UJUMBE MZITO WA MBOWE KWA MCHUNGAJI MSIGWA BAADA YA KUHAMIA CCM "TUNAONDOA VIRUSI NDANI YA CHAMA.

#mbowe

Пікірлер: 20

  • @rugemalilalucas4533
    @rugemalilalucas453322 күн бұрын

    Alihama zamani kama Triple C alivyoanza kuuza mechi huko alikohamia. Msigwa alizaliwa kipindi cha msiba, hivyo hana jipya isipokuwa kifiliska kidini na kisiasa.

  • @geofreydulle1072
    @geofreydulle107223 күн бұрын

    Njaa ni mbaya sana.

  • @gaspermsunga8686
    @gaspermsunga868623 күн бұрын

    Wakati umefika was kuondoa makapi na kubakisha ngano ,ndiposa ngano itatunzwa ghalani.

  • @jerome3143
    @jerome314323 күн бұрын

    kama alikuwa mchungaji akurizika na utume je siasa ndio atarizika nayo

  • @petertemu7136
    @petertemu713623 күн бұрын

    Miaka 20 ndani ya Chadema Leo ndio amekuwa mnafiki/msaliti?

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf23 күн бұрын

    Peter msigwa anajibalaguza ni kwamba kakosa nafasi ndio maana unaona ameamua kuhama' akumbuke watanzania wa leo sio wa miaka 5iliyopita wanajua nakupembua hoja zake

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk23 күн бұрын

    Mboe jipange achana na Marehemu wako mbele za haki. Mambo ya historia hayasaidii.

  • @user-ii6sp2nn1m
    @user-ii6sp2nn1m23 күн бұрын

    Bado lema nae naona Yuko njiani kulejea nyumbani ccm

  • @Nurudinisalimuomali
    @Nurudinisalimuomali23 күн бұрын

    KapateNa,nn,msigwa

  • @paulowilly7864
    @paulowilly786423 күн бұрын

    Njaaaaaaaaaaaasass itawauwa

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk23 күн бұрын

    Msigwa katumiwa democrasia na ni maamuzi sahihi.

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo23 күн бұрын

    Amewakimbia wajumbe alikuwa hawpendi hao wajumbe akajalibu kupiga chini ikashindikana sasa wakapiga chini ngazi za chini wakapita ngazi za juu akachungulia safu hiyo akaona weee naabika hapa ngoja niunge juuhudi

  • @JumaDoce
    @JumaDoce23 күн бұрын

    Amakweli mwenyezi Mungu ni hakimu wa haki nakumbuka uyu jamaa alivokuwa akimsema vibaya marehemu maali seifu kwa kumuita mnafiki tena kwa hasira alivokuwa akizungumza kwenye mahojiano ya TV flani nimeisahau eti kwasababu kakubali ukiingia kwenye serekali kuwa pamoja na mwinyi kumbe ilikuwa ni choyo kwa wazanibar yeye binafsi hakufurahia lakini Leo Mungu kahukumu sasaivi kila mtu anamjuwa ni nani mnafiki kati yake na maalim ivo kweli kuna haki na uadilifu kwenye hii serekali ya CCM mpaka mtu kama yeye asema anahitaji kuungana não na wao chadema wameishiwa na hoja ni mwenyezi Mungu anamuhukumia mzee wetu maalim seifu malim alikuwa mkweli na mwenye upendo kwa Zanzibar na watanzania wote pkwa msigwa kutoka chadema kwenda ccm ni uzalili na hata bado utaendelea kudhalilika m/mungu hayuko pamoja na watu wanafi

  • @user-ef2ln1mx3s

    @user-ef2ln1mx3s

    22 күн бұрын

    Msigwa Angepewa uwenyekiti wa mbowe kesho chadema ingewekezwa kama bandari ili apate chake

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa835623 күн бұрын

    Sasa kwa serikali ya sasa utaiogopa ccm? Mbowe unakiua chama cha Chadema

  • @AishaNdinadyo

    @AishaNdinadyo

    23 күн бұрын

    Mloo wa madalaka huyo amekosa uongozi ktk chama ndio maana kakimbia ameona hawezi kupata kupita kwenye kila za maoni za ubunge kwani viongozi wote walio juu sio timu yake ndio maana kakimbia mm binaf nimefulahi sana

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv23 күн бұрын

    PITER MUSGWA OGOPA SANA KUFANYA MAAZI UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA UTAKUJA JUTIA BAADAYE KUNA KUND LA WATU UMEWAUMIZA UPANDE WA PILI WALIKUA WANA KUPIGANIA IJAPO WW UNAONA NI KAWAID KWA MCHEZO WA SIASA

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo23 күн бұрын

    Msigwa mtu mwenye tamaa ya madalaka pia asipenda kushindana mtu mpekee alie kuwa ikimbeba msigwa na mzee butinini toka atoweke dunian butinini msigwa alikosa kabisa kujitambua kama kiongoz hawezi kujiongoza mbaka aongozwe pia amekimbia madeni alikula pesa za ujenzi ofc ya mkoa iringa huyoo pamoja na mweka hazina wake Rose chumi mchungaji feki kabisa

  • @2003hintay
    @2003hintay23 күн бұрын

    Hapo ndo mjue Chadema ni chama cha wachaga ukanda wa kaskazini, asiekuwa mchaga pale anachipendekeza tu

Келесі