Tanzania yachaguliwa kuwa nchi ya kwanza Afrika kufanya filamu na Korea Kusini

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 64

  • @shd12m55
    @shd12m553 күн бұрын

    Ingekuwa kiswahili angeongea Steven Nyerere 😎😎

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise25953 күн бұрын

    Idris anajueleza vizuri sana❤

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын

    Hongera kwa Idris Sultan kuchapa kingereza swafi. Wasanii wajifunze lugha inasaidia hata kusaini mikataba

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    3 күн бұрын

    😂hahah

  • @CuteMaryam818
    @CuteMaryam8183 күн бұрын

    Woooooow❤❤sarang hae

  • @vero57
    @vero573 күн бұрын

    TANZANIA OYEEEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🏾👌👊👏👏

  • @trendz_2548
    @trendz_25483 күн бұрын

    ❤❤Idris sounded really good

  • @Babyzay178
    @Babyzay1783 күн бұрын

    Wemasepetu wangu mimi 🥰 🥰 🥰

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230313 күн бұрын

    Wema sepetu and idriss sultan loves

  • @user-qk7bn8dj4z
    @user-qk7bn8dj4z2 күн бұрын

    Broo unawezaaaa

  • @vero57
    @vero573 күн бұрын

    Well done, indrisa 👌👊👏🇹🇿🇹🇿

  • @starjay3052
    @starjay30523 күн бұрын

    iddy na x wake x anachekelea tu kusikia sauti ya iddy unazani badae nini kinatokea 😁😁

  • @mohamedlegacy255
    @mohamedlegacy2553 күн бұрын

    Itaewoon class is also my favorite kdrama❤

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe99763 күн бұрын

    Lkn wema sio msanii

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk3 күн бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla74103 күн бұрын

    Tanzania itafik mbal sn

  • @frocoissango8973
    @frocoissango89732 күн бұрын

    Wehusi ni😂nyani tu nishasema nami nikiwemo

  • @CreyMomo
    @CreyMomo3 күн бұрын

    Wataelewana sasa😮

  • @CreyMomo
    @CreyMomo3 күн бұрын

    Stivu hadi wachina wanakupita urefu😂😂😂

  • @AliAbdullah-oy6yo

    @AliAbdullah-oy6yo

    3 күн бұрын

    😅😅😅

  • @OlgaChirezi-qt1pg
    @OlgaChirezi-qt1pg3 күн бұрын

    Wakorea wame tupiga mazee so kweli

  • @mosesnyelo1380

    @mosesnyelo1380

    3 күн бұрын

    Pole sana kwa kusumbuliwa na negative mind

  • @Awatee

    @Awatee

    3 күн бұрын

    😂😂😂​@@mosesnyelo1380

  • @wemakalama6458

    @wemakalama6458

    3 күн бұрын

    Big up keep going ❤❤❤

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18993 күн бұрын

    Kwa Jumong atakuwemo?

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f3 күн бұрын

    Wapi we lee min ho na gabo I akutane wakimtaka mwanamke mmoja 😅😅😅

  • @BoazDillu

    @BoazDillu

    3 күн бұрын

    😂😂😂 😢 ni huzini

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe34513 күн бұрын

    GPS huu ni upuuzitu anayekuibia lazima akubembereze .Tanzania niwazembe kweli tunapigwa upofu kizembetu

  • @birianination7097

    @birianination7097

    3 күн бұрын

    Umasikini wa fukara ni kiburi na kujikuta anajua

  • @husseinc

    @husseinc

    3 күн бұрын

    ni kweli mtu anaweza kutoa kidogo iliakupigeparefu.

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    3 күн бұрын

    Ndo.hapo sasa wacha tumpe yeye domo.kaya urais tuone atafanya nini,tatizo kupayuka kwingi,tangu Tanzania kupata uhuru walishawahi kwenda Korea kikazi za uigizaji

  • @deusmtiri6341
    @deusmtiri63413 күн бұрын

    nothing to say

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz15733 күн бұрын

    Mapambano bado yanaendelea....

  • @goodlegacytv5068
    @goodlegacytv50683 күн бұрын

    Mjuba anatiririka ngeri ni kwere yani

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian93183 күн бұрын

    Yan sisi tunafurahi kufka hapo lkn sio kwa umaarufu ni kwa mchongo tushapigwa za uso hapo, ukiona sehemu hapo Nigeria na S/Africa wajafka mjue sisi tumeibiwa pakubwa hyo ni vumba macho tu 😢😢

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe99763 күн бұрын

    Shida mnachagua hao wenye majina mnaacha vijana wenye uwezo uwezo na hisia za kuigiza wapo Sasa wema na kasauti watakua wanamuwekea Mac mdomoni make anabebwa sana

  • @tazrywiser5126

    @tazrywiser5126

    2 күн бұрын

    Kumbuka hata hao waliokwenda nao wanastahili sababu walishafanya mengi kwenye tasnia kusema hawafai ni kuwashushia heshima, pia hao ndio wamepambana sana kujikomba komba mpaka leo wanaipata hiyo nafasi je hao vijana walikuwa wapi kipindi wao wanazungushwa zungushwa kwenye majukwaa na wanasiasa lengo ilikuwa kupata nafasi kama hiyo ambayo leo wameipata halafu mnakuja na mada za vijana wenye uwezo ambao wamekaa tu majumbani mwao wanasubiria kutengenezewa njia

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra6363 күн бұрын

    Achatu nikoment vingine 😂 Wema na Idris si mrudiane jamani?😢

  • @boasliberath5798
    @boasliberath57983 күн бұрын

    Wapi clam vevo

  • @mwankunjatyson

    @mwankunjatyson

    Күн бұрын

    🤣🤣🤣Bongo sihami

  • @tomsijohni
    @tomsijohni3 күн бұрын

    Mbona atuoni film tunaona pictures zenu au ndo film hizo 😂

  • @isihaqkerdehaqker1403

    @isihaqkerdehaqker1403

    3 күн бұрын

    @@tomsijohni kaah ss watu wameend juzi hiyo filam imetengezwa lini...na sijui km kutakua na film wameenda kujifunz jinsi ya kutengeneza hizo films zenyewe ss

  • @tomsijohni

    @tomsijohni

    3 күн бұрын

    @@isihaqkerdehaqker1403 ongera sana 👊

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili6983 күн бұрын

    Tanzania bana yunapewa sifa za kijinga sana alaf tunafurah wenzetu wanavumbua vifaa mbalimbali ww inafurahia maigizo

  • @peninashungu6633
    @peninashungu66333 күн бұрын

    Huyo nyerere na wema wameenda kufanya nn sio kama waigizaj, hapo waigizaj wawili tu Anna na gambo Hao wengine wamekula tu pesa za serikal na ambazo awangemsaidia yule mwanafunzi, mlemavu akaenda shule

  • @isihaqkerdehaqker1403
    @isihaqkerdehaqker14033 күн бұрын

    Nadhan wamechaguliwa watu sahihi..Mariam Ismail cjamuona hapo🤔, I wish angekuwepo nae

  • @fj8317

    @fj8317

    3 күн бұрын

    Watu sahihi hapo ni idris tu hao wengine sio maproducers

  • @isihaqkerdehaqker1403

    @isihaqkerdehaqker1403

    3 күн бұрын

    @@fj8317 Gabo

  • @kwisa4899
    @kwisa48993 күн бұрын

    ukiona Nigeria/SA ajafanya lolote na hao jua sio pesa ni mchongo.

  • @boasliberath5798

    @boasliberath5798

    3 күн бұрын

    Wapi clam vevo

  • @user-oq8hw1et9r
    @user-oq8hw1et9r3 күн бұрын

    Wema ana tikisa kichwa sijui kama anaelewa 🤷🏾‍♀️

  • @benedictinelusambo069

    @benedictinelusambo069

    3 күн бұрын

    Wema anajua ngeri zaidi ya idriss ndo nikuambie

  • @agwalubifaridah7079

    @agwalubifaridah7079

    3 күн бұрын

    Chuki yako kwa wema haitakusadia chochote

  • @user-bl7ex4ld6x

    @user-bl7ex4ld6x

    3 күн бұрын

    Hamjui wema huyo

  • @benedictinelusambo069

    @benedictinelusambo069

    3 күн бұрын

    @@user-bl7ex4ld6x ni kweliiii kabisa ety

  • @hamadsuleiman5177

    @hamadsuleiman5177

    2 күн бұрын

    Ana Kiengereza balaaa huyo dada tena gramma

  • @husseinc
    @husseinc3 күн бұрын

    hii ni baada ya kuwapa madini na bandali!!

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict54313 күн бұрын

    Idris ni mshamba hajui kuvaa

  • @user-iy7xy1np7c

    @user-iy7xy1np7c

    3 күн бұрын

    Wewe uliekua si mshamba umefika wapi !

  • @ngulathfundikira4205

    @ngulathfundikira4205

    3 күн бұрын

    Wewe mjanjA inatosha

Келесі