UCHUMI ULIOTEKWA (DAY ONE) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Пікірлер: 36
Nimebarikiwa sana amen and amen kutoka Kenya
Tunaitaji reality uku Nairobi Kenya,,,,mchungaji
Naona kufunguliwa kwangu leo kwa Jina la Yesu
Amina Amina amina ninafunguka kwa masomo haya
Mtumishi Sunbella Kyando tunakuomba uje KASULU KIGOMA kuhudumu pia, Mwaka huu huu.😢
@jeradbendiliba3828
Жыл бұрын
Kabsa
Asante mtumishi ubarikiwe natamani siku moja namimi uniombee ingawa Niko mbali lakini naamini siku moja na mwomba Mungu anipe kibali na neema ya kupata nafasi na kibali cha kukutana na wewe nakunifungua nimefatilia Sana masomo mengi nikaona kunashida kwenye maisha yangu
Amina mtumish
Ameen
Amen
Amen mtumishi barikiwa sana
Asa bwaa yesu nimeuona mkono wako ukinifungua.niko saudia rabia namuona mungu akitenda.mbariliwe sana kwa huduma yenu
Hakika umenigusa yaani ni mimi kabisaaa, Mungu akubariki sana mtumishi
Bwana Yesu Asfiwe,Mtumishi me nafanya biashara ilaniwakupoteza2,lakini kuna siku nilikuwa nimelala usiku wa manane ghafla nikasikia sauti inanambia inuka maana Roho Mtk,kakupaka Mafuta nilipo shtuka nijikuta nafanya Ishsra za kujupaka mafuta,sikuelewa maanayake Mtumishi
Mungu akuzidishe mtumish kalama utukufu kwa utukufu
Amina Baba 🙏 Ubarikiwe kwa somo nzuri
Barikiwa sana mtumishi
Amen👏
Ubarikiwe baba
Amen.
Amen🙌
Barikiwa my Pastor 🙏
Baba nifunguliwe Leo Kwa jina la yesu mapepo Majini hayana mamlaka kwenye maisha yangu Ameni 🙏 🙏🙏🙏
barikiwa
Mahubili yako huniguza sana natamani niaje huko one-day
Hallelujah 🙏
Uko mwanza mtumishi nipe apoint ment nije from kahama
Uje na huku mtumishi mkoa wa mara hasa eneo la bunda naomba ROHO MTAKATIFU aseme na wewe kwa habari ya huku mkoa wa mara
Kwa nini Mungu aliruhusu hawo wafalme wasiyokuwa ktk mpango wake wanawekwa kuwa wafalme?
Naomba namba ya simu ya mtumishi
Natamani nije station yako ya TV hapa kenya mafunzo yako yanafungua sana
@annambilinyi2550
Жыл бұрын
Mungu atupee Neema mbeya
HALLELUJAH
Tafuteni kwanza ufalme wa MUNGU hayo mengine mtapewa Kwa ziada
Kama mtu kaompokea YESU kajazwa ROHOMTAKATIFU alafu hajafunguliwa basi hapo Kuna tatizo
Amen