Hongera kwa Idris Sultan kuchapa kingereza swafi. Wasanii wajifunze lugha inasaidia hata kusaini mikataba
@sarahmuhammed6872
3 күн бұрын
😂hahah
@CuteMaryam8183 күн бұрын
Woooooow❤❤sarang hae
@vero573 күн бұрын
TANZANIA OYEEEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🏾👌👊👏👏
@trendz_25483 күн бұрын
❤❤Idris sounded really good
@Babyzay1783 күн бұрын
Wemasepetu wangu mimi 🥰 🥰 🥰
@Farajahelene230313 күн бұрын
Wema sepetu and idriss sultan loves
@user-qk7bn8dj4z2 күн бұрын
Broo unawezaaaa
@vero573 күн бұрын
Well done, indrisa 👌👊👏🇹🇿🇹🇿
@starjay30523 күн бұрын
iddy na x wake x anachekelea tu kusikia sauti ya iddy unazani badae nini kinatokea 😁😁
@mohamedlegacy2553 күн бұрын
Itaewoon class is also my favorite kdrama❤
@nzitogondwe99763 күн бұрын
Lkn wema sio msanii
@HajiKlein-so1rk3 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
@saidyabdalla74103 күн бұрын
Tanzania itafik mbal sn
@frocoissango89732 күн бұрын
Wehusi ni😂nyani tu nishasema nami nikiwemo
@CreyMomo3 күн бұрын
Wataelewana sasa😮
@CreyMomo3 күн бұрын
Stivu hadi wachina wanakupita urefu😂😂😂
@AliAbdullah-oy6yo
3 күн бұрын
😅😅😅
@OlgaChirezi-qt1pg3 күн бұрын
Wakorea wame tupiga mazee so kweli
@mosesnyelo1380
3 күн бұрын
Pole sana kwa kusumbuliwa na negative mind
@Awatee
3 күн бұрын
😂😂😂@@mosesnyelo1380
@wemakalama6458
3 күн бұрын
Big up keep going ❤❤❤
@sonnyr18993 күн бұрын
Kwa Jumong atakuwemo?
@user-pf9rk6jp4f3 күн бұрын
Wapi we lee min ho na gabo I akutane wakimtaka mwanamke mmoja 😅😅😅
@BoazDillu
3 күн бұрын
😂😂😂 😢 ni huzini
@jonfredkewe34513 күн бұрын
GPS huu ni upuuzitu anayekuibia lazima akubembereze .Tanzania niwazembe kweli tunapigwa upofu kizembetu
@birianination7097
3 күн бұрын
Umasikini wa fukara ni kiburi na kujikuta anajua
@husseinc
3 күн бұрын
ni kweli mtu anaweza kutoa kidogo iliakupigeparefu.
@sarahmuhammed6872
3 күн бұрын
Ndo.hapo sasa wacha tumpe yeye domo.kaya urais tuone atafanya nini,tatizo kupayuka kwingi,tangu Tanzania kupata uhuru walishawahi kwenda Korea kikazi za uigizaji
@deusmtiri63413 күн бұрын
nothing to say
@zclassicfashionz15733 күн бұрын
Mapambano bado yanaendelea....
@goodlegacytv50683 күн бұрын
Mjuba anatiririka ngeri ni kwere yani
@edwardlesian93183 күн бұрын
Yan sisi tunafurahi kufka hapo lkn sio kwa umaarufu ni kwa mchongo tushapigwa za uso hapo, ukiona sehemu hapo Nigeria na S/Africa wajafka mjue sisi tumeibiwa pakubwa hyo ni vumba macho tu 😢😢
@nzitogondwe99763 күн бұрын
Shida mnachagua hao wenye majina mnaacha vijana wenye uwezo uwezo na hisia za kuigiza wapo Sasa wema na kasauti watakua wanamuwekea Mac mdomoni make anabebwa sana
@tazrywiser5126
2 күн бұрын
Kumbuka hata hao waliokwenda nao wanastahili sababu walishafanya mengi kwenye tasnia kusema hawafai ni kuwashushia heshima, pia hao ndio wamepambana sana kujikomba komba mpaka leo wanaipata hiyo nafasi je hao vijana walikuwa wapi kipindi wao wanazungushwa zungushwa kwenye majukwaa na wanasiasa lengo ilikuwa kupata nafasi kama hiyo ambayo leo wameipata halafu mnakuja na mada za vijana wenye uwezo ambao wamekaa tu majumbani mwao wanasubiria kutengenezewa njia
@Sidrasidra6363 күн бұрын
Achatu nikoment vingine 😂 Wema na Idris si mrudiane jamani?😢
@boasliberath57983 күн бұрын
Wapi clam vevo
@mwankunjatyson
Күн бұрын
🤣🤣🤣Bongo sihami
@tomsijohni3 күн бұрын
Mbona atuoni film tunaona pictures zenu au ndo film hizo 😂
@isihaqkerdehaqker1403
3 күн бұрын
@@tomsijohni kaah ss watu wameend juzi hiyo filam imetengezwa lini...na sijui km kutakua na film wameenda kujifunz jinsi ya kutengeneza hizo films zenyewe ss
@tomsijohni
3 күн бұрын
@@isihaqkerdehaqker1403 ongera sana 👊
@maulidimpili6983 күн бұрын
Tanzania bana yunapewa sifa za kijinga sana alaf tunafurah wenzetu wanavumbua vifaa mbalimbali ww inafurahia maigizo
@peninashungu66333 күн бұрын
Huyo nyerere na wema wameenda kufanya nn sio kama waigizaj, hapo waigizaj wawili tu Anna na gambo Hao wengine wamekula tu pesa za serikal na ambazo awangemsaidia yule mwanafunzi, mlemavu akaenda shule
@isihaqkerdehaqker14033 күн бұрын
Nadhan wamechaguliwa watu sahihi..Mariam Ismail cjamuona hapo🤔, I wish angekuwepo nae
@fj8317
3 күн бұрын
Watu sahihi hapo ni idris tu hao wengine sio maproducers
@isihaqkerdehaqker1403
3 күн бұрын
@@fj8317 Gabo
@kwisa48993 күн бұрын
ukiona Nigeria/SA ajafanya lolote na hao jua sio pesa ni mchongo.
Пікірлер: 64
Ingekuwa kiswahili angeongea Steven Nyerere 😎😎
Idris anajueleza vizuri sana❤
Hongera kwa Idris Sultan kuchapa kingereza swafi. Wasanii wajifunze lugha inasaidia hata kusaini mikataba
@sarahmuhammed6872
3 күн бұрын
😂hahah
Woooooow❤❤sarang hae
TANZANIA OYEEEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🏾👌👊👏👏
❤❤Idris sounded really good
Wemasepetu wangu mimi 🥰 🥰 🥰
Wema sepetu and idriss sultan loves
Broo unawezaaaa
Well done, indrisa 👌👊👏🇹🇿🇹🇿
iddy na x wake x anachekelea tu kusikia sauti ya iddy unazani badae nini kinatokea 😁😁
Itaewoon class is also my favorite kdrama❤
Lkn wema sio msanii
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
Tanzania itafik mbal sn
Wehusi ni😂nyani tu nishasema nami nikiwemo
Wataelewana sasa😮
Stivu hadi wachina wanakupita urefu😂😂😂
@AliAbdullah-oy6yo
3 күн бұрын
😅😅😅
Wakorea wame tupiga mazee so kweli
@mosesnyelo1380
3 күн бұрын
Pole sana kwa kusumbuliwa na negative mind
@Awatee
3 күн бұрын
😂😂😂@@mosesnyelo1380
@wemakalama6458
3 күн бұрын
Big up keep going ❤❤❤
Kwa Jumong atakuwemo?
Wapi we lee min ho na gabo I akutane wakimtaka mwanamke mmoja 😅😅😅
@BoazDillu
3 күн бұрын
😂😂😂 😢 ni huzini
GPS huu ni upuuzitu anayekuibia lazima akubembereze .Tanzania niwazembe kweli tunapigwa upofu kizembetu
@birianination7097
3 күн бұрын
Umasikini wa fukara ni kiburi na kujikuta anajua
@husseinc
3 күн бұрын
ni kweli mtu anaweza kutoa kidogo iliakupigeparefu.
@sarahmuhammed6872
3 күн бұрын
Ndo.hapo sasa wacha tumpe yeye domo.kaya urais tuone atafanya nini,tatizo kupayuka kwingi,tangu Tanzania kupata uhuru walishawahi kwenda Korea kikazi za uigizaji
nothing to say
Mapambano bado yanaendelea....
Mjuba anatiririka ngeri ni kwere yani
Yan sisi tunafurahi kufka hapo lkn sio kwa umaarufu ni kwa mchongo tushapigwa za uso hapo, ukiona sehemu hapo Nigeria na S/Africa wajafka mjue sisi tumeibiwa pakubwa hyo ni vumba macho tu 😢😢
Shida mnachagua hao wenye majina mnaacha vijana wenye uwezo uwezo na hisia za kuigiza wapo Sasa wema na kasauti watakua wanamuwekea Mac mdomoni make anabebwa sana
@tazrywiser5126
2 күн бұрын
Kumbuka hata hao waliokwenda nao wanastahili sababu walishafanya mengi kwenye tasnia kusema hawafai ni kuwashushia heshima, pia hao ndio wamepambana sana kujikomba komba mpaka leo wanaipata hiyo nafasi je hao vijana walikuwa wapi kipindi wao wanazungushwa zungushwa kwenye majukwaa na wanasiasa lengo ilikuwa kupata nafasi kama hiyo ambayo leo wameipata halafu mnakuja na mada za vijana wenye uwezo ambao wamekaa tu majumbani mwao wanasubiria kutengenezewa njia
Achatu nikoment vingine 😂 Wema na Idris si mrudiane jamani?😢
Wapi clam vevo
@mwankunjatyson
Күн бұрын
🤣🤣🤣Bongo sihami
Mbona atuoni film tunaona pictures zenu au ndo film hizo 😂
@isihaqkerdehaqker1403
3 күн бұрын
@@tomsijohni kaah ss watu wameend juzi hiyo filam imetengezwa lini...na sijui km kutakua na film wameenda kujifunz jinsi ya kutengeneza hizo films zenyewe ss
@tomsijohni
3 күн бұрын
@@isihaqkerdehaqker1403 ongera sana 👊
Tanzania bana yunapewa sifa za kijinga sana alaf tunafurah wenzetu wanavumbua vifaa mbalimbali ww inafurahia maigizo
Huyo nyerere na wema wameenda kufanya nn sio kama waigizaj, hapo waigizaj wawili tu Anna na gambo Hao wengine wamekula tu pesa za serikal na ambazo awangemsaidia yule mwanafunzi, mlemavu akaenda shule
Nadhan wamechaguliwa watu sahihi..Mariam Ismail cjamuona hapo🤔, I wish angekuwepo nae
@fj8317
3 күн бұрын
Watu sahihi hapo ni idris tu hao wengine sio maproducers
@isihaqkerdehaqker1403
3 күн бұрын
@@fj8317 Gabo
ukiona Nigeria/SA ajafanya lolote na hao jua sio pesa ni mchongo.
@boasliberath5798
3 күн бұрын
Wapi clam vevo
Wema ana tikisa kichwa sijui kama anaelewa 🤷🏾♀️
@benedictinelusambo069
3 күн бұрын
Wema anajua ngeri zaidi ya idriss ndo nikuambie
@agwalubifaridah7079
3 күн бұрын
Chuki yako kwa wema haitakusadia chochote
@user-bl7ex4ld6x
3 күн бұрын
Hamjui wema huyo
@benedictinelusambo069
3 күн бұрын
@@user-bl7ex4ld6x ni kweliiii kabisa ety
@hamadsuleiman5177
2 күн бұрын
Ana Kiengereza balaaa huyo dada tena gramma
hii ni baada ya kuwapa madini na bandali!!
Idris ni mshamba hajui kuvaa
@user-iy7xy1np7c
3 күн бұрын
Wewe uliekua si mshamba umefika wapi !
@ngulathfundikira4205
3 күн бұрын
Wewe mjanjA inatosha