EXCLUSIVE: 20 PERCENT AFUNGUKA "NILIFATWA NA FREEMASON, NINA HALI MBAYA,HARMONIZE HAWEZI KUNISAIDIA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 337
@amirimbago83257 ай бұрын
Hii interview nimeielewa sana...Muulizaji yuko vizuri sana. Long live brother 20% Mwenyezi Mungu akulinde
@ivonaevarista46546 ай бұрын
Yani nmependa neno hili haupo duniani kwa starehe lazima ukubali kupitia hata mateso maana n mojawapo ya maisha yakila mwanadamu, ubarikiwe Sana 20.
@Mr_smart.code_107 ай бұрын
20% upo simple sana... Yaani una kiswaswadu chako unakitoa kwenye interview huwazi wala nini.. jamaa you are so simple and Genius yaan unajibu maswali very simple
@eddobillah23696 ай бұрын
The best interview Ever 100%
@ericktona36387 ай бұрын
Hivo vi cent kidogo kidogo vipokeee Nimemtuma Bashiri Akuleteee Na vinepi vya mtoto Pokeaah Karibu nitarud Ngojea Najua Mwanangu Hamjui baba, Toka nimwache tumboni miezi saba Jitunze we usije kuwa kahaba, Ukimbemenda mimi nitakubeba 🙌 That verse Bro 🔥🔥
@angelsblackboard80087 ай бұрын
Aisee this guy, has to be one of my favorites. Real and down to earth!
@user-hz5dv2el4m7 ай бұрын
Twenti yupo mbele sana, kwa majibu yalio nyooka koriko maswari ya vidox. Big UP Sana kwake 20%
@nyumbanituthegendaheka72226 ай бұрын
Tupia Namba ya 20% tumpe shukrani kwa kazi ya kutuelimisha...huyu akili kubwa na tumuenzi sasa hv sio mpaka akifa
@chrismugisha61736 ай бұрын
All the way from BUJUMBURA we still love and appreciate your fertile brain through your lyrics 20 PERCENT 💙🙏🏽🙏🏽✔
@HamzaSaid-wj4gi7 ай бұрын
Jamaa angefanikiwa kusoma na kumaliza vidato,,angefundisha watu weng Sana,,Yan nmna anavyojibu maswal unapenda,kiuhalisia kabisa,,big up brother🎉🎉🎉
@user-qk4lx4hg7g7 ай бұрын
Huyu Jana yuko vizuri kabisa kichwa kinafanya kazi big up 20
@vocatusmecksedeck57936 ай бұрын
Hii kichwa iko vizuri sana
@issahamisi6747 ай бұрын
jamaa ni msanii ana uniqueness kwenye saut ake nzur kuisikilza👍
@winlove47 ай бұрын
kaka mkubwa nice . ishi kwenye ualisia dunia tunapita. tuwaache na ulimbukeni wao na mbaya zaidi utandawazi umewameza
@SUPERMANAGERVIBEZ7 ай бұрын
God bless you 20percent, love from RWANDA.
@user-ps8zs9fc5g7 ай бұрын
20 Per wewe ni shida saana. Salute saana mwamba
@dementriarichard35574 ай бұрын
Something so spiritual in his convo, most doesn’t understand…
@tabithakitundu87366 ай бұрын
Noma sana bado yuko vizuri 💪
@KulekatsengeHaruni-sb6qc7 ай бұрын
Mungu awabariki ayo tv nawapenda sana
@mariamdullazy81667 ай бұрын
Tamaa mbaya 😊😊😊 naipenda daima
@user-hk1gp9iu9b7 ай бұрын
Actually 20% you deserve 50+% your mostly thinking for the future trust in God will made you the way
@mussasebatiano47877 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nitarudi na roho yangu itawatokea kama nilivyo watokea zamani hii inahuzunisha sana bimana mda atapokua hayupo duniani kizazi chake kitafanya kama yeye inshallah mwenyezi Mungu akusaidie kudumu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏
@Nyaburyaofficial2177 ай бұрын
May be God protect your Mr 20%
@user-xs8qf4hl3n7 ай бұрын
much love from burundi.20 nimwarimu mkubwa sana.ubalikiwe sana
@sharifusaidi4617 ай бұрын
Namkubali sana huyu bro❤❤❤🎉
@rehemaphillingsonmlawa42067 ай бұрын
Karibu mbeya kaka
@eddyimamu7517 ай бұрын
Solute sana Mzee baba.
@kakabeka25157 ай бұрын
..good idea iwe mfano wakuigwa na ulimwengu shetani ni wakupigwa tu siku zote
@annethbraysceson24016 ай бұрын
"Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala "chukua hiyoo.....
@user-du7nq4gs3g7 ай бұрын
MUNGU akunyunyizie manji roho yako uchipuke tena😢😢😢
@juliejackson17427 ай бұрын
Shabik bado unao bro 20% ❤❤
@agathasemindu796 ай бұрын
respect. 20% awezi tokea wakufanana naye🙌
@zahraalajmi79677 ай бұрын
Yani leo nimefurahi kumuona tena 20%napenda kazi zako
@SelinaPaschal-vq2iy6 ай бұрын
Yuko smart sana kichwani nyimbo zako zinaishi sana ❤
@EzekiaMichael-jn5np7 ай бұрын
Kaka 20 nimekuelewa sana Mungu akutie nguvu sana
@epmzmusifiwar66947 ай бұрын
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 We lov you ❤️ Guys You Still legend King 🌟🌟✊
@Ohhvio7 ай бұрын
Hii interview Ya kufungia mwaka; inafundisha, inafurahisha, inaburudisha
@Lumambitv7 ай бұрын
Forever in my heart ❤️
@m.m.tvmbebamaono7 ай бұрын
Daa 20% una hofu ya Mungu nimeipenda hio
@user-bq9jt9uj7q7 ай бұрын
20 %una hekima katika kuyakataa maswali We noma sana
@rehemaphillingsonmlawa42067 ай бұрын
Kabisa kaka ubarikiwe sana na mungu aendelee kukuweka
@enocmsafi20237 ай бұрын
Vido anauliza maswali mazuri sana technically na simply I like it 👍👍👍
Shettan ananguvu sana kwann nimesema ivo uhalisia wahuu mziki wa bongo alpaswa huyu jamaa ndo aongoze mziki wabongo maana ukicheki nyimbo zake hazina upuuz kbx
@agnesjonas1192
6 ай бұрын
Kwel yan anawapa nguvu watu wake wanaomuambudu sanaa tofauti ili kutuogopesha wengine ila Mungu wetu ananguvu zaidi vyote
@user-ql5rr2ve8b
5 ай бұрын
C ndo ivo kazidiwa na mdogo ake mond mwenzie kakubari masharti
@emanuelneriwa66197 ай бұрын
Nakukubali sana bro 20 me mchoraji nlikuchora nkaweka picha yako room kwangu kukufikia ndio ilikuwa ngumu maan nlikuwa bush bado
@sifatiiman
7 ай бұрын
your look so handsam 🎉🎉🥰🥰🥰
@patriciatumain1727 ай бұрын
King 20% mnyamaaaah
@user-pn6bj7uz2p7 ай бұрын
Broo unatisha very nice
@bensonjohn96337 ай бұрын
Mbeya Stand Up. Mbeya Nchi,Sugu Raisi
@user-ls4sj3fv7t7 ай бұрын
Huyu jamaa, na mpenda toka moyoni 🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥♥️♥️
@ZuhuraAthumani-bo8yy2 ай бұрын
Hongera sana kaka upo vizuri
@georgemerere34487 ай бұрын
20%per asmileee always he is legend 🙌
@user-yj7xw9zw9l6 ай бұрын
Nakupenda Sana mon star leader
@AmaniPascal-go3ux7 ай бұрын
Nakukubali sana per heshima muhimu sana
@lusungungimbudzi42657 ай бұрын
Uko Vizuri Brother. Hiyo kichwa Iko Vizuri Sana
@lubangojean-wg3iv7 ай бұрын
Sir We Love you And We Respect you, You Change our mind ..
@trommy_kid7 ай бұрын
Uko saii sana 20 ongera
@chuleeman7 ай бұрын
Nakubalii
@dauddaud88417 ай бұрын
Big up watu wa mbeya
@titus_maridhia7 ай бұрын
Ukimsikiliza Chidi na ukasikiliza Vee Money sababu ya kuacha muziki, huwez kumuamini yeyote pale juu
@sifatiiman
7 ай бұрын
kabisa ni uongo mtupu
@mariamandambike50135 күн бұрын
RESPECT BRO... UR THE BEST..🔥🔥
@sunwizy6083 ай бұрын
chungaaa tamaambayaaa chunga tamambaayaaaaaaaa i love this song.... am from 🇱🇷 us
@KulekatsengeHaruni-sb6qc7 ай бұрын
Namupenda sana huyu musani Niko uganda
@shukuruemedi98057 ай бұрын
Yani namkubali adi basi tu!🎉
@moseshandsam18657 ай бұрын
Millard ayo plz msanii akija kwa interview hivi msuport na kuweka link 🔗 yake ya KZread tu msupport pamoja tunaweza big up 20 percent 20%
@febroniamsoma178
7 ай бұрын
Natamani kumchangia chochote nikiwa kama mtz
@johnsonsabanya58607 ай бұрын
Wenye vipaji wengi masikini🔥
@stanastana3199
7 ай бұрын
Aisee
@mrsinia3064
7 ай бұрын
hiyo haipingw kbs
@ramadhaniomar47746 ай бұрын
Well said mungu akuweke sana brother
@user-bf9fk1sm1j7 ай бұрын
20 paa anakili sana hata kwenye itavyuu yake maswali anajibu kwaufanisi sana
@sifatiiman
7 ай бұрын
sana 🎉
@gayanimwansasu6 ай бұрын
Kalibu sana my brother 🙏
@sumairahjohn-jt4qy7 ай бұрын
Regender big up my brother 💪💪💪💪
@sammyallan6237 ай бұрын
Colabo ya 20 na na darasa itakua fresh sana kama ikifanyika
@lusungungimbudzi4265
7 ай бұрын
Una kitu
@sifatiiman
7 ай бұрын
kweli kabisa
@festinamwakipale39196 ай бұрын
20.wewe ni wa kwanza tanzania kama unaimba bila freemason.ni wa kwanza mpage tu yesu maisha uje ulale.salama
@IsaacIsaya-ii2co29 күн бұрын
Mungu akulinde Upojasiri saana
@GeraldthobiasSimpoy4 ай бұрын
Dah mungu azd kukupa moyo saf recpect 20
@jacksonmichael7997 ай бұрын
Legend 👏
@agnessjoseph90697 ай бұрын
Ushauri mzuri sana waache kupiga nyimbo za matusiiii , saf sanaa
@agnessjoseph9069
7 ай бұрын
Kuna nyimbo unasikiliza mpaka unaona aibu kama umekaa na mtu mnaeheshimiana nae , husan Clouds 🙌🏻🙌🏻🙌🏻kwakwel inasikitisha
@priscakanjanja52567 ай бұрын
Safi sana 20p
@ambroceharouna16127 ай бұрын
Hiki kichwa dah akili nyingi sanaaa
@sifatiiman
7 ай бұрын
sana akili mingi
@SalamaNauthar4 ай бұрын
Milard Ayo hongera sana kwa kumpata mtangazaji mzuri na makini' Vido vidox in the best❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
@MomadeMohammed7 ай бұрын
Nakukubali Tangu Kitambo
@HalfaSaid-vl6ki7 ай бұрын
Kitamboooo!🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ZawadiFuti7 ай бұрын
Legend 💪💪
@Dullz-yt9gk7 ай бұрын
Big up bro
@mariamandambike50135 күн бұрын
Waoooo mbeya oyeeeeee...😊😊
@salama11137 ай бұрын
Safi sana kaka
@user-ql5rr2ve8b5 ай бұрын
Huyu cyo mbishi, huyu anajiamini sana, ogopa watu wanaojiamini, wanapitiaga mapito makubwa sana na hawawezi kumuomba mtu msaada wanaumia ndani kwa ndani😢
@benybenrique12247 ай бұрын
Kiukwel wasanii #20percent#afandesele nawengine wengi wazamani nawapenda kwenye interview zao...huchoki kuwaskiliza asee
@jurakijuraki88707 ай бұрын
Wasanii wa zamani wanaongeaga point sana angalia chidi chillah sele juma nature nk ila wa sasa hapo ingekuwa vijembe tu angalia mond harmo nk yani dunia inazunguka
@nathanielshauri51357 ай бұрын
Most of the best interview i have heard,,,💯
@caesarsworld8784
7 ай бұрын
Ungecomment kiswahili tu bro😂😂😂
@barakadaprince3742
6 ай бұрын
@@caesarsworld8784😅😅
@kikoadventures6933
6 ай бұрын
😅😅😅😅
@fountaingatesports
6 ай бұрын
Hehe Kizungu kizunguzungu
@cecyjanclymerly50257 ай бұрын
20%👌
@michaelmisana6506 ай бұрын
Bang bang nomaaa
@SalamaNauthar4 ай бұрын
Nakupenda sana twenty' huna baya kaka❤❤❤❤❤
@SekaOnlineTV7 ай бұрын
kama kuna kiongozi wa serikari atumiwe hii afu aje atuambie amejifunza nini maan huyu jmaa ni daraza zima dadeki
@user-wu9zz1bm9h7 ай бұрын
Nyimbo za vijana wasasa ni wiki tu inasahaulika tungo hata hazieleweki kwakweli.ila za huyu jamaa nyimbo ya miaka kumi iliyo pita lakini ukipigwa utadhan ndio umetoka jana.tungo zake kama vile mama nema na tamaa mbaya dah natamani kulia jamaa anajua.ila watanzania Kwa watu kama 20 ni madini tunapaswa kuwasaport ili wawarishise watoto wasasa waweze kujua nyimbo zinazo takiwa kuimbwa Zina burudisha na zinafumdisha.apewe saport wadau wekezen mzigo hapo mpigie pesa nasi tupate elmu na burdan.hata watoto wake wakikua wakimsikiliza baba yao watajifunza kitu.isipo kuwa Hawa wakizazi hichi dah mtihani itakua baba katukana Mzee alikua anaimba matusi dah.
@NyotaTanoTV-gt3od7 ай бұрын
Uyu jamaa akiwa Ana misimamo kama anavyo ongea basi ni dhahabu ya Taifa. Lakini kama ni maneno ya juu juu itakuwa mbaya sana. Ni kweli kabisa mziki wa sasa ni wa kumuabudu Shetani ata Chidi Benzi Ali ongea hili swala. Ni ngumu sana kutoboa kama hujakubali mfumo wa siri. Ambao kwa sasa ndio unaongoza Dunia.
@issahamisi674
7 ай бұрын
True
@isacksimonmahungilo
7 ай бұрын
Nikwel nguvu wanapewa na shetani muimbaji wa kawaida huwez shindana nao
@bigtengwemela3153
7 ай бұрын
Sikupingi
@kayatv7322
6 ай бұрын
Yani huyu jamaaa angemwimbia Mungu watu wengi wangemrudia Mungu,Kama aliweza kuandikia watu Gospel asingeshindwa na angepata baraka zote,Kiroho,kimwili na kiuchumi
@kayatv7322
6 ай бұрын
Ana uwezo mkubwa shida ni nguvu ya uchaguzi au sijui niseme ushauri
@OfficialEK177 ай бұрын
52:01 Yuko sahihi ,ndio baraka da prince alipaniki siku ile 😁
@chitamawichita16494 ай бұрын
Great interview
@kefamwakipesile2757 ай бұрын
Bro 20% kama nakuelewa sana ,naona kuna wapuuzi wanasema eti kama kachanganyikiwa
@user-mq1tu7im9v7 ай бұрын
Huyu ni mtoto wa Mungu hakika Mungu aiamshe roho yake awe kama kile kilichopo ndqni yake
@FatumaPepeyu
7 ай бұрын
Iyo kufuru Rabby ajazaa na wala ajazaliwa na afanani na kiumbe chochote katika dunia na ana mfano
@puregamers4215
7 ай бұрын
Mungu hana mtoto
@user-mq1tu7im9v
7 ай бұрын
Hivi hizo akili mgando ni lini zitawatoka ninyi watu wakukalili
@user-mq1tu7im9v
7 ай бұрын
@@puregamers4215 zinduka amsha akili yako acha kukalili fanya utafiti alieweka pumzi ndani yetu ndie baba yetu na tumefanyika wanawe kwakutii na kusgika sheria zake acha kugandisha akili
@user-mq1tu7im9v
7 ай бұрын
@@FatumaPepeyu bila shaka unatakiwa ufundishwe kwanini huyu mtoto wa Mungu
Пікірлер: 337
Hii interview nimeielewa sana...Muulizaji yuko vizuri sana. Long live brother 20% Mwenyezi Mungu akulinde
Yani nmependa neno hili haupo duniani kwa starehe lazima ukubali kupitia hata mateso maana n mojawapo ya maisha yakila mwanadamu, ubarikiwe Sana 20.
20% upo simple sana... Yaani una kiswaswadu chako unakitoa kwenye interview huwazi wala nini.. jamaa you are so simple and Genius yaan unajibu maswali very simple
The best interview Ever 100%
Hivo vi cent kidogo kidogo vipokeee Nimemtuma Bashiri Akuleteee Na vinepi vya mtoto Pokeaah Karibu nitarud Ngojea Najua Mwanangu Hamjui baba, Toka nimwache tumboni miezi saba Jitunze we usije kuwa kahaba, Ukimbemenda mimi nitakubeba 🙌 That verse Bro 🔥🔥
Aisee this guy, has to be one of my favorites. Real and down to earth!
Twenti yupo mbele sana, kwa majibu yalio nyooka koriko maswari ya vidox. Big UP Sana kwake 20%
Tupia Namba ya 20% tumpe shukrani kwa kazi ya kutuelimisha...huyu akili kubwa na tumuenzi sasa hv sio mpaka akifa
All the way from BUJUMBURA we still love and appreciate your fertile brain through your lyrics 20 PERCENT 💙🙏🏽🙏🏽✔
Jamaa angefanikiwa kusoma na kumaliza vidato,,angefundisha watu weng Sana,,Yan nmna anavyojibu maswal unapenda,kiuhalisia kabisa,,big up brother🎉🎉🎉
Huyu Jana yuko vizuri kabisa kichwa kinafanya kazi big up 20
Hii kichwa iko vizuri sana
jamaa ni msanii ana uniqueness kwenye saut ake nzur kuisikilza👍
kaka mkubwa nice . ishi kwenye ualisia dunia tunapita. tuwaache na ulimbukeni wao na mbaya zaidi utandawazi umewameza
God bless you 20percent, love from RWANDA.
20 Per wewe ni shida saana. Salute saana mwamba
Something so spiritual in his convo, most doesn’t understand…
Noma sana bado yuko vizuri 💪
Mungu awabariki ayo tv nawapenda sana
Tamaa mbaya 😊😊😊 naipenda daima
Actually 20% you deserve 50+% your mostly thinking for the future trust in God will made you the way
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nitarudi na roho yangu itawatokea kama nilivyo watokea zamani hii inahuzunisha sana bimana mda atapokua hayupo duniani kizazi chake kitafanya kama yeye inshallah mwenyezi Mungu akusaidie kudumu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏
May be God protect your Mr 20%
much love from burundi.20 nimwarimu mkubwa sana.ubalikiwe sana
Namkubali sana huyu bro❤❤❤🎉
Karibu mbeya kaka
Solute sana Mzee baba.
..good idea iwe mfano wakuigwa na ulimwengu shetani ni wakupigwa tu siku zote
"Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala "chukua hiyoo.....
MUNGU akunyunyizie manji roho yako uchipuke tena😢😢😢
Shabik bado unao bro 20% ❤❤
respect. 20% awezi tokea wakufanana naye🙌
Yani leo nimefurahi kumuona tena 20%napenda kazi zako
Yuko smart sana kichwani nyimbo zako zinaishi sana ❤
Kaka 20 nimekuelewa sana Mungu akutie nguvu sana
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 We lov you ❤️ Guys You Still legend King 🌟🌟✊
Hii interview Ya kufungia mwaka; inafundisha, inafurahisha, inaburudisha
Forever in my heart ❤️
Daa 20% una hofu ya Mungu nimeipenda hio
20 %una hekima katika kuyakataa maswali We noma sana
Kabisa kaka ubarikiwe sana na mungu aendelee kukuweka
Vido anauliza maswali mazuri sana technically na simply I like it 👍👍👍
@user-uh8bx4wt8e
7 ай бұрын
kweri mtangazaji yuko vzr pia
@user-uh8bx4wt8e
7 ай бұрын
kweri mtangazaji yuko vzr pia
Hongera 20 usiingie huko
❤❤❤❤❤ huyo jama alivyo 20% halipo tulia nawasani mashetani wakaingia kiwanjani nakupenda Sana twenty nipo Congo drc
Shettan ananguvu sana kwann nimesema ivo uhalisia wahuu mziki wa bongo alpaswa huyu jamaa ndo aongoze mziki wabongo maana ukicheki nyimbo zake hazina upuuz kbx
@agnesjonas1192
6 ай бұрын
Kwel yan anawapa nguvu watu wake wanaomuambudu sanaa tofauti ili kutuogopesha wengine ila Mungu wetu ananguvu zaidi vyote
@user-ql5rr2ve8b
5 ай бұрын
C ndo ivo kazidiwa na mdogo ake mond mwenzie kakubari masharti
Nakukubali sana bro 20 me mchoraji nlikuchora nkaweka picha yako room kwangu kukufikia ndio ilikuwa ngumu maan nlikuwa bush bado
@sifatiiman
7 ай бұрын
your look so handsam 🎉🎉🥰🥰🥰
King 20% mnyamaaaah
Broo unatisha very nice
Mbeya Stand Up. Mbeya Nchi,Sugu Raisi
Huyu jamaa, na mpenda toka moyoni 🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥♥️♥️
Hongera sana kaka upo vizuri
20%per asmileee always he is legend 🙌
Nakupenda Sana mon star leader
Nakukubali sana per heshima muhimu sana
Uko Vizuri Brother. Hiyo kichwa Iko Vizuri Sana
Sir We Love you And We Respect you, You Change our mind ..
Uko saii sana 20 ongera
Nakubalii
Big up watu wa mbeya
Ukimsikiliza Chidi na ukasikiliza Vee Money sababu ya kuacha muziki, huwez kumuamini yeyote pale juu
@sifatiiman
7 ай бұрын
kabisa ni uongo mtupu
RESPECT BRO... UR THE BEST..🔥🔥
chungaaa tamaambayaaa chunga tamambaayaaaaaaaa i love this song.... am from 🇱🇷 us
Namupenda sana huyu musani Niko uganda
Yani namkubali adi basi tu!🎉
Millard ayo plz msanii akija kwa interview hivi msuport na kuweka link 🔗 yake ya KZread tu msupport pamoja tunaweza big up 20 percent 20%
@febroniamsoma178
7 ай бұрын
Natamani kumchangia chochote nikiwa kama mtz
Wenye vipaji wengi masikini🔥
@stanastana3199
7 ай бұрын
Aisee
@mrsinia3064
7 ай бұрын
hiyo haipingw kbs
Well said mungu akuweke sana brother
20 paa anakili sana hata kwenye itavyuu yake maswali anajibu kwaufanisi sana
@sifatiiman
7 ай бұрын
sana 🎉
Kalibu sana my brother 🙏
Regender big up my brother 💪💪💪💪
Colabo ya 20 na na darasa itakua fresh sana kama ikifanyika
@lusungungimbudzi4265
7 ай бұрын
Una kitu
@sifatiiman
7 ай бұрын
kweli kabisa
20.wewe ni wa kwanza tanzania kama unaimba bila freemason.ni wa kwanza mpage tu yesu maisha uje ulale.salama
Mungu akulinde Upojasiri saana
Dah mungu azd kukupa moyo saf recpect 20
Legend 👏
Ushauri mzuri sana waache kupiga nyimbo za matusiiii , saf sanaa
@agnessjoseph9069
7 ай бұрын
Kuna nyimbo unasikiliza mpaka unaona aibu kama umekaa na mtu mnaeheshimiana nae , husan Clouds 🙌🏻🙌🏻🙌🏻kwakwel inasikitisha
Safi sana 20p
Hiki kichwa dah akili nyingi sanaaa
@sifatiiman
7 ай бұрын
sana akili mingi
Milard Ayo hongera sana kwa kumpata mtangazaji mzuri na makini' Vido vidox in the best❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
Nakukubali Tangu Kitambo
Kitamboooo!🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Legend 💪💪
Big up bro
Waoooo mbeya oyeeeeee...😊😊
Safi sana kaka
Huyu cyo mbishi, huyu anajiamini sana, ogopa watu wanaojiamini, wanapitiaga mapito makubwa sana na hawawezi kumuomba mtu msaada wanaumia ndani kwa ndani😢
Kiukwel wasanii #20percent#afandesele nawengine wengi wazamani nawapenda kwenye interview zao...huchoki kuwaskiliza asee
Wasanii wa zamani wanaongeaga point sana angalia chidi chillah sele juma nature nk ila wa sasa hapo ingekuwa vijembe tu angalia mond harmo nk yani dunia inazunguka
Most of the best interview i have heard,,,💯
@caesarsworld8784
7 ай бұрын
Ungecomment kiswahili tu bro😂😂😂
@barakadaprince3742
6 ай бұрын
@@caesarsworld8784😅😅
@kikoadventures6933
6 ай бұрын
😅😅😅😅
@fountaingatesports
6 ай бұрын
Hehe Kizungu kizunguzungu
20%👌
Bang bang nomaaa
Nakupenda sana twenty' huna baya kaka❤❤❤❤❤
kama kuna kiongozi wa serikari atumiwe hii afu aje atuambie amejifunza nini maan huyu jmaa ni daraza zima dadeki
Nyimbo za vijana wasasa ni wiki tu inasahaulika tungo hata hazieleweki kwakweli.ila za huyu jamaa nyimbo ya miaka kumi iliyo pita lakini ukipigwa utadhan ndio umetoka jana.tungo zake kama vile mama nema na tamaa mbaya dah natamani kulia jamaa anajua.ila watanzania Kwa watu kama 20 ni madini tunapaswa kuwasaport ili wawarishise watoto wasasa waweze kujua nyimbo zinazo takiwa kuimbwa Zina burudisha na zinafumdisha.apewe saport wadau wekezen mzigo hapo mpigie pesa nasi tupate elmu na burdan.hata watoto wake wakikua wakimsikiliza baba yao watajifunza kitu.isipo kuwa Hawa wakizazi hichi dah mtihani itakua baba katukana Mzee alikua anaimba matusi dah.
Uyu jamaa akiwa Ana misimamo kama anavyo ongea basi ni dhahabu ya Taifa. Lakini kama ni maneno ya juu juu itakuwa mbaya sana. Ni kweli kabisa mziki wa sasa ni wa kumuabudu Shetani ata Chidi Benzi Ali ongea hili swala. Ni ngumu sana kutoboa kama hujakubali mfumo wa siri. Ambao kwa sasa ndio unaongoza Dunia.
@issahamisi674
7 ай бұрын
True
@isacksimonmahungilo
7 ай бұрын
Nikwel nguvu wanapewa na shetani muimbaji wa kawaida huwez shindana nao
@bigtengwemela3153
7 ай бұрын
Sikupingi
@kayatv7322
6 ай бұрын
Yani huyu jamaaa angemwimbia Mungu watu wengi wangemrudia Mungu,Kama aliweza kuandikia watu Gospel asingeshindwa na angepata baraka zote,Kiroho,kimwili na kiuchumi
@kayatv7322
6 ай бұрын
Ana uwezo mkubwa shida ni nguvu ya uchaguzi au sijui niseme ushauri
52:01 Yuko sahihi ,ndio baraka da prince alipaniki siku ile 😁
Great interview
Bro 20% kama nakuelewa sana ,naona kuna wapuuzi wanasema eti kama kachanganyikiwa
Huyu ni mtoto wa Mungu hakika Mungu aiamshe roho yake awe kama kile kilichopo ndqni yake
@FatumaPepeyu
7 ай бұрын
Iyo kufuru Rabby ajazaa na wala ajazaliwa na afanani na kiumbe chochote katika dunia na ana mfano
@puregamers4215
7 ай бұрын
Mungu hana mtoto
@user-mq1tu7im9v
7 ай бұрын
Hivi hizo akili mgando ni lini zitawatoka ninyi watu wakukalili
@user-mq1tu7im9v
7 ай бұрын
@@puregamers4215 zinduka amsha akili yako acha kukalili fanya utafiti alieweka pumzi ndani yetu ndie baba yetu na tumefanyika wanawe kwakutii na kusgika sheria zake acha kugandisha akili
@user-mq1tu7im9v
7 ай бұрын
@@FatumaPepeyu bila shaka unatakiwa ufundishwe kwanini huyu mtoto wa Mungu
Respect 20 ✊👊