NJJAA ZA NAMNA HII NI MBAYA SANA WATU WASHAUAWA SABABU YENU HALAFU LEO MNAWASALITI HAIPENDEZI
@emmanuelsulle911Күн бұрын
Hakuna Mchungaji mnafiki kama huyu
@gabrielnjiapanda37102 күн бұрын
Kukosa uongozi tu umehama chama,yaani ni ubinafsi tu unamsukuma.
@user-bz5ti6op6zКүн бұрын
Kumbe wa Tanzania niwamoja kumbe hata Tundu lisu anaweza kuwa mwana chama wa CCM
@patricknyiti53032 күн бұрын
Wewe ulishakula mlungula ukawa unatetea sera mbovu za CCM ..!! Uliwakana wamasai ,ulitetea ulaji wa bandari
@leokamil6284
Күн бұрын
Kabisa mnafiki mzandiki huyo
@abdallahmpalaye
Күн бұрын
😊@@leokamil6284
@jacksonsawe23012 күн бұрын
Huyu ni mnafiki huko ccm atazungumza nini wakati siasa zake ni upinzani au atamuunga Mpina?
@jdanny497
Күн бұрын
Njaa mbaya sana kwa kweli
@roudhamahmoud763Күн бұрын
Hongera msigwa umeona mbali karibu ccm.kila ataekuja ccm ataambiwq njaa ila ukweli msigwa 🎉🎉🎉🎉🎉 wache waseme hao ulowaacha nyuma watakufata karibu
@DevidMarhias2 күн бұрын
Huyo alisha kuwa ccm siku nyingi na chadema walishalitabuaga siku mingi na Msigwa alisha elewa toka hapo kuwa kinacho fuata ni THANK YOU
@piumagoha
2 күн бұрын
Kwa nn awakumfukuza mapema?
@neemamajana30782 күн бұрын
Njaa itakupelekea kifo Mchungaji, huko ulikoelekea watakupoteza, na police asiwatafute.
@user-sl1ko9me7u2 күн бұрын
CHADEMA NI KUBWA KULIKO MSIGWA.....WALIONDOKA AKINA HAYATI LOWASSA, MH. SUMAYE, MZEE SLAA, WAITARA NA WENGINE WAKATI WA HAYATI JPM....LAKINI CHADEMA KIKO IMARA!
@JohnValle-xn1dx
2 күн бұрын
Umemusahau zito kabwe
@hajihassan5433
Күн бұрын
@@JohnValle-xn1dx Chama ni watu kila mtu ni muhimu, lazima ukubali kuondoka yoyote ni pigo. Matusi hayafai.
@antonykpatricj2864Күн бұрын
Chadema ni mgodi wao.waende.sisi.tupo.sana ❤❤cadema
@user-zk9ox3di4bКүн бұрын
asanteni sana CCM kwa kutudanganya wananchi tulio wengi tunaendelea na matatizo makubwa sana ya wanyonge Chama mapinduzi kina ondoa uhuru wetu vijijini kwa kusema watasmamia uchaguzi waserekali za mitaa je kama mnasema CCM inasimamia kwanini wenyeviti wasumbuliwe wakuu wa mikoa mpaka awa wakuu wanajaribu kuweka wenyeviti je. nauliza Samia ni haki je swala la kuwakimbiza wamasai ngorongoro iyo Bado unatarajia kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mkitetea serekali sisi walio wengi atuoni haki zetu atamkisema Chadema Chama chalikabila atukatai je sio Chama Cha udini naubepari
@EzekielChalomholaКүн бұрын
Yan inadhihirisha huna hoja kabisa. Mpaka unakosa neno kasema yana unafikiria ktunga uwonngo uongo?? Da! Jaman wanasiasa wa Tanzania
@deograsiamgeni57162 күн бұрын
Njaa inawatesa watu jamani?
@emmanuelmathiasmpesa93962 күн бұрын
Tunachezewa akili hapa mbona kama ni mipangphii🙆🏿♀️
@JonathanMatembo2 күн бұрын
Msigwa pole sana kwa kuuza utu wako, kuuza heshima yako, chadema ndio imekupa umaalufu watu wakakujuwa,leo umekubali kuwasaliti wana iringa,umesahau watu wapo jela wengine ni walemavu wengine wamekufa kwajili yako,imeingia kweye mtego wa CCM, watanzania wamekuzalau sana,,umeshajiuwa kisiasa bola uachane na siasa maana umeshajiuwa mwenyewe.
@walidmgonja3644
Күн бұрын
Sasa unalia nini?
@SmilingFlowerBouquet-hs2hvКүн бұрын
MUSIGWA amejimaliza kisiasa tamaa mbaya sana akina DEVDI kafulila walisha poteaga kwenye siasa nawwe ndio umeisha ivo
@barakambasile2651Күн бұрын
Mpaka happy mbowe hata sikia atabuda tuu kama vire hasikii agekua na maana nzuli na chama angejitoa kugombea tukaona kweli anamarengo mazuri na chama awapishe kinalisu
@PaskaliCharles-pz8dsКүн бұрын
Njaa zitakuua ukikosa CCM utahamia chama gani kingine
@user-hd6il8ni2fКүн бұрын
Njaa hizi watabzani kweli wana kazi ya kujitambua zaidi
@frenktarimo47032 күн бұрын
Njaa mchungaji
@natafutamatatizo4382Күн бұрын
SHOGA LIMESHANUNULIWA NA ATAKUTANA NA WANAUME WAKUBWA WA KUMSHUGHULIKIA! 👀👀
@husseinjosephitocho67542 күн бұрын
mda si mrefu tunasajili chuma cha maana mpina achana na hilo takataka liliroshindwa uwenyekiti wa chadema Kanda
@user-kz5en5tq2zКүн бұрын
NGURUWE KURUDI MATOPENI NI KAWAIDA, NA MBWA KULAMBA MATAPISHI C SHIDA, ALIYOKANDIA ANASIFIA. NAA MBAYA... KANISANI UNGEKUWA ARC BISHOP UNGENENEPA. LKN SASA MBNG NA NCHI ZINAKUTATHIMU KWA UNAFIKI WAKO. JE UTAIKOSOA TENA CCM AMA UTAISIFIA? NAKUSBR.
@WorlduniteКүн бұрын
Kwa mapokezi hayaaa, lzm atapewa uwaziri huyu😂😂😂😂
@PaskaliCharles-pz8dsКүн бұрын
Huyu kamanda wetu kapatwa na nini jamani njaa imekuwa Kali kiasi kiasi hiki siamini eti mchungaji wanairinga tumtenge akigombea nafasi yoyote
@titongome3037Күн бұрын
Ameenda kuungana na namafisadi wenzake wa ccm
@ommymsangi9182Күн бұрын
Mijuavyo mimi ulisha kisaliti chama tangu awamu ya 5 lkn ulibakishwa kama pandikizi lkn baada ya kuona kuwa wamekustukia na kukupiga chini kwa kura kanda ya Nyasa ndipo umeona uondoke.
@user-yo4mt8cv6wКүн бұрын
Umekosea huna msimamo kabisa kama kuna shida ungebako hapo kuipgania haki umeondka umekimbia matatizo hifai hatakuitwa mwanaume mwanaume hakimbii tatizo anakabiliana nalo kwa stail hii hufai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
@issaidrisamusa5962Күн бұрын
Aiseeeh, sipotezi muda tena kuwasikiza wanasiasa . Yaani aliyesema nyekundu juzi Leo anasema nyeupe tena hadharani hivi. Hata mbowe sina Imani nae. Na nahisi wakina Mdee walipata baraka zote za viongozi wa chama
@SamweliMbise-hk6sn
Күн бұрын
Usikate tamaa acha uoga
@fadhilimoshi5754Күн бұрын
Weee msigwa acha njaa huna hata aibu ulivyokuwa ukiwatukana? Na nyie ccm kwa kula matapishi hoyeee katu chadema haishuki
@AishaKafimbiКүн бұрын
Hii safi sana.
@josephlorri431Күн бұрын
Msigwa kuhamia ccm ilikuwa swala la muda tu.. huyo ni mtu wa maslahi
@BavaBava-lz8vfКүн бұрын
Ww mnafiki Uko uliko ndio sawa Huna lolote wanaharakat kama ww tunawafuta Ww na halima mdee mpo sawa pengine mpaka jinsia
@user-hj4bc5uh2xКүн бұрын
Hiikazi kaifanya mboe nahii njia yanamnahii mbaya katikamafanikioyakweli kwenyenchi yetu ila ajendayamungu itatimia tuh
@user-xi2mf4xh7rКүн бұрын
Binafsi sioni kama kuna shida yeyote Msigwa kuondoka chadema na kuhamia ccm,kwani yeye msigwa nani ndani ya chadema,aliondoka Wilblod slaa,aliondoka Zitto kabwe,Waitara,cvd 19,na wengine wengi kwani chadema imekufa?Mh,Lowassa aliondoka Ccm kwani CCm ilikufa? Msigwa siyo zaidi ya chama na huyo walimstukia muda na ndio maana walimtupilia mbali kwenye uchaguzi kanda ya nyasa.kauza kibali kisichowezatolewa na mwanadamu isipokuwa Mungu peke yake.ngoja tusubiri hapo kwisha habariyake atajitahidi kuchonga maneno lakini yatakosa kibali kwa watu, (ati mchungaji anachunga nini mbuzi,au punda,wnyamapori,au anachunga ng'ombe? Ewe mgalatia ni nani aliyekuloga kuanza kwa Roho na kukamilishwa kwa mwili?
@user-tg7vq3ty8pКүн бұрын
Watu wanatazama kwenye sura ya mtu na vyama tunatakiwa tuangalie ndani zaidi k.v. familia, shule, jkt,n.k.
@MonayLaiКүн бұрын
Yaani huyu mchungaji kituko kwa kweli, yaani kushindwa uchaguzi na Sugu ndio uhame! Sasa km ni ivyo si heri hata ungemrudia Mungu urudi kutumikia kanisa kuliko kuungana na wanyang'anyi 🥱
@walidmgonja3644
Күн бұрын
Nami namshangaa kutoka kwenye genge la majambazi aka CHAGADEMA na kujiunga na chama kilichojaa wezi,kweli huyu kashukiwa na roho mtakavitu
@abdallahrunwa1886Күн бұрын
Kwa mawazo hayo ukko swa kabisa wale wanao kutupia lawama nao nikutokujua tu hakuna chama halali kinachowanyima wanacha wake kukosolewa ukweli ni chadema tu...!mchungaji usiwe na hofu karibu nyumbani umeongozwa na roho ya ya Bwana asikutishe mtu wewe ndiyo mzarendo wa kweli umeyaona maendeleo yanayoletwa na CCM huu ndiyo ukweli...!
@lilyjones3584Күн бұрын
Hizi ndiyo zile tabia za kimalaya malaya alizosema mwalimu! Kwenye Nchi za wenzetu, hatusikii leo mtu yupo Democrat halafu kesho Republican! Au leo yupo Conservative halafu kesho yupo Labour!!! Siasa zetu ni za kushibisha matumbo. Uso umeumbwa na haya! 😢
@Danielmathayo-hj8ekКүн бұрын
Karibu ccm.
@realswahilicultural8140Күн бұрын
Mbowe aachie uenyekiti chama kinanfiaa😢😢
@jumannentimizi90002 күн бұрын
HUYU NI MJINGA MMOJA AMEKOSA CHEO AMEKIMBIA ACHENI AENDE ZAKE HUYU YUPO TAYARI KUWAUZA WANANCHI WAKE NENDA ZAKO HAUTASUMBUA AKILI ZA WATU
@lilyjones3584
Күн бұрын
Huyu jamaa yupo tayari hata kuuza watoto wake kwa uroho wa ubunge 😢
@user-xl4io3or7rКүн бұрын
Ni haki yake. Tusimkejeli hata wewe ipo siku utahama Kama alivyohama. Siasa Haina usingizi. Kahama chama lakini bado ni mtanzania.
@walidmgonja3644
Күн бұрын
Good comment
@husseinmkanga77942 күн бұрын
Mnashangaa nini mbowe mwenyewe analipwa na CCM amelamba asali kwa kifupi upinzani wote Tanzania kwa sasa ni wapambe wa CCM. Lakini ukweli ni kwamba ili mladi vyama vingi vipo CCM haiwezi kutawala milele labda waache ufisadi na hilo sio rahisi.
@FridayMwassa
12 сағат бұрын
Analipwa sh.ngapi,acha uongo siyo vizuri kutoa shutuma za uongo
@husseinmkanga7794
4 сағат бұрын
@@FridayMwassa Mbowe ni mpambe wa Mama Samia kwa sababu Mbowe anajua hana mvuto wa kuchaguliwa kuwa Rais sasa hivi na yeye anakula keki. Mbowe hana hela ya kukodi helicopter analipiwa na mama Samia. Mbowe ni mfanya biashara ya siasa sio kiongozi wa siasa. Chadema chini wa wenyekiti wa Mbowe wamegombea uraisi mara nne wameshindwa zote kwa nini bado anashika hiyo nafasi? Jibu maslahi binafsi.
@user-wu2du6jy5cКүн бұрын
Usmchagulie mtazamo wake kwani cdm chama Cha maraika
@rehemamejja8342Күн бұрын
Aishiwa na Sera.njaaa
@rahmaramadhan2825Күн бұрын
Km ni mwema acha ajenge nchi kwani tz ni mmoja kajiona anastahiri ukmbn sio chmbn
@maimunaahmed34772 күн бұрын
Nimechukia siasa siasa ni unafiki.
@moriscollins4494
Күн бұрын
Ndio unalijua leo mbona kama umechelewa sana
@frankbutati83432 күн бұрын
Mungu akutangulie huko uendako
@omarinyahegs45392 күн бұрын
Uchaguzi sio muda mbona hivyo tena
@user-ev5xw1ev6fКүн бұрын
Tanzania hakuna wapinzani wote waroho wa madaraka mbowe amekuwa mwenyekiti Zaid 20 lakin bado wanasema wanadai katiba mpya pia wale Kaz yao wapo kwa maslahi kile chama ni Sacco's ya watu ndo maana kinawalinda watu kaskazini kwa hiyo wee Kama unaipenda chadema pole as tumeelimika na ndo maana hatumuwazii mbowe Wala nan maana ni njaa ndo inamfanya apige kelele
@petermwanyondo5370Күн бұрын
Wakina zitto dokter slaa ndowalijuwa umpinza hata wakihama seem unajuwa pigo wengne kanjanja two
@user-wj6zj1ly4eКүн бұрын
Ulipaswa usmame na chama chako na kuleta mabadiliko unayoyataka. Pili kwann uliposhindwa uenyekit wa kanda ndipo uhame
@ElishaOisso2 күн бұрын
Chama yanga msigwa ccm hawa wote wamechoka hawana maajabu tena
@user-yo7sj8fs4hКүн бұрын
Baada ya kukosa uongozi wa Nyasa. Hii unaonyesha ni uchu wa madaraka. Chawa mmoja na nusu Da mpaka kusifia ya Kula na kipofu anajua.
@NixonJohnson-zn8nk2 күн бұрын
Hiyo rang na wazee hao ni uchuro
@aarona.midende1789Күн бұрын
Siasa ovyaa yaan mtu anakuwjizima data kabisaaa
@abdallahkihanza4822 күн бұрын
Bado COVID nao wapo njia moja ili kulipa walio wafadhili kuingia bungeni kinyume na katiba
@EdwardUrassa-xc6gz2 күн бұрын
Njaa
@leokamil6284Күн бұрын
Hivi hicho chama ulichokwenda ndio kuna hiyo haki na kujali wananchi na rasilimali za nchi ?
@AnnoyedFlowerPot-mr2psКүн бұрын
Kama mchungaji kadhurumiwa je akina mnyika watadumu humo
@FashoKibona2 күн бұрын
Njaa mbaya sana.
@Agath45Күн бұрын
Mmmmh haya bwana
@aronimanirakiza5655Күн бұрын
Musigwa. Gani. Aibu. Uko a Konami?
@silvaj31552 күн бұрын
Good job mh Makala
@user-ig5yn4zp2uКүн бұрын
Naamini wewe umehamia ccm baada ya kukosa ushindi wa uenyekiti wa kanda
@OmariVessoКүн бұрын
Njaa hz jau
@user-oq6zh4tg3uКүн бұрын
Wakiwa upande huu ni wahuni wakija kwenu mnawashangilia na kuwafanyia sherehe wahuni hao hao
@nashirkamugisha9425Күн бұрын
Mtu makini katoka kwenye chama cha wahuni kaenda chama walau chenye mwanga
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Siku zote nyumba ilikuwa moja. Kahama chumba tu. Ila watazamaji tulijua msigwa anaishi nyumba tofauti.
@AugustinoSambalaКүн бұрын
Mnyalukolo una nzala sana be unene Bado ndisikwelewa ndaa
@ellenirelli4912Күн бұрын
Kaa kmy kaka
@leonardalphonce8924Күн бұрын
Njaa zimekupeleka huko unajua sahiz upigaji uko kashirikiane kuiba huko
Kira mwanachadema atafakali uongozi was chadema je inwamilele au hakuna mwingine cadema mwenye akili kuliko mbowe kuwa mwenyekiti was chama happy ndoo naiona chadema kushuka kisiasa tulimweshimu mbowe rakini Sasa iiii
@leokamil6284Күн бұрын
Miradi ipi acha unafiki wewe ,anakopa kwa kukopa na bado utendaji mbovu wizi mwingi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi.
@wadeelegbogun3015Күн бұрын
CCM FEKI MMEKWISHA KIFO CHA MENDE CHALII
@YustoMlay-cv4zb2 күн бұрын
Vichwa vyote vinaenda CCM chadema Keisha kabisa
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Ni namna ya kutawalana, tuna chama kimoja mengine ni matawi. Tafakari
@FrankKajwaulaКүн бұрын
HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU 7:20
@joshua-w5p2 күн бұрын
Shida ya njaa kuamia kichwani iyoo
@FrankKajwaulaКүн бұрын
HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU
@user-bz5ti6op6z2 күн бұрын
Karibu saana msigwa bado na wengine
@OswaldMwakalinga-jr4fdКүн бұрын
Msigwa hiyo ni njaaa wenzio tumezoea wewe ni sokaliote
@antonykpatricj2864Күн бұрын
Maneno sio dawa ututoi. Kweye reli
@wadeelegbogun3015Күн бұрын
#NONSENSE, mchungaji feki wa mchongo
@user-zg4yz7je8dКүн бұрын
Kwa iyo una maanisha ccm ni safi? Mpuuzi wewe mwenye uchu wa madaraka, uliyeshindwa uchaguzi na watu walikustukia. Lilikuwa swala la muda tu na ungekuwa mwenyekiti wa nyasa si ungeliuza majimbo wewe?
Пікірлер: 152
NJJAA ZA NAMNA HII NI MBAYA SANA WATU WASHAUAWA SABABU YENU HALAFU LEO MNAWASALITI HAIPENDEZI
Hakuna Mchungaji mnafiki kama huyu
Kukosa uongozi tu umehama chama,yaani ni ubinafsi tu unamsukuma.
Kumbe wa Tanzania niwamoja kumbe hata Tundu lisu anaweza kuwa mwana chama wa CCM
Wewe ulishakula mlungula ukawa unatetea sera mbovu za CCM ..!! Uliwakana wamasai ,ulitetea ulaji wa bandari
@leokamil6284
Күн бұрын
Kabisa mnafiki mzandiki huyo
@abdallahmpalaye
Күн бұрын
😊@@leokamil6284
Huyu ni mnafiki huko ccm atazungumza nini wakati siasa zake ni upinzani au atamuunga Mpina?
@jdanny497
Күн бұрын
Njaa mbaya sana kwa kweli
Hongera msigwa umeona mbali karibu ccm.kila ataekuja ccm ataambiwq njaa ila ukweli msigwa 🎉🎉🎉🎉🎉 wache waseme hao ulowaacha nyuma watakufata karibu
Huyo alisha kuwa ccm siku nyingi na chadema walishalitabuaga siku mingi na Msigwa alisha elewa toka hapo kuwa kinacho fuata ni THANK YOU
@piumagoha
2 күн бұрын
Kwa nn awakumfukuza mapema?
Njaa itakupelekea kifo Mchungaji, huko ulikoelekea watakupoteza, na police asiwatafute.
CHADEMA NI KUBWA KULIKO MSIGWA.....WALIONDOKA AKINA HAYATI LOWASSA, MH. SUMAYE, MZEE SLAA, WAITARA NA WENGINE WAKATI WA HAYATI JPM....LAKINI CHADEMA KIKO IMARA!
@JohnValle-xn1dx
2 күн бұрын
Umemusahau zito kabwe
@hajihassan5433
Күн бұрын
@@JohnValle-xn1dx Chama ni watu kila mtu ni muhimu, lazima ukubali kuondoka yoyote ni pigo. Matusi hayafai.
Chadema ni mgodi wao.waende.sisi.tupo.sana ❤❤cadema
asanteni sana CCM kwa kutudanganya wananchi tulio wengi tunaendelea na matatizo makubwa sana ya wanyonge Chama mapinduzi kina ondoa uhuru wetu vijijini kwa kusema watasmamia uchaguzi waserekali za mitaa je kama mnasema CCM inasimamia kwanini wenyeviti wasumbuliwe wakuu wa mikoa mpaka awa wakuu wanajaribu kuweka wenyeviti je. nauliza Samia ni haki je swala la kuwakimbiza wamasai ngorongoro iyo Bado unatarajia kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mkitetea serekali sisi walio wengi atuoni haki zetu atamkisema Chadema Chama chalikabila atukatai je sio Chama Cha udini naubepari
Yan inadhihirisha huna hoja kabisa. Mpaka unakosa neno kasema yana unafikiria ktunga uwonngo uongo?? Da! Jaman wanasiasa wa Tanzania
Njaa inawatesa watu jamani?
Tunachezewa akili hapa mbona kama ni mipangphii🙆🏿♀️
Msigwa pole sana kwa kuuza utu wako, kuuza heshima yako, chadema ndio imekupa umaalufu watu wakakujuwa,leo umekubali kuwasaliti wana iringa,umesahau watu wapo jela wengine ni walemavu wengine wamekufa kwajili yako,imeingia kweye mtego wa CCM, watanzania wamekuzalau sana,,umeshajiuwa kisiasa bola uachane na siasa maana umeshajiuwa mwenyewe.
@walidmgonja3644
Күн бұрын
Sasa unalia nini?
MUSIGWA amejimaliza kisiasa tamaa mbaya sana akina DEVDI kafulila walisha poteaga kwenye siasa nawwe ndio umeisha ivo
Mpaka happy mbowe hata sikia atabuda tuu kama vire hasikii agekua na maana nzuli na chama angejitoa kugombea tukaona kweli anamarengo mazuri na chama awapishe kinalisu
Njaa zitakuua ukikosa CCM utahamia chama gani kingine
Njaa hizi watabzani kweli wana kazi ya kujitambua zaidi
Njaa mchungaji
SHOGA LIMESHANUNULIWA NA ATAKUTANA NA WANAUME WAKUBWA WA KUMSHUGHULIKIA! 👀👀
mda si mrefu tunasajili chuma cha maana mpina achana na hilo takataka liliroshindwa uwenyekiti wa chadema Kanda
NGURUWE KURUDI MATOPENI NI KAWAIDA, NA MBWA KULAMBA MATAPISHI C SHIDA, ALIYOKANDIA ANASIFIA. NAA MBAYA... KANISANI UNGEKUWA ARC BISHOP UNGENENEPA. LKN SASA MBNG NA NCHI ZINAKUTATHIMU KWA UNAFIKI WAKO. JE UTAIKOSOA TENA CCM AMA UTAISIFIA? NAKUSBR.
Kwa mapokezi hayaaa, lzm atapewa uwaziri huyu😂😂😂😂
Huyu kamanda wetu kapatwa na nini jamani njaa imekuwa Kali kiasi kiasi hiki siamini eti mchungaji wanairinga tumtenge akigombea nafasi yoyote
Ameenda kuungana na namafisadi wenzake wa ccm
Mijuavyo mimi ulisha kisaliti chama tangu awamu ya 5 lkn ulibakishwa kama pandikizi lkn baada ya kuona kuwa wamekustukia na kukupiga chini kwa kura kanda ya Nyasa ndipo umeona uondoke.
Umekosea huna msimamo kabisa kama kuna shida ungebako hapo kuipgania haki umeondka umekimbia matatizo hifai hatakuitwa mwanaume mwanaume hakimbii tatizo anakabiliana nalo kwa stail hii hufai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
Aiseeeh, sipotezi muda tena kuwasikiza wanasiasa . Yaani aliyesema nyekundu juzi Leo anasema nyeupe tena hadharani hivi. Hata mbowe sina Imani nae. Na nahisi wakina Mdee walipata baraka zote za viongozi wa chama
@SamweliMbise-hk6sn
Күн бұрын
Usikate tamaa acha uoga
Weee msigwa acha njaa huna hata aibu ulivyokuwa ukiwatukana? Na nyie ccm kwa kula matapishi hoyeee katu chadema haishuki
Hii safi sana.
Msigwa kuhamia ccm ilikuwa swala la muda tu.. huyo ni mtu wa maslahi
Ww mnafiki Uko uliko ndio sawa Huna lolote wanaharakat kama ww tunawafuta Ww na halima mdee mpo sawa pengine mpaka jinsia
Hiikazi kaifanya mboe nahii njia yanamnahii mbaya katikamafanikioyakweli kwenyenchi yetu ila ajendayamungu itatimia tuh
Binafsi sioni kama kuna shida yeyote Msigwa kuondoka chadema na kuhamia ccm,kwani yeye msigwa nani ndani ya chadema,aliondoka Wilblod slaa,aliondoka Zitto kabwe,Waitara,cvd 19,na wengine wengi kwani chadema imekufa?Mh,Lowassa aliondoka Ccm kwani CCm ilikufa? Msigwa siyo zaidi ya chama na huyo walimstukia muda na ndio maana walimtupilia mbali kwenye uchaguzi kanda ya nyasa.kauza kibali kisichowezatolewa na mwanadamu isipokuwa Mungu peke yake.ngoja tusubiri hapo kwisha habariyake atajitahidi kuchonga maneno lakini yatakosa kibali kwa watu, (ati mchungaji anachunga nini mbuzi,au punda,wnyamapori,au anachunga ng'ombe? Ewe mgalatia ni nani aliyekuloga kuanza kwa Roho na kukamilishwa kwa mwili?
Watu wanatazama kwenye sura ya mtu na vyama tunatakiwa tuangalie ndani zaidi k.v. familia, shule, jkt,n.k.
Yaani huyu mchungaji kituko kwa kweli, yaani kushindwa uchaguzi na Sugu ndio uhame! Sasa km ni ivyo si heri hata ungemrudia Mungu urudi kutumikia kanisa kuliko kuungana na wanyang'anyi 🥱
@walidmgonja3644
Күн бұрын
Nami namshangaa kutoka kwenye genge la majambazi aka CHAGADEMA na kujiunga na chama kilichojaa wezi,kweli huyu kashukiwa na roho mtakavitu
Kwa mawazo hayo ukko swa kabisa wale wanao kutupia lawama nao nikutokujua tu hakuna chama halali kinachowanyima wanacha wake kukosolewa ukweli ni chadema tu...!mchungaji usiwe na hofu karibu nyumbani umeongozwa na roho ya ya Bwana asikutishe mtu wewe ndiyo mzarendo wa kweli umeyaona maendeleo yanayoletwa na CCM huu ndiyo ukweli...!
Hizi ndiyo zile tabia za kimalaya malaya alizosema mwalimu! Kwenye Nchi za wenzetu, hatusikii leo mtu yupo Democrat halafu kesho Republican! Au leo yupo Conservative halafu kesho yupo Labour!!! Siasa zetu ni za kushibisha matumbo. Uso umeumbwa na haya! 😢
Karibu ccm.
Mbowe aachie uenyekiti chama kinanfiaa😢😢
HUYU NI MJINGA MMOJA AMEKOSA CHEO AMEKIMBIA ACHENI AENDE ZAKE HUYU YUPO TAYARI KUWAUZA WANANCHI WAKE NENDA ZAKO HAUTASUMBUA AKILI ZA WATU
@lilyjones3584
Күн бұрын
Huyu jamaa yupo tayari hata kuuza watoto wake kwa uroho wa ubunge 😢
Ni haki yake. Tusimkejeli hata wewe ipo siku utahama Kama alivyohama. Siasa Haina usingizi. Kahama chama lakini bado ni mtanzania.
@walidmgonja3644
Күн бұрын
Good comment
Mnashangaa nini mbowe mwenyewe analipwa na CCM amelamba asali kwa kifupi upinzani wote Tanzania kwa sasa ni wapambe wa CCM. Lakini ukweli ni kwamba ili mladi vyama vingi vipo CCM haiwezi kutawala milele labda waache ufisadi na hilo sio rahisi.
@FridayMwassa
12 сағат бұрын
Analipwa sh.ngapi,acha uongo siyo vizuri kutoa shutuma za uongo
@husseinmkanga7794
4 сағат бұрын
@@FridayMwassa Mbowe ni mpambe wa Mama Samia kwa sababu Mbowe anajua hana mvuto wa kuchaguliwa kuwa Rais sasa hivi na yeye anakula keki. Mbowe hana hela ya kukodi helicopter analipiwa na mama Samia. Mbowe ni mfanya biashara ya siasa sio kiongozi wa siasa. Chadema chini wa wenyekiti wa Mbowe wamegombea uraisi mara nne wameshindwa zote kwa nini bado anashika hiyo nafasi? Jibu maslahi binafsi.
Usmchagulie mtazamo wake kwani cdm chama Cha maraika
Aishiwa na Sera.njaaa
Km ni mwema acha ajenge nchi kwani tz ni mmoja kajiona anastahiri ukmbn sio chmbn
Nimechukia siasa siasa ni unafiki.
@moriscollins4494
Күн бұрын
Ndio unalijua leo mbona kama umechelewa sana
Mungu akutangulie huko uendako
Uchaguzi sio muda mbona hivyo tena
Tanzania hakuna wapinzani wote waroho wa madaraka mbowe amekuwa mwenyekiti Zaid 20 lakin bado wanasema wanadai katiba mpya pia wale Kaz yao wapo kwa maslahi kile chama ni Sacco's ya watu ndo maana kinawalinda watu kaskazini kwa hiyo wee Kama unaipenda chadema pole as tumeelimika na ndo maana hatumuwazii mbowe Wala nan maana ni njaa ndo inamfanya apige kelele
Wakina zitto dokter slaa ndowalijuwa umpinza hata wakihama seem unajuwa pigo wengne kanjanja two
Ulipaswa usmame na chama chako na kuleta mabadiliko unayoyataka. Pili kwann uliposhindwa uenyekit wa kanda ndipo uhame
Chama yanga msigwa ccm hawa wote wamechoka hawana maajabu tena
Baada ya kukosa uongozi wa Nyasa. Hii unaonyesha ni uchu wa madaraka. Chawa mmoja na nusu Da mpaka kusifia ya Kula na kipofu anajua.
Hiyo rang na wazee hao ni uchuro
Siasa ovyaa yaan mtu anakuwjizima data kabisaaa
Bado COVID nao wapo njia moja ili kulipa walio wafadhili kuingia bungeni kinyume na katiba
Njaa
Hivi hicho chama ulichokwenda ndio kuna hiyo haki na kujali wananchi na rasilimali za nchi ?
Kama mchungaji kadhurumiwa je akina mnyika watadumu humo
Njaa mbaya sana.
Mmmmh haya bwana
Musigwa. Gani. Aibu. Uko a Konami?
Good job mh Makala
Naamini wewe umehamia ccm baada ya kukosa ushindi wa uenyekiti wa kanda
Njaa hz jau
Wakiwa upande huu ni wahuni wakija kwenu mnawashangilia na kuwafanyia sherehe wahuni hao hao
Mtu makini katoka kwenye chama cha wahuni kaenda chama walau chenye mwanga
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Siku zote nyumba ilikuwa moja. Kahama chumba tu. Ila watazamaji tulijua msigwa anaishi nyumba tofauti.
Mnyalukolo una nzala sana be unene Bado ndisikwelewa ndaa
Kaa kmy kaka
Njaa zimekupeleka huko unajua sahiz upigaji uko kashirikiane kuiba huko
MBOWE UMEZIDI ,,,,,,,, achia ngazi waru tujiunge chadema
Jamaa anakula bila kunawa ameenda kwawenzie
Mwehuu huyo
Njaa mbaya.
Yuda yuda yuda usitoe mpaka zavhumban prise
Point tujenge nci na sio chama
Kira mwanachadema atafakali uongozi was chadema je inwamilele au hakuna mwingine cadema mwenye akili kuliko mbowe kuwa mwenyekiti was chama happy ndoo naiona chadema kushuka kisiasa tulimweshimu mbowe rakini Sasa iiii
Miradi ipi acha unafiki wewe ,anakopa kwa kukopa na bado utendaji mbovu wizi mwingi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi.
CCM FEKI MMEKWISHA KIFO CHA MENDE CHALII
Vichwa vyote vinaenda CCM chadema Keisha kabisa
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Ni namna ya kutawalana, tuna chama kimoja mengine ni matawi. Tafakari
HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU 7:20
Shida ya njaa kuamia kichwani iyoo
HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU
Karibu saana msigwa bado na wengine
Msigwa hiyo ni njaaa wenzio tumezoea wewe ni sokaliote
Maneno sio dawa ututoi. Kweye reli
#NONSENSE, mchungaji feki wa mchongo
Kwa iyo una maanisha ccm ni safi? Mpuuzi wewe mwenye uchu wa madaraka, uliyeshindwa uchaguzi na watu walikustukia. Lilikuwa swala la muda tu na ungekuwa mwenyekiti wa nyasa si ungeliuza majimbo wewe?
😂😂😂😂njaaa inakutesa na uroho wa madaraka
Kazi nzuri kaka
Ukubali usikubali CCM raha tu
CCM FEKI GENGE LA WAHUNI
✌️💯💯💯💯
Mibaba mizima Amna hata aibu
Msigwa oyee nakuponge
Ww kicha
nyerere alishamaliza