Tazama Silaha Saba za TID Kuelekea Kwenye Tigo Fiesta/Temeke Jiangalieni Sana...
Ойын-сауық
TID ni mmoja kati ya wasanii watakaopanda jukwaa la Tigo Fiesta pande za Uwanja wa Uhuru (Temeke), kwa upande wake ameweka mikakati ya kufunika kwenye steji...Tazama hapa
Пікірлер: 43
Alieona shati la t.i.d km gazeti la NIPASHE Agonge like hapa 😁😁
Kaifanya siku yangu iwe na furahaaa sana uyu jamaaaa aisee
Hahahahaha love this guy always laugh 😂 at his interviews
InAkuja inakataa😂😂😂💯🏁. I salute you warioba✊👍
Support by konde gang 🔥🔥tunakiwasha gonn be fire
Ebwana TID shati lako ni bango kubwa.. DOPE 🇹🇿 Mnaonaje wakuu?
@bahatifelix6225
4 жыл бұрын
Hahaaa kama kashona magazeti
@athumanupete793
4 жыл бұрын
Aaaaaah hiyo shati n nouma sanaaaa
@sianasekirasa9883
2 жыл бұрын
I second this! 👏
Babaa👌👌👌
That Shirt is Dope...
my daily motivation speech kabla ya kazi
Huyu jamaa hachoshi kumsikiliza👍
Hatareeee
Napenda Sana unavojiaminigi mbwembwe nyiiingiiiiii
Moja ya interview bora zaidi kutokea..
Huyo jama ni mmbwa sana anamzarahu msani kama ommy dimpoz, abdu kiba na .wenyewe ajuwi kitu
@ommie_nyzer
4 жыл бұрын
😂😂😂
Kavaa Gazet
Kavaa gazeti
Kama Unakuja hivi inakataa
Nyoka wengi
Pls remember kama umesha zeheka.
Huyu Jamaa nilikuwa namkubali sana ila saivi nipo tofauti naeee kabisaaa
Mbona amevaa magazet jmn naona mwananchi guardian citizen san ijumaa nani kaona gazet lingine😂
TID noma sana
Jitu la swaga
tunahitaji pumzi stamina consistence hahahahaha
Teja umeisha cku hz huna lolote umebaki kujigamba kama dada ze2
Na shart lake km gazeti la udaku😞
huyu jamaa ni kati ya wasanii waongo mno hapa bongo hahaha
😂😂😂😂😂
Sasa ilo shat au gazet mnyama T I D
😂😂
Hhhhh
Ila tid 😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
tid umeishiwa maneno huna maana tena nilikuwa nakukubali lkn nw days unaongea ovyo ovyo acha bhangi
@rosechild5021
4 жыл бұрын
edmund sama that’s true he need to accept his age.
Watch the analysis of 10 most viewed East African Music Collaboration Videos on KZread in 2019👉 kzread.info/dash/bejne/rGdlqtF_lNzAf8Y.html
😂😂😂
😂😂😂😂