JAYMOE 'Sikulia sana kwenye msiba wa Ngwair kama wa Langa, Sababu....' aelezea ishu ya Madawa Part 1
Ойын-сауық
THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 Times FM kuchagua ngoma 5 kali wanazozikubali na kupiga mastori kibao kuhusu Music, Fashion & LifeStyle, Gadgets & all that.
Show inaruka kwa hewa kila Jumamosi, Saa 6 - 8 Mchana kupitia frequency ya 100.5 Times FM chini ya Presenter Mkali, the Baddest boi, Omary Tambwe aka Lil Ommy.
Subscribe, Watch, Share.
Niguse kwenye social networks:
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc.
Пікірлер: 140
Anayemkubali jay moe gonga likes hapa, super man. !!!💪🏿
J moe I like the way umeelezea tunavyotakiwa tuish.... unastahili pongez according to the story... big up @Lill omy ...maswali yenye akili sana
Jaymo...una akili flan iv... amazing..
Kipindi hakiwezi kuwa kizuri kama mtangazaji sio mzuri... Lil ommy ur the best prezentaaa broo 👍🙌🙌🙌🙌
@adrianchibombo3827
7 жыл бұрын
very true...
Hiii ni moja show bora katika show zako zotee lil omy kichwa kiko poa sana Respect for the main man himself Jay Mo
Mawazo jamaa yupo straight anaeleweka nilianza kumuelewa miak ya 2002 kweny movie ya girlfriend... Namkubali xan
maisha ya bording Ngoma moja hatali saana
nimerudi tena mwaka 2020 sio kwamba sikuwa nimeona hii interview ni kwa sababu Jay moe ana akili sana na Lilommy ni babalao
Lilly Ommy kipindi hichi alikuwa na njaa sana(passion) thats why show ilikuwa kali sana
Jibaba Manze Nakubali Si Leo Kwanzia Kitambo Ndo Maana Nakufwatilia Fan Namba 0ne Kama Kawa❤️💥👊🏾👊🏾 Tambwe Kheri Sana Wengine Waje Online Waiting Maswali Nayakubali👊🏾🇰🇪mob Love here
Jaymoe alipiga ngoma moto sana akiwa na Necessary Noise na Gangwe Mobb, Tunajirusha! Noma sana
bro Ommy umetisha Sana kumleta moe namkubali Sana huyo jamaa
Daaa safiii sana Daa inzi za kina moo ulikuwa muziki kweliii sasa hivi hakuna laza
Cjui htaa nisamajeeeeee brohhhhh nycccc interview ds year brohhhh jaymoee talentedd cnaa katikaa playlist znguu mwakaa huuu hiii ndiooo kaliiiiiiii cjuii labda nani atamfunikaaa brohhhhhhh#lil omyy nyccc interview
Moefamous@ huyu jamaa n Genius
Broooo napendaa cnaa interview za jaymoeeee yupoo vizuriiii cnaaaaaa #lil ommy ur the baddest
mtu kama jay mo akifapa mtu sahhih wa kumuuliza maswal utafrah kwa sasa nawaaminia lil ommy,salama jabr na dulla kwenye kuuliza maswal na wasanii
Real rapper, he’s so inspired. Be blessed more life Jay
Haooo ndioo wasaniii wa kutuleteaaaaaaaa hapoo ndani ya playlist bhnaaaaa coz wanajuaaa cnaaaa broohhhhhh #lil ommy nyccc interview brohhh unajuaa knoymaa
LIL OMMY, MKALI SANA YAAN!!!MPK UNAENJOY SHOW YA KIBABE
jamaa yuko conscious knoma.... anajibu majibu kwa upeo wa juu sana mpaka ananifurahisha
Oi Tambwe..... Onelove mkuu! Piga kaz bt ucmsahau Adam Salala
lilly ommy the biggest presenter all the time keep it up 👏
".........Jay Moe u re the best..."
daaah hii story tatu inanikumbusha mbali sanaa kuna sehem alimzungumzia Mariam mtoto wa kishua alf jirani kwetu kulikuwa na mtoto wa kishua alivyo zungumzia J moo ilikuwa exactly km alikuwa anaona dahhhh big up sanaa moo
It was a very fascinating interview that superman wa sinza did.big up lil ommy
Bonge moja la show . . na ni Somo kwa wasanii wachanga na jamii . . Big up @times Fm @lil ommy
jay moe nakukubali sana kutoka holland njoo tena holland
Boonge moja la #Interview ... Lilommy is the next level meehn ...... One day you will be nominated in the biggest award and being recognized worldwide... #Save my comment
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Jackson Hatibu 🙏
Lil ommy yr show is the best man Utadhani umezaliwa 70s 😛Utadhani nakujua ☕
Jay mo genius sana my best rapper in Tanzania
Lil ommy... Jay mo is so concise
jamni nakupenda bure lilyom sauti yako tu hoi😊😊😊😊
Dah,Nimefika Number 13...huku,The playlist inawashabiki kibao...Tambwe Big up!,,,Presenter ako On Top Sanaa.. EA Finest,From +254,Kenya. Thanks Times FM.
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Pamoja sana love yakutosha kutoka Nairobi, 'ppreciate that
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Engel Stan 👊👊👊
mshikaji yuko real sana kwenye mambo ya msingi
@josephenos5301
7 жыл бұрын
jae moe ,yko vzr
hapo sawa nime jifunza j Moe
noma sana au vp
%%% Jaymie,, penda Sana hitz zako,,,,so famous.....Irambo is ma hood...ndio mackan Irambo/ maadilisho chama la wana kule...nimeipenda sana interview yako coz ni very educating interview,, hasa watumiaji wa drugs abuse,,in general ktk maisha ya kila cku,,much Lov lilommy,,,,so famous jaymoe
Big up lilommy Kwa abari nzuri. 254 representing love your show. God akubless bro. Uedelee Ivio ivio
daaah hili ni darasa LA bure aise ni zaid ya show nice j moe nice LilOmmy interview LA kibabe xana
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Nuhu Salim 👊
Hiyo ni poa umesema, lakin umesahau kuwa kuna kitu kinaitwa "ADDICTION" kaka yangu... Haijalishi uko Dar, au uko California.. Haijalishi ulianzaje... Once addicted, it's hard to live sober, but not impossible.... Basi ni hayo tu...
Jay mo mi Ni fan wako kichaa mzee
@logathngalola884
5 жыл бұрын
apo mmekutana wote ni mafundi Lili ommy Jay moe munaweza
ww bro lilommy ni zaid ya presenter
namkubali sana jay moe,
big up so famous bonge la darasa
Mchizi yupo vzl sana sema anaga zari tu
Aman kwa kaka vod milionea.. mwambie mo nisha acha poda pia sili mmea..R.i.p langa
@jumajasjas2925
5 жыл бұрын
Aman kwa kaka voda millionea... mwambie wadogo zako waache kula poda wale mmea... Jay Mo Aman kwa kaka voda millionea...mwambie mdogo wako aache tabia ya ushoga na umbea... Langa
@nestormaasay7547
5 жыл бұрын
Haaahaaa
@yasinimalya4001
5 жыл бұрын
Hahaa😆
Huyu kaka nampenda anongea kwa confidence
Lil Ommy Upo poa sana #more technique #More flavour
asante jay moe
brohhhh hiii interview ni Kali cnaaaa cjaonaa interview jaymoee talented cnaaa anajuaa cnaaaaaaa kujibuu maswali #lily ommy the best interview in DS year save my comet cjawaahiii onaaaa ndani ya playlist interview mwaka huuuu Kali kamaa hiiiii@lilommy
Love toka 254 Big up Lil Ommy Bonge la Interview na So Famous
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Khery Rashid 👊
Tingisha kama kina njiti hiyo ishu ya jay mo ilitisha vibaya sanaaaaa sharati jay mo mkubwa
Nakubali sana mawazo yako@famous moe
I appreciate you talent lil Ommy trick questions and staffs like that
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Thanks a lot,
Jay moe kwenye interview anaua hatari anajua mpka anapitilizaa.....
Daah jay mo big broo napenda kazi zako
Bro namkubali sana Jmoe
Jay moe more knowledge more technic
Mzee Baba nakuelewa sana
Jay Mo ulikua una muattack Langa sio kwa sababu ya kumsaidia lakini ulikua unamuumiza na kumkatisha tamaa Teja aachi unga kwa kutukanwa Sana Sana unampelekea kuzidisha Ila all in all Langa ni Bora Sana anauwezo mkubwa Sana kushinda hata kikundi chako sema ndio Ivo alivamiwa na majanga ya madawa
Rip Langa Kileo 💥😰
real talk... it's a great say way
kaz kaz man om
Big up bro Jay mo,kwa kazi nzuri sana
Lil ommy pamoja sana
Oya broo omy bless ila nakukubali kwenye times fm kuliko wasafi now but good ume improve ushauri tu usijali waambie wasafi wakupe kiti kirefu atukuoniiiiiiii onelove bro nakuelewa sana
poa sana
Big up bro
18:20 STRONG WORD 🙁 EVER
nakukubali sana Jay moe. mzee tambwe.
wasap wasap heeeee . bonge la shoo la kibabe hili mzee bb lilommy.
Fire🔥🔥
appreciate bro
good sana kaka jymo
sema j Moe nae apewaga mauwa yake bhn syo kuwasifu kna mangwear na langa tuu rest in peace kwao
Nimeipa safi sana
wananikera wanao walinda na kuwa stahi wanaotumia madawa... wanabidi kuambiwa ukweli wajickie kujuta ndo waache wenyewe
Jay to ze mooo long time broo
Nice 👍
Presenter 1 tz
Good
Big sana JM pamoja na LillyO
aisee nimependa sana show ya leo
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
pamoja
J moe gud sanaaaa
The Legend
Bonge la interview. Mtangazaji na Msanii wake Wamechangamka hadi Rahaa..
Hapo Kwa Stik Finger Umewapoteza Watu,Machizi Hao Wa ONIXY c mchezo
jay moh...anatatoo je ya manisha nini? Alafu intro....ya"tongwe records beiby" ni sauti ya mo???
@sultanzuberi428
3 жыл бұрын
Roma
Cana
ommy.......ww umejipanga
nimependaaa hii kitu
napende sana
19:08 to 19:20 Jay Mo🤝
🙌
Bruv upo vzur ktk interview
@masuranyamandegere3682
7 жыл бұрын
Bigg up sana J moe
Juma Mchopanga 💥💥🔥
Kutoka marekani nakukubali sana lil omiy
safe sana jay mo
Mo technics!!!!...