KUPAMBANUA SAUTI (I) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Пікірлер: 36
Barikiwa Sana mtumishi nimeelewa Sana, ila kuna mambo mengi magum napitia naomba msaada na niko mbali siwezi kufika hapo Kwa wakati huu, nipo Oman ila Mm ni Mtanzania.
Amen
Ameeeen 🙏🙏
Amen baba kwa huu ufunuo 🙏🙏🔥🔥soo powerful
Barikiwa sana mtumishi na familia yako.
Amen Amen Asante kwajili ya ujumbe huu.
Asante mchungaji,barikiwa sana
Mungu akuinue zaidi
Amen 🙏
Asuivre
Haleluyaaa Man of God
Amen Daddy 😢
Ameeeeeeeeeen
Ameeeeeeeeeeen
Amen mtumishi barikiwa sana
Kwa iyo hamnaga manabii
Bwana Yesu Kristo atukuzwe, kiukweli mimi nabarikiwa sana na Neno la Mungu, yaani mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana,naomba kujua kanisa liko wapi kwa hapa Dar-es-salaam,pia naomba namba ya huduma please 🙏
@sophiagomoka
10 ай бұрын
Kwa Dar lipo Sinza mkabala na ofisi za Tamwa. Namba za huduma zipo kwenye screen. Unaweza kutumia hizo
Baba baba ❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Channel ya ROCK TV inapatikana namba ngapi AZAM TV.
@evaaggrey1382
11 ай бұрын
Unaenda other chanel utapata apo
Somo muhimu Sana.
Njooni tena Arusha jamani
Nimeelewa lakini ndo nimechanganyikiwa zaidi hapo kwenye nafsi
Uliambie kanisa waache mapambo Kama mikufu kuvaa Pete hereni bangili 💄 kusuka nywele Uzi wigi Rasta nk yote hayo ni machukizo kwa Mungu mkuu YESU 1timotheo 2:9 1wokorinto 11:4_6 1petro 3:3
@magretheugen8760
11 ай бұрын
Kama huo ndo wito wako ufanyie kazi. Usimbebeshe mtumishi mzigo usiowake
@simonprosperity9573
11 ай бұрын
@simonprosperity9573
11 ай бұрын
@adamzablon8939
11 ай бұрын
Sawa kabisa, Nawewe jikite kwenye eneo lako ambalo watanyoa vipara na viremba na kufunga vitambaa miguuni kama kuku wa kienyeji,utawapata wengi tu, "Dunia na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana" Shida ni namna na uelewa juu ya matumizi,na mafundisho tunayopewa.
@anesansibert2968
11 ай бұрын
@@magretheugen8760 Mungu amsaidie
Amen
Amen🙏
Amen
Amen
Amen