TID:BABALEVO NI ZOMBIE,SINAHAJA YA KUTUMIA MAKE-UP KUTENGENEZA MOVIE YA KUTISHA/ANATISHA PUA KUBWA
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 393
TID pamoja na kichaa chako nakubaliana na wewe wema kasha isha siku hizi Hana mvuto, 😭
@amanimakumbi6611
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Tid is legendary no one in that level in African right now. Golden voice
Kachagua wenye uzuri wa asili kweli anajua siyo wanaojichubua na tabia mbaya safi sana
If TD was serious in is life he could have occupied DIAMOND place but drugs and stuff ilimuharibia maisha. But it seems like the guy is back I respect his talent
@tonyelshabbaz
3 жыл бұрын
There's nothing permanent bro! Hata huyo uliyemtaja hawezi dumu maisha ! Ni kupanda na kushuka kupeana vijiti
T.i.d hanaga interview mbaya mamae yuko so good
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
@graceyahurassa5321
3 жыл бұрын
Wozaaaaaaa
kiingereza kizuri bro, big UP
@mptv2549
3 жыл бұрын
Kiingereza kizuri? Acha kuchocha bro
Ila huyo tid ni kichaa kweli kwa hiyo baba levo ni zombi 😆😆
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Akakatoto ka Alia nakapendaga sana bana ❤️
😂😂😂😂 Uyu Kaka uyu Dah!! Siku Akifa Tz itakuwa imepoteza Mtu wa Maana sanaaa 😂😀😂😀
TID ameangalia character kichagua bibo Just know he is right anaangalia tabia na vile wanajibeba
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Tid is imposing , hahahaha I admire you especially the way how you answer the questions 😂😂😂😂
Tuwape heshima hawa mabraza, sisi tunakuwa wao ndo wanahit, afu still wanaonekana kawaida tu,,,big up bro
Kama umegundua TID kawachana wasafi gonga like
TID Kenya tunakupenda 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ma chérie Aaliyah je t’aime ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Ana Akili za upepo...!✍✍
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
I real enjoy his interviews
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
TID akili zake kama zinakuja ivi afu znakataa😉
@wamoroboy8963
2 жыл бұрын
😂
Ila T I D jamani daah😅😂😂😂😂😂😂 ana ufala sanaaa
@papaesco5198
3 жыл бұрын
Kabisaa kaka mkubwa
@zuberimgawilo2639
3 жыл бұрын
Masifa Hadi ana boa
Mabibo -mhhhhm yam yam Vanesa she is so lovely fun &cool person
T.I.D unazijua akil za baba levo kweli! Utageuka kua kichekesho
T.I.D. umetisha sana ur so creativity ur the biglion hao wengine they're trying to B. One BOB Man.
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Lakini huyu jamaa anajikuta sana 😂😂😂
@paulomavado3736
3 жыл бұрын
Legend
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Hakuna siku nimeboreka kuangalia interview za huyu mzee😝😝😝
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
😆😆😆😆😆😆tid wamuweke museum of art😆😆😆😆😆😆
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Ila TID jamani...akili zake anazijua
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
Hawaa Shaban dahh
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
@hawaashaban3879
3 жыл бұрын
@@Pedeshee01 nmechekaaa🤣🤣
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
@@hawaashaban3879 siyo mzima unajua pombe na madawa yanaharibu sana mbona wengine wasanii wa siku nyingi akiongea unamuelewa?huyu anachoongea tu unajua kuna kitu hakipo vizuri
@hawaashaban3879
3 жыл бұрын
@@Pedeshee01 dishi linayumbaga🤣
Hahaha haha hahahha TID unatishaga kwenye interview zako
😂😂😂 babalevo ako juu sana .
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
🤣🤣🤣🤣🤣tid ana vituko sanaaaa
Huyu jamaa namkubali sana,kuna zile nyimbo km ASHA,Nilikataa,nk
T I D mnyamaaa 🔥🔥🔥🔥
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Wewe binti una mavazi ya ajabu tu ulivo mzuri mashallah ila thamani yako huijui unavaa uchi tu
@jafariramadhani3264
3 жыл бұрын
Kweli
@hawa4968
3 жыл бұрын
Mtihan ndio maana tukambiwa tutaingiy moton kwa wingi WA' wake majuto baadae lakin hayata tufaa kitu
TID da! Umekwenda kaumri babu umezeekea kwny music lakini huna history yeyote TOFAUTI na igizo au kula unga
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
@njaunafakatz6886
2 жыл бұрын
Tid ni mkali we mwnyw unajua
I missed zic dude wallah😃😃😃😃😃😃😃😄😄
The Host 😍😍
Love this too funny
Aliya nae bibo....
Maskkn unazeeka kweli TID . nyota yangu...
3:45 TID was like-really?
@graphixmaster6146
3 жыл бұрын
Ana mikogo ya kipekee😂
@TamuzaKale
3 жыл бұрын
@@graphixmaster6146 Mzungupori! Heheehee
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
daaaah tidi bhana yuko funny saana sana
Pua ya huyu TID na baba levo mbona zinafanana tu, kumbe nyani haoni kundule, ndo maana wanamtandika kumbe
@samirarashid8186
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@latifahjamal2999
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😜😜😜
@mahmoudaziz4717
3 жыл бұрын
Nimecheka kifala 😄 😄🇹🇿
@nadyasalim7956
3 жыл бұрын
Ndio
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
latifa Jamal mpaka latifa umefurahi
TID ana collaboration nzuli sana na wimbo nzuli na msana big fizzo kutona Burundi
🤣🤣🤣🤣 TID we ni shida
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Hahahahah hii mbuzi inasemaje!!?😂😂😂
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
TID unaona kama navoona...wakina wema shida wapo ka mashangingi, kina Vanessa ndio mana wanapata wadau hata wamaana au wazungu...Jacqueline ntabaliwe bibo, Jokate bibo, Mimi mars bibo, Rosa ree bibo
Wabongo wanadiss kingereza nyie mnaweza au mnaongea kimoyo moyo 🤣🤣
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
@stellabrayson2519
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂wachane hao
T.I.D Umegusa moto mbaya, usiweke utan na B levo ba fund manyumba ataktumia kama funy Aids
Unajua Aliyaah wewe ni biboo 😆😆😆😆😆😆😆 I can carry even to the kitchen 😆😆😆😆😆😆😆😆🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Anaoneknaa anapenda kujiproud uyuuu tid mashauziii kibao
@nadyasalim7956
3 жыл бұрын
Anajiona kweliii
@shadracktito6293
3 жыл бұрын
We simwanaume wewe mbona unavikauli vya kitata mzee wanaume hatutumii Hilo neno mashauzi mzee grow up
@graphixmaster6146
3 жыл бұрын
Tunampenda hivyohivyo 😂😂
@erickayo3603
3 жыл бұрын
Au na ww ndo walewaleee nn mamb kam ya kikekikee majigambo kibaoo kama muhayaa vilee etii nii yeyee awe kama mwanaume cioo anamponda mwanaume mwenzioo etii zombiii unamtetea au ndo anakupa ugaliii nn dingii
@shadracktito6293
3 жыл бұрын
@@erickayo3603 wanakutomba wewe sio bure
Yaan huyu msenge Sana anapenda mijisifa huyu mbwaa anajifanya muingereza wakat maviii tuuu hiyo youtube ake kwanza atakae follow/subscribe n mwehuu huyu n msenge Sana baba levo ndoo yuko juu kulko huyu mbwaa anajifanya yy n very nice😭😭😭😭😭
@brizzboytelevision3737
3 жыл бұрын
Kum
@ambroceharouna1612
Жыл бұрын
Msenge ww
T,I,D umenichekesha Sana😂😂😂
Mnyama I like that Song
T.I.D mvimba macho
@victorsomba867
3 жыл бұрын
Pombeee
@mmungaramazani4016
3 жыл бұрын
Uzee 😃😃
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Tid umezeeka Tanya umrudie mungu wako
Baba levo anakushinda maisha mwanaume asifiw uzuri uyu kaka ni bangi zinamsumbua
@stephanonyogoto6421
3 жыл бұрын
Baba levo rafiki ake huwa wanazinguana tu
Baba levo you are the ghost 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ana ongeya point kabisa wale ma kogwe sio ma bibo ila alivio wataja iko sai kabisa TID is a legend
Mshamba mmoja uyo anapenda kujimwambafai
Ni yeyee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mnyama kama mnyamaaaaa nakukubali xana aiseee
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
😂 😂 😂 😂 😂 😂 T. I.D umenishinda tabia walai 😂 😂 😂
Tid anajishaua sawaa. Ila ktk madem alowataj kua ni bibo kwel ao ni mabibi... mtu km wem gigi ... awawez kua mabibo haooo msiangalie kuvum angalien je watoto ni wakalii
Huyu mbona mtu mzima alafu ana mishauo mingi asee, crazy though!
@christianeinstein2568
3 жыл бұрын
I Appreciate u bro
Leonimecheka sana kwa TID
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
HUYU TID hua na marigo mingi sana kujiona bado yupo,..ilhali kashapitwa na muda na timing,.kujisifu ati ur the best in vocals n music..ebu potelea mbali with all that nonsense,..cheki bonge la dude na supastar kama simba,..tuondolee ujinga na maringo ya kisenge
@ambroceharouna1612
Жыл бұрын
Baba ako pia kapitwa na wakati au
😂😂😂😂😂aah uyu jamaa ni chizi
Mashauz mengi
TID BANGI BADO INAMSUMBUA AWE ANAPIMWA KILA BAADA YA MASAA 6 BILA IVYO ATAKUWA MSAZI
Tanasha,Hamissa,Wema team bibooo
Ahahahahhahaa this guy is so funny babalevo fufuka
Sasa uta kataa wemaa umtaje Jide🤣🤣🤣🤣 dah uyu jama bhanaa
@geeva99
3 жыл бұрын
Acha ukilaza, kasema bibo ni natural, jide ni natural
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
NAOMBA NIKUKARIBISHE habari naitwa HERO ni msanii wa muziki naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya naouzindua muda huu gusa hapa kuona kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Kaka nimekubali hapo kwa vanessa.......
What???????! kila MTU anabana pua ooooooooooh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nkaona zuchu kwa kubana pua fool😂 nakupenda bure tid
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Mnyamaaaa
Namkubali sana huyu kaka
Too True Blood
Top in dar kbokooo
Huyuu jama ako sawa kweli ama ndo zuchu 😂😂😂
Yan leo nimecheka sana.. mm hawa jamaa baba level na TiD wananipa raha sana 😂😂😂🙌🙌
Namkubali myamaaaa
Mnyamaaa
Nimegundua tofauti ya wasanii wazamani na wasasa TZ ni kwamba wasanii wazamani wengi walikuwa najuwa kingereza ila wasasa ni wachache ndio wanakijuwa na wakikijuwa wanaungaunga kama la korosho
Presenter umeshanga sijui ati Wema si bibo kweli ... Just angalia character toka alivyo kua miss bongo sasa ivi ama mnachanganywa na ako Masauti ama pia ni vile alkkwa mtu wa boss wenyu hahahaha
Mzee baba TID umri umevuta Sana
asa bro mbn upo so actional iyo run vp
😀ila kweli kitaa kuna mabibo makali kuliko maStar wenu
TID umezeka kweli😅😅
Jamani kumenoga BABA LEVO kamjibu huku kkk
Kweli Bangi himisha pita kiasi
Whaaaaat!!! Zombie yeye kipara
hhhhh dah uyu jmaa kama msela wangu piz piz piz nop
Mzee wa lipts hasema @ni yeye#TID
@Emmamusiccmb
3 жыл бұрын
Bonge la R&B Bonyeza link kuitazama kzread.info/dash/bejne/iaat0NN6qqu3erA.html
Ww hujui kitu kwanza akili zishapiga cross kidogo
Eeeh unasemaje!?😀😀😀
Nakubaliiii
Uyo boya ana ulimbukeni anaulizwa kwa kiswahili anajibu kwa kingereza duuu
Huyu jamaa apunguze pozi na misifa asee, ...daaah!!
Dk 10:44 🤣🤣
Hehehe
Ninavo mjua baba levo akiiona hii video mmh! Patachimbika