Pastor nilianza kukuelewa sana tangu kwenye ule wimbo wa Muzina nakupenda sana Mungu akuinue zaidi na zaidi
@naomkerubo98603 жыл бұрын
Amen mtume wa yesu nambarikiwa na maumbiri yako,,,, i'm watching from saudia i'm blessed🙏🙏🙏
@betkyasio68483 жыл бұрын
Mwanangu atapona kwa Jina la Yesu
@Devothakimei3 жыл бұрын
Waoooooh. What a powerful teachings? Asante mtumishi wa Mungu. Nimekuelewa sanaaaa. Hili somo ni applicable sector zote za maisha. Asante mlezi wetu
@eutropiangido96843 жыл бұрын
Asante mtumishi. Injili ya kweli lazima ihubiriwe. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huduma hii na tunamshukuru Mungu na sisi wa mbali inatufikia. Mbarikiwe sana. Limekuwa neno langu siku ya leo
@samsonmgonja40143 жыл бұрын
Msumari wa inchi nane unaumaaa lakini tumepona,meseji sent,hata Roho mtakatifu kafurahi
@christinengule4718 Жыл бұрын
asante mtumishi nabarikiwa nkiwa apa🇰🇪
@tumainimbogo54123 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU unaponya mioyo ya wengi Sana ,hakika wewe ni mtu tunapaswa kujivunia na kukuombea Sana ktk kipindi hiki Cha siku za mwisho.....wewe ni hazina 🙏🙏🙏🙏MUNGU akutunze....
@lissajeruto5373
3 жыл бұрын
Sure Ameen
@junioraria3428 Жыл бұрын
Amen amen mutumishi Mungu akuzidishiye
@godwinmakomba27143 жыл бұрын
Mungu atusaidie tutegemee maandiko ktk biblia na sio media, kama mfalme wa shamu alikuja tena mwezi wa kwanza baada ya kushindwa mwaka jana Asante Apostle
@laurentiuschalles5925
3 жыл бұрын
Na Ahimidiwe Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wake Apostle Mtalemwa.
@godianmande49203 жыл бұрын
A right sermon in a right time, the same way we defeated the first wave, we shall defeat whatsoever number of corona wave in the SAME and POWERFUL name of JESUS, Ameen!! God Bless you more Man of God.
@wijopowertv32613 жыл бұрын
Powerful teaching, Asante mtumishi
@lydiamokeira60623 жыл бұрын
Napenda sana Mafundisho ya huyu Pastor. I always listen to your teachings 🙏🙏
@elwinushaule7805
3 жыл бұрын
я
@ahmadronald6389
3 жыл бұрын
pro tip : watch series at Flixzone. Been using it for watching loads of movies these days.
@kyeterrance6288
3 жыл бұрын
@Ahmad Ronald Yup, been using flixzone for years myself =)
@adrielpablo53
3 жыл бұрын
@Ahmad Ronald yea, I've been using flixzone for since december myself :)
@korbynpaxton410
3 жыл бұрын
@Ahmad Ronald Yup, I have been watching on Flixzone for years myself =)
@erycahkiwale87573 жыл бұрын
Mungu akuongezee miaka ya kuishi mtumishi wa bwana
@jescarwegoshola1754 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Apostle,mahubiri haya nizaidi ya mwaka nimeyafuatilia leo,kweli yamenivusha ninako pita, Haleluuuuya 💪🙏
@user-mr6ss8ex3f5 ай бұрын
Ameeen barikiwe sana mtumishi
@esthercharles22103 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa MUNGU umenifundisha jambo sana hakika sitajisahau tena, Barikiwa sana Chief.
@davidpeter7926
3 жыл бұрын
Apostle ni mtu wa wap
@isackmapuli97203 жыл бұрын
Hakika nimekukubari mtumishi was Mungu, karne hii inatakiwa iwe na mashujaa kama wewe. Barikiwa.
@dismasi7434
3 жыл бұрын
Amina
@janetmulongo27312 жыл бұрын
AMEN..huu ujumbe umenibariki
@sallygrace14953 жыл бұрын
Bwana Yesu Asifiwe Naamini kupokea in Jesus mighty name above every name 💞
@jaredmayaka29933 жыл бұрын
Powerful teaching thanks may God bless you 🔥🔥🔥🔥
@episonfelician76703 жыл бұрын
Mtumishi Apostle Mtalemwa Mwenyez Mungu akupe Neema ya ushindi katika utumishi wako ubarikiwe sana mafundisho yako yananibariki na kunifundisha sana naamin ujumbe uwako umewafikia wengi na umewagusa
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Amen Apostle Mtalemwa
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Mtumishi nimesoma ujumbe wako nakuuelewa lakin nataman kukutana na wewe nijue zaidi sijui unanisaidiaje kwa hili maana Naona moyon sijakaa swa
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Naweza kukupataje kesho nikuone maan ujumbe wako nimeusoma lkn bado ninayo ya kukuliza uweze kunisaidia Mtumishi naomba msaada wako
@mercykimani97412 жыл бұрын
Thanx. Coz of the revelation man of God.Nkr city Kenya
@janetfrancis71803 жыл бұрын
Asante sana Apostle nina barikiwa na neno lako nikiwa nchini Brazil
@paulinalerise6843 жыл бұрын
Ahsante Mtumishi wa Mungu. Ukweli ndio huo, tuache unafiki, ugonjwa wa korona upo nasi tuendelee kutumia silaha tulizonazo kama mwanzo pamoja na kuzidi kumwomba Mungu Muweza yote. Kwa jina la Yesu Kristo tutashinda
@putgmedia3 жыл бұрын
Eye opener. Be blessed man of great God. Am watching from Kenya.
@leonbwenda19453 жыл бұрын
Powerful teaching Apostle Asante kwa mafundisho
@elizabethchales26633 жыл бұрын
Amina 2tasimama tena kwa jina la yesu
@dianasago92142 жыл бұрын
Huyu mtumishi nampenda Mungu azidi kumuweka hakika akifundisha Neno namuelewa
@evelenev28773 жыл бұрын
I like the Apostle so much God bless your ministry 🙏🙏
@alanlugano33223 жыл бұрын
Very powerful teachings Bravo! Pastor
@gracedamas5883
3 жыл бұрын
Ameni
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi kweli IPO tuombe Mungu Sana tuchukue tahathari pia
@janethmukala863 жыл бұрын
Umenifanya nijue mengi juu ya Maisha yangu na napona na nitaendelea kupona .barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
@rashidshikombola213
3 жыл бұрын
815
@grolianentikwiza16973 жыл бұрын
Thank you so much apostle Mtalemwa God bless you so much my apostle
@mayalamashaka15263 жыл бұрын
Ninabarkiwa sanaàa namafundisho yako lkn naomba namm uniombee mtumishi Niko nachangamoto nying bwanaaa akuinue sana mtumishi
@mercykimani97412 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu wanibariki Sana. Nakuru_Kenya
@happyhappy-ym2su3 жыл бұрын
Jamani huwa nabarikiwa tu na masomo yako cjawahi kujuta Mana huwa napata nguvu mpyaaaaa kila ninaposkia,,,,,,,,MUNGU akubariki Sana mtumishi uzidi kuinuliwa na kufunuliwa zaidi
@priencedamdoek5083 жыл бұрын
Nashukuru sana Mtumishi 🙏 unacho hubiri ni sahihi kabisa leo umenifumbua macho nimejifunza uhalisia wa maisha Asante sana 🙏🙏🙏
@elizabethmambai20723 жыл бұрын
It's true man of God if u relax they come again thanks for gud mission
@isaacnandasaba61903 жыл бұрын
Nimejazwa na mafundisho yako Mungu akuinue
@lilianlubanga40103 жыл бұрын
Very encouraging and GOD BLESS you Apostle.
@joycemaige68383 жыл бұрын
Shalom shalom mtumishi haya mafundisho ndiyo tuna yatafuta wengine hatujui mpangilio wa Bible unakuta unafatilia maombi yako ya kukimbiza mapepo Kisha unabakia ujui kujipangilia ni neno gani la kusoma ili tatizo likiisha lisiludi au asiwe anakukalibia kwasababu pepo akukalibii kama ukiwa na neno la mungu kila siku na Imani ukiwa nayo pia tumishi
@rahabnkya82763 жыл бұрын
Wanefili wanafili Nuhu alitengeneza SAFINA kama Mungu alivyomwagiza, na kweli waliangamizwa na Mungu,.shida ni pale hatujui historia ikoje,.kanisa la Mungu likisimama kama Joshua na Kalebu walivyojipanga wakiwa na Mungu mwenyewe basi waiingia nchi ya Ahadi. EEEH Mungu nisaidie nisonge mbele..
@jamesdioniz32433 жыл бұрын
Powerful teaching God bless you Chief Apostle
@kansiimesecurity43473 жыл бұрын
Mungu akubariki umenena ukweli umetwambia
@rosemarymallya44583 жыл бұрын
Glory to God🙌🔥🙌Blessed Man of God the WORD PREACHED, HEAL RESTORE MY SOUL🤲🔥🤲🔥🙏🙏🙏
@lucymbone89743 жыл бұрын
Powerful teachings pastor
@neemaadam92563 жыл бұрын
Hallelujah 🙏 upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu
@ireneminja17213 жыл бұрын
I hear you APOSTLE....let's fight again ... Mungu wetu atatusaidia
@ireneminja1721
3 жыл бұрын
@@pastorseanpinder1928 kwendraaa
@misssharonerasmus3 жыл бұрын
YATOSHA 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Bless you Apostle
@eastersanga66323 жыл бұрын
Thanks very much postor i understand you.🖒
@florianmgata10453 жыл бұрын
one ofe postler that never listen before, 💪💪
@catherinemosses51173 жыл бұрын
Nashukuru kwa kunifundisha kuwa shetani anarudi sintazembea kuomba
@aminamogan65473 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi karibu na kwetu Mbeya jmn
@selinanyale5398 Жыл бұрын
Be blessed man of God
@esaumahundi50763 жыл бұрын
Mbona tumefundishwa kwa wakati ule waliomwabudu mungu waliwaita Wana wa mungu na wake uzao wa kaini (wapagani)wakaoleana ndipo ghadhabu ya mungu ikawaka halafu Wana wamungu ni wale ambao ktk uumbaji Bwana akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu hao ndio Wana wa mungu yaani wanadamu malaika siyo Wana wa mungu huwezi kuniambia malaika ni Wana wamungu malaika hajawekewa mbegu za kuzaa watu hiyo ni wanadamu tu ndio walioambiwa wakazaane na kuongezrka kutosha malaika hawezi kuzaa!!!!
@geofreykilasi73543 жыл бұрын
Shalom shalom chief Apostle 10G
@jacobsimon78773 жыл бұрын
mungu ndio muweza yayote sisi tutaendelea kumuomba hatuepushe tena ktk ugonjwa huu
@noelmwikeve62553 жыл бұрын
Halleluya I learnt something even though am at school.
@fatumasaleh94912 жыл бұрын
Thank you Chife apostle mtalemwa, sema baba that is true
@victoriousblessedmom43433 жыл бұрын
Amen in the mighty name of Jesus Christ Amen Hallelujah Glory be to God
@florakamuzora56693 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya kweli
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Asante mtumishi ni mafundisho ya leo imenibariki🙏🙏
Пікірлер: 165
Pastor nilianza kukuelewa sana tangu kwenye ule wimbo wa Muzina nakupenda sana Mungu akuinue zaidi na zaidi
Amen mtume wa yesu nambarikiwa na maumbiri yako,,,, i'm watching from saudia i'm blessed🙏🙏🙏
Mwanangu atapona kwa Jina la Yesu
Waoooooh. What a powerful teachings? Asante mtumishi wa Mungu. Nimekuelewa sanaaaa. Hili somo ni applicable sector zote za maisha. Asante mlezi wetu
Asante mtumishi. Injili ya kweli lazima ihubiriwe. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huduma hii na tunamshukuru Mungu na sisi wa mbali inatufikia. Mbarikiwe sana. Limekuwa neno langu siku ya leo
Msumari wa inchi nane unaumaaa lakini tumepona,meseji sent,hata Roho mtakatifu kafurahi
asante mtumishi nabarikiwa nkiwa apa🇰🇪
MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU unaponya mioyo ya wengi Sana ,hakika wewe ni mtu tunapaswa kujivunia na kukuombea Sana ktk kipindi hiki Cha siku za mwisho.....wewe ni hazina 🙏🙏🙏🙏MUNGU akutunze....
@lissajeruto5373
3 жыл бұрын
Sure Ameen
Amen amen mutumishi Mungu akuzidishiye
Mungu atusaidie tutegemee maandiko ktk biblia na sio media, kama mfalme wa shamu alikuja tena mwezi wa kwanza baada ya kushindwa mwaka jana Asante Apostle
@laurentiuschalles5925
3 жыл бұрын
Na Ahimidiwe Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wake Apostle Mtalemwa.
A right sermon in a right time, the same way we defeated the first wave, we shall defeat whatsoever number of corona wave in the SAME and POWERFUL name of JESUS, Ameen!! God Bless you more Man of God.
Powerful teaching, Asante mtumishi
Napenda sana Mafundisho ya huyu Pastor. I always listen to your teachings 🙏🙏
@elwinushaule7805
3 жыл бұрын
я
@ahmadronald6389
3 жыл бұрын
pro tip : watch series at Flixzone. Been using it for watching loads of movies these days.
@kyeterrance6288
3 жыл бұрын
@Ahmad Ronald Yup, been using flixzone for years myself =)
@adrielpablo53
3 жыл бұрын
@Ahmad Ronald yea, I've been using flixzone for since december myself :)
@korbynpaxton410
3 жыл бұрын
@Ahmad Ronald Yup, I have been watching on Flixzone for years myself =)
Mungu akuongezee miaka ya kuishi mtumishi wa bwana
Ubarikiwe sana Apostle,mahubiri haya nizaidi ya mwaka nimeyafuatilia leo,kweli yamenivusha ninako pita, Haleluuuuya 💪🙏
Ameeen barikiwe sana mtumishi
Asante sana Mtumishi wa MUNGU umenifundisha jambo sana hakika sitajisahau tena, Barikiwa sana Chief.
@davidpeter7926
3 жыл бұрын
Apostle ni mtu wa wap
Hakika nimekukubari mtumishi was Mungu, karne hii inatakiwa iwe na mashujaa kama wewe. Barikiwa.
@dismasi7434
3 жыл бұрын
Amina
AMEN..huu ujumbe umenibariki
Bwana Yesu Asifiwe Naamini kupokea in Jesus mighty name above every name 💞
Powerful teaching thanks may God bless you 🔥🔥🔥🔥
Mtumishi Apostle Mtalemwa Mwenyez Mungu akupe Neema ya ushindi katika utumishi wako ubarikiwe sana mafundisho yako yananibariki na kunifundisha sana naamin ujumbe uwako umewafikia wengi na umewagusa
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Amen Apostle Mtalemwa
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Mtumishi nimesoma ujumbe wako nakuuelewa lakin nataman kukutana na wewe nijue zaidi sijui unanisaidiaje kwa hili maana Naona moyon sijakaa swa
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Naweza kukupataje kesho nikuone maan ujumbe wako nimeusoma lkn bado ninayo ya kukuliza uweze kunisaidia Mtumishi naomba msaada wako
Thanx. Coz of the revelation man of God.Nkr city Kenya
Asante sana Apostle nina barikiwa na neno lako nikiwa nchini Brazil
Ahsante Mtumishi wa Mungu. Ukweli ndio huo, tuache unafiki, ugonjwa wa korona upo nasi tuendelee kutumia silaha tulizonazo kama mwanzo pamoja na kuzidi kumwomba Mungu Muweza yote. Kwa jina la Yesu Kristo tutashinda
Eye opener. Be blessed man of great God. Am watching from Kenya.
Powerful teaching Apostle Asante kwa mafundisho
Amina 2tasimama tena kwa jina la yesu
Huyu mtumishi nampenda Mungu azidi kumuweka hakika akifundisha Neno namuelewa
I like the Apostle so much God bless your ministry 🙏🙏
Very powerful teachings Bravo! Pastor
@gracedamas5883
3 жыл бұрын
Ameni
Barikiwa mtumishi kweli IPO tuombe Mungu Sana tuchukue tahathari pia
Umenifanya nijue mengi juu ya Maisha yangu na napona na nitaendelea kupona .barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
@rashidshikombola213
3 жыл бұрын
815
Thank you so much apostle Mtalemwa God bless you so much my apostle
Ninabarkiwa sanaàa namafundisho yako lkn naomba namm uniombee mtumishi Niko nachangamoto nying bwanaaa akuinue sana mtumishi
Mtumishi wa Mungu wanibariki Sana. Nakuru_Kenya
Jamani huwa nabarikiwa tu na masomo yako cjawahi kujuta Mana huwa napata nguvu mpyaaaaa kila ninaposkia,,,,,,,,MUNGU akubariki Sana mtumishi uzidi kuinuliwa na kufunuliwa zaidi
Nashukuru sana Mtumishi 🙏 unacho hubiri ni sahihi kabisa leo umenifumbua macho nimejifunza uhalisia wa maisha Asante sana 🙏🙏🙏
It's true man of God if u relax they come again thanks for gud mission
Nimejazwa na mafundisho yako Mungu akuinue
Very encouraging and GOD BLESS you Apostle.
Shalom shalom mtumishi haya mafundisho ndiyo tuna yatafuta wengine hatujui mpangilio wa Bible unakuta unafatilia maombi yako ya kukimbiza mapepo Kisha unabakia ujui kujipangilia ni neno gani la kusoma ili tatizo likiisha lisiludi au asiwe anakukalibia kwasababu pepo akukalibii kama ukiwa na neno la mungu kila siku na Imani ukiwa nayo pia tumishi
Wanefili wanafili Nuhu alitengeneza SAFINA kama Mungu alivyomwagiza, na kweli waliangamizwa na Mungu,.shida ni pale hatujui historia ikoje,.kanisa la Mungu likisimama kama Joshua na Kalebu walivyojipanga wakiwa na Mungu mwenyewe basi waiingia nchi ya Ahadi. EEEH Mungu nisaidie nisonge mbele..
Powerful teaching God bless you Chief Apostle
Mungu akubariki umenena ukweli umetwambia
Glory to God🙌🔥🙌Blessed Man of God the WORD PREACHED, HEAL RESTORE MY SOUL🤲🔥🤲🔥🙏🙏🙏
Powerful teachings pastor
Hallelujah 🙏 upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu
I hear you APOSTLE....let's fight again ... Mungu wetu atatusaidia
@ireneminja1721
3 жыл бұрын
@@pastorseanpinder1928 kwendraaa
YATOSHA 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Bless you Apostle
Thanks very much postor i understand you.🖒
one ofe postler that never listen before, 💪💪
Nashukuru kwa kunifundisha kuwa shetani anarudi sintazembea kuomba
Ubarikiwe Sana mtumishi karibu na kwetu Mbeya jmn
Be blessed man of God
Mbona tumefundishwa kwa wakati ule waliomwabudu mungu waliwaita Wana wa mungu na wake uzao wa kaini (wapagani)wakaoleana ndipo ghadhabu ya mungu ikawaka halafu Wana wamungu ni wale ambao ktk uumbaji Bwana akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu hao ndio Wana wa mungu yaani wanadamu malaika siyo Wana wa mungu huwezi kuniambia malaika ni Wana wamungu malaika hajawekewa mbegu za kuzaa watu hiyo ni wanadamu tu ndio walioambiwa wakazaane na kuongezrka kutosha malaika hawezi kuzaa!!!!
Shalom shalom chief Apostle 10G
mungu ndio muweza yayote sisi tutaendelea kumuomba hatuepushe tena ktk ugonjwa huu
Halleluya I learnt something even though am at school.
Thank you Chife apostle mtalemwa, sema baba that is true
Amen in the mighty name of Jesus Christ Amen Hallelujah Glory be to God
Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya kweli
Asante mtumishi ni mafundisho ya leo imenibariki🙏🙏
Barikiwa mtumishi
Am blessed so much pst be blessed. .
Soooo 💥 powerful 🙏🙏it is done
ALUTA CONTINUE TUNAENDELEA KUPAMBANA🔥🔥🔥
Wape wape hao hawajavaa barakoa wanafiki hao.Nakupenda mtumishi msema kweli.
Dar mungu ana vyombo nimeamini be bresed
Amena. Mungu akubariki sana
Neno la MUNGU ni upanga ukatao kuwili
Mungu akuzidishie hekima na maharifa
Sema.sema.sema.una.neema.ya.ajabu.yaa.eti.midhambi.inaendelea.matatizo.yakome.tanzania kama dhambi.inaendelea.basi.na.matatizo.yapo.yanaendelea
Amina nimepata neno sitasahau kamwe kwa nn yanajirudia tu mambo
Mtumishi shalom
Powerful 🔥
Pasta, ukweli napenda sana mafundisho maana yamebase kwenye biblia
Hongera mtelemwa uko imara Sana maake watumishi wengi watia hofu waumini wao badala ya kuwapa moyo wa kua na Imani kamili
🙏🙏🙏Amen
Imani inanguvu kuliko tatizo ulilonalo au mabalaa ya uko
@bonifacebeatrice8077
3 жыл бұрын
Imani inanguvu kuliko kitu chochote Mungu atusaidie tusiwevinyonga ktk lmani na matendo(Neno la Mungu na kulielewa)
Mungu azidi kukutumia na kukutunza, sema tufundishe tupone
It is done.
Asante Mtumishi kwa somo umenifungua
From nchi yambali tunakupata sana
Ubarikiwe mtumishi.
Amen kweli More grace
Amen amen Hallelujah hallelujah hallelujah
Mimi ni amina mu Kenya 🙏🙏🙏🙏
Nimekukubari mtumishi
Vyemaa
Umenifungua sitakiwi ku Relax
My.pastor
Nimejifunza kitu mtumishi wa Mungu
Amen man of God
Kweli kabisa wengi hatutazami neno tunaangalia media upo sahihi barikiwa
Mtumishi uje na bukoba jamani
Ninacho mpenda huyu baba ni mkali ktk mafundisho yake
Nimejifunza. Namtukuza MUNGU
God bless you
Ameeen. Even former American President Obama looked for his generation home.