HUWEZI KUFANIKIWA BILA KUFUATA HATUA HIZI

YOU CANNOT SUCCEED WITHOUT CONSIDERING THESE AREAS OF CHANGE.
In this lesson Apostle Mtalemwa teaches three areas in which change must take place if one is to succeed. 1) Thoughts
2) Speech
3) Behavior and conduct
Follow the full lesson and be blessed.
(swahili)
HUWEZI KUFANIKIWA BILA KUZINGATIA MAENEO HAYA YA MABADILIKO.
Katika somo hili Apostle Mtalemwa anafundisha maeneo matatu ambayo lazima mabadiliko yatokee endapo mtu anataka kufanikiwa.
1)Mawazo
2)Usemi
3)Tabia na mwenendo
Fuatilia somo kamili na ubarikiwe.

Пікірлер: 126

  • @sifasylvie3941
    @sifasylvie39412 жыл бұрын

    na mimi na sema mimi ni muzima nina imani kufuatana na neno lenyi nimepata leo nimefunguliwa na nimebarikiwa bwana mungu atabadilisha maisha yangu,wala sitalia tena ni mwisho ya mateso yangu,asante baba mtumishi na mimi naomba sala kwajili ya jamaa langu bwana akuongezee maisha marefu asante.

  • @careenallyally3668
    @careenallyally36682 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana sana

  • @julithakakunge7648
    @julithakakunge7648 Жыл бұрын

    Mimi ni hodari Mimi jasiri kwa jina LA yesu sitoogopa tena kusimama Na kuongea mbele za watu nauvaa ujasiri Wa yesu Amen

  • @lillianngao1974
    @lillianngao1974 Жыл бұрын

    Haki ujumbe mzuri xana umenibariki xana mtumishi

  • @nkunzimana4214
    @nkunzimana42142 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana na mungu ju unanijenga.

  • @rachaellusava9326
    @rachaellusava93262 жыл бұрын

    Natazama kutoka Kenya Nairobi, Mimi ni hodari, mshindi katika jina la yesu, thanks apostle God bless you

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 Жыл бұрын

    Nimepokea mind set.Asanrte pastor Mtalemwa

  • @agnesamos8768
    @agnesamos87682 жыл бұрын

    Ameen Mtumishi wa Mungu nabarikiwa na mafundisho yako hakika Mungu anakutumia iwish nifike Madhabahuni kwako ila cpajui ni wap

  • @mildredsakali2243
    @mildredsakali2243 Жыл бұрын

    Napokea nia ya kusimama na mindset yangu hadi nitimize katika Jina la Yesu Kristo of Nazareth Amen 🙏

  • @MagdaleneMagdalene-rz1sp
    @MagdaleneMagdalene-rz1sp

    Amen Mimi nitakua juu katika jina la yesu

  • @casmiralfred3299
    @casmiralfred32992 жыл бұрын

    Mafundisho ya kweli ya wokovu.Ahsante Mtumishi wa Mungu

  • @ramesfnotv8967
    @ramesfnotv89672 жыл бұрын

    Mm nimekusikiliza vzur itoshe kusema naona uwepo wa mungu kwako asante kwa maubiri mazur ww ni mwalim mzur

  • @meriajshxx3223
    @meriajshxx3223 Жыл бұрын

    Ameni Mungu anisaidie

  • @lillianngao1974
    @lillianngao1974 Жыл бұрын

    God bless you pastor most powerful gospel

  • @izackrich8362
    @izackrich83622 жыл бұрын

    Mimi ni tajar mimi ni boss mimi ni mubarikiwa Ameen

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi19082 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa mungu

  • @felestinekwamboka2873
    @felestinekwamboka28732 жыл бұрын

    This is amazing waaahooo mungu azidi kuitwa mungu aminaaa

  • @godliverkaseko4221
    @godliverkaseko42212 жыл бұрын

    Amen napokea mabadiliko katika mwenendo wangu na muonekano.Pamoja na yote mimi ni mkuu,mimi ni muweza

  • @episonfelician7670
    @episonfelician76702 жыл бұрын

    Apostle Mungu azidi kukuinua katika huduma yako Nabarikiwa na Mafundisho yako Nimejifunza Mengi Kupitia kwako Mtumishi Nakusikiliza Sana katika Mafundisho yako Naamin Mungu atanisaidia Kupitia ujumbe huu🙏🙏

  • @user-cs9pu5wk2f
    @user-cs9pu5wk2f

    Ndio katika mdomo kuna uhai na mauti,baraka na laana ,ni tujue ulimi na neno la mungu vinaumba vitu