BABA LEVO AMUOMBA DIAMOND AMPANDISHE CHEO - "UCHAWA NAMUACHIA H BABA"
Ойын-сауық
BABA LEVO AMUOMBA DIAMOND AMPANDISHE CHEO - "UCHAWA NAMUACHIA H BABA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 185
Baba levo ndiye amekomaa tuh wasafi group
Ila baba levo ww ni comedy big up brother
diamond una kichwa nnachokikubali😁😁😁👏
Baada mungu wazazi baba na mama ilo haliepukiki
@zebidahlawrence9419
Жыл бұрын
Walifark muda mrefu sana labda ndo maana kasema hvo
Kakangu B levo Ba.ivi mmemsikia diamond jaman anamwita kaka.very humble
😂😂😂😂 Baba Levo kweli ni Baba lao kabisa
Baba Levo mi nakupendaga bure aswa unapoongea na kucheka kiboso yn unaniachaga hoi,afu unavyowapasha live km utani lakn kweli
Baba levo nichawa mzuri
Jamaa anajua kupangilia speech kabsa knoma yany
HUYU BABALEVO BANAAA😂😂
@salomewandya7257
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Baba Levo, much love from Kenya. 🇰🇪🇰🇪
Baba levo 😃😃😃😃😃😃😃😃😃
😀😀😀 kweli kweli B levo
Baba levo kaongea kirundi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
I was almost crying because Baba Levo made me laugh so hard.
I like this man
I luv u baba levo
Baba levo unajuwa sana
Big love from Kenya
Nakubal be level baa
Safi sana b levo baaaaaaa
🔥❤🔥
@milazoomilazoo4494
Жыл бұрын
Baba levo Noma Sana weweeeeeee,
Nakupenda Baba Levo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅 Baba levo jamannniiiiiiii mbavu zanguu mimi
Baba levo na mwijaku nawaelewa sana 😂😂😂😂
🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥
Mwabwamwe, kwa kirwanda ubwa nyiyi, ndomanaake!
Jamaa ana kipaji cha kuongea na cha uchekeshaji
@veetwiga5861
Жыл бұрын
Na anaongea vizuri
Baba levo ake❤️❤️❤️❤️
Baba levo ameongea vizuri sana leo jmn
@tutatoboakweli9022
Жыл бұрын
Mambo alice
@alicechambaladainty6851
Жыл бұрын
@@tutatoboakweli9022 poa
Jama uyu noma
Nakubal kizazi sana bb levo
Nakupenda mondi
Baba levo anafurahisha
Baba Levo ni comedian Ila ana akili nyingi
Baba levo
Ukweli ndo huoo...umeshindaa mwambaaa
Cool #official_tella
🎉🎉🎉🎉🎉🦁🦁🦁
Kamari haraaaamu
Babalevo 😂😂😂😂😂
Diamond ni mwekezaji mahiri sana.... From music/ artist and production, Media , Bet, Real estate , Hospitality... wow !!!! . Next .... transport . halafu amalizie MANUFACTURING ... Huyu jamaa has it all planned ... How he has managed to evade the mine field that is called SLAY QUEENS inspite of having them in his life .. is beyond research.
Per diemuu 😁😁😁😁
Baba levo karibu anajifungua mtoto wa mondi
Nice talk b.levo mtaalam
Uwongo wasafi bet ni wa kenya
baba levo ni poa kweli..na enjoy mno matani zake yaani adi raha kweli kweli...baba levo oyeeee😅
B levo baaa
Noma sana
❤🦁💎🙏💪🔥🔥🔥🔥
B levo
Baba levo 😂😂😂😂
Baba Levo Chizi😁😁😁
😁😁😁dah
Dah!ila babalevo mi namkubali sana🤣🤣🤣🤣
B, levooo
Hahahhaha b leve kwani unanini
Wewe jamaa ni noma sana
@ashrafadam4629
Жыл бұрын
WCB FIRE
Baba Levo karavuzeee 😂😂😂😂
Diamond wende tu mujini nababa levo tuwe tunacheka
Hhhhhhh big up Sana b levo
Namkubali sana Diamond anawabeba sana wakongwe waliopotea kwenye game
@rabekamwanja1747
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 baba levo eti mwijaku mwehu tunaee nimecheka kwasauti jamani
@uwimanauwimana7692
Жыл бұрын
Umeona Eeeh 🤣🤣
Geita jamani muje
So exactly what about peoples who live in Rwanda and Ouganda
hahahahahahahaha jamaa anajua sana.
Hb
Kigoma,Mara,nyange
Blue chawa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.
B levo BAAAAAAAAAAAA🤣🤣
Mwehu
True guy
Sielewi hiki kizazi chenye huu utamaduni wa kuamini na kuthamini KAMALI kama njia za kupata kipato, badala ya kujishughulisha, kufanya kazi na kuzalisha bidhaa. It's time serikali ichukuwe hatua kudhibiti huu upuuzi.
@rabsontryphon9254
Жыл бұрын
Akili umeacha nyumban nn Unataka unavotafta na wengne watafte pesa kama ww? We komaa kivyako usilazimishe na wwngne wafanye unavopenda ww acha ujinga mala moja
@jumbeojaso5767
Жыл бұрын
@@rabsontryphon9254 usikurupuke kujibu nchi au familia hazijawahi jengwa na ku BET. Tukiendekeza kubet nchi hii utakuwa ya mazuzu kama ww, unayetamani utajiri bila kutoa jasho. Endekeza bet utaiona mwisho wako.
@masundelwa
Жыл бұрын
fanya yako
Hahaha baba
Duu huruma
Tunaisubili kenya
Ukiachia uchawa utafanya kazi gani
B levo fundi majumba
Unalaana wew bila ya babako na mamako dimond asingekujua mungu wapili dunia ni wazazi wako
@omaryhajji1393
Жыл бұрын
Kabisa hapo ndo anapofeli baba levo
@aljalilatiba9873
Жыл бұрын
Hakuna mungu wa pili ila mungu ni mmoja tuu sawa hafananishwi na chochote
@ahmedysaidy9874
Жыл бұрын
Umenielewa vibaya huyo alichomaanisha anamtukuza dimond na kumpa cheo baada ya mungu ni yeye na wew inavyonyesha hilo imelikubali lkn mm nimelipinga na wala sijatolea mfano wa mwenyezi mungu najua kama hukuzaa na wala hakuzaliwa na wala hafaninishwi na kitu chochote hapa dunia sikuwa na mawazo kama ulivyodhani wew hizo fikra zako zipeleke uko astaghfilullah usinishilikishe kwenye dhambi nilchokikemea ni hicho kitu anachokifanya kumtukuza mtu kuliko wazazi wake waliomzaa hiyo ni laana itamtafuna.
@ahmedysaidy9874
Жыл бұрын
Kama kwel unaijua dini mngekuwa mnawekw darsa lkn nyinyi ndio mnafanya watu wanakuwa wapumbavu hawajui dini kazi yenu kuingia kwenye comment na kuangalia watu ilimuuze dawa za nguvu za kiume Ili watu wakazini.
Hahahahaha h baba sawa ila hapa hafikii
Tupo pamoja
H mama acha longo longo we wayauri we 🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😄😄😄
Aisee hili jamaaa 😂😂😂😂😂😂😂noma mwambwamweeee
Hapo kwenye kula kujigaragaza 😋 ingia Tiktok kisha andika waytozanzibar ili uone kula kujigaragaza haha 😂
Eheheh kazi ya uchawa. Hahaha
Baba leo mbavu zngu🤣🤣🤣
Ila baba levo 😀😀
Uzur wa wcb wanarudisha kdg kafungu
@marlekaela7126
Жыл бұрын
b levo ba huna bayaa
Aliee pata kapata tu 😔😔 watu wanajimaliza wenyew
Baba levo🤣🤣🤣
Hahshshshah et wahanangwa
Eti ingwe
Hahaha kweli mwanaume uende choo juu ya mwanaume mwesako Haha
Baba levo ww n nyoko ww haahaha😂😂😂😂
Kumbe Kigoma bado kwenu,, haujahamia Moro
Tengenezeni Application ya wasafibet pia
@ester4417
Жыл бұрын
Ipo tokea kitambo
Unajuwa kz piga pesa Mzee
Wa pili mtume