DIAMOND anusurika KUKABWA akienda kununua SUKARI, huyu ndiye alikuwa TEMBO wake, MAZITO usioyajua

Автокөліктер мен көлік құралдары

#diamondplatnumz
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 63

  • @Chemba67
    @Chemba67Ай бұрын

    Dah papa upanga ...kitambo sana......watemi wa zamani

  • @kimchi-91
    @kimchi-91Ай бұрын

    Huyu jamaa anaeleza Habari za wizi anacheka kwa furaha utazani anasimulia kitu cha maana😂😂

  • @marleshjimmy1972

    @marleshjimmy1972

    Ай бұрын

    😅😅😅😅 alafu anavotoa macho nakusema “yani hatari “ mimi huku hoiii 😅😅😅

  • @kimchi-91

    @kimchi-91

    Ай бұрын

    🤣🤣🤣@@marleshjimmy1972

  • @ConsciousBNB

    @ConsciousBNB

    Ай бұрын

    😆😆😆😆😆

  • @mtoobebe5778

    @mtoobebe5778

    Ай бұрын

    Yaa hh is long time story what he do is past

  • @mtoobebe5778

    @mtoobebe5778

    Ай бұрын

    Hhhhh this guy

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481Ай бұрын

    Watemi kama hao nawapendaga sana mm amna unyonge..wakina chokidunso, vanndame ,idi bonge,ndo matembo wengi wengine nimewasahau

  • @matatamatatatours3237
    @matatamatatatours3237Ай бұрын

    Acha acheke Yuko hai Akifiliria ameacha Akiniilikuwa kifoooo

  • @MsodokiTheson
    @MsodokiThesonАй бұрын

    Yaan Doto kapata mpizan sasa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbeАй бұрын

    Kwaivo Masibu akiwa dogo mwamba akawa anajiuli huyu si Diamond huyu? 😂😂😂😂😂

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570Ай бұрын

    uyu jamaa kama doto magari wame fanana kwa mbaaali 😂😂

  • @Official83640
    @Official83640Ай бұрын

    Sasa kipindi hiko alikuwa na umri gani ikiwa 93 hd 96

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob18 күн бұрын

    Hili Jamaa Bonge la comedian 😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481Ай бұрын

    Yan toka nizaliwe sijawahi kuonana na mtu watofauti kama uyu kaka...mmmmhhh nimeshangaa sana yan

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192Ай бұрын

    Huyu jamaa kumbe andaz Sana anasimulia ujinga mtupu pumbavu sana

  • @jamilaathumani5481

    @jamilaathumani5481

    Ай бұрын

    Umeona ennhe ...kuiba sio inshu inshu kuwa strong na mtemi Ili kujidifens lakin sio kuiba... Apo sijamsapot..away ndo walioialibu manzese kipindi icho😢

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7keАй бұрын

    😂😂😂 uyu jamaa nimuongo san anatufungash 😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481Ай бұрын

    Awo ndo masela wazaman wa manzese...awo ndo namba chafu za manzese yote tandale shidele ..awo ndo walioialibu manzese na tandale awo...namba chafu izo

  • @hassansela1393
    @hassansela1393Ай бұрын

    😂😂😂hapo kwa watoto wakike kufanana na babayao nimecheka😂

  • @BibieMakame
    @BibieMakameАй бұрын

    Meno yako

  • @tajiertaj5956
    @tajiertaj5956Ай бұрын

    Mzee waNakoz😂😂

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7keАй бұрын

    😂😂😂 huyu jamaa nimuongo kinyama anatufungash

  • @rashidtwaha7699
    @rashidtwaha7699Ай бұрын

    Uyu jamaa skumuelewa

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971Ай бұрын

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣

  • @eleven-in5qw
    @eleven-in5qwАй бұрын

    Hivi aliye mjini lazima amempitia Simba kwa vovote vile

  • @BibieMakame
    @BibieMakameАй бұрын

    Yani unaona sifa kuongea ujinga huo

  • @murtalla2826
    @murtalla2826Ай бұрын

    Tafta pesa watu watoe stori zako za kukukaba wakiwa wamefrah kabisa 😂😂😂 umaarufu nyoko

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609Ай бұрын

    Huyu bangi imemzidi

  • @user-is2mz4vt1h
    @user-is2mz4vt1hАй бұрын

    Hilo lijamaaaa linajuwaaa ngumi mpk rahaaaaa

  • @user-nd5uf6lw4g
    @user-nd5uf6lw4gАй бұрын

    Nime fata neno kubakwa kwa d sina jipya hapo

  • @Mwamba67

    @Mwamba67

    Ай бұрын

    😂 soma tena,

  • @Chemba67
    @Chemba67Ай бұрын

    Mbunju sabuni tumeogea na kufulia sana miaka hiyo...dah

  • @streetconatv100k
    @streetconatv100kАй бұрын

    😅😅😅😂

  • @leokamil6284
    @leokamil6284Ай бұрын

    Mbowe mwaka 83 ilikuwepo sasa yeye anasema Mbowe ilikuwa bado miaka gani hiyo ?

  • @uredipeter412
    @uredipeter412Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249Ай бұрын

    Nyumba moja kama sokoni😂😂😂

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7keАй бұрын

    Huyu jaman nimuongo ana tufungasha hahahahahahahaha

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865Ай бұрын

    Musiwai simulia au kuhadithia wizi Kwa social media....juu munafundisha nn hawa watoto wetu..!?

  • @aminmohammed4249

    @aminmohammed4249

    Ай бұрын

    Acha hasira wewe!! Hii inafundisha Hebu sikiliza kuanzia dakika ya 37:50 mpaka 39 utaskia mafundisho Au kiswahili hujui

  • @MrDJbobomix
    @MrDJbobomixАй бұрын

    uyo akamatwe afungwe.

  • @mushimalik7354

    @mushimalik7354

    Ай бұрын

    Kwa kosa gani

  • @khatibmako3500
    @khatibmako3500Ай бұрын

    Alisema kumkaba sio kumbaka

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mnАй бұрын

    pengo kama uchochoro

  • @user-rt8ff3dm2o
    @user-rt8ff3dm2oАй бұрын

    Yaani huyu mafia nimemkubaki kutoka msa kenya amenikumbusha mwanangu abuu

  • @abdallahamara9815

    @abdallahamara9815

    Ай бұрын

    Yuanikumbusha Bamaster huku maeneo 🤝

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072Ай бұрын

    Mondi akukumbuke mzee❤

  • @rubhiraphael2298

    @rubhiraphael2298

    Ай бұрын

    atakumbuk wangap.. sarah anatosha

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Ай бұрын

    Mzee anamaisha yake akumbukwe vp sasa anauza spea anaendesha Maisha yake huyo diamond sasa atasaidia watu wangapi afu sio kila mtu lazima asaidiwe

  • @peteremmanuelymatwimatwiem3258

    @peteremmanuelymatwimatwiem3258

    Ай бұрын

    ​@@fahadfaraj6474iv wana ona

  • @user-zm4mm4eb5j
    @user-zm4mm4eb5jАй бұрын

    Huyu jamaa anaongea story za kuhadithiwa vijiweni miaka hiyo labda mama yake nasibu ndio alikuwa anaenda kwenye hayo majumba ya sinema

  • @Chemba67
    @Chemba67Ай бұрын

    Jamaaa anamuuliza ESKO eti kama unakumbuka miaka hiyo wakati ESKO ni mjomba wetu wa 2000 matukio yamempita kwakua hakuwepo duniani......😀😀😀

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7keАй бұрын

    😂😂😂 uyu jamaa nimuongo san anatufungash 😂😂😂

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971Ай бұрын

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971Ай бұрын

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971Ай бұрын

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣

Келесі