TANZANIA TANZANIA

Wimbo wa kitaifa, nimeuweka ili kila mmoja aweze kujifunza na kuufahamu

Пікірлер: 42

  • @PatrickNgobiro
    @PatrickNgobiro5 жыл бұрын

    I am a Kenyan but I find the song very sweet

  • @aliothman7576
    @aliothman75765 жыл бұрын

    Naipenda nchi yangu tanzania huu wimbo unantoa machozi ya upendo

  • @mashakankwabi1453
    @mashakankwabi14534 жыл бұрын

    Kweli Tanzania nakupenda kwa moyo wote . 💓💓💓💓

  • @gracemsanjila327
    @gracemsanjila3276 жыл бұрын

    Najivunia kuwa mtanzania sijujuti kuwa mtanzania 😍😍😍

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20836 жыл бұрын

    Huu wimbo ulipaswa kua ndiyo wimbo wetu wa TAIFA.tuuache ule unaotumika na nchi kama tatu hapa Afrika

  • @ngenzisaid4958

    @ngenzisaid4958

    4 жыл бұрын

    george massebu sanaa

  • @beatusnsiima8005

    @beatusnsiima8005

    3 жыл бұрын

    @@ngenzisaid4958 Kabisaaaa

  • @GlobalSouthObserver

    @GlobalSouthObserver

    2 жыл бұрын

    Ama tazama ramani

  • @raymondjimmy2712
    @raymondjimmy27125 жыл бұрын

    Tanzania my Bongo land Najivunia kua Mskuma😂😂😂

  • @tuntufyemwamwela9007

    @tuntufyemwamwela9007

    4 жыл бұрын

    Kwaya kutoka kyela

  • @halimaiddiijengo7376
    @halimaiddiijengo7376 Жыл бұрын

    Nzur

  • @ayshamohammed1679
    @ayshamohammed16796 жыл бұрын

    Woow love this national song

  • @pcmtv8033
    @pcmtv80335 жыл бұрын

    Tanzania my homeland

  • @zainilkanji9141
    @zainilkanji91412 жыл бұрын

    Nice

  • @saidsalum2062
    @saidsalum20627 жыл бұрын

    wimbo huu nimtamu kweli watoto wetu wafundishwe kwanzia shule za msingi mpaka sekondari

  • @celinaweber7024
    @celinaweber70245 жыл бұрын

    Naupenda sana Wimbo huu.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe38265 жыл бұрын

    najivunia kuwa mtanzania nakupenda wew inchi yangu Tanzania nakupenda wew

  • @florianfinda7445
    @florianfinda74452 жыл бұрын

    Huu ulitakiwa uwe ndio wimbo wa taifa letu kabisa.

  • @mwanashaabdallah3638
    @mwanashaabdallah36386 жыл бұрын

    Hii national anthem naipenda ile mbaya

  • @charlesmalwana3739
    @charlesmalwana37399 ай бұрын

    Hakuna aliye badilisha mashairi, watunzi wa huo wimbo ndiyo hao wanaoimba

  • @kalandatze
    @kalandatze6 жыл бұрын

    ich liebe die lieder von tanzania

  • @Da_Gee

    @Da_Gee

    3 жыл бұрын

    Danke sehr, herzlich willkommen in Tanzania

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry765 жыл бұрын

    Nakupenda kwa mowe wote jina lako ni tamu saana

  • @mrhalane6393
    @mrhalane63935 жыл бұрын

    Najivunia kua Mtanzania

  • @kim45734
    @kim457345 жыл бұрын

    Hakika Mungu ametubariki na Nchi yenye kila kitu,..

  • @savedlema
    @savedlema7 жыл бұрын

    Asante sana kwa kuuweka hapa. Mungu ibariki Tanzania, Amen.

  • @mzungukiyungu2837

    @mzungukiyungu2837

    6 жыл бұрын

    savedlema safi sana. Nilikuwa naitafta pia

  • @kalandatze
    @kalandatze6 жыл бұрын

    sehr chön

  • @lewisshemboko2106
    @lewisshemboko21065 жыл бұрын

    Nzuri

  • @barakandambo2348
    @barakandambo23485 жыл бұрын

    Ameeni

  • @salaho_wild493
    @salaho_wild4934 жыл бұрын

    semwaikoooo

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn14022 жыл бұрын

    Huu wimbo umechakachuliwa haukuwa hivyo. Kwanza wanauimba haraka haraka ytadhani wanakimbizwa na polisi.

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli52975 жыл бұрын

    Nakumbuka shule

  • @hosealwila4976
    @hosealwila49766 жыл бұрын

    niamkapo ni kheri mama weee

  • @maitenalechardoy9503
    @maitenalechardoy95035 жыл бұрын

    Quelqu'un pourrait m'indiquer le titre de ce chant SVP. Someone could tell me the title of this song please.

  • @George24peace

    @George24peace

    5 жыл бұрын

    "Tanzania Nakupenda kwa Moyo wote!" "Tanzania I Love You with all my Heart!"

  • @realdude64
    @realdude643 жыл бұрын

    Kwa nini mmebadilisha baadhi ya maneno kwenye mashairi? Au mashuleni kwetu walitufundisha ndivyo sivyo?

  • @godfreysemwaiko3290

    @godfreysemwaiko3290

    3 жыл бұрын

    Nani kabadilisha? Hayo ndiyo maneno husika

  • @dornadmasinde6130
    @dornadmasinde61304 жыл бұрын

    P

  • @rahabujohn2691
    @rahabujohn26915 жыл бұрын

    Huu mmebadilisha maneno haukuwa hivyo, kipindi hicho nasoma miaka ya tisini na 95-99.Au kubadilishwa mitaala na nyie mmeamua kubadilisha maneno?!!!!!!!!!

  • @saidsalum2062
    @saidsalum20627 жыл бұрын

    wimbo huu nimtamu kweli watoto wetu wafundishwe kwanzia shule za msingi mpaka sekondari

  • @beatusnsiima8005

    @beatusnsiima8005

    3 жыл бұрын

    wanauimba sana shuleni

Келесі