TID NA Q CHIEF WAMCHANA VIBAYA MWIJAKU | WAOMBA MSAMAHA KWA ABIGAIL CHAMS | BILA BUGATI HAKUNA MPIRA

Ойын-сауық

TID NA Q CHIEF WATANGAZA COLLABO NA ABBY CHAMS | WAMTOA NISHAI MWIJAKU MTOTO MDOGO HATUWEZI | SISI NI MASHABIKI WAKUBWA WA HAJI MANARA BILA YEYE WADADA WASINGEPENDA MPIRA.
#manaratv #hajimanara #tid #abigail #qchief #topbrand

Пікірлер: 73

  • @bigmtoro
    @bigmtoro3 ай бұрын

    Hawa watu wana chemistry nzuri sana waeke mziki kando wafungue podcast..inverstors should take note ama Alikiba awape kipindi it will be a hit.

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    3 ай бұрын

    Dah! Nikweli umeona mbali sana.

  • @AfricaQueen

    @AfricaQueen

    3 ай бұрын

    Kweli kabisa hata Mimi nimeona hivyo ! Mungu aulinde urafiki wao 🤲

  • @sadamirambo885

    @sadamirambo885

    3 ай бұрын

    Daah ebhana good idea ndg

  • @DahHodges777
    @DahHodges7773 ай бұрын

    Wako vizuri acheni chuki watazamaji..roho mbaya hazijengi na hawa lazima wapige hela nyingi sana kwenye umri huo,kikubwa wasisikilize wanaoongea negative wapige tu kazi...

  • @eddysaleh4388
    @eddysaleh43883 ай бұрын

    😂😂😂😂 alichosema mwijaku 💯 kweli kabisa

  • @athumantuwa4542
    @athumantuwa45423 ай бұрын

    UMEJTAHID SANA KUWAHOJI HAO JAMAA,NI NGUMU SANA SANA SANA

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu96723 ай бұрын

    This two whenever I come through their interview lazima niwaskize legends

  • @BlackMirrorTz
    @BlackMirrorTz3 ай бұрын

    For now, don't look at who understands you. It's important if you understand yourself. It's enough for the rest. Time will speak. Inshallah #Walinazi🙌

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima53183 ай бұрын

    Kafanana na mzee abdul babaake dimond huyo TID

  • @aminata3702

    @aminata3702

    3 ай бұрын

    Hata wewe

  • @user-ds5tf9xx1d
    @user-ds5tf9xx1d3 ай бұрын

    Wamependeza kwa hili vazi

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt3 ай бұрын

    Mashavu yashawashuka hamna lolote mnagombana na mtoto mdogo Tena mwanamke wasenge baridi tu

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda60793 ай бұрын

    HAWA MAREJENDARI WAWILI NAWAPENDA SANA SANA ALIKLI NYINGI WANACHEKESHA MUDA WOTE NACHEKA MPAKA NALIA?????❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi71253 ай бұрын

    Wakali wa muda wote Good music

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga47423 ай бұрын

    Kwenye Maisha ni muda tu yaani hawa mwishoni wamekua mataira hivi yaan vichaa

  • @pulikisia7963
    @pulikisia79633 ай бұрын

    Movie inaanza tu stelingi anakufa😂😂😂

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri61513 ай бұрын

    Muziki sasa acheni. Yani inafaa muje na kipindi maalum katika Manara TV

  • @Babygirl758
    @Babygirl7583 ай бұрын

    Sio kwa answari sunnah 😂😂😂😂😂😂 mpaka TID imebidi acheke 🤣🤣

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton89113 ай бұрын

    Q anaonekana kuna kitu anataka ila tid hajakua serious saaana

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi64743 ай бұрын

    Nawapenda mimi hawaa??😂😂😂😂

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu90273 ай бұрын

    Wimbo/ Nyimbo ni haramu then kutoa mwezi wa Ramadhan alafu kukosa kuupatia heshima huo mwezi.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda60793 ай бұрын

    HAWA JAMAA HAPO KWENYE MPIRA WAMECHEKESHA SANA HAIJAWAHI KUTOKEA❤❤❤😅😅😅😅😅😅

  • @davidndaha9607
    @davidndaha96073 ай бұрын

    Ndugu zangu jikiteni kwenye mziki na kuacha vigingi wakati ni mda wa kusaka Pesa!. Unajua watu wana hope na kuongeza mashabiki

  • @Qqambaa
    @Qqambaa3 ай бұрын

    Ni yeye ndani ya mjengo

  • @Babygirl758
    @Babygirl7583 ай бұрын

    Kwasababu hajui kupika ugali tunamuomba atusamehe 😂😂😂😂 nakojoa

  • @DaudNgodilo
    @DaudNgodilo3 ай бұрын

    Hahaaaaaa wana waninikumbusha mbali mno kipindi nikiishi na kaka zangu wavuta bangi yaan wao kila wanacho kifanya wanahisi wako sahihi na wanajionaga wanaakili kuliko mtu yeyote et

  • @damigitv8023
    @damigitv80233 ай бұрын

    Wasaanii wangu from Nairobi Kenya

  • @jade75798
    @jade757983 ай бұрын

    Hebu wacheni kuwasema hawa watu .as long as bado wako hai maisha yao yataendelea tu.wengine nyie mnaocoment vibaya kuwahusu ma roho zenu zinawauma tu kwasababu hajui English kama TID na Q chief .mawivu tu mko mfyuuu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11543 ай бұрын

    Mnamtafura kaka yangu msechu sasa hapa kaka yangu amekujaje jamn kisha anapiga sana za mafanikio toa nyimbo zako kaka msechu kiongoz yeyote akifa wewe achia muda uwo uwo coz usanii ni ubunifu KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE

  • @Babygirl758
    @Babygirl7583 ай бұрын

    Sio kwa kumnyonya ghalib vidole 😂😂😂😂 was he low key dissing jux na ommy 🤣

  • @alliancendabarushimana4570
    @alliancendabarushimana45703 ай бұрын

    Bangi tupi😅😅😅

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa76023 ай бұрын

    Nasoma qomenti 😂😂😂😂😂

  • @nunuuali5316
    @nunuuali53163 ай бұрын

    Hili kundi likila mwaka mpya pamoja niko pale

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz3 ай бұрын

    Tatizo la Hawa watu wanatafuta kick kwa kuwasema watu vibaya na ndio maana hawasapotiwi

  • @user-xu6fg7sg6s
    @user-xu6fg7sg6s3 ай бұрын

    Hao hawana lolote bange nyingi sana halafu sifa kibao kama TID KASHAKUWA MWEHU

  • @user-eb3hf1lm9e

    @user-eb3hf1lm9e

    3 ай бұрын

    Waliyoyafanya kwenye tasinia ya music 🎶 ww na ukoo wako wote hata tuwape miaka 3000 hamuwezi kuyafanya so tuliza makalio yako chini na roho yko mbaya

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11543 ай бұрын

    Acha kwanza nisome comment wadau

  • @user-xu6fg7sg6s
    @user-xu6fg7sg6s3 ай бұрын

    Mwijaku amesema kweli bwana

  • @obijoha2877
    @obijoha28773 ай бұрын

    Qc napenda yuko calm, na waungwe mnoo

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    3 ай бұрын

    Ukiwa mpole mjini utakufa maskini big up tid

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia2543 ай бұрын

    Mateja wawili 😂

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic15313 ай бұрын

    Usimpige makonzi muache hii pia ni challenge

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias90843 ай бұрын

    Duh.bangi mbaya

  • @user-cr7vi4qp9c
    @user-cr7vi4qp9c3 ай бұрын

    Babu T I D

  • @ireneimbuhira7759

    @ireneimbuhira7759

    3 ай бұрын

    😂😂😂

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias90843 ай бұрын

    Munaongelea vibaya madalali wakati madalali wanaishi vzr zaidi yenu nyie mbwa takataka.kama we tld hama utoke kwenu ukapange

  • @user-ur8nm1wi6c
    @user-ur8nm1wi6c3 ай бұрын

    KAVA LA CM LA MSANII MMELIONA KWELI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @giftmbogela2435

    @giftmbogela2435

    3 ай бұрын

    😂😂

  • @Nayla-pd5zn
    @Nayla-pd5zn3 ай бұрын

    😂😂😂😂hatariii

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th3 ай бұрын

    Hama nyumbani umeshazeeka hiv mama ake huyu mla unga bado yupo

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    3 ай бұрын

    Nampenda bure imagine ni mcheshi sn uyu kaka basi aje ajenge kenya

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын

    Yaani hawa watu wa wili wako na maringo na hata nyimbo sio ety NI kitu ya maana!!!!! Maringo madharau hawatafika popote kabisa!!!!!

  • @BakariKibauri-qh7gf

    @BakariKibauri-qh7gf

    3 ай бұрын

    Unataka wafike wap ambapo hawajafika hao ni ma legends wa Bongo flavour hao wamefanaya ambavyo bado havijafanywa ata na kizazi kipya

  • @sadamirambo885

    @sadamirambo885

    3 ай бұрын

    Mshamba hawezi kuelewa bab

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad4573 ай бұрын

    Comedians😂😂😂

  • @svt3
    @svt33 ай бұрын

    Yaani ma babu ambao hawakuwekeza ujanani uzeeni wao wasumbufu, kulaumiana, vichaa, ....hawa saa hizi walipaswa kuwa ma producer's ma directors walipaswa kuwa na ma lebel makubwa kusimamia wasanii na ku fundisha music ila ona bangi ilivyo wafanya wehu 😢😢😢

  • @asiamerey9081

    @asiamerey9081

    3 ай бұрын

    Yana Mungu usinene ukamara

  • @raimajimoto1122

    @raimajimoto1122

    3 ай бұрын

    Ustukne mamba kbl ujavuka mto

  • @svt3

    @svt3

    3 ай бұрын

    @@raimajimoto1122 hawa kwa ulegenda wao wangepaswa kusimamia wasanii wa siku hizi na kuwafundisha mziki, kuimba wangeimba tu kwa haba sababu mziki uko ndani yao ila kuchezea ujanani kuwekeza madawa mbele uzeeeni wamekuwa wazee ovyo lawama, na kulalamika bure vijana wekezeni ujanani msiwe watu ovyo uzeeni

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    3 ай бұрын

    Kwahiyo unatakake wakae tu kimya waombe ombe au waendelee kujitafuta mpaka wajipate.

  • @svt3

    @svt3

    3 ай бұрын

    @@nassercurtis9579 haya aca wajitafute tuone sasabu kama kujipata hawa walijipa miaaka ya 2002

  • @nururaymond5
    @nururaymond53 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 Magdalenaaaa

  • @davidkamau7592
    @davidkamau75922 ай бұрын

    Wame vuta unga

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын

    Watu wazima hovyo!!! Hawana lolote!! Mbwembwe tuu za bure!

  • @ambroceharouna1612

    @ambroceharouna1612

    3 ай бұрын

    Wewe utabaki na chuki ivoivo koz Bado upo gizani

  • @EdnahKebson
    @EdnahKebson3 ай бұрын

    Umehoji bangi tu hapo😂😂😂😂

  • @SalmaNinga
    @SalmaNinga3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim76163 ай бұрын

    Their body language speaks alot this guys have health mental issues hawako sawa 😂

  • @semkiwamganga4405
    @semkiwamganga44053 ай бұрын

    Choka mbaya...😂

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias90843 ай бұрын

    Kimziki walishakufa hao takataka hata selikari haitakiwa kuapa issue yoyote acha waendelee kuvuta bangi

  • @jade75798

    @jade75798

    3 ай бұрын

    Huoni aibu eti waita wenzio takataka .there better than you mavi wewe .kwani walikuambia wanataka issue from the serikali .wee mshamba tu the way nakuona

Келесі