🚨Uchambuzi Wasaffm,Mazito kutoka Yanga,Baleke Kutua weekend hii?,Alikamwe Atangaza balaa linakuja.

#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Пікірлер: 26

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v4 күн бұрын

    SIMBA WALIMUACHA TAMBWE AKAWAFANYIA ROHO MBAYA SIMBA MPAKA HAWAKUAMINI

  • @saidsalum6101
    @saidsalum61013 күн бұрын

    Baleke nimchezaji kweli hasa

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk4 күн бұрын

    Hawakumuacha hakuwa wao alikuwa kwa mkopo

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk4 күн бұрын

    Hapana buana Baleke anaumiza mioyo ya Wana simba

  • @MusaClement-tw6om
    @MusaClement-tw6om3 күн бұрын

    Simba oyee

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege29044 күн бұрын

    Makolo wao wanakula matapishi ya Coast union😂😂

  • @Evance-op4jw

    @Evance-op4jw

    3 күн бұрын

    na geita gord

  • @Kabeya410
    @Kabeya4104 күн бұрын

    😅😅Yaani Yanga kweli nyoko kaondoka mayele tukastrago wafungaji walikua mido watupu sasa kuna mastraika wanne 4 😅mboga moto, ugali moto, na kachumbari moto kwa pili pili akitoka moto anaingia moto hakuna nafuu kwa mabeki watajivunja saana 😅

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e4 күн бұрын

    Matapishi wap Kwan mnaumia nn

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu1284 күн бұрын

    Hasira fc endeleeni kufaaa kwa presure😅

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu1284 күн бұрын

    Nauliza ,aliyesema Chama akienda Yanga atakufa,je ameshafika kuzimu??😂😂😂😂

  • @NillanMjunga-fr5ze
    @NillanMjunga-fr5ze4 күн бұрын

    Kwani baleke ni mchezaji wa simba?

  • @abdalahsalimu
    @abdalahsalimu4 күн бұрын

    Yani nyie sijui ni wachambuzi gani baleke anasajiliwa yanga halafu pigo litokee simba?

  • @user-vm5og4np4k
    @user-vm5og4np4k3 күн бұрын

    Achaushamba wewe subilien 5og nyingine sawa

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v4 күн бұрын

    PIGO KWA SIMBA SI WALIMUACHA,?

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    4 күн бұрын

    😂😂😂 walikwambia wamemuacha ??? Au tuli wa pressurize wawaache Moses Phiri na Jean Otto's Baleke..... Shida yetu ilikuwa ni Baleke Baleke Baleke Baleke

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v4 күн бұрын

    WINGA WA NINI WAKATI DUBE,CHAMA NI MAWINGA NA BALEKE NAMBA 9

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    4 күн бұрын

    Dude ni strike sio natural winger .. chama ni advance playmaker ni inside 10 as Aziz ki na Paccome Zouzoua.... Ila wanaweza shift inside

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu8664 күн бұрын

    Mnaendelea tu kula Matapishi ya simba kila siku na mlishawahi kusema hakuna anaefaa kuchezea timu yenu

  • @user-fi2gf6ks7h

    @user-fi2gf6ks7h

    4 күн бұрын

    Ukiwa na kichwa uwe na akili yanga tuliwaza upepo nyie makolo kwinyo mkaingia kwenye mfumo tukawapiga nje ndani Kono la nyani 😂😂😂😂😂😂😂kolo we

  • @vaxminja9053

    @vaxminja9053

    4 күн бұрын

    Hivi Baleke alikuwa mchezaji wa Simba? Uwe basi na akili kidogo

  • @user-mo8pq4pt3r

    @user-mo8pq4pt3r

    4 күн бұрын

    Ilikua maind gem! Mkajaa kwenye mfumo

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    4 күн бұрын

    Simba alimchukuwa morisoni ,niyonzima ,gadiel Beno je nimatapishi acheni stori za sizitaki mbivu hizi

  • @hassanimngetege2904

    @hassanimngetege2904

    4 күн бұрын

    Young tunachukua Simba ila makolo wao wanachukua Coast union 😂😂😂

Келесі