THE CLASSIC KR :NGWEA NI HABARI NYINGINE /ALIFREESTYLE MSELA/ALAMNUSURA TUUAWE SAAU YA MUZIKI
Moja ya Marapper waasisi wa Game ya Bongo ni Kaka Rashid aka KR ambae ametumikia game kwa zaidi ya miongo mitatu ,Alianza game tangu mwaka 1993,hii ni sehemu ya hadithi ya maisha yake
Пікірлер: 20
Vichwa vya hip hop navyovikubali. Respect Wachuja Nafaka.
Ukiskiliza watu waliokuwa wanamjua ngwair wakimuelezea ndo unajua mwana alikuwa ana balaa zitoo
KR Baba umemaliza msingi 92 mm ndio naanza msingi dah ...heshima kwako Kaka Mula. Big respect Mkubwa
Albert Mangwair anapaswa kuenziwa kwenye Huu Muziki...
Hii interview inanimalizia sn bando Bro kuviiiiii, daaaaaah acha kbs.
Oyaaaaa KR hiyo list uliyotaja imesimama halafu wote ni vichwa
Hii Album ya Wachuga Nafaka ni Amazing mnoo.. Tulikuwa nayo Home pale
I feel the vibe nikisikiliza The Classic
KUVI unastahili maua yako mapema sana hasa kwa upande wa Hip Hop. Natamani siku moja huwe unaandaa matamasha makubwa ya Hip Hop utakapojaaliwa uwezo wa kufanya ivyo.
Kr is humble man. Classic is always hot
Intervue hii siichoki kila nikisikilizaga good bro KR JIBABA nakumbuka uwanja wa taifa kitambo sana pale maskani
ngwea rest in intenal peace
Noma sana
Nilibahatika cku moja yulikaa nae ngwear mwisho mwampamba ,na washkaji wengine,Ngwear alikua anafreestyle noma Sana,,Ana chose ma KR ni true kbs
Usiikose nyumbani ni nyumbani 💯💯
Kr mura , unyama sana
Hii ni moja kat ya Interview ya moto sana
Kr ana mistari
Mzee wa busara
Mchizii aache madaww