KIOKOTE (PICK IT UP) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Пікірлер: 22
Sante Bwana Yesu kilakilichoozama ktk maisha yangu kimeelea nanimekiokota. Ktk jina la Yesu Amen Amen 🎉❤Jesu
NAMSHUKURU MUNGU KUNILETA KWENYE HII MADHABAHU NAJISIKIA KUFARIJIKA💞.
Nafuatilia kipindi hiki nikiwa kenya.Tafadhali sauti iko chini sana.
Ee mungu naomba unitowe kwenye changamoto hiyo ya maden
Bwana naomba unipigishe hatua moja zaidi
Amen mtumishi barikiwa sana
Aminaa chuma kielee jmn sio kwamapito haya
Namshukuru Mungu Kwa hatua nyingine in Jesus name AMEN
Bwana nipe atua zaidi
Ukitafakari vizuri masomo yanayofundishwa na Baba Sunbella na Baba John machozi 😭 lazima yakutoke .
Deus te abençoe servi de Deus pela linda pregação.
Yesu ahsante kwanenozuri,uliloachiliakwamtumishiwako....aimeeen
Nilejesewe kila kitu nilicho poteza ndoa ufahamu Elimu kazi mashamba nyota ya ufanisi
Amen..naokota shoka langu la kiroho la kila eneo Kwa Jina la Yesu.Amen
Mungu atulinde katk maisha yetu
Bwana nakusihi chuma changu kielee.😭
Nakiokota chuma changu kwa jina la Yesu
Amen
Amina.🙌
Amen
@amaniipatrokil4214
Жыл бұрын
Ameen mtumishi wa MUNGU
@pastordickson1595
Жыл бұрын
Amen be blessed Man of God