Pemba home najivunia sanaa kua mzaliwa wakisiwaa cha Pemba.
@omarbyz8695
3 жыл бұрын
Hatamiminajivunia Kua mpemba
@kiri5807
3 жыл бұрын
me too
@omarbyz8695
3 жыл бұрын
اسنتا 👏👏👏
@abuubakar7594
Жыл бұрын
Me ni mpemba baba mama yani mpemba fyoko
@bahatinassorali5222
3 ай бұрын
Looh😂
@hassanramadhani24503 жыл бұрын
Mtu n kwao na mkataa kwao ni mtumwaaa oyooo kuzaliwa pemba ni degree toshaa 😍
@omarsaid4661
3 жыл бұрын
Swadaqta chezea pemba wee,acha tuu.
@saidjuma97823 жыл бұрын
Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya
@mundhiraliy1307
3 жыл бұрын
Amin 🙏
@talibmuhsin5221
2 жыл бұрын
Amin in shaa Allah
@habibumohamed1543
2 жыл бұрын
Aamiyn yaa rabbal a'lamiyn 🤲 Allah akidumishe daimu katika ile adili uzurii, nasikia raha sana
@rahmaabdulla4949
Жыл бұрын
Amiin
@naimasuleiman6489
9 ай бұрын
Amin
@andrewsekei88953 жыл бұрын
Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba
@salhanassor1077
3 жыл бұрын
Karibu tena pemba.. green island kisiwa murua cha watu murua
@kiri5807
3 жыл бұрын
shukran kwa kuliona hilo .
@ismailel-mazrui6983
Жыл бұрын
xhukran ndugu
@MaulidFakiKhamis
19 күн бұрын
Dini inasaidia then roots n culture asante kwa pongezi
@MahmoudMohamed-ct8no3 жыл бұрын
Kwa kweli nyumbani Pemba ni raha sana kweli kweli Allhamdullillah Ng'oma mpaka upapatike kama kuku akichinjwa hahahahaaa
@omarsaid46613 жыл бұрын
Pemba wacha tu kuitwe pemba,chake chake wapo micheweni je na wete yake👍👍👍👍👍👍👍👍.
@sharifamohammed8093 жыл бұрын
Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌
@hamisunited44893 жыл бұрын
Milad ayo nimependa ulivo tukumbuka
@adamsaid57723 жыл бұрын
Hongera sana milad kutusogezea kisiwa chetu love ll.
@abdallamasoud77343 жыл бұрын
Hongera sana Millard ayo kwa kufika Pemba karb sana Pemba.
@grandmaempiresecret3 жыл бұрын
Mashaallaaaaa
@saidjuma97823 жыл бұрын
Thanks to Millard Ayo for sharing this with us
@aipysaleh56473 жыл бұрын
Karibu pemba upembani kisiwa cha marashi ya karafuuu Nakupenda nyumbani kwetu
@kheirmbarouk83733 жыл бұрын
nimeipenda lakini ingependeza zaidi ungeliingia mitaani zaidi ... WANAKUITA PEMBA MM NAKUITA NYUMBANI ...
@idrisabakar79283 жыл бұрын
Proud my father
@user-qm6si4kz8i2 жыл бұрын
Tumefurahi sana kwa kuitambua Zanzibar kua ni Jamhuri. Hongereni sana kwa kufika
@barakakihaga64813 жыл бұрын
Nimefurahi sana millard oyooo😍😍
@sichaguisibaguitv66433 жыл бұрын
Asikuambie MTU Pemba kuzuri
@eddimalon6051
3 жыл бұрын
naam kwa shelisheli la nazi na kombe, aaaa utapenda.
@salwasuleiman35253 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@rashidally11493 жыл бұрын
Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee
@bisunmwamini6993
3 жыл бұрын
Wabaguzi nyieee!sasa wabongo wamefata nn apo!
@hamishamis99053 жыл бұрын
Pemba nkwetuuuuu 🤣🤣🤣🤣
@abuyotmanimgenimgeni578
3 жыл бұрын
Home sweet home
@zahorsalum6633 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa pemba
@khalifaali2613
2 жыл бұрын
KUZALIWA PEMBA NI DEGREE TOSHA
@aminahhuawei11333 жыл бұрын
Nimefurah kwa kutembelea nyumban👏👏😘😘🙏🙏
@mulhazinzibar69123 жыл бұрын
Hongera Sana Chuma nakukubali hahahaha 😂
@majidimansury37513 жыл бұрын
my sweet home pemba
@suleimankhamis82983 жыл бұрын
kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria
@yassirmohd30693 жыл бұрын
Proud pemba boi
@jayjay43133 жыл бұрын
Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔
@mimiapa84363 жыл бұрын
Milard mbona hukufiia wilaya zote asante kwa kufika pemba
@salhanassor10773 жыл бұрын
Alipojitaja tu jina nlijua kuwa niwakaskazini maana watu wamichewen nashumba wanalipenda jina la bakari..asant millard ayo kwakuja nyumbani
@mselemhaji19693 жыл бұрын
Hahahaha 😂 wambie hawajua hao
@kambinikichokochwe-we4xn Жыл бұрын
Ilove you pemba💜💜💜
@seifelbusaidy99673 жыл бұрын
Home sweet home ❤❤❤❤❤
@sulaimanead80603 жыл бұрын
Pemba kwetu
@salhanassor10773 жыл бұрын
My beautifully island..pemba al mussalama.. Karibuni mje mjifunze ustaarabu.. ila mkija mje na adabu zenu
@abdul-bz1cy
3 жыл бұрын
wakaa wapi ww
@abdul-bz1cy
3 жыл бұрын
upo pemba sehem gani
@salhanassor1077
3 жыл бұрын
@@abdul-bz1cy chake
@salhanassor1077
3 жыл бұрын
@@abdul-bz1cy vp kushawah kufika chakechake
@chicagousa26953 жыл бұрын
Sweet Home♥♥♥♥♥♥
@fatmaabdulla95183 жыл бұрын
Home sweet home 💕
@abuyotmanimgenimgeni578
3 жыл бұрын
Kabisa
@mselemhaji19693 жыл бұрын
,,hahahahahahaha papatikaaaa
@husseinali97603 жыл бұрын
Masha Allah. Sweet home Zanzibar Pemba
@andrewpaul6631
9 күн бұрын
Vp brooo kwema
@hajjmohd36023 жыл бұрын
Alieskia KOFIA BORIDO🤣🤣🤣 , , uyu jama namkobali kwa kiswahili , ASANTEE TEAM CCK
@abuufaki28142 жыл бұрын
Home sweet home # Alhamdullai,,,, Najivunia sana nyumbani kisiwani pemba ( mkoa wa kaskazini kojani)
@suleimanalkindy65023 жыл бұрын
Ufafanuzi mazidhawa kabisa kutoka kwa maalim Bakar.
@yahyakasunga1863 жыл бұрын
Wakwanza naombeni like zenu wapendwa
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Usafiri wa chai maharage
@abuuamourmuhamed1934 Жыл бұрын
Waoooo pemba sichoki kumiss nyumbani
@umsoud3306 Жыл бұрын
Jioni upo upepo unanukia Marashi ya Karafuu , Ma Sha Allaah
@solomonadams6337Ай бұрын
Pemba ni home ov my Parents also for my self ,buh Pemba Island is not Tanzania, Pemba is part ov Zanzibar Arkipelego, thanks
Пікірлер: 130
Pemba home najivunia sanaa kua mzaliwa wakisiwaa cha Pemba.
@omarbyz8695
3 жыл бұрын
Hatamiminajivunia Kua mpemba
@kiri5807
3 жыл бұрын
me too
@omarbyz8695
3 жыл бұрын
اسنتا 👏👏👏
@abuubakar7594
Жыл бұрын
Me ni mpemba baba mama yani mpemba fyoko
@bahatinassorali5222
3 ай бұрын
Looh😂
Mtu n kwao na mkataa kwao ni mtumwaaa oyooo kuzaliwa pemba ni degree toshaa 😍
@omarsaid4661
3 жыл бұрын
Swadaqta chezea pemba wee,acha tuu.
Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya
@mundhiraliy1307
3 жыл бұрын
Amin 🙏
@talibmuhsin5221
2 жыл бұрын
Amin in shaa Allah
@habibumohamed1543
2 жыл бұрын
Aamiyn yaa rabbal a'lamiyn 🤲 Allah akidumishe daimu katika ile adili uzurii, nasikia raha sana
@rahmaabdulla4949
Жыл бұрын
Amiin
@naimasuleiman6489
9 ай бұрын
Amin
Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba
@salhanassor1077
3 жыл бұрын
Karibu tena pemba.. green island kisiwa murua cha watu murua
@kiri5807
3 жыл бұрын
shukran kwa kuliona hilo .
@ismailel-mazrui6983
Жыл бұрын
xhukran ndugu
@MaulidFakiKhamis
19 күн бұрын
Dini inasaidia then roots n culture asante kwa pongezi
Kwa kweli nyumbani Pemba ni raha sana kweli kweli Allhamdullillah Ng'oma mpaka upapatike kama kuku akichinjwa hahahahaaa
Pemba wacha tu kuitwe pemba,chake chake wapo micheweni je na wete yake👍👍👍👍👍👍👍👍.
Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌
Milad ayo nimependa ulivo tukumbuka
Hongera sana milad kutusogezea kisiwa chetu love ll.
Hongera sana Millard ayo kwa kufika Pemba karb sana Pemba.
Mashaallaaaaa
Thanks to Millard Ayo for sharing this with us
Karibu pemba upembani kisiwa cha marashi ya karafuuu Nakupenda nyumbani kwetu
nimeipenda lakini ingependeza zaidi ungeliingia mitaani zaidi ... WANAKUITA PEMBA MM NAKUITA NYUMBANI ...
Proud my father
Tumefurahi sana kwa kuitambua Zanzibar kua ni Jamhuri. Hongereni sana kwa kufika
Nimefurahi sana millard oyooo😍😍
Asikuambie MTU Pemba kuzuri
@eddimalon6051
3 жыл бұрын
naam kwa shelisheli la nazi na kombe, aaaa utapenda.
Maa shaa Allah
Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee
@bisunmwamini6993
3 жыл бұрын
Wabaguzi nyieee!sasa wabongo wamefata nn apo!
Pemba nkwetuuuuu 🤣🤣🤣🤣
@abuyotmanimgenimgeni578
3 жыл бұрын
Home sweet home
Najivunia kuzaliwa pemba
@khalifaali2613
2 жыл бұрын
KUZALIWA PEMBA NI DEGREE TOSHA
Nimefurah kwa kutembelea nyumban👏👏😘😘🙏🙏
Hongera Sana Chuma nakukubali hahahaha 😂
my sweet home pemba
kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria
Proud pemba boi
Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔
Milard mbona hukufiia wilaya zote asante kwa kufika pemba
Alipojitaja tu jina nlijua kuwa niwakaskazini maana watu wamichewen nashumba wanalipenda jina la bakari..asant millard ayo kwakuja nyumbani
Hahahaha 😂 wambie hawajua hao
Ilove you pemba💜💜💜
Home sweet home ❤❤❤❤❤
Pemba kwetu
My beautifully island..pemba al mussalama.. Karibuni mje mjifunze ustaarabu.. ila mkija mje na adabu zenu
@abdul-bz1cy
3 жыл бұрын
wakaa wapi ww
@abdul-bz1cy
3 жыл бұрын
upo pemba sehem gani
@salhanassor1077
3 жыл бұрын
@@abdul-bz1cy chake
@salhanassor1077
3 жыл бұрын
@@abdul-bz1cy vp kushawah kufika chakechake
Sweet Home♥♥♥♥♥♥
Home sweet home 💕
@abuyotmanimgenimgeni578
3 жыл бұрын
Kabisa
,,hahahahahahaha papatikaaaa
Masha Allah. Sweet home Zanzibar Pemba
@andrewpaul6631
9 күн бұрын
Vp brooo kwema
Alieskia KOFIA BORIDO🤣🤣🤣 , , uyu jama namkobali kwa kiswahili , ASANTEE TEAM CCK
Home sweet home # Alhamdullai,,,, Najivunia sana nyumbani kisiwani pemba ( mkoa wa kaskazini kojani)
Ufafanuzi mazidhawa kabisa kutoka kwa maalim Bakar.
Wakwanza naombeni like zenu wapendwa
Usafiri wa chai maharage
Waoooo pemba sichoki kumiss nyumbani
Jioni upo upepo unanukia Marashi ya Karafuu , Ma Sha Allaah
Pemba ni home ov my Parents also for my self ,buh Pemba Island is not Tanzania, Pemba is part ov Zanzibar Arkipelego, thanks
Asante 🙏🙏🙏
Mashaallah umejieleza vizur
Nimeipenda hii tamthilia
Pemba nkuzurii
Sio jamuri sem nch y Zanzibar
Wambie hawoo wabongo amiy ngomastarehe sikupapatika
Hatarieti twalaliya shiba hatulali bofulo jamani pemba raha kwaza wanasifa zote
@MbaroukKhalifa
3 ай бұрын
Dah asikwambie mtu Pemba Raha sana na tunaipenda sana
Hahahaha pemba
Saw
Furaha yetu
Home sweat home
Nimecheka sana unawaeka kofia yako borido
Home sweet home
Hm pemba
Gari kzread.info/dash/bejne/pGdrtamRh7S1pKw.html
Wabongo wafujaji wa misamiat ya pemba . Fyuuuuuuu
@bisunmwamini6993
3 жыл бұрын
Kisiwa kizur sana ila kasoro moja tu!mna ubaguzi wa kishamba sana!
@khulayfnassor6938
3 жыл бұрын
@@bisunmwamini6993 wee hufirwii mpumbavu iyo kujiona umetoka katika ujinga uliona nao mshukuru sana mpemba mbwawee
@machetebogota4218
Жыл бұрын
Sema acheni maneno maneno hapo hamna mbongo ati apo ushamba Tu umewajaa
Ok
Yakheee 😀
Ndy ukatuona Twangara
@fatmasaid9765
3 жыл бұрын
Eti ndio ukatuona twangara hahahahah
Home sweet hime
😃😃😃
hahaha upapatike kuku achinjwae aisee nyumbani kutamuuuuu wallah narudi nyumbani
Nkweli wapemba hatugongewi mwiko
Lve my hom pba
NUNGWI CHINA YA OCEAN KUTAKUWA KUNA Oceanic trench YANI BONDE AU TUITE SHIMO NI HATARI SANA
Kyannakannaka!!!
Tayari eee😂😂😂
Mbn watu wanasem wabaguzi
@MaulidFakiKhamis
19 күн бұрын
Viumbe hatuezi kosa la kusema
😂😂😂 mkisifu ila siji ngoo
Vp ishu ya ubaguzi shekh ,,kwa cc watu wa bara?
Sisi twala hasaa,,,, twanlalia shiba
Tayari 😂😃
Ubaguz gn
Wakojani hao
@khamissalum8906
3 жыл бұрын
tunajivunia makabila na asili zetu
@machetebogota4218
Жыл бұрын
Hahaha😆kwa uchafu
Pemba nkwetu
Fanya ufike na pemba kusini sasa
Pemba
Swafi
@abuyotmanimgenimgeni578
3 жыл бұрын
Hakuna kama zanzibar yetu
Jmn imeisha harakaa
NIPO PEMBA.HIZI GARI KWA SASA ABIRIA HAWAZIPENDI MAANA SIKU HIZI WENGI NI WAFANYABIASHARA SIO ZA MAZAO.WATOFAUTISHE ABIRIA NA MAZAO
@andrewpaul6631
9 күн бұрын
Kwema kaka?
Chai maharage
@muhammedkhamis1407
3 жыл бұрын
Masha Allah Jazira Ipovizuri Allah Ibariki Pemba Yetu Na Watu Wake ila anayehojiwa Alikuwa Baharia Huyo Kk
@muhammedkhamis1407
3 жыл бұрын
Masha Allah Wa Micheweni Mupo Juu Kwa Pemba Yetu Nawakubali Kwenye Misosi 😂🤣🤝🤝
@muhammedkhamis1407
3 жыл бұрын
Kung'ara mwilini si kwasababuyakula viyazi na sheli la Piki ni maumbile tu hayo kk ya kibina adamu tu
@sasha-ri7tf
3 жыл бұрын
Corona company.
Wapili naombeni like zenu wapendwa
Kyannakannaka!!!