LEMA ATEMA NYONGO, MDEE AMCHANA LAIVU SAKATA LA MSIGWA KUTIMKIA CCM

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 152

  • @twendetuishi2316
    @twendetuishi23162 күн бұрын

    NJJAA ZA NAMNA HII NI MBAYA SANA WATU WASHAUAWA SABABU YENU HALAFU LEO MNAWASALITI HAIPENDEZI

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911Күн бұрын

    Hakuna Mchungaji mnafiki kama huyu

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda37102 күн бұрын

    Kukosa uongozi tu umehama chama,yaani ni ubinafsi tu unamsukuma.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6zКүн бұрын

    Kumbe wa Tanzania niwamoja kumbe hata Tundu lisu anaweza kuwa mwana chama wa CCM

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti53032 күн бұрын

    Wewe ulishakula mlungula ukawa unatetea sera mbovu za CCM ..!! Uliwakana wamasai ,ulitetea ulaji wa bandari

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Күн бұрын

    Kabisa mnafiki mzandiki huyo

  • @abdallahmpalaye

    @abdallahmpalaye

    Күн бұрын

    😊​@@leokamil6284

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe23012 күн бұрын

    Huyu ni mnafiki huko ccm atazungumza nini wakati siasa zake ni upinzani au atamuunga Mpina?

  • @jdanny497

    @jdanny497

    Күн бұрын

    Njaa mbaya sana kwa kweli

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763Күн бұрын

    Hongera msigwa umeona mbali karibu ccm.kila ataekuja ccm ataambiwq njaa ila ukweli msigwa 🎉🎉🎉🎉🎉 wache waseme hao ulowaacha nyuma watakufata karibu

  • @DevidMarhias
    @DevidMarhias2 күн бұрын

    Huyo alisha kuwa ccm siku nyingi na chadema walishalitabuaga siku mingi na Msigwa alisha elewa toka hapo kuwa kinacho fuata ni THANK YOU

  • @piumagoha

    @piumagoha

    2 күн бұрын

    Kwa nn awakumfukuza mapema?

  • @neemamajana3078
    @neemamajana30782 күн бұрын

    Njaa itakupelekea kifo Mchungaji, huko ulikoelekea watakupoteza, na police asiwatafute.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u2 күн бұрын

    CHADEMA NI KUBWA KULIKO MSIGWA.....WALIONDOKA AKINA HAYATI LOWASSA, MH. SUMAYE, MZEE SLAA, WAITARA NA WENGINE WAKATI WA HAYATI JPM....LAKINI CHADEMA KIKO IMARA!

  • @JohnValle-xn1dx

    @JohnValle-xn1dx

    2 күн бұрын

    Umemusahau zito kabwe

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    Күн бұрын

    ​@@JohnValle-xn1dx Chama ni watu kila mtu ni muhimu, lazima ukubali kuondoka yoyote ni pigo. Matusi hayafai.

  • @antonykpatricj2864
    @antonykpatricj2864Күн бұрын

    Chadema ni mgodi wao.waende.sisi.tupo.sana ❤❤cadema

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4bКүн бұрын

    asanteni sana CCM kwa kutudanganya wananchi tulio wengi tunaendelea na matatizo makubwa sana ya wanyonge Chama mapinduzi kina ondoa uhuru wetu vijijini kwa kusema watasmamia uchaguzi waserekali za mitaa je kama mnasema CCM inasimamia kwanini wenyeviti wasumbuliwe wakuu wa mikoa mpaka awa wakuu wanajaribu kuweka wenyeviti je. nauliza Samia ni haki je swala la kuwakimbiza wamasai ngorongoro iyo Bado unatarajia kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mkitetea serekali sisi walio wengi atuoni haki zetu atamkisema Chadema Chama chalikabila atukatai je sio Chama Cha udini naubepari

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomholaКүн бұрын

    Yan inadhihirisha huna hoja kabisa. Mpaka unakosa neno kasema yana unafikiria ktunga uwonngo uongo?? Da! Jaman wanasiasa wa Tanzania

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni57162 күн бұрын

    Njaa inawatesa watu jamani?

  • @emmanuelmathiasmpesa9396
    @emmanuelmathiasmpesa93962 күн бұрын

    Tunachezewa akili hapa mbona kama ni mipangphii🙆🏿‍♀️

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatembo2 күн бұрын

    Msigwa pole sana kwa kuuza utu wako, kuuza heshima yako, chadema ndio imekupa umaalufu watu wakakujuwa,leo umekubali kuwasaliti wana iringa,umesahau watu wapo jela wengine ni walemavu wengine wamekufa kwajili yako,imeingia kweye mtego wa CCM, watanzania wamekuzalau sana,,umeshajiuwa kisiasa bola uachane na siasa maana umeshajiuwa mwenyewe.

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    Күн бұрын

    Sasa unalia nini?

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hvКүн бұрын

    MUSIGWA amejimaliza kisiasa tamaa mbaya sana akina DEVDI kafulila walisha poteaga kwenye siasa nawwe ndio umeisha ivo

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651Күн бұрын

    Mpaka happy mbowe hata sikia atabuda tuu kama vire hasikii agekua na maana nzuli na chama angejitoa kugombea tukaona kweli anamarengo mazuri na chama awapishe kinalisu

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8dsКүн бұрын

    Njaa zitakuua ukikosa CCM utahamia chama gani kingine

  • @user-hd6il8ni2f
    @user-hd6il8ni2fКүн бұрын

    Njaa hizi watabzani kweli wana kazi ya kujitambua zaidi

  • @frenktarimo4703
    @frenktarimo47032 күн бұрын

    Njaa mchungaji

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382Күн бұрын

    SHOGA LIMESHANUNULIWA NA ATAKUTANA NA WANAUME WAKUBWA WA KUMSHUGHULIKIA! 👀👀

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho67542 күн бұрын

    mda si mrefu tunasajili chuma cha maana mpina achana na hilo takataka liliroshindwa uwenyekiti wa chadema Kanda

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2zКүн бұрын

    NGURUWE KURUDI MATOPENI NI KAWAIDA, NA MBWA KULAMBA MATAPISHI C SHIDA, ALIYOKANDIA ANASIFIA. NAA MBAYA... KANISANI UNGEKUWA ARC BISHOP UNGENENEPA. LKN SASA MBNG NA NCHI ZINAKUTATHIMU KWA UNAFIKI WAKO. JE UTAIKOSOA TENA CCM AMA UTAISIFIA? NAKUSBR.

  • @Worldunite
    @WorlduniteКүн бұрын

    Kwa mapokezi hayaaa, lzm atapewa uwaziri huyu😂😂😂😂

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8dsКүн бұрын

    Huyu kamanda wetu kapatwa na nini jamani njaa imekuwa Kali kiasi kiasi hiki siamini eti mchungaji wanairinga tumtenge akigombea nafasi yoyote

  • @titongome3037
    @titongome3037Күн бұрын

    Ameenda kuungana na namafisadi wenzake wa ccm

  • @ommymsangi9182
    @ommymsangi9182Күн бұрын

    Mijuavyo mimi ulisha kisaliti chama tangu awamu ya 5 lkn ulibakishwa kama pandikizi lkn baada ya kuona kuwa wamekustukia na kukupiga chini kwa kura kanda ya Nyasa ndipo umeona uondoke.

  • @user-yo4mt8cv6w
    @user-yo4mt8cv6wКүн бұрын

    Umekosea huna msimamo kabisa kama kuna shida ungebako hapo kuipgania haki umeondka umekimbia matatizo hifai hatakuitwa mwanaume mwanaume hakimbii tatizo anakabiliana nalo kwa stail hii hufai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962Күн бұрын

    Aiseeeh, sipotezi muda tena kuwasikiza wanasiasa . Yaani aliyesema nyekundu juzi Leo anasema nyeupe tena hadharani hivi. Hata mbowe sina Imani nae. Na nahisi wakina Mdee walipata baraka zote za viongozi wa chama

  • @SamweliMbise-hk6sn

    @SamweliMbise-hk6sn

    Күн бұрын

    Usikate tamaa acha uoga

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754Күн бұрын

    Weee msigwa acha njaa huna hata aibu ulivyokuwa ukiwatukana? Na nyie ccm kwa kula matapishi hoyeee katu chadema haishuki

  • @AishaKafimbi
    @AishaKafimbiКүн бұрын

    Hii safi sana.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431Күн бұрын

    Msigwa kuhamia ccm ilikuwa swala la muda tu.. huyo ni mtu wa maslahi

  • @BavaBava-lz8vf
    @BavaBava-lz8vfКүн бұрын

    Ww mnafiki Uko uliko ndio sawa Huna lolote wanaharakat kama ww tunawafuta Ww na halima mdee mpo sawa pengine mpaka jinsia

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2xКүн бұрын

    Hiikazi kaifanya mboe nahii njia yanamnahii mbaya katikamafanikioyakweli kwenyenchi yetu ila ajendayamungu itatimia tuh

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7rКүн бұрын

    Binafsi sioni kama kuna shida yeyote Msigwa kuondoka chadema na kuhamia ccm,kwani yeye msigwa nani ndani ya chadema,aliondoka Wilblod slaa,aliondoka Zitto kabwe,Waitara,cvd 19,na wengine wengi kwani chadema imekufa?Mh,Lowassa aliondoka Ccm kwani CCm ilikufa? Msigwa siyo zaidi ya chama na huyo walimstukia muda na ndio maana walimtupilia mbali kwenye uchaguzi kanda ya nyasa.kauza kibali kisichowezatolewa na mwanadamu isipokuwa Mungu peke yake.ngoja tusubiri hapo kwisha habariyake atajitahidi kuchonga maneno lakini yatakosa kibali kwa watu, (ati mchungaji anachunga nini mbuzi,au punda,wnyamapori,au anachunga ng'ombe? Ewe mgalatia ni nani aliyekuloga kuanza kwa Roho na kukamilishwa kwa mwili?

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8pКүн бұрын

    Watu wanatazama kwenye sura ya mtu na vyama tunatakiwa tuangalie ndani zaidi k.v. familia, shule, jkt,n.k.

  • @MonayLai
    @MonayLaiКүн бұрын

    Yaani huyu mchungaji kituko kwa kweli, yaani kushindwa uchaguzi na Sugu ndio uhame! Sasa km ni ivyo si heri hata ungemrudia Mungu urudi kutumikia kanisa kuliko kuungana na wanyang'anyi 🥱

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    Күн бұрын

    Nami namshangaa kutoka kwenye genge la majambazi aka CHAGADEMA na kujiunga na chama kilichojaa wezi,kweli huyu kashukiwa na roho mtakavitu

  • @abdallahrunwa1886
    @abdallahrunwa1886Күн бұрын

    Kwa mawazo hayo ukko swa kabisa wale wanao kutupia lawama nao nikutokujua tu hakuna chama halali kinachowanyima wanacha wake kukosolewa ukweli ni chadema tu...!mchungaji usiwe na hofu karibu nyumbani umeongozwa na roho ya ya Bwana asikutishe mtu wewe ndiyo mzarendo wa kweli umeyaona maendeleo yanayoletwa na CCM huu ndiyo ukweli...!

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584Күн бұрын

    Hizi ndiyo zile tabia za kimalaya malaya alizosema mwalimu! Kwenye Nchi za wenzetu, hatusikii leo mtu yupo Democrat halafu kesho Republican! Au leo yupo Conservative halafu kesho yupo Labour!!! Siasa zetu ni za kushibisha matumbo. Uso umeumbwa na haya! 😢

  • @Danielmathayo-hj8ek
    @Danielmathayo-hj8ekКүн бұрын

    Karibu ccm.

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140Күн бұрын

    Mbowe aachie uenyekiti chama kinanfiaa😢😢

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi90002 күн бұрын

    HUYU NI MJINGA MMOJA AMEKOSA CHEO AMEKIMBIA ACHENI AENDE ZAKE HUYU YUPO TAYARI KUWAUZA WANANCHI WAKE NENDA ZAKO HAUTASUMBUA AKILI ZA WATU

  • @lilyjones3584

    @lilyjones3584

    Күн бұрын

    Huyu jamaa yupo tayari hata kuuza watoto wake kwa uroho wa ubunge 😢

  • @user-xl4io3or7r
    @user-xl4io3or7rКүн бұрын

    Ni haki yake. Tusimkejeli hata wewe ipo siku utahama Kama alivyohama. Siasa Haina usingizi. Kahama chama lakini bado ni mtanzania.

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    Күн бұрын

    Good comment

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga77942 күн бұрын

    Mnashangaa nini mbowe mwenyewe analipwa na CCM amelamba asali kwa kifupi upinzani wote Tanzania kwa sasa ni wapambe wa CCM. Lakini ukweli ni kwamba ili mladi vyama vingi vipo CCM haiwezi kutawala milele labda waache ufisadi na hilo sio rahisi.

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    12 сағат бұрын

    Analipwa sh.ngapi,acha uongo siyo vizuri kutoa shutuma za uongo

  • @husseinmkanga7794

    @husseinmkanga7794

    4 сағат бұрын

    @@FridayMwassa Mbowe ni mpambe wa Mama Samia kwa sababu Mbowe anajua hana mvuto wa kuchaguliwa kuwa Rais sasa hivi na yeye anakula keki. Mbowe hana hela ya kukodi helicopter analipiwa na mama Samia. Mbowe ni mfanya biashara ya siasa sio kiongozi wa siasa. Chadema chini wa wenyekiti wa Mbowe wamegombea uraisi mara nne wameshindwa zote kwa nini bado anashika hiyo nafasi? Jibu maslahi binafsi.

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5cКүн бұрын

    Usmchagulie mtazamo wake kwani cdm chama Cha maraika

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342Күн бұрын

    Aishiwa na Sera.njaaa

  • @rahmaramadhan2825
    @rahmaramadhan2825Күн бұрын

    Km ni mwema acha ajenge nchi kwani tz ni mmoja kajiona anastahiri ukmbn sio chmbn

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed34772 күн бұрын

    Nimechukia siasa siasa ni unafiki.

  • @moriscollins4494

    @moriscollins4494

    Күн бұрын

    Ndio unalijua leo mbona kama umechelewa sana

  • @frankbutati8343
    @frankbutati83432 күн бұрын

    Mungu akutangulie huko uendako

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs45392 күн бұрын

    Uchaguzi sio muda mbona hivyo tena

  • @user-ev5xw1ev6f
    @user-ev5xw1ev6fКүн бұрын

    Tanzania hakuna wapinzani wote waroho wa madaraka mbowe amekuwa mwenyekiti Zaid 20 lakin bado wanasema wanadai katiba mpya pia wale Kaz yao wapo kwa maslahi kile chama ni Sacco's ya watu ndo maana kinawalinda watu kaskazini kwa hiyo wee Kama unaipenda chadema pole as tumeelimika na ndo maana hatumuwazii mbowe Wala nan maana ni njaa ndo inamfanya apige kelele

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370Күн бұрын

    Wakina zitto dokter slaa ndowalijuwa umpinza hata wakihama seem unajuwa pigo wengne kanjanja two

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4eКүн бұрын

    Ulipaswa usmame na chama chako na kuleta mabadiliko unayoyataka. Pili kwann uliposhindwa uenyekit wa kanda ndipo uhame

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso2 күн бұрын

    Chama yanga msigwa ccm hawa wote wamechoka hawana maajabu tena

  • @user-yo7sj8fs4h
    @user-yo7sj8fs4hКүн бұрын

    Baada ya kukosa uongozi wa Nyasa. Hii unaonyesha ni uchu wa madaraka. Chawa mmoja na nusu Da mpaka kusifia ya Kula na kipofu anajua.

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk2 күн бұрын

    Hiyo rang na wazee hao ni uchuro

  • @aarona.midende1789
    @aarona.midende1789Күн бұрын

    Siasa ovyaa yaan mtu anakuwjizima data kabisaaa

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza4822 күн бұрын

    Bado COVID nao wapo njia moja ili kulipa walio wafadhili kuingia bungeni kinyume na katiba

  • @EdwardUrassa-xc6gz
    @EdwardUrassa-xc6gz2 күн бұрын

    Njaa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284Күн бұрын

    Hivi hicho chama ulichokwenda ndio kuna hiyo haki na kujali wananchi na rasilimali za nchi ?

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2psКүн бұрын

    Kama mchungaji kadhurumiwa je akina mnyika watadumu humo

  • @FashoKibona
    @FashoKibona2 күн бұрын

    Njaa mbaya sana.

  • @Agath45
    @Agath45Күн бұрын

    Mmmmh haya bwana

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655Күн бұрын

    Musigwa. Gani. Aibu. Uko a Konami?

  • @silvaj3155
    @silvaj31552 күн бұрын

    Good job mh Makala

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2uКүн бұрын

    Naamini wewe umehamia ccm baada ya kukosa ushindi wa uenyekiti wa kanda

  • @OmariVesso
    @OmariVessoКүн бұрын

    Njaa hz jau

  • @user-oq6zh4tg3u
    @user-oq6zh4tg3uКүн бұрын

    Wakiwa upande huu ni wahuni wakija kwenu mnawashangilia na kuwafanyia sherehe wahuni hao hao

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425Күн бұрын

    Mtu makini katoka kwenye chama cha wahuni kaenda chama walau chenye mwanga

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Күн бұрын

    Siku zote nyumba ilikuwa moja. Kahama chumba tu. Ila watazamaji tulijua msigwa anaishi nyumba tofauti.

  • @AugustinoSambala
    @AugustinoSambalaКүн бұрын

    Mnyalukolo una nzala sana be unene Bado ndisikwelewa ndaa

  • @ellenirelli4912
    @ellenirelli4912Күн бұрын

    Kaa kmy kaka

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924Күн бұрын

    Njaa zimekupeleka huko unajua sahiz upigaji uko kashirikiane kuiba huko

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe11609 сағат бұрын

    MBOWE UMEZIDI ,,,,,,,, achia ngazi waru tujiunge chadema

  • @danielndam5997
    @danielndam5997Күн бұрын

    Jamaa anakula bila kunawa ameenda kwawenzie

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf2 күн бұрын

    Mwehuu huyo

  • @titusmulokoz7809
    @titusmulokoz78092 күн бұрын

    Njaa mbaya.

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakajeКүн бұрын

    Yuda yuda yuda usitoe mpaka zavhumban prise

  • @user-princs
    @user-princs2 күн бұрын

    Point tujenge nci na sio chama

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651Күн бұрын

    Kira mwanachadema atafakali uongozi was chadema je inwamilele au hakuna mwingine cadema mwenye akili kuliko mbowe kuwa mwenyekiti was chama happy ndoo naiona chadema kushuka kisiasa tulimweshimu mbowe rakini Sasa iiii

  • @leokamil6284
    @leokamil6284Күн бұрын

    Miradi ipi acha unafiki wewe ,anakopa kwa kukopa na bado utendaji mbovu wizi mwingi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015Күн бұрын

    CCM FEKI MMEKWISHA KIFO CHA MENDE CHALII

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb2 күн бұрын

    Vichwa vyote vinaenda CCM chadema Keisha kabisa

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Күн бұрын

    Ni namna ya kutawalana, tuna chama kimoja mengine ni matawi. Tafakari

  • @FrankKajwaula
    @FrankKajwaulaКүн бұрын

    HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU 7:20

  • @joshua-w5p
    @joshua-w5p2 күн бұрын

    Shida ya njaa kuamia kichwani iyoo

  • @FrankKajwaula
    @FrankKajwaulaКүн бұрын

    HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z2 күн бұрын

    Karibu saana msigwa bado na wengine

  • @OswaldMwakalinga-jr4fd
    @OswaldMwakalinga-jr4fdКүн бұрын

    Msigwa hiyo ni njaaa wenzio tumezoea wewe ni sokaliote

  • @antonykpatricj2864
    @antonykpatricj2864Күн бұрын

    Maneno sio dawa ututoi. Kweye reli

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015Күн бұрын

    #NONSENSE, mchungaji feki wa mchongo

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8dКүн бұрын

    Kwa iyo una maanisha ccm ni safi? Mpuuzi wewe mwenye uchu wa madaraka, uliyeshindwa uchaguzi na watu walikustukia. Lilikuwa swala la muda tu na ungekuwa mwenyekiti wa nyasa si ungeliuza majimbo wewe?

  • @FranksonMkumbwa-mb3pp
    @FranksonMkumbwa-mb3pp2 күн бұрын

    😂😂😂😂njaaa inakutesa na uroho wa madaraka

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494Күн бұрын

    Kazi nzuri kaka

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka61262 күн бұрын

    Ukubali usikubali CCM raha tu

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015Күн бұрын

    CCM FEKI GENGE LA WAHUNI

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x2 күн бұрын

    ✌️💯💯💯💯

  • @user-rv2ht5vm5k
    @user-rv2ht5vm5kКүн бұрын

    Mibaba mizima Amna hata aibu

  • @YahyaNassor-p4d
    @YahyaNassor-p4dКүн бұрын

    Msigwa oyee nakuponge

  • @SaidiSelemani-l1n
    @SaidiSelemani-l1n19 сағат бұрын

    Ww kicha

  • @jseventz
    @jseventzКүн бұрын

    nyerere alishamaliza