Sophia ajibu mapigo, amfungulia mashtaka Davido kuzuia kumchukua mtoto wao, aanika madudu yake

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 31

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard40313 күн бұрын

    ATM mashine haiwezi kuondoka lazima ipambaniwe nan anautaka ufukara wakat chanzo cha mapato iko apo

  • @user-ur7pw9ek6s

    @user-ur7pw9ek6s

    3 күн бұрын

    😂😂😂🎉🎉🎉uwii.

  • @wangagirl3508
    @wangagirl35083 күн бұрын

    Jealous Is real😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    3 күн бұрын

    Hiyo sio jealous ni tamaa ya mali

  • @wangagirl3508

    @wangagirl3508

    3 күн бұрын

    @@rumdeesonsoa1811 😀😀😀davido hangeoa hata huyu Sophia hangesumbua 😀😀😀😀😀 ni wivu tooo

  • @wangagirl3508

    @wangagirl3508

    3 күн бұрын

    @@rumdeesonsoa1811 hiyo harusi ndio imemchoma sana

  • @happymrema7487
    @happymrema74873 күн бұрын

    Yan ni mpuuz inskataa kununuliwa nyumba je devid akifa gafla utachuma wap

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar99053 күн бұрын

    Acha tuhuone move

  • @sund2553
    @sund25533 күн бұрын

    Penz likiisha mnageuka kuwa maadui ila huyu mam nae anatak asifanye kaz aishi kupitia mtoto

  • @farahali6041

    @farahali6041

    3 күн бұрын

    Kweli

  • @user-fy9pw2zr8l

    @user-fy9pw2zr8l

    3 күн бұрын

    kwa kweli si razima

  • @user-ur7pw9ek6s

    @user-ur7pw9ek6s

    3 күн бұрын

    😂😂😂

  • @Divinelinna
    @Divinelinna2 күн бұрын

    Kaona mwanamke mwenzake kaolewa kaumia 🤣🤣siku zote alikuwa wapi khaa

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi22323 күн бұрын

    Ni wivu tu!

  • @anneedward3673

    @anneedward3673

    3 күн бұрын

    Hawa wanawake wanakuwaga na wivu tu hawana lote hivi mtu anakupa kila kitu kwa ajili ya mtoto lakini huridhiki

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    3 күн бұрын

    @@anneedward3673 yan non sense... Ndio Mana jamaa aliona Bora aweke ndani chioma tu... Kavumilia mengi

  • @winfridapeter9455

    @winfridapeter9455

    3 күн бұрын

    Hii kesi ipo muda kabla ya ndoa ya hawa wawili, ni huyu msemaji wetu ndo alichelewa kutuhabarisha hili tukio

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    3 күн бұрын

    @@winfridapeter9455 Ila win kwani ndoa huwa inakuwaga ya Ghafla? Alikuwa anajua kuanzia maandalizi ya ndoa yana Anza? May be kama alishtaki miezi minne nyuma.

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    3 күн бұрын

    Sio wivu ni tamaa za mali

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e2 күн бұрын

    Wivu uyo

  • @jacquelinerayamu3187
    @jacquelinerayamu31873 күн бұрын

    Kumchimba mtt tu Jamani na kumtia nuksi

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u3 күн бұрын

    Kuachana sio vita leeni tu mtoto kwa pamoja

  • @farahali6041
    @farahali60413 күн бұрын

    yani unataka mtoto mfanye kama kitega uchumi kaa huna haya ww😊

  • @wangagirl3508

    @wangagirl3508

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂fear women

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    3 күн бұрын

    Hao ndio wanawake

  • @teddygabriel5662

    @teddygabriel5662

    2 күн бұрын

    Ila watoto wanahitaj matunzo meng Ni gharama jamn usiombe yakukute

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    2 күн бұрын

    @@teddygabriel5662 Hizo gharama zinatakiwa ziwe shared sio baba pekee yake ndio atoe.

Келесі