AZIZ ANDAMBWILE NA KIBWANA WATOA YA MOYONI BAADA YA KUSAIN MKATABA MPYA.

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 93

  • @protasmalala7559
    @protasmalala755916 күн бұрын

    We jamaa kwa mwandishi WA habari mzuri kuwahi kuwashuhudia!maswali ya msingi Sana unauliza..hongera Sana.

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz11 күн бұрын

    Karibu sana Aziz jagwani,team kubwa,changamoto kubwa pambana tu💪💪💪

  • @chollejr_
    @chollejr_16 күн бұрын

    Ko Aziz andambwile atacheza😂😂😂 CAF champion 🏆 league,lkn timu nzima ya makolo watakua shirikisho 😂😂😂

  • @AbrahamanHussein
    @AbrahamanHussein16 күн бұрын

    Ishallah nakuamin mdogo wangu uko pow💚💛🖤🫶✍️✍️✍️💪💪💪

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p16 күн бұрын

    Ikawe heri kwenu na timu nzima kwa ujumla, kwa neema ya Mungu mjaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa zaidi.

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma987016 күн бұрын

    MUNGU ni mwema karibu Sana AZIZ kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm16 күн бұрын

    Naipenda Yanga sanaaaaa nipo tayari kufia hii logo thankyou God 💋💋🙏🙏

  • @fosteryona7581
    @fosteryona758116 күн бұрын

    Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah415716 күн бұрын

    Waallaah mm nimefurahi sana mwanangu kibwana kuongeza mkataba mungu akupambanie nakupenda sana

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu72716 күн бұрын

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote twende zetu KUJISAJILI. Ila Tuwe juu zaidi

  • @claratango9262
    @claratango926216 күн бұрын

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @joojombi2341
    @joojombi234116 күн бұрын

    Kila la kheri inshallah maendeleo mazuri na kazi Iendelee

  • @veelmng7746
    @veelmng774616 күн бұрын

    Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema

  • @davismwape7500
    @davismwape750016 күн бұрын

    Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri

  • @EllyTeddy
    @EllyTeddy16 күн бұрын

    Andambwile umeingia sehemu sahihi sana karibu yanga Africa mungu akusaidie

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo16 күн бұрын

    Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh16 күн бұрын

    Karibu sana midfielder ya boli#Aziz

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai80116 күн бұрын

    Tuna wategemea Sana Mungu awatunze 🔰🔰💪

  • @AlenAlen-m2e
    @AlenAlen-m2e15 күн бұрын

    Nakutakia msimu mzuri kak fanya san mazoez ongeza juhudii kak unanuka shida

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises16 күн бұрын

    Aziz karibu jangwani pia

  • @user-tf2kr5hv7z
    @user-tf2kr5hv7z16 күн бұрын

    Kalibu sana jangwan aziz andambile

  • @maliadii4829
    @maliadii482916 күн бұрын

    Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri

  • @marthageorge5043
    @marthageorge504316 күн бұрын

    Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey966814 күн бұрын

    your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa772316 күн бұрын

    Ni Andabwile sio Andambwile

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu16 күн бұрын

    Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda

  • @ceciliadaudi1632
    @ceciliadaudi163216 күн бұрын

    All the best champ 🎉🎉

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan914 күн бұрын

    Karibu sana andambwile

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul731616 күн бұрын

    Karibu sanaaaaa Aziz

  • @DaudFulberth
    @DaudFulberth16 күн бұрын

    Good💪💪💪💪💪💪

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya846616 күн бұрын

    Ckaribu kamanda🎉🎉🎉

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas107815 күн бұрын

    Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔

  • @Fine_boe_11
    @Fine_boe_1116 күн бұрын

    Young African champion of caf champions league 24/25 🔰

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed16 күн бұрын

    Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂

  • @EsterPeter-h9d
    @EsterPeter-h9d16 күн бұрын

    Yangaaaa tamuuu

  • @RenatusKasinga
    @RenatusKasinga16 күн бұрын

    Nakubari kaka angu kibwana

  • @maliadii4829
    @maliadii482916 күн бұрын

    Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana

  • @PascaziaBenedict

    @PascaziaBenedict

    15 күн бұрын

    Yanga oyeeeeee

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk16 күн бұрын

    Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu580616 күн бұрын

    Chief kingalu waukae

  • @IsmailKipande-ss1ty
    @IsmailKipande-ss1ty16 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175516 күн бұрын

    Karibu kijana

  • @chollejr_
    @chollejr_16 күн бұрын

    Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja618116 күн бұрын

    Yanga bingwa

  • @SylvesterSafari-nf4fy
    @SylvesterSafari-nf4fy16 күн бұрын

    Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube

  • @brandinamwakasendeka4756
    @brandinamwakasendeka475616 күн бұрын

    Am the first today

  • @StavoBella-pf6hu
    @StavoBella-pf6hu16 күн бұрын

    Mwamba kutoka mbeya sas

  • @emanuelyngoi4440
    @emanuelyngoi444016 күн бұрын

    Good ❤ yanga 🎉🎉🎉

  • @user-zx9jd4jt8e
    @user-zx9jd4jt8e16 күн бұрын

    Gud signing

  • @yusuphkimomwe4276
    @yusuphkimomwe427616 күн бұрын

    Toa vitaulo baba,chief kingalu

  • @kisinza6077
    @kisinza607716 күн бұрын

    Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno625515 күн бұрын

    Chief baba...🔥🔰🇹🇿

  • @abdullatifuhashimu4594
    @abdullatifuhashimu459415 күн бұрын

    Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud16 күн бұрын

    💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥

  • @salumkitam6960
    @salumkitam696016 күн бұрын

    Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu15 күн бұрын

    Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤

  • @samsonkomba0000
    @samsonkomba000016 күн бұрын

    N andabwile

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b16 күн бұрын

    Muñgu mwema

  • @user-to9xw2mc9m
    @user-to9xw2mc9m16 күн бұрын

    Karibu jangwani🎉azizo

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr16 күн бұрын

    Wasenge mnanipelekesha kinoma na sitaki kukosa kitu daaah😅😅😅😅

  • @fatmasaaed144

    @fatmasaaed144

    16 күн бұрын

    Yani utake usitake utakopa ata Bandon tuu izi raha😂😂😂😂😂😂

  • @jr_mkumbojr

    @jr_mkumbojr

    16 күн бұрын

    @fatmasaaed144 sina namna hii ni familia yangu napaswa kuihudumia kama hivi,lipa ada,nunua bidhaa zao na angalia contents zao🪡💚👌🧘‍♂️

  • @barakamwafwalo4680

    @barakamwafwalo4680

    16 күн бұрын

    Yaani ukikosa bando tu video kadhaa zimemwagika 😂😂

  • @jr_mkumbojr

    @jr_mkumbojr

    16 күн бұрын

    @@barakamwafwalo4680 ni marufuku kukosa

  • @user-wp4fc6tf8f

    @user-wp4fc6tf8f

    16 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @QuilalaselemaneSaide
    @QuilalaselemaneSaide16 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f16 күн бұрын

    Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔

  • @mamuwadomu8448

    @mamuwadomu8448

    16 күн бұрын

    Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae

  • @zeddymourice4249

    @zeddymourice4249

    16 күн бұрын

    Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    16 күн бұрын

    Wewe @user-hy3en6vk5f nakuona unajaribu kuanzisha vugvugu uwachanganye wananchi

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je16 күн бұрын

    Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo

  • @jamilahjamilah4157

    @jamilahjamilah4157

    15 күн бұрын

    Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo

  • @marymoshi572
    @marymoshi57216 күн бұрын

  • @chollejr_
    @chollejr_16 күн бұрын

    Rafu zmeongezeka😂😂😂

  • @Chinaomary-rn3qf
    @Chinaomary-rn3qf16 күн бұрын

    Mmh

  • @DismasPhidason-vu6bt
    @DismasPhidason-vu6bt16 күн бұрын

    Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??

  • @Samweldlemaanda
    @Samweldlemaanda15 күн бұрын

    Kila la kher xana mwaang

  • @JordanKaunga
    @JordanKaunga14 күн бұрын

    Mh unaoji vizul sana

  • @AgnesNangale
    @AgnesNangale16 күн бұрын

    Nyanga raha san

  • @user-cl4dx3kc6k
    @user-cl4dx3kc6k13 күн бұрын

    Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!

  • @mariamjuma1670
    @mariamjuma167016 күн бұрын

    👏💛💚

  • @saididuri3518
    @saididuri351813 күн бұрын

    ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.

  • @chollejr_
    @chollejr_16 күн бұрын

    Kibwana katoa wapi madevu

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad16 күн бұрын

    kiukweli mashabiki yanga tunainjoi tenakwasana tu nawatakia kwakilalaeli nimwana Mozambiquei 🇲🇿

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman388516 күн бұрын

    Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin

  • @dastankhalifa5672
    @dastankhalifa567216 күн бұрын

    Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake

  • @zakayomaendeleo
    @zakayomaendeleo16 күн бұрын

    😊😊😊

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow16 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @proisolution7166
    @proisolution716616 күн бұрын

    NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.

  • @proisolution7166

    @proisolution7166

    16 күн бұрын

    AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja618116 күн бұрын

    Bwana kibwana,

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo16 күн бұрын

    Yanga bingwa

Келесі