Ukitaka faulu katika ndoa oa mwanamke uliyemshinda haya mambo manne - Sheikh Walid
Жүктеу.....
Пікірлер: 15
@DafiMohamed-dz8xk3 ай бұрын
Sheikh wangu upo sahihi jazakhallah khairan
@a.8563 ай бұрын
Jazakallah khayran
@user-tw4nf6bv8b3 ай бұрын
Shekh ndoa haina standard formula Hakuna mwanamke wa hivyo hajui una kazi unayo yy anataka pesa Watu mpaka wake zao ni maboss wanalipwa kuliko waume zao lkn wanataka pesa Shekh
@user-tw4nf6bv8b3 ай бұрын
Muombe Allah tu akujaalie mke Mcha Mungu
@hassanmwallimu57673 ай бұрын
Sheikh Walid manenoyo n’yakweli kama tusemavyo sisi watu watanga
@user-yd2nh5oh2u4 ай бұрын
😂😂hapo kwenye tuonane
@fat-hiyarashid46054 ай бұрын
Watanasa au washanasa😂😂
@zena28724 ай бұрын
Nimesikiza mawaidha ust ukweli kabisa ndoa zikifata haya watu wAtaishi vizr .nenda na daraja lako .
@rahmamahadhi30554 ай бұрын
Katika swala la sadaka na kuwajali viongozi wetu hasa walim wa madrasa waislam tumefeli
@sulekhaabdulahi21834 ай бұрын
Nooooms sheikh
@seifazizz41603 ай бұрын
Hapo nmepta elim kubwa tuoe tunaofanana nao 😮
@mwanamkeshujaabongoflavama71804 ай бұрын
Mbona sheikh atingisha miguu uku ka keti hivyo nili wahi kusikia na ninavo jua pia ki dini si haram lakini ndivo alivo shetan aki keti anakua anatingisha miguua nadhani sheikh wetu kapitiwa, mola azidi kumuongoza mana yeye ndo kio chetu pia
@Official83640
4 ай бұрын
Huo ugonjwa km unavyoona kunyonya vidole kula kucha na hiyo ndy hivyo hivyo kila mtu kapewa kitu chake cha mazoea
@Twahamwela-ch5lz
4 ай бұрын
Hayo maelezo uliskia ktk qur aan au hadiyth au ulimskia sheikh akisema?
Пікірлер: 15
Sheikh wangu upo sahihi jazakhallah khairan
Jazakallah khayran
Shekh ndoa haina standard formula Hakuna mwanamke wa hivyo hajui una kazi unayo yy anataka pesa Watu mpaka wake zao ni maboss wanalipwa kuliko waume zao lkn wanataka pesa Shekh
Muombe Allah tu akujaalie mke Mcha Mungu
Sheikh Walid manenoyo n’yakweli kama tusemavyo sisi watu watanga
😂😂hapo kwenye tuonane
Watanasa au washanasa😂😂
Nimesikiza mawaidha ust ukweli kabisa ndoa zikifata haya watu wAtaishi vizr .nenda na daraja lako .
Katika swala la sadaka na kuwajali viongozi wetu hasa walim wa madrasa waislam tumefeli
Nooooms sheikh
Hapo nmepta elim kubwa tuoe tunaofanana nao 😮
Mbona sheikh atingisha miguu uku ka keti hivyo nili wahi kusikia na ninavo jua pia ki dini si haram lakini ndivo alivo shetan aki keti anakua anatingisha miguua nadhani sheikh wetu kapitiwa, mola azidi kumuongoza mana yeye ndo kio chetu pia
@Official83640
4 ай бұрын
Huo ugonjwa km unavyoona kunyonya vidole kula kucha na hiyo ndy hivyo hivyo kila mtu kapewa kitu chake cha mazoea
@Twahamwela-ch5lz
4 ай бұрын
Hayo maelezo uliskia ktk qur aan au hadiyth au ulimskia sheikh akisema?
@ommarallyhamad7435
3 ай бұрын
Usione anafanya nn ona anasema nn