Ukitaka faulu katika ndoa oa mwanamke uliyemshinda haya mambo manne - Sheikh Walid

Пікірлер: 15

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk3 ай бұрын

    Sheikh wangu upo sahihi jazakhallah khairan

  • @a.856
    @a.8563 ай бұрын

    Jazakallah khayran

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b3 ай бұрын

    Shekh ndoa haina standard formula Hakuna mwanamke wa hivyo hajui una kazi unayo yy anataka pesa Watu mpaka wake zao ni maboss wanalipwa kuliko waume zao lkn wanataka pesa Shekh

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b3 ай бұрын

    Muombe Allah tu akujaalie mke Mcha Mungu

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu57673 ай бұрын

    Sheikh Walid manenoyo n’yakweli kama tusemavyo sisi watu watanga

  • @user-yd2nh5oh2u
    @user-yd2nh5oh2u4 ай бұрын

    😂😂hapo kwenye tuonane

  • @fat-hiyarashid4605
    @fat-hiyarashid46054 ай бұрын

    Watanasa au washanasa😂😂

  • @zena2872
    @zena28724 ай бұрын

    Nimesikiza mawaidha ust ukweli kabisa ndoa zikifata haya watu wAtaishi vizr .nenda na daraja lako .

  • @rahmamahadhi3055
    @rahmamahadhi30554 ай бұрын

    Katika swala la sadaka na kuwajali viongozi wetu hasa walim wa madrasa waislam tumefeli

  • @sulekhaabdulahi2183
    @sulekhaabdulahi21834 ай бұрын

    Nooooms sheikh

  • @seifazizz4160
    @seifazizz41603 ай бұрын

    Hapo nmepta elim kubwa tuoe tunaofanana nao 😮

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama71804 ай бұрын

    Mbona sheikh atingisha miguu uku ka keti hivyo nili wahi kusikia na ninavo jua pia ki dini si haram lakini ndivo alivo shetan aki keti anakua anatingisha miguua nadhani sheikh wetu kapitiwa, mola azidi kumuongoza mana yeye ndo kio chetu pia

  • @Official83640

    @Official83640

    4 ай бұрын

    Huo ugonjwa km unavyoona kunyonya vidole kula kucha na hiyo ndy hivyo hivyo kila mtu kapewa kitu chake cha mazoea

  • @Twahamwela-ch5lz

    @Twahamwela-ch5lz

    4 ай бұрын

    Hayo maelezo uliskia ktk qur aan au hadiyth au ulimskia sheikh akisema?

  • @ommarallyhamad7435

    @ommarallyhamad7435

    3 ай бұрын

    Usione anafanya nn ona anasema nn

Келесі