EXCLUSIVE: 20 PERCENT AFUNGUKA "NILIFATWA NA FREEMASON, NINA HALI MBAYA,HARMONIZE HAWEZI KUNISAIDIA"

Пікірлер: 337

  • @amirimbago8325
    @amirimbago83257 ай бұрын

    Hii interview nimeielewa sana...Muulizaji yuko vizuri sana. Long live brother 20% Mwenyezi Mungu akulinde

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista46546 ай бұрын

    Yani nmependa neno hili haupo duniani kwa starehe lazima ukubali kupitia hata mateso maana n mojawapo ya maisha yakila mwanadamu, ubarikiwe Sana 20.

  • @Mr_smart.code_10
    @Mr_smart.code_107 ай бұрын

    20% upo simple sana... Yaani una kiswaswadu chako unakitoa kwenye interview huwazi wala nini.. jamaa you are so simple and Genius yaan unajibu maswali very simple

  • @eddobillah2369
    @eddobillah23696 ай бұрын

    The best interview Ever 100%

  • @ericktona3638
    @ericktona36387 ай бұрын

    Hivo vi cent kidogo kidogo vipokeee Nimemtuma Bashiri Akuleteee Na vinepi vya mtoto Pokeaah Karibu nitarud Ngojea Najua Mwanangu Hamjui baba, Toka nimwache tumboni miezi saba Jitunze we usije kuwa kahaba, Ukimbemenda mimi nitakubeba 🙌 That verse Bro 🔥🔥

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard80087 ай бұрын

    Aisee this guy, has to be one of my favorites. Real and down to earth!

  • @user-hz5dv2el4m
    @user-hz5dv2el4m7 ай бұрын

    Twenti yupo mbele sana, kwa majibu yalio nyooka koriko maswari ya vidox. Big UP Sana kwake 20%

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka72226 ай бұрын

    Tupia Namba ya 20% tumpe shukrani kwa kazi ya kutuelimisha...huyu akili kubwa na tumuenzi sasa hv sio mpaka akifa

  • @chrismugisha6173
    @chrismugisha61736 ай бұрын

    All the way from BUJUMBURA we still love and appreciate your fertile brain through your lyrics 20 PERCENT 💙🙏🏽🙏🏽✔

  • @HamzaSaid-wj4gi
    @HamzaSaid-wj4gi7 ай бұрын

    Jamaa angefanikiwa kusoma na kumaliza vidato,,angefundisha watu weng Sana,,Yan nmna anavyojibu maswal unapenda,kiuhalisia kabisa,,big up brother🎉🎉🎉

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g7 ай бұрын

    Huyu Jana yuko vizuri kabisa kichwa kinafanya kazi big up 20

  • @vocatusmecksedeck5793
    @vocatusmecksedeck57936 ай бұрын

    Hii kichwa iko vizuri sana

  • @issahamisi674
    @issahamisi6747 ай бұрын

    jamaa ni msanii ana uniqueness kwenye saut ake nzur kuisikilza👍

  • @winlove4
    @winlove47 ай бұрын

    kaka mkubwa nice . ishi kwenye ualisia dunia tunapita. tuwaache na ulimbukeni wao na mbaya zaidi utandawazi umewameza

  • @SUPERMANAGERVIBEZ
    @SUPERMANAGERVIBEZ7 ай бұрын

    God bless you 20percent, love from RWANDA.

  • @user-ps8zs9fc5g
    @user-ps8zs9fc5g7 ай бұрын

    20 Per wewe ni shida saana. Salute saana mwamba

  • @dementriarichard3557
    @dementriarichard35574 ай бұрын

    Something so spiritual in his convo, most doesn’t understand…

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu87366 ай бұрын

    Noma sana bado yuko vizuri 💪

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc7 ай бұрын

    Mungu awabariki ayo tv nawapenda sana

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy81667 ай бұрын

    Tamaa mbaya 😊😊😊 naipenda daima

  • @user-hk1gp9iu9b
    @user-hk1gp9iu9b7 ай бұрын

    Actually 20% you deserve 50+% your mostly thinking for the future trust in God will made you the way

  • @mussasebatiano4787
    @mussasebatiano47877 ай бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nitarudi na roho yangu itawatokea kama nilivyo watokea zamani hii inahuzunisha sana bimana mda atapokua hayupo duniani kizazi chake kitafanya kama yeye inshallah mwenyezi Mungu akusaidie kudumu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial2177 ай бұрын

    May be God protect your Mr 20%

  • @user-xs8qf4hl3n
    @user-xs8qf4hl3n7 ай бұрын

    much love from burundi.20 nimwarimu mkubwa sana.ubalikiwe sana

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi4617 ай бұрын

    Namkubali sana huyu bro❤❤❤🎉

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa42067 ай бұрын

    Karibu mbeya kaka

  • @eddyimamu751
    @eddyimamu7517 ай бұрын

    Solute sana Mzee baba.

  • @kakabeka2515
    @kakabeka25157 ай бұрын

    ..good idea iwe mfano wakuigwa na ulimwengu shetani ni wakupigwa tu siku zote

  • @annethbraysceson2401
    @annethbraysceson24016 ай бұрын

    "Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala "chukua hiyoo.....

  • @user-du7nq4gs3g
    @user-du7nq4gs3g7 ай бұрын

    MUNGU akunyunyizie manji roho yako uchipuke tena😢😢😢

  • @juliejackson1742
    @juliejackson17427 ай бұрын

    Shabik bado unao bro 20% ❤❤

  • @agathasemindu79
    @agathasemindu796 ай бұрын

    respect. 20% awezi tokea wakufanana naye🙌

  • @zahraalajmi7967
    @zahraalajmi79677 ай бұрын

    Yani leo nimefurahi kumuona tena 20%napenda kazi zako

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy6 ай бұрын

    Yuko smart sana kichwani nyimbo zako zinaishi sana ❤

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np7 ай бұрын

    Kaka 20 nimekuelewa sana Mungu akutie nguvu sana

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar66947 ай бұрын

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 We lov you ❤️ Guys You Still legend King 🌟🌟✊

  • @Ohhvio
    @Ohhvio7 ай бұрын

    Hii interview Ya kufungia mwaka; inafundisha, inafurahisha, inaburudisha

  • @Lumambitv
    @Lumambitv7 ай бұрын

    Forever in my heart ❤️

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono7 ай бұрын

    Daa 20% una hofu ya Mungu nimeipenda hio

  • @user-bq9jt9uj7q
    @user-bq9jt9uj7q7 ай бұрын

    20 %una hekima katika kuyakataa maswali We noma sana

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa42067 ай бұрын

    Kabisa kaka ubarikiwe sana na mungu aendelee kukuweka

  • @enocmsafi2023
    @enocmsafi20237 ай бұрын

    Vido anauliza maswali mazuri sana technically na simply I like it 👍👍👍

  • @user-uh8bx4wt8e

    @user-uh8bx4wt8e

    7 ай бұрын

    kweri mtangazaji yuko vzr pia

  • @user-uh8bx4wt8e

    @user-uh8bx4wt8e

    7 ай бұрын

    kweri mtangazaji yuko vzr pia

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena4226 ай бұрын

    Hongera 20 usiingie huko

  • @EsongoEbalove-xw6bo
    @EsongoEbalove-xw6bo6 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ huyo jama alivyo 20% halipo tulia nawasani mashetani wakaingia kiwanjani nakupenda Sana twenty nipo Congo drc

  • @Iddy-lg1ly
    @Iddy-lg1ly7 ай бұрын

    Shettan ananguvu sana kwann nimesema ivo uhalisia wahuu mziki wa bongo alpaswa huyu jamaa ndo aongoze mziki wabongo maana ukicheki nyimbo zake hazina upuuz kbx

  • @agnesjonas1192

    @agnesjonas1192

    6 ай бұрын

    Kwel yan anawapa nguvu watu wake wanaomuambudu sanaa tofauti ili kutuogopesha wengine ila Mungu wetu ananguvu zaidi vyote

  • @user-ql5rr2ve8b

    @user-ql5rr2ve8b

    5 ай бұрын

    C ndo ivo kazidiwa na mdogo ake mond mwenzie kakubari masharti

  • @emanuelneriwa6619
    @emanuelneriwa66197 ай бұрын

    Nakukubali sana bro 20 me mchoraji nlikuchora nkaweka picha yako room kwangu kukufikia ndio ilikuwa ngumu maan nlikuwa bush bado

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    7 ай бұрын

    your look so handsam 🎉🎉🥰🥰🥰

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain1727 ай бұрын

    King 20% mnyamaaaah

  • @user-pn6bj7uz2p
    @user-pn6bj7uz2p7 ай бұрын

    Broo unatisha very nice

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn96337 ай бұрын

    Mbeya Stand Up. Mbeya Nchi,Sugu Raisi

  • @user-ls4sj3fv7t
    @user-ls4sj3fv7t7 ай бұрын

    Huyu jamaa, na mpenda toka moyoni 🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥♥️♥️

  • @ZuhuraAthumani-bo8yy
    @ZuhuraAthumani-bo8yy2 ай бұрын

    Hongera sana kaka upo vizuri

  • @georgemerere3448
    @georgemerere34487 ай бұрын

    20%per asmileee always he is legend 🙌

  • @user-yj7xw9zw9l
    @user-yj7xw9zw9l6 ай бұрын

    Nakupenda Sana mon star leader

  • @AmaniPascal-go3ux
    @AmaniPascal-go3ux7 ай бұрын

    Nakukubali sana per heshima muhimu sana

  • @lusungungimbudzi4265
    @lusungungimbudzi42657 ай бұрын

    Uko Vizuri Brother. Hiyo kichwa Iko Vizuri Sana

  • @lubangojean-wg3iv
    @lubangojean-wg3iv7 ай бұрын

    Sir We Love you And We Respect you, You Change our mind ..

  • @trommy_kid
    @trommy_kid7 ай бұрын

    Uko saii sana 20 ongera

  • @chuleeman
    @chuleeman7 ай бұрын

    Nakubalii

  • @dauddaud8841
    @dauddaud88417 ай бұрын

    Big up watu wa mbeya

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia7 ай бұрын

    Ukimsikiliza Chidi na ukasikiliza Vee Money sababu ya kuacha muziki, huwez kumuamini yeyote pale juu

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    7 ай бұрын

    kabisa ni uongo mtupu

  • @mariamandambike5013
    @mariamandambike50135 күн бұрын

    RESPECT BRO... UR THE BEST..🔥🔥

  • @sunwizy608
    @sunwizy6083 ай бұрын

    chungaaa tamaambayaaa chunga tamambaayaaaaaaaa i love this song.... am from 🇱🇷 us

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc7 ай бұрын

    Namupenda sana huyu musani Niko uganda

  • @shukuruemedi9805
    @shukuruemedi98057 ай бұрын

    Yani namkubali adi basi tu!🎉

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam18657 ай бұрын

    Millard ayo plz msanii akija kwa interview hivi msuport na kuweka link 🔗 yake ya KZread tu msupport pamoja tunaweza big up 20 percent 20%

  • @febroniamsoma178

    @febroniamsoma178

    7 ай бұрын

    Natamani kumchangia chochote nikiwa kama mtz

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya58607 ай бұрын

    Wenye vipaji wengi masikini🔥

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    7 ай бұрын

    Aisee

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    7 ай бұрын

    hiyo haipingw kbs

  • @ramadhaniomar4774
    @ramadhaniomar47746 ай бұрын

    Well said mungu akuweke sana brother

  • @user-bf9fk1sm1j
    @user-bf9fk1sm1j7 ай бұрын

    20 paa anakili sana hata kwenye itavyuu yake maswali anajibu kwaufanisi sana

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    7 ай бұрын

    sana 🎉

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu6 ай бұрын

    Kalibu sana my brother 🙏

  • @sumairahjohn-jt4qy
    @sumairahjohn-jt4qy7 ай бұрын

    Regender big up my brother 💪💪💪💪

  • @sammyallan623
    @sammyallan6237 ай бұрын

    Colabo ya 20 na na darasa itakua fresh sana kama ikifanyika

  • @lusungungimbudzi4265

    @lusungungimbudzi4265

    7 ай бұрын

    Una kitu

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    7 ай бұрын

    kweli kabisa

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale39196 ай бұрын

    20.wewe ni wa kwanza tanzania kama unaimba bila freemason.ni wa kwanza mpage tu yesu maisha uje ulale.salama

  • @IsaacIsaya-ii2co
    @IsaacIsaya-ii2co29 күн бұрын

    Mungu akulinde Upojasiri saana

  • @GeraldthobiasSimpoy
    @GeraldthobiasSimpoy4 ай бұрын

    Dah mungu azd kukupa moyo saf recpect 20

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael7997 ай бұрын

    Legend 👏

  • @agnessjoseph9069
    @agnessjoseph90697 ай бұрын

    Ushauri mzuri sana waache kupiga nyimbo za matusiiii , saf sanaa

  • @agnessjoseph9069

    @agnessjoseph9069

    7 ай бұрын

    Kuna nyimbo unasikiliza mpaka unaona aibu kama umekaa na mtu mnaeheshimiana nae , husan Clouds 🙌🏻🙌🏻🙌🏻kwakwel inasikitisha

  • @priscakanjanja5256
    @priscakanjanja52567 ай бұрын

    Safi sana 20p

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna16127 ай бұрын

    Hiki kichwa dah akili nyingi sanaaa

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    7 ай бұрын

    sana akili mingi

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar4 ай бұрын

    Milard Ayo hongera sana kwa kumpata mtangazaji mzuri na makini' Vido vidox in the best❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MomadeMohammed
    @MomadeMohammed7 ай бұрын

    Nakukubali Tangu Kitambo

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki7 ай бұрын

    Kitamboooo!🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ZawadiFuti
    @ZawadiFuti7 ай бұрын

    Legend 💪💪

  • @Dullz-yt9gk
    @Dullz-yt9gk7 ай бұрын

    Big up bro

  • @mariamandambike5013
    @mariamandambike50135 күн бұрын

    Waoooo mbeya oyeeeeee...😊😊

  • @salama1113
    @salama11137 ай бұрын

    Safi sana kaka

  • @user-ql5rr2ve8b
    @user-ql5rr2ve8b5 ай бұрын

    Huyu cyo mbishi, huyu anajiamini sana, ogopa watu wanaojiamini, wanapitiaga mapito makubwa sana na hawawezi kumuomba mtu msaada wanaumia ndani kwa ndani😢

  • @benybenrique1224
    @benybenrique12247 ай бұрын

    Kiukwel wasanii #20percent#afandesele nawengine wengi wazamani nawapenda kwenye interview zao...huchoki kuwaskiliza asee

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki88707 ай бұрын

    Wasanii wa zamani wanaongeaga point sana angalia chidi chillah sele juma nature nk ila wa sasa hapo ingekuwa vijembe tu angalia mond harmo nk yani dunia inazunguka

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri51357 ай бұрын

    Most of the best interview i have heard,,,💯

  • @caesarsworld8784

    @caesarsworld8784

    7 ай бұрын

    Ungecomment kiswahili tu bro😂😂😂

  • @barakadaprince3742

    @barakadaprince3742

    6 ай бұрын

    ​@@caesarsworld8784😅😅

  • @kikoadventures6933

    @kikoadventures6933

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @fountaingatesports

    @fountaingatesports

    6 ай бұрын

    Hehe Kizungu kizunguzungu

  • @cecyjanclymerly5025
    @cecyjanclymerly50257 ай бұрын

    20%👌

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana6506 ай бұрын

    Bang bang nomaaa

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar4 ай бұрын

    Nakupenda sana twenty' huna baya kaka❤❤❤❤❤

  • @SekaOnlineTV
    @SekaOnlineTV7 ай бұрын

    kama kuna kiongozi wa serikari atumiwe hii afu aje atuambie amejifunza nini maan huyu jmaa ni daraza zima dadeki

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h7 ай бұрын

    Nyimbo za vijana wasasa ni wiki tu inasahaulika tungo hata hazieleweki kwakweli.ila za huyu jamaa nyimbo ya miaka kumi iliyo pita lakini ukipigwa utadhan ndio umetoka jana.tungo zake kama vile mama nema na tamaa mbaya dah natamani kulia jamaa anajua.ila watanzania Kwa watu kama 20 ni madini tunapaswa kuwasaport ili wawarishise watoto wasasa waweze kujua nyimbo zinazo takiwa kuimbwa Zina burudisha na zinafumdisha.apewe saport wadau wekezen mzigo hapo mpigie pesa nasi tupate elmu na burdan.hata watoto wake wakikua wakimsikiliza baba yao watajifunza kitu.isipo kuwa Hawa wakizazi hichi dah mtihani itakua baba katukana Mzee alikua anaimba matusi dah.

  • @NyotaTanoTV-gt3od
    @NyotaTanoTV-gt3od7 ай бұрын

    Uyu jamaa akiwa Ana misimamo kama anavyo ongea basi ni dhahabu ya Taifa. Lakini kama ni maneno ya juu juu itakuwa mbaya sana. Ni kweli kabisa mziki wa sasa ni wa kumuabudu Shetani ata Chidi Benzi Ali ongea hili swala. Ni ngumu sana kutoboa kama hujakubali mfumo wa siri. Ambao kwa sasa ndio unaongoza Dunia.

  • @issahamisi674

    @issahamisi674

    7 ай бұрын

    True

  • @isacksimonmahungilo

    @isacksimonmahungilo

    7 ай бұрын

    Nikwel nguvu wanapewa na shetani muimbaji wa kawaida huwez shindana nao

  • @bigtengwemela3153

    @bigtengwemela3153

    7 ай бұрын

    Sikupingi

  • @kayatv7322

    @kayatv7322

    6 ай бұрын

    Yani huyu jamaaa angemwimbia Mungu watu wengi wangemrudia Mungu,Kama aliweza kuandikia watu Gospel asingeshindwa na angepata baraka zote,Kiroho,kimwili na kiuchumi

  • @kayatv7322

    @kayatv7322

    6 ай бұрын

    Ana uwezo mkubwa shida ni nguvu ya uchaguzi au sijui niseme ushauri

  • @OfficialEK17
    @OfficialEK177 ай бұрын

    52:01 Yuko sahihi ,ndio baraka da prince alipaniki siku ile 😁

  • @chitamawichita1649
    @chitamawichita16494 ай бұрын

    Great interview

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile2757 ай бұрын

    Bro 20% kama nakuelewa sana ,naona kuna wapuuzi wanasema eti kama kachanganyikiwa

  • @user-mq1tu7im9v
    @user-mq1tu7im9v7 ай бұрын

    Huyu ni mtoto wa Mungu hakika Mungu aiamshe roho yake awe kama kile kilichopo ndqni yake

  • @FatumaPepeyu

    @FatumaPepeyu

    7 ай бұрын

    Iyo kufuru Rabby ajazaa na wala ajazaliwa na afanani na kiumbe chochote katika dunia na ana mfano

  • @puregamers4215

    @puregamers4215

    7 ай бұрын

    Mungu hana mtoto

  • @user-mq1tu7im9v

    @user-mq1tu7im9v

    7 ай бұрын

    Hivi hizo akili mgando ni lini zitawatoka ninyi watu wakukalili

  • @user-mq1tu7im9v

    @user-mq1tu7im9v

    7 ай бұрын

    @@puregamers4215 zinduka amsha akili yako acha kukalili fanya utafiti alieweka pumzi ndani yetu ndie baba yetu na tumefanyika wanawe kwakutii na kusgika sheria zake acha kugandisha akili

  • @user-mq1tu7im9v

    @user-mq1tu7im9v

    7 ай бұрын

    @@FatumaPepeyu bila shaka unatakiwa ufundishwe kwanini huyu mtoto wa Mungu

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis40737 ай бұрын

    Respect 20 ✊👊

Келесі