FANYA HIVI TATIZO LAKO LINAPOJIRUDIA

Пікірлер: 165

  • @izaknanyaro1411
    @izaknanyaro14113 жыл бұрын

    Pastor nilianza kukuelewa sana tangu kwenye ule wimbo wa Muzina nakupenda sana Mungu akuinue zaidi na zaidi

  • @naomkerubo9860
    @naomkerubo98603 жыл бұрын

    Amen mtume wa yesu nambarikiwa na maumbiri yako,,,, i'm watching from saudia i'm blessed🙏🙏🙏

  • @betkyasio6848
    @betkyasio68483 жыл бұрын

    Mwanangu atapona kwa Jina la Yesu

  • @Devothakimei
    @Devothakimei3 жыл бұрын

    Waoooooh. What a powerful teachings? Asante mtumishi wa Mungu. Nimekuelewa sanaaaa. Hili somo ni applicable sector zote za maisha. Asante mlezi wetu

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido96843 жыл бұрын

    Asante mtumishi. Injili ya kweli lazima ihubiriwe. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huduma hii na tunamshukuru Mungu na sisi wa mbali inatufikia. Mbarikiwe sana. Limekuwa neno langu siku ya leo

  • @samsonmgonja4014
    @samsonmgonja40143 жыл бұрын

    Msumari wa inchi nane unaumaaa lakini tumepona,meseji sent,hata Roho mtakatifu kafurahi

  • @christinengule4718
    @christinengule4718 Жыл бұрын

    asante mtumishi nabarikiwa nkiwa apa🇰🇪

  • @tumainimbogo5412
    @tumainimbogo54123 жыл бұрын

    MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU unaponya mioyo ya wengi Sana ,hakika wewe ni mtu tunapaswa kujivunia na kukuombea Sana ktk kipindi hiki Cha siku za mwisho.....wewe ni hazina 🙏🙏🙏🙏MUNGU akutunze....

  • @lissajeruto5373

    @lissajeruto5373

    3 жыл бұрын

    Sure Ameen

  • @junioraria3428
    @junioraria3428 Жыл бұрын

    Amen amen mutumishi Mungu akuzidishiye

  • @godwinmakomba2714
    @godwinmakomba27143 жыл бұрын

    Mungu atusaidie tutegemee maandiko ktk biblia na sio media, kama mfalme wa shamu alikuja tena mwezi wa kwanza baada ya kushindwa mwaka jana Asante Apostle

  • @laurentiuschalles5925

    @laurentiuschalles5925

    3 жыл бұрын

    Na Ahimidiwe Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wake Apostle Mtalemwa.

  • @godianmande4920
    @godianmande49203 жыл бұрын

    A right sermon in a right time, the same way we defeated the first wave, we shall defeat whatsoever number of corona wave in the SAME and POWERFUL name of JESUS, Ameen!! God Bless you more Man of God.

  • @wijopowertv3261
    @wijopowertv32613 жыл бұрын

    Powerful teaching, Asante mtumishi

  • @lydiamokeira6062
    @lydiamokeira60623 жыл бұрын

    Napenda sana Mafundisho ya huyu Pastor. I always listen to your teachings 🙏🙏

  • @elwinushaule7805

    @elwinushaule7805

    3 жыл бұрын

    я

  • @ahmadronald6389

    @ahmadronald6389

    3 жыл бұрын

    pro tip : watch series at Flixzone. Been using it for watching loads of movies these days.

  • @kyeterrance6288

    @kyeterrance6288

    3 жыл бұрын

    @Ahmad Ronald Yup, been using flixzone for years myself =)

  • @adrielpablo53

    @adrielpablo53

    3 жыл бұрын

    @Ahmad Ronald yea, I've been using flixzone for since december myself :)

  • @korbynpaxton410

    @korbynpaxton410

    3 жыл бұрын

    @Ahmad Ronald Yup, I have been watching on Flixzone for years myself =)

  • @erycahkiwale8757
    @erycahkiwale87573 жыл бұрын

    Mungu akuongezee miaka ya kuishi mtumishi wa bwana

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Apostle,mahubiri haya nizaidi ya mwaka nimeyafuatilia leo,kweli yamenivusha ninako pita, Haleluuuuya 💪🙏

  • @user-mr6ss8ex3f
    @user-mr6ss8ex3f5 ай бұрын

    Ameeen barikiwe sana mtumishi

  • @esthercharles2210
    @esthercharles22103 жыл бұрын

    Asante sana Mtumishi wa MUNGU umenifundisha jambo sana hakika sitajisahau tena, Barikiwa sana Chief.

  • @davidpeter7926

    @davidpeter7926

    3 жыл бұрын

    Apostle ni mtu wa wap

  • @isackmapuli9720
    @isackmapuli97203 жыл бұрын

    Hakika nimekukubari mtumishi was Mungu, karne hii inatakiwa iwe na mashujaa kama wewe. Barikiwa.

  • @dismasi7434

    @dismasi7434

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @janetmulongo2731
    @janetmulongo27312 жыл бұрын

    AMEN..huu ujumbe umenibariki

  • @sallygrace1495
    @sallygrace14953 жыл бұрын

    Bwana Yesu Asifiwe Naamini kupokea in Jesus mighty name above every name 💞

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka29933 жыл бұрын

    Powerful teaching thanks may God bless you 🔥🔥🔥🔥

  • @episonfelician7670
    @episonfelician76703 жыл бұрын

    Mtumishi Apostle Mtalemwa Mwenyez Mungu akupe Neema ya ushindi katika utumishi wako ubarikiwe sana mafundisho yako yananibariki na kunifundisha sana naamin ujumbe uwako umewafikia wengi na umewagusa

  • @episonfelician7670

    @episonfelician7670

    3 жыл бұрын

    Amen Apostle Mtalemwa

  • @episonfelician7670

    @episonfelician7670

    3 жыл бұрын

    Mtumishi nimesoma ujumbe wako nakuuelewa lakin nataman kukutana na wewe nijue zaidi sijui unanisaidiaje kwa hili maana Naona moyon sijakaa swa

  • @episonfelician7670

    @episonfelician7670

    3 жыл бұрын

    Naweza kukupataje kesho nikuone maan ujumbe wako nimeusoma lkn bado ninayo ya kukuliza uweze kunisaidia Mtumishi naomba msaada wako

  • @mercykimani9741
    @mercykimani97412 жыл бұрын

    Thanx. Coz of the revelation man of God.Nkr city Kenya

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis71803 жыл бұрын

    Asante sana Apostle nina barikiwa na neno lako nikiwa nchini Brazil

  • @paulinalerise684
    @paulinalerise6843 жыл бұрын

    Ahsante Mtumishi wa Mungu. Ukweli ndio huo, tuache unafiki, ugonjwa wa korona upo nasi tuendelee kutumia silaha tulizonazo kama mwanzo pamoja na kuzidi kumwomba Mungu Muweza yote. Kwa jina la Yesu Kristo tutashinda

  • @putgmedia
    @putgmedia3 жыл бұрын

    Eye opener. Be blessed man of great God. Am watching from Kenya.

  • @leonbwenda1945
    @leonbwenda19453 жыл бұрын

    Powerful teaching Apostle Asante kwa mafundisho

  • @elizabethchales2663
    @elizabethchales26633 жыл бұрын

    Amina 2tasimama tena kwa jina la yesu

  • @dianasago9214
    @dianasago92142 жыл бұрын

    Huyu mtumishi nampenda Mungu azidi kumuweka hakika akifundisha Neno namuelewa

  • @evelenev2877
    @evelenev28773 жыл бұрын

    I like the Apostle so much God bless your ministry 🙏🙏

  • @alanlugano3322
    @alanlugano33223 жыл бұрын

    Very powerful teachings Bravo! Pastor

  • @gracedamas5883

    @gracedamas5883

    3 жыл бұрын

    Ameni

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi kweli IPO tuombe Mungu Sana tuchukue tahathari pia

  • @janethmukala86
    @janethmukala863 жыл бұрын

    Umenifanya nijue mengi juu ya Maisha yangu na napona na nitaendelea kupona .barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.

  • @rashidshikombola213

    @rashidshikombola213

    3 жыл бұрын

    815

  • @grolianentikwiza1697
    @grolianentikwiza16973 жыл бұрын

    Thank you so much apostle Mtalemwa God bless you so much my apostle

  • @mayalamashaka1526
    @mayalamashaka15263 жыл бұрын

    Ninabarkiwa sanaàa namafundisho yako lkn naomba namm uniombee mtumishi Niko nachangamoto nying bwanaaa akuinue sana mtumishi

  • @mercykimani9741
    @mercykimani97412 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu wanibariki Sana. Nakuru_Kenya

  • @happyhappy-ym2su
    @happyhappy-ym2su3 жыл бұрын

    Jamani huwa nabarikiwa tu na masomo yako cjawahi kujuta Mana huwa napata nguvu mpyaaaaa kila ninaposkia,,,,,,,,MUNGU akubariki Sana mtumishi uzidi kuinuliwa na kufunuliwa zaidi

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek5083 жыл бұрын

    Nashukuru sana Mtumishi 🙏 unacho hubiri ni sahihi kabisa leo umenifumbua macho nimejifunza uhalisia wa maisha Asante sana 🙏🙏🙏

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai20723 жыл бұрын

    It's true man of God if u relax they come again thanks for gud mission

  • @isaacnandasaba6190
    @isaacnandasaba61903 жыл бұрын

    Nimejazwa na mafundisho yako Mungu akuinue

  • @lilianlubanga4010
    @lilianlubanga40103 жыл бұрын

    Very encouraging and GOD BLESS you Apostle.

  • @joycemaige6838
    @joycemaige68383 жыл бұрын

    Shalom shalom mtumishi haya mafundisho ndiyo tuna yatafuta wengine hatujui mpangilio wa Bible unakuta unafatilia maombi yako ya kukimbiza mapepo Kisha unabakia ujui kujipangilia ni neno gani la kusoma ili tatizo likiisha lisiludi au asiwe anakukalibia kwasababu pepo akukalibii kama ukiwa na neno la mungu kila siku na Imani ukiwa nayo pia tumishi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    Wanefili wanafili Nuhu alitengeneza SAFINA kama Mungu alivyomwagiza, na kweli waliangamizwa na Mungu,.shida ni pale hatujui historia ikoje,.kanisa la Mungu likisimama kama Joshua na Kalebu walivyojipanga wakiwa na Mungu mwenyewe basi waiingia nchi ya Ahadi. EEEH Mungu nisaidie nisonge mbele..

  • @jamesdioniz3243
    @jamesdioniz32433 жыл бұрын

    Powerful teaching God bless you Chief Apostle

  • @kansiimesecurity4347
    @kansiimesecurity43473 жыл бұрын

    Mungu akubariki umenena ukweli umetwambia

  • @rosemarymallya4458
    @rosemarymallya44583 жыл бұрын

    Glory to God🙌🔥🙌Blessed Man of God the WORD PREACHED, HEAL RESTORE MY SOUL🤲🔥🤲🔥🙏🙏🙏

  • @lucymbone8974
    @lucymbone89743 жыл бұрын

    Powerful teachings pastor

  • @neemaadam9256
    @neemaadam92563 жыл бұрын

    Hallelujah 🙏 upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu

  • @ireneminja1721
    @ireneminja17213 жыл бұрын

    I hear you APOSTLE....let's fight again ... Mungu wetu atatusaidia

  • @ireneminja1721

    @ireneminja1721

    3 жыл бұрын

    @@pastorseanpinder1928 kwendraaa

  • @misssharonerasmus
    @misssharonerasmus3 жыл бұрын

    YATOSHA 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Bless you Apostle

  • @eastersanga6632
    @eastersanga66323 жыл бұрын

    Thanks very much postor i understand you.🖒

  • @florianmgata1045
    @florianmgata10453 жыл бұрын

    one ofe postler that never listen before, 💪💪

  • @catherinemosses5117
    @catherinemosses51173 жыл бұрын

    Nashukuru kwa kunifundisha kuwa shetani anarudi sintazembea kuomba

  • @aminamogan6547
    @aminamogan65473 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi karibu na kwetu Mbeya jmn

  • @selinanyale5398
    @selinanyale5398 Жыл бұрын

    Be blessed man of God

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi50763 жыл бұрын

    Mbona tumefundishwa kwa wakati ule waliomwabudu mungu waliwaita Wana wa mungu na wake uzao wa kaini (wapagani)wakaoleana ndipo ghadhabu ya mungu ikawaka halafu Wana wamungu ni wale ambao ktk uumbaji Bwana akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu hao ndio Wana wa mungu yaani wanadamu malaika siyo Wana wa mungu huwezi kuniambia malaika ni Wana wamungu malaika hajawekewa mbegu za kuzaa watu hiyo ni wanadamu tu ndio walioambiwa wakazaane na kuongezrka kutosha malaika hawezi kuzaa!!!!

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi73543 жыл бұрын

    Shalom shalom chief Apostle 10G

  • @jacobsimon7877
    @jacobsimon78773 жыл бұрын

    mungu ndio muweza yayote sisi tutaendelea kumuomba hatuepushe tena ktk ugonjwa huu

  • @noelmwikeve6255
    @noelmwikeve62553 жыл бұрын

    Halleluya I learnt something even though am at school.

  • @fatumasaleh9491
    @fatumasaleh94912 жыл бұрын

    Thank you Chife apostle mtalemwa, sema baba that is true

  • @victoriousblessedmom4343
    @victoriousblessedmom43433 жыл бұрын

    Amen in the mighty name of Jesus Christ Amen Hallelujah Glory be to God

  • @florakamuzora5669
    @florakamuzora56693 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya kweli

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies17823 жыл бұрын

    Asante mtumishi ni mafundisho ya leo imenibariki🙏🙏

  • @juenjuen7536
    @juenjuen75363 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi

  • @hellenkendi7078
    @hellenkendi70782 жыл бұрын

    Am blessed so much pst be blessed. .

  • @monicabh1668
    @monicabh16683 жыл бұрын

    Soooo 💥 powerful 🙏🙏it is done

  • @rosemarymallya4458
    @rosemarymallya44582 жыл бұрын

    ALUTA CONTINUE TUNAENDELEA KUPAMBANA🔥🔥🔥

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27733 жыл бұрын

    Wape wape hao hawajavaa barakoa wanafiki hao.Nakupenda mtumishi msema kweli.

  • @jonsonnicholous1208
    @jonsonnicholous12083 жыл бұрын

    Dar mungu ana vyombo nimeamini be bresed

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis7533 жыл бұрын

    Amena. Mungu akubariki sana

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27733 жыл бұрын

    Neno la MUNGU ni upanga ukatao kuwili

  • @paulmbegu9812
    @paulmbegu98123 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie hekima na maharifa

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Жыл бұрын

    Sema.sema.sema.una.neema.ya.ajabu.yaa.eti.midhambi.inaendelea.matatizo.yakome.tanzania kama dhambi.inaendelea.basi.na.matatizo.yapo.yanaendelea

  • @katewinniewandoe2863
    @katewinniewandoe28633 жыл бұрын

    Amina nimepata neno sitasahau kamwe kwa nn yanajirudia tu mambo

  • @haikakombe8377
    @haikakombe8377 Жыл бұрын

    Mtumishi shalom

  • @evelynjohn2706
    @evelynjohn27063 жыл бұрын

    Powerful 🔥

  • @issamagabiro3162
    @issamagabiro3162 Жыл бұрын

    Pasta, ukweli napenda sana mafundisho maana yamebase kwenye biblia

  • @julianlaurent2107
    @julianlaurent21073 жыл бұрын

    Hongera mtelemwa uko imara Sana maake watumishi wengi watia hofu waumini wao badala ya kuwapa moyo wa kua na Imani kamili

  • @mellenmsomi6974
    @mellenmsomi69743 жыл бұрын

    🙏🙏🙏Amen

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice80773 жыл бұрын

    Imani inanguvu kuliko tatizo ulilonalo au mabalaa ya uko

  • @bonifacebeatrice8077

    @bonifacebeatrice8077

    3 жыл бұрын

    Imani inanguvu kuliko kitu chochote Mungu atusaidie tusiwevinyonga ktk lmani na matendo(Neno la Mungu na kulielewa)

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi51963 жыл бұрын

    Mungu azidi kukutumia na kukutunza, sema tufundishe tupone

  • @basilkihanga8019
    @basilkihanga80193 жыл бұрын

    It is done.

  • @gracekabigi9680
    @gracekabigi96803 жыл бұрын

    Asante Mtumishi kwa somo umenifungua

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    From nchi yambali tunakupata sana

  • @TRIPLE_M_13k
    @TRIPLE_M_13k3 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi.

  • @alicekhamayo1991
    @alicekhamayo19913 жыл бұрын

    Amen kweli More grace

  • @maxmiliannassary1835
    @maxmiliannassary18353 жыл бұрын

    Amen amen Hallelujah hallelujah hallelujah

  • @aminam267
    @aminam2673 жыл бұрын

    Mimi ni amina mu Kenya 🙏🙏🙏🙏

  • @siporajemes773
    @siporajemes7733 жыл бұрын

    Nimekukubari mtumishi

  • @kombeonaumishenaritv642
    @kombeonaumishenaritv6423 жыл бұрын

    Vyemaa

  • @oskarnyakunga6864
    @oskarnyakunga68643 жыл бұрын

    Umenifungua sitakiwi ku Relax

  • @davidpeter7926
    @davidpeter79263 жыл бұрын

    My.pastor

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo19693 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu mtumishi wa Mungu

  • @varieties2477
    @varieties24773 жыл бұрын

    Amen man of God

  • @blandinasilas
    @blandinasilas3 жыл бұрын

    Kweli kabisa wengi hatutazami neno tunaangalia media upo sahihi barikiwa

  • @josephclemence4441
    @josephclemence44413 жыл бұрын

    Mtumishi uje na bukoba jamani

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki39533 жыл бұрын

    Ninacho mpenda huyu baba ni mkali ktk mafundisho yake

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday71743 жыл бұрын

    Nimejifunza. Namtukuza MUNGU

  • @williammathias1230
    @williammathias12303 жыл бұрын

    God bless you

  • @jakee2041
    @jakee20412 жыл бұрын

    Ameeen. Even former American President Obama looked for his generation home.