Tuhuma za kiswapanza pemba yawaeka roho juu watu wa wete kuhusiana ulaji kasa

Пікірлер: 33

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga7894 ай бұрын

    Kasa NG'amba anasumu kweli haliwi sisi tupo tanga tunawajua vizur Kasa yani yule mwenye rangi nzuri za kuiva ndio Kasa NG'amba haifai kumla anasumu

  • @fatmaabdalla2707
    @fatmaabdalla27074 ай бұрын

    Umeongea vyema mzee wangu

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp3 ай бұрын

    Ndoma anapigwa sindano

  • @user-mq4df1np9i
    @user-mq4df1np9i4 ай бұрын

    Tumejifunza ktu mzee hogera mze mwinyi 🙏🕋👁

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim26804 ай бұрын

    Mabeberu ndio wanao wawekea sumu na vinembo vyao,,,,lkn hakuna kasa alie na sumu kimaumbile.

  • @yahyamakamo5144
    @yahyamakamo51444 ай бұрын

    Safi kaka

  • @teedullah5708
    @teedullah57084 ай бұрын

    Mzee mwinyi fungate iko wapi

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalimАй бұрын

    Ww kiufupi sema kwamba kasa asiliwe, kasa wanakua na sumu

  • @princesaha3262
    @princesaha32623 ай бұрын

    Kasa ni mtamu sana.

  • @princesaha3262
    @princesaha32623 ай бұрын

    Ukiona hvyo alikuwa hataki liwa.

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf2 ай бұрын

    Tuwe NA msimamizi tusinunue nyama ya Kasa maana hatari

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim86004 ай бұрын

    Ww wach ujing kuwatusi wpemb ww hao wapemba ndio wanaokulisha

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim26804 ай бұрын

    Mwasaka tonge semeni uongo

  • @OmaryAlly-mn6cv
    @OmaryAlly-mn6cv4 ай бұрын

    Kasa, kasa, kasa, kasa hafai kuliwa, hafai kwa hukumu yake pia kwaathari zake.

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq4 ай бұрын

    Mie naona mutanikosesha minofu jamaani

  • @hukhrakhamis4311
    @hukhrakhamis43114 ай бұрын

    Marejeo

  • @user-og6jy1lq7w
    @user-og6jy1lq7w4 ай бұрын

    🇹🇿🤔🤔🤔🤔🤔🇹🇿

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk4 ай бұрын

    Mnarogana tatizo

  • @georgenjeri8547
    @georgenjeri85473 ай бұрын

    Si Huyu Ni Babu Juma Aseli Khalfani Kutoka Misitu Ya Kiuyu Pemba?Huyu Mganga Ambaye Anafuga Majini,Katikati Ya Bahari Hindi La Zanzibar.Anafanya Dua Na Na Kutuma Makombora Duniani Kote

  • @slemansleyum1251
    @slemansleyum12514 ай бұрын

    Muhamedi kombo mwapotelea wap mbon hatuwaoni

  • @user-xk1ot4nq7f
    @user-xk1ot4nq7f4 ай бұрын

    Kasa ni haram kumla kwa ushahid wa kur,ani na hadith

  • @user-oj8bk5xn8n
    @user-oj8bk5xn8n4 ай бұрын

    Metafuta mpumbavu ndio aisemee jamii uyu mwinyi chizi ukimuona tu wajua

  • @ahmadSeif860

    @ahmadSeif860

    4 ай бұрын

    Acha ujinga ww, kwani kaongea uongo?

  • @hassanmakame4016

    @hassanmakame4016

    4 ай бұрын

    CHIZI humjui ww itakuw.... Kwaiy bora kuw kimy t

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    4 ай бұрын

    Kumtukana mtu ujue unajibebesha dhima

  • @user-oj8bk5xn8n

    @user-oj8bk5xn8n

    4 ай бұрын

    @@hassanmakame4016 ndie huyo

  • @nassor8819
    @nassor88193 ай бұрын

    Sio kachara huyu?

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Mzee mwinyi mpeku wa peku la ungo

  • @mazruqmohammed4108
    @mazruqmohammed41084 ай бұрын

    Huna mpango wowote wala usituambie kitu

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    4 ай бұрын

    humuachi kasa auu😂

  • @user-ll3pq4we8v
    @user-ll3pq4we8v4 ай бұрын

    Wapemba mmezidi uchu

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    4 ай бұрын

    mhmm hapa unguja kasa analiwa hatarii kwa siri

  • @hukhrakhamis4311
    @hukhrakhamis43114 ай бұрын

    Marejeo