HUWEZI KUFANIKIWA BILA KUFUATA HATUA HIZI
YOU CANNOT SUCCEED WITHOUT CONSIDERING THESE AREAS OF CHANGE.
In this lesson Apostle Mtalemwa teaches three areas in which change must take place if one is to succeed. 1) Thoughts
2) Speech
3) Behavior and conduct
Follow the full lesson and be blessed.
(swahili)
HUWEZI KUFANIKIWA BILA KUZINGATIA MAENEO HAYA YA MABADILIKO.
Katika somo hili Apostle Mtalemwa anafundisha maeneo matatu ambayo lazima mabadiliko yatokee endapo mtu anataka kufanikiwa.
1)Mawazo
2)Usemi
3)Tabia na mwenendo
Fuatilia somo kamili na ubarikiwe.
Пікірлер: 126
na mimi na sema mimi ni muzima nina imani kufuatana na neno lenyi nimepata leo nimefunguliwa na nimebarikiwa bwana mungu atabadilisha maisha yangu,wala sitalia tena ni mwisho ya mateso yangu,asante baba mtumishi na mimi naomba sala kwajili ya jamaa langu bwana akuongezee maisha marefu asante.
Mungu akubariki sana sana
Mimi ni hodari Mimi jasiri kwa jina LA yesu sitoogopa tena kusimama Na kuongea mbele za watu nauvaa ujasiri Wa yesu Amen
Haki ujumbe mzuri xana umenibariki xana mtumishi
Ubarikiwe sana na mungu ju unanijenga.
Natazama kutoka Kenya Nairobi, Mimi ni hodari, mshindi katika jina la yesu, thanks apostle God bless you
Nimepokea mind set.Asanrte pastor Mtalemwa
Ameen Mtumishi wa Mungu nabarikiwa na mafundisho yako hakika Mungu anakutumia iwish nifike Madhabahuni kwako ila cpajui ni wap
Napokea nia ya kusimama na mindset yangu hadi nitimize katika Jina la Yesu Kristo of Nazareth Amen 🙏
Amen Mimi nitakua juu katika jina la yesu
Mafundisho ya kweli ya wokovu.Ahsante Mtumishi wa Mungu
Mm nimekusikiliza vzur itoshe kusema naona uwepo wa mungu kwako asante kwa maubiri mazur ww ni mwalim mzur
Ameni Mungu anisaidie
God bless you pastor most powerful gospel
Mimi ni tajar mimi ni boss mimi ni mubarikiwa Ameen
Asante mtumishi wa mungu
This is amazing waaahooo mungu azidi kuitwa mungu aminaaa
Amen napokea mabadiliko katika mwenendo wangu na muonekano.Pamoja na yote mimi ni mkuu,mimi ni muweza
Apostle Mungu azidi kukuinua katika huduma yako Nabarikiwa na Mafundisho yako Nimejifunza Mengi Kupitia kwako Mtumishi Nakusikiliza Sana katika Mafundisho yako Naamin Mungu atanisaidia Kupitia ujumbe huu🙏🙏
Ndio katika mdomo kuna uhai na mauti,baraka na laana ,ni tujue ulimi na neno la mungu vinaumba vitu