimshinda mmarikani je baba putini

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima20535 күн бұрын

    Kwanini was display why isingekuwa silently

  • @ElisalMasawe

    @ElisalMasawe

    5 күн бұрын

    Hapa watakua wamepata JB bt wanacheza na akili ya us waone action hivyo hiyo action ndo itawaxaidia

  • @josepheriah5977
    @josepheriah59774 күн бұрын

    Putin afe

  • @SelemaniMeena-oo3os

    @SelemaniMeena-oo3os

    4 күн бұрын

    Anza kufa wewe

  • @furahafrank8267
    @furahafrank82675 күн бұрын

    Nina sikia huu mfumo unamutesa murusi.

  • @mustafamasudi8093

    @mustafamasudi8093

    5 күн бұрын

    Kvp wakati anayaharibu kila siku

  • @lakasid3860

    @lakasid3860

    5 күн бұрын

    ​​@@mustafamasudi8093wameyaharibu lini wakati hapo mchambuzi anasema wamepata tabu kuyaharibu mpaka wamechukua wataalamu kuyachunguza au hujaelewa kinachoongelewa?

  • @Badvoice707
    @Badvoice7075 күн бұрын

    Mmarekani humuwezi kirahisi hivyo aligundua atomic wa Japan wakasalit amri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SaidiMkome-qq7hy

    @SaidiMkome-qq7hy

    5 күн бұрын

    Urusi sio japana soma hostory

  • @Expl0rer.

    @Expl0rer.

    5 күн бұрын

    ​@@SaidiMkome-qq7hy 💯💯 Urusi anaongoza ktk nyuklia . 💪

  • @YohanaMasebo

    @YohanaMasebo

    5 күн бұрын

    Akili yako ni kizibo

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    5 күн бұрын

    Japan hanamzd urusi kiraktu hacha ujinga naunaz Japan ashawai kumchakaza urusi vbaya mno urusi yesta hanapata ushnd kwa watoto kama mwenzake Netanyahu harafu wana vmba kichwa wababe hajakutana nasaiziyao​@@SaidiMkome-qq7hy

  • @ramaturuku863

    @ramaturuku863

    5 күн бұрын

    Fuatilia vizuri science ya atomic bomb haikugunduliwa na mmarekani Bali mjerumani ndiye aliyeanza kuitengenesa kwa kuwatumia wafungwa wa kiyahudi mwaka 1944 lakini kwa bahati mbaya mwaka huo wakati wakiendelea na utengenezaji wa silaha ujerumani kipindi hicho Vita ilimgeukia vibaya kukawa hakuna coordination nzuri katika jeshi la ujerumani vikosi vyake vilitawanyika ndipo mmarekani akapata taarifa ya kwamba mjerumani yupo kwenye hatua za utengezaji wa silaha kubwa ya maangamizi, ndipo marekani akatuma askari wake wa kijasusi kwenda kudukua BLUEPRINT ya Technology hiyo, hatimae mwishoni mwa 1944i na mwanzoni mwa mwaka 1945 marekani akaikamilisha kuunda bomu la atomic na kwenda kumpiga swahiba wake mjerumani ambae ni mjapani aliyekuwa akimsumbua mmarekani kama mbu mwenye kiu ya Damu, N.B wakati marekani ametuma majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa uundaji huo Mrusi pia alipata taarifa ya sakata hilo hivyo Mrusi ilimbidi atume majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa bomu la nyuklia, Mwisho, Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi yenye teknolijia kubwa ya kijeshi kipindi cha Vita ya pili ya Dunia kuliko nchi yeyote ile, na baada ya kuanguka kwake nchi kubwa ziliiba utaalamu mwingi wa kijeshi kutokea kwake, mfano utaalamu wa silaha za Maroketi nchi za marekani na urusi ziliiba ujuzi kutokea kwa mjerumani✌

  • @yonathanbanyikwa1813
    @yonathanbanyikwa1813Күн бұрын

    Propaganda nazo zipo

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel5 күн бұрын

    Urusi ndiyo inchi pekee yenye nguvu zaidi

  • @InnocentZamkulu

    @InnocentZamkulu

    5 күн бұрын

    Nguvu za kushindwa kumaliza vita ambayo walidai watashinda kwa wiki mbili. Bali leo imekua karibu miaka.

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    ​@@InnocentZamkuluurusi anapambana na mashoga wote duniani kupitia Ukraine

  • @user-ig3qn9zw6b

    @user-ig3qn9zw6b

    4 күн бұрын

    Mashoga wanasapoti tuu. Vita imemukuana ngumu tu. ​@@omarymwaluko9765

  • @ShekhMufyd-mn9zn

    @ShekhMufyd-mn9zn

    3 күн бұрын

    @@InnocentZamkulu hujui kitu wew urusi anapigana na NATO wew

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm5 күн бұрын

    Marekani ana nguvu sana

  • @user-sn4iq6cu1f

    @user-sn4iq6cu1f

    5 күн бұрын

    nguvu za kiume au

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan52855 күн бұрын

    Ili mjue mrusi vita anaimudu mwambieni marekani anyooke moja kwa moja kunpiga urusi nadhan mtakua mmenielewa kwa wale mnao shabikia mashoga

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma5 күн бұрын

    Huyu Ali masubi ni mchambuzi mzuri kuliko DJ smaa angekua DJ smaa hapo ungesikia kiingerza kingi mara fuse mara logic mambo rundo hongera ali masubi

  • @PAULNYANDILE

    @PAULNYANDILE

    5 күн бұрын

    ukapimwe akili kwanza😂😂😂

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl5 күн бұрын

    Warusi hawawezi kufaulu.

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    5 күн бұрын

    Trump kaapa akaingia ikulu ndani ya masaa 24 iyo vita anamaliza na dalili za Trump kurudi ni 99% , na atachofanya ni kukata hela za kumpa Ukraine na kumpigia simu putin aache kushambulia

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    5 күн бұрын

    Urusi kiboko ya mashoga

  • @PAULNYANDILE

    @PAULNYANDILE

    5 күн бұрын

    ukapimwe akili kwanza😂😂😂, na ukifuatiliwa mpaka leo haujaolewa bwege wewe akili yako imeganda😂😂😂😂

Келесі