KUNA SIRI KUBWA KATIKA ARDHI/UDONGO.
Katika somo hili Apostle Mtalemwa anatoa ufunuo juu ya siri zilizoko katika ardhi/udongo.
Katika somo hili utaona jinsi ardhi ilivyo na uhusiano mkubwa na mwanadamu.
Ardhi ina kinywa,inaongea hivyo mwanadamu anaweza kutawala kwa kuitumia ardhi.
Fuatilia somo kamili na usisahau ku-subscribe ili kupata video nyingine zaidi zitakazopostiwa.
Пікірлер: 411
Who else is listening this great teachings 2021,i have learnt new thing about soil.
@judyngeno3020
2 жыл бұрын
Me here from Kenya I'm being blessed
Asante kwa somo zuri mtumishi ubarikiwe hakika nimejifunza kitu kikubwa kupitia somo la ardhi
I love your teaching man of God.Nikishindwa Mahali hurudi Kwa mafundisho najipata Nina uhai Tena.
Pastor uyo anasema ooh yes!ako too much kusema haache tusikiliz neno plz
Kwetu kenya...hivi nimesikiliza ujumbe juu.. kweli nimehibiriwa hila ufunuo kupitia hii neno naweza kiri udongo na kazi yake imenipa ukombozi wa kweli AMEN
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana Mungu alie hai. Ahsante kwa mafundisho ya ardhi. Nimejifunza kitu kikubwa sana
Amen chief wa watu SoMo zuri Sanaa hili Mungu wa baba yetu Major one akufungue macho uendelee kuona maono makubwa,neema ya Mungu isipunguke kwakooo❤️❤️❤️❤️
@pastorginojennings3125
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God minister to me a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding on to them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay be in your life, with an evil mirror, and a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford to these motherless foundation (OSOMOIGHO ENDURANC MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact where ever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Deliver them to the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349058384543) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you..
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Kanisa hili linawatu wazurii adi raha wanangara aaa
Mafundisho haya huwa nayarudia Rudia sana , nilisema udongo sehemu nilipoajiriwa hakika nilipata kibali cha kulubaliwa na huduma ninayoitoA. Asante sana mtumishi
Nimelewa, chief, kuazia sasa nitatumia Arihdi kutawala na kumiliki, Asante sana Chief wangu kwa Kunifumbua macho na Ubongo
@user-em6bg9ue2d
4 жыл бұрын
Amen nitatamukia udongo unipe
@pastorginojennings3125
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God minister to me a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding on to them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay be in your life, with an evil mirror, and a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford to these motherless foundation (OSOMOIGHO ENDURANC MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact where ever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Deliver them to the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349058384543) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you
Asante baba kwa somo nzuri hakika nitavuta katika ardhi hii kwa Jina LA YESU naipa uhai ardhi yangu Leo
Nakuelewa sana Apostle, Mungu akubariki zaidi uzidi kutufunulia yaliofichika
Ubalikiwe Mwajina Wa Baba Yangu Mutalemwa God bless
Barikiwa sana mtumishi nimepata kitu kipya ktk maisha yangu
Asante sana kwa somo zuri uishi milele Apostle.
@celinalyimo1870
3 жыл бұрын
Amin🙏🙏🙏
Mtumishi barikiwa Kwa mafundisho ya ardhi udongo.
Mwalimu , asante kwa mafundicho,Mungu akubariki.
Mungu akubariki mm ni mwinjilisti Riziki kutoka kkkt malandizi kibaha pwani nakufutilia nataka kuhama kwa hiyo nitasemesha udogo wa kazini kwangu Mungu akubariki sana
Thank you Apostle for opening our eyes concerning the earth and mwana-Adamu.May God increase you in Jesus name 🙏
Amen nimekuelewa Mtumishi ubarikiwe
Amina nimebarikiwa mtumishi tufundushe tupate kupona nikweli mtupu nakuelewa sana tena sana ♥️ ❤️
Amen mtumishi wamungu naamini yote uyanenayo ni ya kweli naomba mungu aendelee kukuongoza na kukulinda ili tuendelee kujifunza mambo mengi na mema kutoka kwako
who else is with me 2020 be blessed apostle
@rosekadope7700
4 жыл бұрын
Unahubili vizuri
Mungu akubariki mtumishi,,kweli mungu amekuita kufanya kazi yke....nimebarikiwa sana na mafundisho ya udongo
Nimerudia tena hili somo. Mungu akubariki mtume wake
Amen Nimejifunza kitu kikubwa sana na ninaenda kupata muujiza mkubwa sana
@kasimzakayo2873
4 жыл бұрын
God bless you paster
@pastorginojennings3125
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God minister to me a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding on to them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay be in your life, with an evil mirror, and a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford to these motherless foundation (OSOMOIGHO ENDURANC MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact where ever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Deliver them to the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349058384543) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you
Chief Apostle. Classic teachings
Prophetic Teachings....
Amen barikiwa Sana mtumishi
Apostle hakika wewe ni kichaa cha yesu kristo amen?Nimejufuza kitu kutoka kwako ooooh hallelujah God bless you, hakika tu miliki ardhi ya mbwana
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, sisi tunaofatilia mafundisho yako kwa njia ya mitandao tunakuelewa sana
Hakika mungu Yu hai Asante mtumishi kwa neno lako zuri kutufundisha kupitia aridhi mungu akubaliki sana
Ndiyo unaeleweka sana barikiwa sana
This teaching is deep than you can imagine, and not all servants of God will teach you this.I have to write down notes !Thank you servant of God! I'm blessed and more grace
@user-wc9zg6hk5s
3 жыл бұрын
Nakupata Mtumishi Barikiwa sana mtanii wamiyee
@user-wc9zg6hk5s
3 жыл бұрын
Yaaaaapppp Mtumishi Barikiwa sana Mungu akuinuuwwee
@ericaernest5263
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi, wakola Mutalemwa, walangilila kwokwokwo.
@jenetanyango500
3 жыл бұрын
Very true. I've been awakened honestly.
Powerful powerful powerful teachings .GOD BLESS you .
Asante sir kwa mafundisho.Ubarikiwe!
Amen Asante mtumishi wa mungu kwa funzo Hili nimebarikiwa na nimepokea ushindi naenda kuinenea ardhi ubarikiwe sana
Amen... Usife mapema My Pastor Kwajina la Yesu..mi nabarikiwaga sana tena sana.
Wewe jamaa unayesema oh yes ungeweza kunyamaza ingekuwa safi sana. Sipendi hizo ho yees zinaboa
Hakika ni mepokea mafundisho.ubarikiee sana APOSTLE. Natazama kutoka Mombasa Kenya
I love you...apostle mtalemwa Amblessed with your teaching🙏
Please Pastor pray for my family especially our land in Bukoba, Igombe Bulamula. My father has never succeed to put a structure there. All the money has been wasted. Despite that some of our neighbours have taken part of our land. With your teaching I am grasping something.
May God Almighty bless you for opening my eyes
Wonderful preachings,,,am so blessed
Amina nimefurahi sana mtumishi wa Mungu
@pastorginojennings3125
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God minister to me a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding on to them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay be in your life, with an evil mirror, and a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford to these motherless foundation (OSOMOIGHO ENDURANC MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact where ever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Deliver them to the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349058384543) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you..
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Amen Amen Amen mimi ni udongo, mwana wa Adam ubarikiwe mtumishi mungu akupe guvu ya kufanya kazi ya mungu pia akuzidishie kibali hicho 🙏🙏🙏
Asante Mtumishi wa Mungu ,ninafurahia sana Mafundisho yako ,nimeona Kuna nguvu kubwa katika kuiombea Ardhi/dongo kukemea upepo ,asante sana Mwana wa ,Mungu 🙏🙏💖💖
Asante kwa mafundisho mazuri mtu wa mungu,
ameeeeeen ameeeeeen nakupata dady ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante chief nimekuekewa barikiwa
Asante sana apostle umenibariki sana kutoka Kenya God bless you abundance.
Thank you God for this teaching I believe this will work for Jesus power
Nipo Ars nakuelewa sana mtu wa Mungu. Mungu akuiinue ktk viwañgo vingine
All the way from Kenya . Thika . I am blessed
Amina kubwa Sana. Blessed
ubarikiwe pastor fundisho zuri sana
What a blessing, through your teachings i have really grown in faith, my life has the touch of Jesus from the first day i randomly bumped into your preaching on KZread i always yearn to listen to more and more!
Nimepata kitu kikubwa sana Hasante mtumishi kwa ufunuo huu!.
Hakika neno la Mungu linaishi, hili somo ningelipata wakati huo labda lisingefanya kazi Sawa, laknii nimelipata Kwa wakati wa Bwana uliokubalika ndani yangu, From Dubai
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Yes
@ruthnyanza1887
Жыл бұрын
Kuanzia leo Naitamkia ardh chochote kilicho fukiwa kwenye ardh kuhusu maisha yangu kifunguliwe sasa Niko huru asante mtumishi kwa kunifungua macho nimepokea kwa Imani Ame
Kuanzia sasa namiliki nakanyaga kila eneo kwa maneno ya mamlaka.Amen💪
Asante sana Chief Apostle ,somo nzuri saaana ,nimejifunza mengi kupitia somo hili.May God bless you .
@pastorginojennings3125
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God minister to me a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding on to them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay be in your life, with an evil mirror, and a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford to these motherless foundation (OSOMOIGHO ENDURANC MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact where ever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Deliver them to the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349058384543) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.
Naomba kufunguliwa nipate kazi yoyote ile
Amen in Jesus name, it's well with me in the name of Jesus, indeed am blessed with it, to God be glory forever and ever 🙏
Amina Mtumishi wa Mungu nimekuelewa, asante kwa mafundisho
Barikiwa Mtumishi wa Mungu .I receive in Jesus Christ
Amen nakubali sana Papaa
Asante ubalikiwe Sana mtumishi wamungu najisikia amani Sana nikisikilia maubili yako
Point clear Dad . Muuuuuuuch looooove Dad
@christopherbundalah6908
4 жыл бұрын
Hakiikaa..
@pastorginojennings3125
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God minister to me a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding on to them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay be in your life, with an evil mirror, and a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford to these motherless foundation (OSOMOIGHO ENDURANC MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact where ever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Deliver them to the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349058384543) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you
Amen mtumishi wa mungu,,umenifunza kitu cha maana,,may God uplift you higher
Mungu akubariki.tumeelewa natunatakiwa kutii.nakuja kwa somo hili ni mpangoo wa munguu sio bure.nimebarkiwa.sana.
Amen...nmekuelewa vzuri sana mchungaji
Halelujah nimepokea hakika nimepokea Barikiwa mpakwa mafuta,Amina.
Apostle naogea 2chronicles7 :14 very sweet teachings
Napenda sana mafundisho yako mteule wa Mungu Ubarikiwe sana
Hallo apostle, Bwana yesu asifiwe niko hapa ECG University of word of God, napokea ijili kisawasawa very deep Revelations God bless
Amina bariwasana mtumishi umeni fungus be blessed.
Mungu akubariki sana
Amina ninayo kitu katika mafundisho yako mtumishi wa Mungu
Baba umenivusha snasana Mungu asikupungukie
Asante Mtumishi wa Mungu yaani umenifungua macho. MUNGU azidi kukubariki na kukutmia
Ubarikiwe mtumishi kwa. Mafundisho
NA kupata sana mtumishi NA ninabarikiwa sana katika mafundisho yako kutoka muskat oman
Amen i receive in Jesus name amen and amen
Yeremia 18:1-7. Udongo nimekupata 🙏
Thank you Apostle for the great insights....ufunuo kamili🙏🙏🙏
Very nice teachings
Nakushukuru sana pastor kwa somo zuri barikiwa sana
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu umenitoa pahala
Asante sana mtumishi, nimejifunza kitu kikubwa sana maishani mwangu ambacho sikukijua tangu mwanzo, nazidi kukusikiliza na Mungu akubariki sana
@pastorginojennings3125
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God minister to me a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding on to them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay be in your life, with an evil mirror, and a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford to these motherless foundation (OSOMOIGHO ENDURANC MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact where ever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Deliver them to the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349058384543) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.
Oh Yes... Apostle We're understand alot ur preaching.. May Jehovah bring u long years on ur menial..
Mumishi wa mungu nimekuelewa kalibu wilaya yangara mkoa wa kagera
Thank you Apostle for your teaching about...udongo ...
Mungu nakushukuru Kwa kuniona.
thank you dady....I have get a lesson
I receive by fire...
Amen naenda kumiliki na kutawala kwa azia leo
Mchungaji big up
Nimekuelewa sana pia umenisaidia sana Nabii
Nimebalikiwa sana na malifa makuu
Haijalishi ni miaka ngapi hili neno mtumishi wa Mungu ulihubiri, Bado linanibariki
Preach man of God be blessed thanks for everything