KUPAMBANUA ROHO (SAUTI ZA GIZA) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Пікірлер: 27
Baba apostle Mungu akubariki sanaa 😭😭😭😭kwa kweli umenitoa machozi kwa chenye nilipitia.
Mungu akubariki mtumishi na kuku inua viwango vya juu zaid ya mawingi ktk kazin yake
Amen mtumishi barikiwa sana
Mungu akubari Sana mchungaji
Amen
Jamani mtumishi kapungua
Ameen
Somo zur sana lakini saut haijakaa vizur
Amen 🙏
Amen dady dady
Blessings
Amina pastor
shaloom . sikufika kanisani lakini nimesikiliza somonvizuri sana na nimeelewa Asante Mtumishi wa Mungu . Mungu aendelee kukuweka Kwa ajili yetu .. Amen
Niko kenya niombee
Try to raise your volume please.
Hakika Mtumishi umenipa Ufaham mkubwa Sana, watambuzi ni wengi wanatesa Sana Akili zetu,, na pia ufunuo wa Nafsi, unatutsea nimepata Hasara, Sana kwenye biashara Yangu ya Madini, Naomba promise na ww ila Jpili nakuja mapemaa
😢😢
How can i meet with the man of God somebody help.
Hili kanisa liko wapi?
“Naye aliposema nami, roho ikaniingia, ikanisimamisha; nikamsikia yeye aliyesema nami.