USIJE UKASHANGAA UKIFIKA PEMBA, ''CHAKULA CHAO, USAFIRI WANAOTUMIA, NUNGWI KUNA BALAA''

Пікірлер: 130

  • @mohammedalnabahan.4127
    @mohammedalnabahan.41273 жыл бұрын

    Pemba home najivunia sanaa kua mzaliwa wakisiwaa cha Pemba.

  • @omarbyz8695

    @omarbyz8695

    3 жыл бұрын

    Hatamiminajivunia Kua mpemba

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    me too

  • @omarbyz8695

    @omarbyz8695

    3 жыл бұрын

    اسنتا 👏👏👏

  • @abuubakar7594

    @abuubakar7594

    Жыл бұрын

    Me ni mpemba baba mama yani mpemba fyoko

  • @bahatinassorali5222

    @bahatinassorali5222

    3 ай бұрын

    Looh😂

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani24503 жыл бұрын

    Mtu n kwao na mkataa kwao ni mtumwaaa oyooo kuzaliwa pemba ni degree toshaa 😍

  • @omarsaid4661

    @omarsaid4661

    3 жыл бұрын

    Swadaqta chezea pemba wee,acha tuu.

  • @saidjuma9782
    @saidjuma97823 жыл бұрын

    Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya

  • @mundhiraliy1307

    @mundhiraliy1307

    3 жыл бұрын

    Amin 🙏

  • @talibmuhsin5221

    @talibmuhsin5221

    2 жыл бұрын

    Amin in shaa Allah

  • @habibumohamed1543

    @habibumohamed1543

    2 жыл бұрын

    Aamiyn yaa rabbal a'lamiyn 🤲 Allah akidumishe daimu katika ile adili uzurii, nasikia raha sana

  • @rahmaabdulla4949

    @rahmaabdulla4949

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @naimasuleiman6489

    @naimasuleiman6489

    9 ай бұрын

    Amin

  • @andrewsekei8895
    @andrewsekei88953 жыл бұрын

    Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba

  • @salhanassor1077

    @salhanassor1077

    3 жыл бұрын

    Karibu tena pemba.. green island kisiwa murua cha watu murua

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    shukran kwa kuliona hilo .

  • @ismailel-mazrui6983

    @ismailel-mazrui6983

    Жыл бұрын

    xhukran ndugu

  • @MaulidFakiKhamis

    @MaulidFakiKhamis

    19 күн бұрын

    Dini inasaidia then roots n culture asante kwa pongezi

  • @MahmoudMohamed-ct8no
    @MahmoudMohamed-ct8no3 жыл бұрын

    Kwa kweli nyumbani Pemba ni raha sana kweli kweli Allhamdullillah Ng'oma mpaka upapatike kama kuku akichinjwa hahahahaaa

  • @omarsaid4661
    @omarsaid46613 жыл бұрын

    Pemba wacha tu kuitwe pemba,chake chake wapo micheweni je na wete yake👍👍👍👍👍👍👍👍.

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed8093 жыл бұрын

    Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌

  • @hamisunited4489
    @hamisunited44893 жыл бұрын

    Milad ayo nimependa ulivo tukumbuka

  • @adamsaid5772
    @adamsaid57723 жыл бұрын

    Hongera sana milad kutusogezea kisiwa chetu love ll.

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud77343 жыл бұрын

    Hongera sana Millard ayo kwa kufika Pemba karb sana Pemba.

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret3 жыл бұрын

    Mashaallaaaaa

  • @saidjuma9782
    @saidjuma97823 жыл бұрын

    Thanks to Millard Ayo for sharing this with us

  • @aipysaleh5647
    @aipysaleh56473 жыл бұрын

    Karibu pemba upembani kisiwa cha marashi ya karafuuu Nakupenda nyumbani kwetu

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk83733 жыл бұрын

    nimeipenda lakini ingependeza zaidi ungeliingia mitaani zaidi ... WANAKUITA PEMBA MM NAKUITA NYUMBANI ...

  • @idrisabakar7928
    @idrisabakar79283 жыл бұрын

    Proud my father

  • @user-qm6si4kz8i
    @user-qm6si4kz8i2 жыл бұрын

    Tumefurahi sana kwa kuitambua Zanzibar kua ni Jamhuri. Hongereni sana kwa kufika

  • @barakakihaga6481
    @barakakihaga64813 жыл бұрын

    Nimefurahi sana millard oyooo😍😍

  • @sichaguisibaguitv6643
    @sichaguisibaguitv66433 жыл бұрын

    Asikuambie MTU Pemba kuzuri

  • @eddimalon6051

    @eddimalon6051

    3 жыл бұрын

    naam kwa shelisheli la nazi na kombe, aaaa utapenda.

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman35253 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @rashidally1149
    @rashidally11493 жыл бұрын

    Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee

  • @bisunmwamini6993

    @bisunmwamini6993

    3 жыл бұрын

    Wabaguzi nyieee!sasa wabongo wamefata nn apo!

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99053 жыл бұрын

    Pemba nkwetuuuuu 🤣🤣🤣🤣

  • @abuyotmanimgenimgeni578

    @abuyotmanimgenimgeni578

    3 жыл бұрын

    Home sweet home

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum6633 жыл бұрын

    Najivunia kuzaliwa pemba

  • @khalifaali2613

    @khalifaali2613

    2 жыл бұрын

    KUZALIWA PEMBA NI DEGREE TOSHA

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11333 жыл бұрын

    Nimefurah kwa kutembelea nyumban👏👏😘😘🙏🙏

  • @mulhazinzibar6912
    @mulhazinzibar69123 жыл бұрын

    Hongera Sana Chuma nakukubali hahahaha 😂

  • @majidimansury3751
    @majidimansury37513 жыл бұрын

    my sweet home pemba

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis82983 жыл бұрын

    kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria

  • @yassirmohd3069
    @yassirmohd30693 жыл бұрын

    Proud pemba boi

  • @jayjay4313
    @jayjay43133 жыл бұрын

    Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔

  • @mimiapa8436
    @mimiapa84363 жыл бұрын

    Milard mbona hukufiia wilaya zote asante kwa kufika pemba

  • @salhanassor1077
    @salhanassor10773 жыл бұрын

    Alipojitaja tu jina nlijua kuwa niwakaskazini maana watu wamichewen nashumba wanalipenda jina la bakari..asant millard ayo kwakuja nyumbani

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji19693 жыл бұрын

    Hahahaha 😂 wambie hawajua hao

  • @kambinikichokochwe-we4xn
    @kambinikichokochwe-we4xn Жыл бұрын

    Ilove you pemba💜💜💜

  • @seifelbusaidy9967
    @seifelbusaidy99673 жыл бұрын

    Home sweet home ❤❤❤❤❤

  • @sulaimanead8060
    @sulaimanead80603 жыл бұрын

    Pemba kwetu

  • @salhanassor1077
    @salhanassor10773 жыл бұрын

    My beautifully island..pemba al mussalama.. Karibuni mje mjifunze ustaarabu.. ila mkija mje na adabu zenu

  • @abdul-bz1cy

    @abdul-bz1cy

    3 жыл бұрын

    wakaa wapi ww

  • @abdul-bz1cy

    @abdul-bz1cy

    3 жыл бұрын

    upo pemba sehem gani

  • @salhanassor1077

    @salhanassor1077

    3 жыл бұрын

    @@abdul-bz1cy chake

  • @salhanassor1077

    @salhanassor1077

    3 жыл бұрын

    @@abdul-bz1cy vp kushawah kufika chakechake

  • @chicagousa2695
    @chicagousa26953 жыл бұрын

    Sweet Home♥♥♥♥♥♥

  • @fatmaabdulla9518
    @fatmaabdulla95183 жыл бұрын

    Home sweet home 💕

  • @abuyotmanimgenimgeni578

    @abuyotmanimgenimgeni578

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji19693 жыл бұрын

    ,,hahahahahahaha papatikaaaa

  • @husseinali9760
    @husseinali97603 жыл бұрын

    Masha Allah. Sweet home Zanzibar Pemba

  • @andrewpaul6631

    @andrewpaul6631

    9 күн бұрын

    Vp brooo kwema

  • @hajjmohd3602
    @hajjmohd36023 жыл бұрын

    Alieskia KOFIA BORIDO🤣🤣🤣 , , uyu jama namkobali kwa kiswahili , ASANTEE TEAM CCK

  • @abuufaki2814
    @abuufaki28142 жыл бұрын

    Home sweet home # Alhamdullai,,,, Najivunia sana nyumbani kisiwani pemba ( mkoa wa kaskazini kojani)

  • @suleimanalkindy6502
    @suleimanalkindy65023 жыл бұрын

    Ufafanuzi mazidhawa kabisa kutoka kwa maalim Bakar.

  • @yahyakasunga186
    @yahyakasunga1863 жыл бұрын

    Wakwanza naombeni like zenu wapendwa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69613 жыл бұрын

    Usafiri wa chai maharage

  • @abuuamourmuhamed1934
    @abuuamourmuhamed1934 Жыл бұрын

    Waoooo pemba sichoki kumiss nyumbani

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 Жыл бұрын

    Jioni upo upepo unanukia Marashi ya Karafuu , Ma Sha Allaah

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337Ай бұрын

    Pemba ni home ov my Parents also for my self ,buh Pemba Island is not Tanzania, Pemba is part ov Zanzibar Arkipelego, thanks

  • @sharifaabdull8913
    @sharifaabdull89132 жыл бұрын

    Asante 🙏🙏🙏

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah10 ай бұрын

    Mashaallah umejieleza vizur

  • @LatifAmars
    @LatifAmars3 жыл бұрын

    Nimeipenda hii tamthilia

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78023 жыл бұрын

    Pemba nkuzurii

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary65633 жыл бұрын

    Sio jamuri sem nch y Zanzibar

  • @sultansaidy2187
    @sultansaidy21873 жыл бұрын

    Wambie hawoo wabongo amiy ngomastarehe sikupapatika

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Жыл бұрын

    Hatarieti twalaliya shiba hatulali bofulo jamani pemba raha kwaza wanasifa zote

  • @MbaroukKhalifa

    @MbaroukKhalifa

    3 ай бұрын

    Dah asikwambie mtu Pemba Raha sana na tunaipenda sana

  • @saidmohammed6385
    @saidmohammed63853 жыл бұрын

    Hahahaha pemba

  • @mwalimusaid5095
    @mwalimusaid50953 жыл бұрын

    Saw

  • @fumuali1605
    @fumuali16053 жыл бұрын

    Furaha yetu

  • @nassorchollo4708
    @nassorchollo47083 жыл бұрын

    Home sweat home

  • @yussufhamad1268
    @yussufhamad12683 жыл бұрын

    Nimecheka sana unawaeka kofia yako borido

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75892 жыл бұрын

    Home sweet home

  • @is.hakaomar1630
    @is.hakaomar16303 жыл бұрын

    Hm pemba

  • @diznoles882
    @diznoles8823 жыл бұрын

    Gari kzread.info/dash/bejne/pGdrtamRh7S1pKw.html

  • @sahilnaass5090
    @sahilnaass50903 жыл бұрын

    Wabongo wafujaji wa misamiat ya pemba . Fyuuuuuuu

  • @bisunmwamini6993

    @bisunmwamini6993

    3 жыл бұрын

    Kisiwa kizur sana ila kasoro moja tu!mna ubaguzi wa kishamba sana!

  • @khulayfnassor6938

    @khulayfnassor6938

    3 жыл бұрын

    @@bisunmwamini6993 wee hufirwii mpumbavu iyo kujiona umetoka katika ujinga uliona nao mshukuru sana mpemba mbwawee

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    Жыл бұрын

    Sema acheni maneno maneno hapo hamna mbongo ati apo ushamba Tu umewajaa

  • @boyyaechi4957
    @boyyaechi49573 жыл бұрын

    Ok

  • @feifei9620
    @feifei96203 жыл бұрын

    Yakheee 😀

  • @yussufmohd5281
    @yussufmohd52813 жыл бұрын

    Ndy ukatuona Twangara

  • @fatmasaid9765

    @fatmasaid9765

    3 жыл бұрын

    Eti ndio ukatuona twangara hahahahah

  • @ulipoulipotupo7564
    @ulipoulipotupo75642 жыл бұрын

    Home sweet hime

  • @munirazenji9819
    @munirazenji98193 жыл бұрын

    😃😃😃

  • @idrisaali4934
    @idrisaali49342 жыл бұрын

    hahaha upapatike kuku achinjwae aisee nyumbani kutamuuuuu wallah narudi nyumbani

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan2 ай бұрын

    Nkweli wapemba hatugongewi mwiko

  • @tushmakka2912
    @tushmakka29123 жыл бұрын

    Lve my hom pba

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 Жыл бұрын

    NUNGWI CHINA YA OCEAN KUTAKUWA KUNA Oceanic trench YANI BONDE AU TUITE SHIMO NI HATARI SANA

  • @ashaherezi7488
    @ashaherezi74883 жыл бұрын

    Kyannakannaka!!!

  • @ramazubery2641
    @ramazubery26413 жыл бұрын

    Tayari eee😂😂😂

  • @waheedawaheeda152
    @waheedawaheeda1523 жыл бұрын

    Mbn watu wanasem wabaguzi

  • @MaulidFakiKhamis

    @MaulidFakiKhamis

    19 күн бұрын

    Viumbe hatuezi kosa la kusema

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali52223 ай бұрын

    😂😂😂 mkisifu ila siji ngoo

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Жыл бұрын

    Vp ishu ya ubaguzi shekh ,,kwa cc watu wa bara?

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid51403 жыл бұрын

    Sisi twala hasaa,,,, twanlalia shiba

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu15563 жыл бұрын

    Tayari 😂😃

  • @sahilnaass5090
    @sahilnaass50903 жыл бұрын

    Ubaguz gn

  • @nicksonnewton1991
    @nicksonnewton19913 жыл бұрын

    Wakojani hao

  • @khamissalum8906

    @khamissalum8906

    3 жыл бұрын

    tunajivunia makabila na asili zetu

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    Жыл бұрын

    Hahaha😆kwa uchafu

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan2 ай бұрын

    Pemba nkwetu

  • @kihogonitv7627
    @kihogonitv76272 жыл бұрын

    Fanya ufike na pemba kusini sasa

  • @mohdsalum4066
    @mohdsalum4066 Жыл бұрын

    Pemba

  • @nasranassor6796
    @nasranassor67963 жыл бұрын

    Swafi

  • @abuyotmanimgenimgeni578

    @abuyotmanimgenimgeni578

    3 жыл бұрын

    Hakuna kama zanzibar yetu

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani24503 жыл бұрын

    Jmn imeisha harakaa

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Жыл бұрын

    NIPO PEMBA.HIZI GARI KWA SASA ABIRIA HAWAZIPENDI MAANA SIKU HIZI WENGI NI WAFANYABIASHARA SIO ZA MAZAO.WATOFAUTISHE ABIRIA NA MAZAO

  • @andrewpaul6631

    @andrewpaul6631

    9 күн бұрын

    Kwema kaka?

  • @josej9888
    @josej98883 жыл бұрын

    Chai maharage

  • @muhammedkhamis1407

    @muhammedkhamis1407

    3 жыл бұрын

    Masha Allah Jazira Ipovizuri Allah Ibariki Pemba Yetu Na Watu Wake ila anayehojiwa Alikuwa Baharia Huyo Kk

  • @muhammedkhamis1407

    @muhammedkhamis1407

    3 жыл бұрын

    Masha Allah Wa Micheweni Mupo Juu Kwa Pemba Yetu Nawakubali Kwenye Misosi 😂🤣🤝🤝

  • @muhammedkhamis1407

    @muhammedkhamis1407

    3 жыл бұрын

    Kung'ara mwilini si kwasababuyakula viyazi na sheli la Piki ni maumbile tu hayo kk ya kibina adamu tu

  • @sasha-ri7tf

    @sasha-ri7tf

    3 жыл бұрын

    Corona company.

  • @yahyakasunga186
    @yahyakasunga1863 жыл бұрын

    Wapili naombeni like zenu wapendwa

  • @AbdulWaqqas
    @AbdulWaqqas3 жыл бұрын

    Kyannakannaka!!!