Steve Nyerere awavunja mbavu watu mtandaoni kwa namna alivyokua akimsikiliza Wema akiongea kingereza

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 27

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu15 күн бұрын

    Korea Kuna fursa nyingi sana ,hasa Kwa wafanyabiashara na wakulima ,siku nyingine nakuombea sana mam S.S.H. uwafungulie na wao fursa ili tuzidi KUNUFAIKA zaidi na zaidi inshallah❤❤❤

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    15 күн бұрын

    Kabisaaa

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda461915 күн бұрын

    Ila Tivuu akeeeee😂🤣🤣haelewi hata anachoongea Wema ila yuko busy kutikisa tu kichwa.

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim279415 күн бұрын

    Wema alitakiwa awe muhudumu kwenye ndege

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles602715 күн бұрын

    Steve Nyerere nikama Yuko kwenye chumba cha mtihani ,alivokakamaa😁😁😁😁

  • @magrethmalobola5470

    @magrethmalobola5470

    12 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @baysuraoman7910
    @baysuraoman791015 күн бұрын

    Yani hakili ya sitivu kma yangu😂😂😂😂

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews15 күн бұрын

    Tivu ake jamani😂😂😂

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe495315 күн бұрын

    😂😂😂 kazi iendelee

  • @frankmushi509
    @frankmushi50914 күн бұрын

    Bongo sihami😂😂😂

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale37414 күн бұрын

    Steve mbna kimombo anaongea fresh2😂😆😃

  • @joshuanjau3429
    @joshuanjau342915 күн бұрын

    🎉

  • @salomewandya7257
    @salomewandya725715 күн бұрын

    Shule ni muhimu sana

  • @Gody360
    @Gody36015 күн бұрын

    Pamoja sana 🫡

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson338815 күн бұрын

    Haelewi hata moja amekalia kuitikia tu kichwa kama vile anaelewa😂

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa721515 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv15 күн бұрын

    Hapo Steve anawaza hiv kwanini namm sikwenda shule?

  • @wisemaliva5376

    @wisemaliva5376

    15 күн бұрын

    Hapo hamna shule hiyo no rugha tu unajifunza popote pale mi ninaongea hiyo rugha bila dalasa hata moja

  • @sadikishomvi4450
    @sadikishomvi445015 күн бұрын

    Tuko pamoja

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e15 күн бұрын

    😂😂😂jmn

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654115 күн бұрын

    Msuli huo sio sket

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk14 күн бұрын

    Whozuuuu hayuko salamaaaa tundaaaa lake litamegwa korea au lishamegwaaaaaaaa😢

  • @georgedaniel4962

    @georgedaniel4962

    13 күн бұрын

    Haina shida maana ni wachaga wote au wote from kaskazin kama nimekosea mmh nisameheni tu.

  • @jeremiahevodius925
    @jeremiahevodius92515 күн бұрын

    Ids iyo aliyo vaa si siketi au ndo mitindo adu konde akivaa maneno kibao

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    15 күн бұрын

    Ukitoka kutahiriwa huwezi kuvaa suruali

  • @CatherineNzeki

    @CatherineNzeki

    14 күн бұрын

    ​@@alzawahirabdallah2299😂😂😂😂

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_15 күн бұрын

    sasa mbona kingereza chenyewe ni chepesi hata kwa mtu ambaye hajui kingereza vizuri anauwezo wa kupata idea (hata kam hatoelewa kila kitu )

Келесі