Huu wimbo nimeuweka humu ili kila mmoja aweze kuufahamu na kujifunza mashairi yake na kuuimba kwa ufasaha. Shukrani kwa bendi ya Polisi na TVT kwa kurekodi video hii.
Жүктеу.....
Пікірлер: 153
@tuzonyava83066 ай бұрын
Majira Yetu haya, yangekuwaje sasa,utumwa wanchi Nyerere ame ukomesha❤❤❤❤ mh wangekua wanaruhudu kuimba nyimbo za Taifa aina mbili. Basi Taifa stars wangeimba huu Pengine ata uko Afcon wangejituma warudi namatokeo mazuri kabisa ,, Mungu ibark Taifa Stars Amina
@lwitikophilipopelela18912 жыл бұрын
Nalipenda beti la tatu "Nchi yenye azimio lenye tumaini, ndiwe pekee yako mwanga wa watanzania, nitakuthamini hadharani na moyoni unilinde NAMI ntakulinda hadi kufa" true patriotic song🇹🇿❤️
@stephenmusembi21762 жыл бұрын
This one is super good congrats from kenya
@kasimuyahaya40105 жыл бұрын
Hii nyimbo ni Nzuri Sana hadi Unajihisi happy ilove Tanzanian
@busumabujacob37276 жыл бұрын
Uliye weka huu wimbo bila shaka wewe siyo mchoyo, Mungu akupe afya jema na Maisha marefu, japo sikufahamu naimani Ni mtanzania mzalendo safi sana
@godfreysemwaiko3290
6 жыл бұрын
asante. Tuipende nchi yetu, kwa ajili yetu na vizazi vijavyo
@SITI9886 жыл бұрын
Naipenda nchi yangu ya Tanzania. Sijui kama shuleni siku hizi bado watoto wanafundishwa hizi nyimbo
@abrahammwankenja34072 жыл бұрын
Tanzania is only Country which i have,I love my country more than everything in this world!
@elishamusa51935 жыл бұрын
Niskiapo wimbo huu machozi hunitiririka, huniongezea amani, uadilifu na uzalendo wa hali ya juu nakupenda nchi yangu Tanzania nipo tiar kufa kwaajili ako
@akahtaan7288
4 жыл бұрын
Ukiwa tayari kufa unaitwa Gaidi.
@elishamusa5193
4 жыл бұрын
A Kahtaan naipenda nchi yangu kuliko kitu chochote
@akahtaan7288
4 жыл бұрын
@@elishamusa5193 Duhh. Bro hata mimi naipenda nchi yangu lkn aijawexs kuvuka nafasi ya familia yangu Elisha
@elishamusa5193
4 жыл бұрын
A Kahtaan kwangu mm nchi n bora kuliko familia
@akahtaan7288
4 жыл бұрын
@@elishamusa5193 basi Elisha unaonekana ni mtu mnyonge sana. Manake unakwenda kinyume kabisa na Maumbile ulioumbwa nayo. Hata wanyama wanapendelea familia zao kuliko wanapoishi
@peterbayo46777 жыл бұрын
Kama kuna hazina tunayo kama Taifa ni nyimbo, sanaa, utamaduni na lugha ya kiswahili. Mambo haya ndo yanatuunganisha kama Taifa. Mungu akubariki sana mpendwa kwa kuleta hizi nyimbo.
@stephenmusembi2176
2 жыл бұрын
Hio nayo ni ukweli tunapenda choir za kitanzania
@felicianmapunda23285 жыл бұрын
Nice song from Tanzania Police brassband, God bless our country
@danieljefwa20714 жыл бұрын
Aaaaaaasante yani Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo, yani waniburudisha adi machoz mungu awabariki watanzania jamani.
@paulassenga72026 жыл бұрын
Wimbo mzuri Jamani,Mungu bariki Tanzania
@GemaLucas-mz2bn2 ай бұрын
I love u Tanzania your so nice no matter what
@shaimaahmed84386 жыл бұрын
I love my country Tanzania..am proud to be a Tanzanian
@edwinmtega8195 жыл бұрын
Asante ww uliyetupia wimbo huu wa kizalenda Tafadhari tupia na nyimbo nyingine za kizalendo Mungu akubariki
@julithamuhale72719 ай бұрын
Asante Mungu kwa kunijalia nizaliwe Tanzania
@jumamakuri91765 жыл бұрын
Huu ndio uzalendo! R.I.P Baba Wa Taifa Mwl.J.K. Nyerere tutakukumbuka daima.
@hechechacha40325 жыл бұрын
Moja ya nyimbo zilizokuwa zikiimbwa katika nchi watu tunasisimka Lakini ukilinganisha na baadhi ya watu wasiotambua wanavyotugawa nikisikia wimbo huu natamani kulia
@christophermwanilwa70747 жыл бұрын
I love my country Tanzania
@sundayevansi7656 жыл бұрын
Respect for my Country Tanzania
@omarymsi68326 жыл бұрын
Hongereni kwa uzalendo na Mimi ni mzalendo tuungane tulijenge taiga letu
@devidkingu24396 жыл бұрын
i love my blood country Tanzania
@richkinji2583 Жыл бұрын
Ivi siku hizi watoto wanaomba hizi nyimbo mashuleni nawauliza wakurungwa &wakushi
@cymone61594 жыл бұрын
Jaman kama mtunzi wa hii nyimbo aliongozwa na Mungu maana kila ausikiaye haumwachi bila kuckia hisia za machozi na upendo wa nchi yetu NAKUPENDA tz
@lendukushikeiya72306 жыл бұрын
Kiukweli huu wimbo huwa naupenda nitajitahidi kujifunza mashairi yote niwe naimba kila ninapojisikia. Ahsante sana comrade.
@jastinimajaliwa7 жыл бұрын
Ahsante sana mkuu.Mungu akubariki
@batholomeodonatus77126 жыл бұрын
Nani anaweza kuweka lyrics hapa,nawapenda Tz Greetings from Melwood
@abelg2488
4 жыл бұрын
TAZAMA RAMANI Tazama ramani utaona nchi nzuri Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka, Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri, Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaaaa…. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2 Chemchem ya furaha amani nipe tumaini, Kila mara niwe kwako nikiburudika, Nakupenda sana hata nikakusitiri, Nitalalamika kukuacha Tanzania. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2 Nchi yenye azimio lenye tumaini, Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania, Ninakuthamini hadharani na moyoni, Unilinde name nikulinde hata kufa. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
@boniphaceyohana7289
3 жыл бұрын
@@abelg2488 uko vizuri brooo hongera sana
@RioIpo
3 жыл бұрын
@@abelg2488 beti ya pili anatajwa Karume... anyway hongera
@kennedyekale5544 Жыл бұрын
naipenda hii band saaana naitamani niwajoin siku moja
@MerereJr Жыл бұрын
Tanzania nchi yangu
@rahabujohn26915 жыл бұрын
Jaman huu wimbo naupenda sana lakini kuna maneno mengine hatusikii mfano ubeti wa tatu mwishoni tunaomba wimbo huu muuchapishe kwenye vitabu mashuleni ili watoto nao wajifunze maana kuna watu mpaka leo hawaujui
@felicianmapunda23286 жыл бұрын
thank you for this song God bless Tanzania and its people
@savedlema7 жыл бұрын
Ndugu Semwaiko ninakushukuru sana kwa kuuweka wimbo huu hapa. Nimekuwa nikiutafuta huu wimbo na wenzake kwa muda mrefu sana bila mafanikio. Naomba kama una nyimbo nyingine za uzalendo uziweke hapa tafadhali, haswa hizi zilizoimbwa na watu hawa imara (askari) Asante sana na nakuombea moyo wa kuipenda Tanzania na kuitendea mema.
@safariyadodoma490
7 жыл бұрын
savedlema asante sana. tuko pamoja
@savedlema
7 жыл бұрын
Asante
@neemamassawe9761
6 жыл бұрын
How to let go stress
@gaudensiangozi1721
5 жыл бұрын
Ni kweli ni jambo la kushukuru sana kwa hili, ilikuwa huwezi kupata kabisa nyimbo za uzalendo wetu wa Tanzania ila sasa inafurahisha sana. Naungana nawe kutoa shukrani kwa aliyefanya jambo hili, pia asiache kutuletea na nyingine kem Kem.
@kenethkenethmswakala78235 жыл бұрын
duu huwa nafrah sana nikisikia wimbo huu asante Tanzania yangu
@sharifajirani4414 жыл бұрын
I love so much my country duuh mungu endelea kutupa amani
@nuruworldinsight29573 жыл бұрын
Kuna sehemu kama mbili wanamumunya mumunya maneno hawa. ☹️☹️🙆♂🙆♂
@allymusira21533 жыл бұрын
Wimbo ulitujengea uzalendo sana ❤️❤️❤️❤️❤️
@azrayrajabu25475 жыл бұрын
naipenda paka naumwa nikisikia huu wimbo wa uzalendo mwongozo primary school
@jackjulyndunguson17296 жыл бұрын
Dahhhhhhhhhhhh Ama kweli nnch yetu Imejariwa vitu vingi sana lakin kwa Wimbo huuu Mnanifanya nizidi kuifurahia sana na kujiskia huru Zaid, Nakupenda Sana TANZANIA yangu MUNGU tuepushe na majanga mengi na kila uhalibif woote.
@webnerd16786 жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo, melody, na mashairi yake dah...
@kambamazig020243 жыл бұрын
Halafu hapo hujainigiza Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo wote.
@barnababulugu20355 жыл бұрын
I love this song
@emmanuellonga13133 жыл бұрын
Beautiful!!!
@godfreyshija3295 Жыл бұрын
Nice song
@nuruworldinsight29573 жыл бұрын
Huu sasa ndo unafaa uitwe WIMBO wa TAIFA. ule OG tunasimangiwa sana sana na WASAUZI na watu wengn wanadai tumeuiga kutoka kwao.
@gallousgosbert49935 жыл бұрын
Am proud to be a Tanzanian forever.
@AndrewMugaya5 жыл бұрын
Nakupenda sana Tanzania nchi yangu
@robertshemaonge60005 жыл бұрын
asanten sana kwa wimbo huo kizalendo
@shifaaal-baity45035 жыл бұрын
Inanikimbusha utoto wangu😢😭😭
@nasri.27jr254 жыл бұрын
TANZANIA I love u very much my Country
@musaumukusa76765 жыл бұрын
Tanzania nchi yangu tulinde amani yetu
@margaretmkangala77745 жыл бұрын
Mwenzenu nina ombi kwa watanzania woooooote kwamba naomba wimbo wetu wa Taifa wa Tanzania.uwe.wimbp huu tazama.ramani badala ya ule Mungu lbariki Tanzania ambao ni.wakukopi na.kupest toka Afrika.ya.kusini. wimbo ulioimbwa na kundi.la.Geofrey.Semwaiko unafaa sana kwakuwa umeimbwa kitaifa kikamilifu
@juliethhouseofdesigns147
3 жыл бұрын
Kabisa
@kambamazig02024
3 жыл бұрын
Wimbo wa Taifa hatukuukopi, angalia historia yake ndipo utakapojua kuwa melody ni sawa na Nkosi Sikeleli Afrika, lakini wa kwetu ni tofauti kabisa halafu kumbuka sisi tulipata uhuru kabla ya South Afrika. Wimbo huu ulitungwa kule Ndada, ndugu yangu tafuta historia yake utashangaa sana. Proud to be Tanzanian!
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Hujui historia tuu, wao ndo walikopi
@salehkippy5339
3 жыл бұрын
Sisi tulianza kupata uhuru kabla South Africa iwe si ndo tuwaige wao?
@nilansaid2927
3 жыл бұрын
Hujui unachoongea, angalia kwanza SA imepata lini uhuru na Tanzania
@kamgishaally89335 жыл бұрын
Tazama ramani Tazama Taifa star Tazama Rais MAGUFURI
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Awa Jamaa uwa wanajuaga sana
@jenyyusuph49736 жыл бұрын
jamani huu wimbo merodi yake niyakimashuhuri tz tunawatunzi wazuri sana yani merod zake hata usiposikia maneno ukisi utajua hiyo ni tz
@mfalmegideon39872 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿
@andersonmwombeki58077 жыл бұрын
Wimbo wa kizalendo unavutia
@phinawatwego72602 жыл бұрын
Tanzania yetu oyeeeeeeeeee
@crabmotility42074 жыл бұрын
Reminds me of my primary school years.
@daudimhoja85473 жыл бұрын
I love my country tanzania
@tausijuma49915 жыл бұрын
I love you my country TANZANIA
@kambamazig020243 жыл бұрын
Wakati huo uzalendo ulikuwa mkubwa na hatukufikiri hata siku moja tutakuja kuwa na wasaliti; wa kwanza akawa Kambona ambeye tulimsamehe ila siku hizi wasaliti wengi mno kiasi kuwa moyo wangu unasononeka sana sijui ni maadili gani tunayatoa kwa watoto wetu. Wasaliti wengi hawana uzalendo na nchi yetu, wimbo huu unawasuta kabisa.
@paulmwara38626 жыл бұрын
Hakika nimekumbuka mbali mnooo, najivunia kuwa mtanzania
@juliethhouseofdesigns1473 жыл бұрын
Kipindi hiki nilikuwa natamani kusikia nyimbo kama huu au Tanzania Tanzania.ubarikiwe
@Aikunle786 жыл бұрын
Very melodious song! What are they singing about?
@chrismbalilaki2445
6 жыл бұрын
Aikunle78 beauty of Tanzania
@tegezdomin8363
5 жыл бұрын
Beauty of Tanzania
@christophermwanilwa7074
4 жыл бұрын
It is about the beauty of Tanzania
@gaudensiangozi17215 жыл бұрын
Tazama ramani utaona nchi nzuri Tanzania
@margaretmkangala7774
5 жыл бұрын
Wimbo ukifungua.kwenye simu upo kwa maandishi bonyeza ule.wenye wamasai.wamesimama
@OmarMohamed-bp9ix Жыл бұрын
Napenda kutoa ushauri wangu huo ndio uwe wimbo wa taifa la Tanzania,,kwasababu unaonesha uzalendo kwa Taifa la Tanzania,,,
@AndrewKayombo-wm8bw
9 ай бұрын
Katika nyimbo tatu zilizo pendekezwa kuwa nyimbo za Taifa na huu ulikuwa mmoja wapo,ila ukapita wa Taifa wa sasa
@mwitasumati64306 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania yetu
@ramadhanichilumba36104 жыл бұрын
Watoto wa cku hizi hawazijui hizi wao ni daimond tu nakumbuka shule ya msingi majimaji nachingwea mwaka 1995 chini ya mwl mtila ni hatari
@fredjoseph11303 жыл бұрын
Kuna watu wanauimba lakini wanauaribu kwa kutia majina yasiyomo
@shorewanda56354 жыл бұрын
Dislikes za wachawi kama kawaida, huwa hazikosi. Hata kwenye wimbo mtukufu kama huu.
@piusnkwale5 жыл бұрын
Huu wimbo ni bora sana
@athanaskipeto572
4 жыл бұрын
Uwaendee vibaraka wa mabeberu na mafisadi wasio itakia mema tanzania mungu amulindi raisi wetu kwa masirahi ya Taifa tuendelee kufurahiya uzuli wa taifa letu lenye mito mabonde milima maziwa na asari
@josephsaghana10565 жыл бұрын
Ninyimbo ambazo hukamilisha Utanzania wangu
@philipsilayo6 жыл бұрын
Shukrani sana kwa kuweka wimbo huu 👏👏👏👏👏👏👏
@etwekitilya58554 жыл бұрын
Naipenda nchi yangu
@israelthomas86215 жыл бұрын
I love my nation TANZANIA
@mzeewamadodoso18166 жыл бұрын
l love this song ever
@peterbayo46775 жыл бұрын
Kidogo tu ungekuwa wimbo wa taifa!!!
@issaathumansaid38955 жыл бұрын
LOVE MY TZ
@tumainipima89905 жыл бұрын
Tanzania no Moja ya nchi iliyopo kwenye Raman na inayovutia
@joekabyemela42407 жыл бұрын
Thank you!
@ramamsuyarama55685 жыл бұрын
J'aime mon pays
@lwitikophilipopelela1891
2 жыл бұрын
Teach me French brother. ❤️🇹🇿
@shabanimsiga23946 жыл бұрын
kaka Semwaiko umefanya vizur xan
@wadiabdalla57635 жыл бұрын
Awersome
@emmanuelmoshi28783 жыл бұрын
Music
@rehemajanka88304 жыл бұрын
I love you Tanzania
@abdunasiriathumani9011
Жыл бұрын
Mambo
@emmanuelmoshi28783 жыл бұрын
MUSIC
@lewisshemboko21065 жыл бұрын
Safi
@hawasaid97945 жыл бұрын
2019
@nicksonthevet4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana, ni nani aliandika wimbo huu? Ilikuwa mwaka gani? Mara ya kwanza ilirekodiwa wapi?
@TheOne-fi6cs5 жыл бұрын
I love my country but tuitangaze kwa mema basi.......!!!
@shakilamasoud89794 жыл бұрын
Tanzania oyoooo
@gustavrwekaza8027 жыл бұрын
asante sana nimeutafuta huu wimbo sana , niliupenda enzi za shule ya msingi ni wimbo ulionijengea mapenzi na nchi yangu Tanzania
@isackshinda5886
7 жыл бұрын
Hongera sana Mkuu kwa wimbo huu, nilikuwa nautafuta sana ili niwafundishe wanafunzi wetu wa kitanzania.
@kasongimadata54906 жыл бұрын
mambo VP wadau tupo pamoja
@godfreymashini83295 жыл бұрын
naitaji ata nijue kuimba tu lakini siwezi inaniuma sana
@TheKingeddy10006 жыл бұрын
Thanks
@farajangomongo63156 жыл бұрын
Like
@jamesjoseph68254 жыл бұрын
Bado wimbo wa taifa kutolewa video sasa
@wazirbashir76266 жыл бұрын
Bwana yule mvuruga nchi anafanya nijute kuwa mtanzania lkn leo Nahisi kurejesha upya utanzania wangu kupitia wimbo huu makini...
@jenyyusuph49736 жыл бұрын
lkn pia wapi saut za akina baba? jaman zinatest yake samahani sana kwahilo ila hayo matutu yamenifuraisha sana Ta'r,ara -ra-ra'.. jamani tz inamfano wake
@kibomamcharo65837 жыл бұрын
Jaman beti la tatu mistari wa tatu sijausikia vizuri ule unaoishia za moyoni... naombeni mnisaidie maneno yake yanasemaje....
Пікірлер: 153
Majira Yetu haya, yangekuwaje sasa,utumwa wanchi Nyerere ame ukomesha❤❤❤❤ mh wangekua wanaruhudu kuimba nyimbo za Taifa aina mbili. Basi Taifa stars wangeimba huu Pengine ata uko Afcon wangejituma warudi namatokeo mazuri kabisa ,, Mungu ibark Taifa Stars Amina
Nalipenda beti la tatu "Nchi yenye azimio lenye tumaini, ndiwe pekee yako mwanga wa watanzania, nitakuthamini hadharani na moyoni unilinde NAMI ntakulinda hadi kufa" true patriotic song🇹🇿❤️
This one is super good congrats from kenya
Hii nyimbo ni Nzuri Sana hadi Unajihisi happy ilove Tanzanian
Uliye weka huu wimbo bila shaka wewe siyo mchoyo, Mungu akupe afya jema na Maisha marefu, japo sikufahamu naimani Ni mtanzania mzalendo safi sana
@godfreysemwaiko3290
6 жыл бұрын
asante. Tuipende nchi yetu, kwa ajili yetu na vizazi vijavyo
Naipenda nchi yangu ya Tanzania. Sijui kama shuleni siku hizi bado watoto wanafundishwa hizi nyimbo
Tanzania is only Country which i have,I love my country more than everything in this world!
Niskiapo wimbo huu machozi hunitiririka, huniongezea amani, uadilifu na uzalendo wa hali ya juu nakupenda nchi yangu Tanzania nipo tiar kufa kwaajili ako
@akahtaan7288
4 жыл бұрын
Ukiwa tayari kufa unaitwa Gaidi.
@elishamusa5193
4 жыл бұрын
A Kahtaan naipenda nchi yangu kuliko kitu chochote
@akahtaan7288
4 жыл бұрын
@@elishamusa5193 Duhh. Bro hata mimi naipenda nchi yangu lkn aijawexs kuvuka nafasi ya familia yangu Elisha
@elishamusa5193
4 жыл бұрын
A Kahtaan kwangu mm nchi n bora kuliko familia
@akahtaan7288
4 жыл бұрын
@@elishamusa5193 basi Elisha unaonekana ni mtu mnyonge sana. Manake unakwenda kinyume kabisa na Maumbile ulioumbwa nayo. Hata wanyama wanapendelea familia zao kuliko wanapoishi
Kama kuna hazina tunayo kama Taifa ni nyimbo, sanaa, utamaduni na lugha ya kiswahili. Mambo haya ndo yanatuunganisha kama Taifa. Mungu akubariki sana mpendwa kwa kuleta hizi nyimbo.
@stephenmusembi2176
2 жыл бұрын
Hio nayo ni ukweli tunapenda choir za kitanzania
Nice song from Tanzania Police brassband, God bless our country
Aaaaaaasante yani Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo, yani waniburudisha adi machoz mungu awabariki watanzania jamani.
Wimbo mzuri Jamani,Mungu bariki Tanzania
I love u Tanzania your so nice no matter what
I love my country Tanzania..am proud to be a Tanzanian
Asante ww uliyetupia wimbo huu wa kizalenda Tafadhari tupia na nyimbo nyingine za kizalendo Mungu akubariki
Asante Mungu kwa kunijalia nizaliwe Tanzania
Huu ndio uzalendo! R.I.P Baba Wa Taifa Mwl.J.K. Nyerere tutakukumbuka daima.
Moja ya nyimbo zilizokuwa zikiimbwa katika nchi watu tunasisimka Lakini ukilinganisha na baadhi ya watu wasiotambua wanavyotugawa nikisikia wimbo huu natamani kulia
I love my country Tanzania
Respect for my Country Tanzania
Hongereni kwa uzalendo na Mimi ni mzalendo tuungane tulijenge taiga letu
i love my blood country Tanzania
Ivi siku hizi watoto wanaomba hizi nyimbo mashuleni nawauliza wakurungwa &wakushi
Jaman kama mtunzi wa hii nyimbo aliongozwa na Mungu maana kila ausikiaye haumwachi bila kuckia hisia za machozi na upendo wa nchi yetu NAKUPENDA tz
Kiukweli huu wimbo huwa naupenda nitajitahidi kujifunza mashairi yote niwe naimba kila ninapojisikia. Ahsante sana comrade.
Ahsante sana mkuu.Mungu akubariki
Nani anaweza kuweka lyrics hapa,nawapenda Tz Greetings from Melwood
@abelg2488
4 жыл бұрын
TAZAMA RAMANI Tazama ramani utaona nchi nzuri Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka, Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri, Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaaaa…. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2 Chemchem ya furaha amani nipe tumaini, Kila mara niwe kwako nikiburudika, Nakupenda sana hata nikakusitiri, Nitalalamika kukuacha Tanzania. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2 Nchi yenye azimio lenye tumaini, Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania, Ninakuthamini hadharani na moyoni, Unilinde name nikulinde hata kufa. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
@boniphaceyohana7289
3 жыл бұрын
@@abelg2488 uko vizuri brooo hongera sana
@RioIpo
3 жыл бұрын
@@abelg2488 beti ya pili anatajwa Karume... anyway hongera
naipenda hii band saaana naitamani niwajoin siku moja
Tanzania nchi yangu
Jaman huu wimbo naupenda sana lakini kuna maneno mengine hatusikii mfano ubeti wa tatu mwishoni tunaomba wimbo huu muuchapishe kwenye vitabu mashuleni ili watoto nao wajifunze maana kuna watu mpaka leo hawaujui
thank you for this song God bless Tanzania and its people
Ndugu Semwaiko ninakushukuru sana kwa kuuweka wimbo huu hapa. Nimekuwa nikiutafuta huu wimbo na wenzake kwa muda mrefu sana bila mafanikio. Naomba kama una nyimbo nyingine za uzalendo uziweke hapa tafadhali, haswa hizi zilizoimbwa na watu hawa imara (askari) Asante sana na nakuombea moyo wa kuipenda Tanzania na kuitendea mema.
@safariyadodoma490
7 жыл бұрын
savedlema asante sana. tuko pamoja
@savedlema
7 жыл бұрын
Asante
@neemamassawe9761
6 жыл бұрын
How to let go stress
@gaudensiangozi1721
5 жыл бұрын
Ni kweli ni jambo la kushukuru sana kwa hili, ilikuwa huwezi kupata kabisa nyimbo za uzalendo wetu wa Tanzania ila sasa inafurahisha sana. Naungana nawe kutoa shukrani kwa aliyefanya jambo hili, pia asiache kutuletea na nyingine kem Kem.
duu huwa nafrah sana nikisikia wimbo huu asante Tanzania yangu
I love so much my country duuh mungu endelea kutupa amani
Kuna sehemu kama mbili wanamumunya mumunya maneno hawa. ☹️☹️🙆♂🙆♂
Wimbo ulitujengea uzalendo sana ❤️❤️❤️❤️❤️
naipenda paka naumwa nikisikia huu wimbo wa uzalendo mwongozo primary school
Dahhhhhhhhhhhh Ama kweli nnch yetu Imejariwa vitu vingi sana lakin kwa Wimbo huuu Mnanifanya nizidi kuifurahia sana na kujiskia huru Zaid, Nakupenda Sana TANZANIA yangu MUNGU tuepushe na majanga mengi na kila uhalibif woote.
Naupenda sana huu wimbo, melody, na mashairi yake dah...
Halafu hapo hujainigiza Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo wote.
I love this song
Beautiful!!!
Nice song
Huu sasa ndo unafaa uitwe WIMBO wa TAIFA. ule OG tunasimangiwa sana sana na WASAUZI na watu wengn wanadai tumeuiga kutoka kwao.
Am proud to be a Tanzanian forever.
Nakupenda sana Tanzania nchi yangu
asanten sana kwa wimbo huo kizalendo
Inanikimbusha utoto wangu😢😭😭
TANZANIA I love u very much my Country
Tanzania nchi yangu tulinde amani yetu
Mwenzenu nina ombi kwa watanzania woooooote kwamba naomba wimbo wetu wa Taifa wa Tanzania.uwe.wimbp huu tazama.ramani badala ya ule Mungu lbariki Tanzania ambao ni.wakukopi na.kupest toka Afrika.ya.kusini. wimbo ulioimbwa na kundi.la.Geofrey.Semwaiko unafaa sana kwakuwa umeimbwa kitaifa kikamilifu
@juliethhouseofdesigns147
3 жыл бұрын
Kabisa
@kambamazig02024
3 жыл бұрын
Wimbo wa Taifa hatukuukopi, angalia historia yake ndipo utakapojua kuwa melody ni sawa na Nkosi Sikeleli Afrika, lakini wa kwetu ni tofauti kabisa halafu kumbuka sisi tulipata uhuru kabla ya South Afrika. Wimbo huu ulitungwa kule Ndada, ndugu yangu tafuta historia yake utashangaa sana. Proud to be Tanzanian!
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Hujui historia tuu, wao ndo walikopi
@salehkippy5339
3 жыл бұрын
Sisi tulianza kupata uhuru kabla South Africa iwe si ndo tuwaige wao?
@nilansaid2927
3 жыл бұрын
Hujui unachoongea, angalia kwanza SA imepata lini uhuru na Tanzania
Tazama ramani Tazama Taifa star Tazama Rais MAGUFURI
Awa Jamaa uwa wanajuaga sana
jamani huu wimbo merodi yake niyakimashuhuri tz tunawatunzi wazuri sana yani merod zake hata usiposikia maneno ukisi utajua hiyo ni tz
Tanzania 🇹🇿
Wimbo wa kizalendo unavutia
Tanzania yetu oyeeeeeeeeee
Reminds me of my primary school years.
I love my country tanzania
I love you my country TANZANIA
Wakati huo uzalendo ulikuwa mkubwa na hatukufikiri hata siku moja tutakuja kuwa na wasaliti; wa kwanza akawa Kambona ambeye tulimsamehe ila siku hizi wasaliti wengi mno kiasi kuwa moyo wangu unasononeka sana sijui ni maadili gani tunayatoa kwa watoto wetu. Wasaliti wengi hawana uzalendo na nchi yetu, wimbo huu unawasuta kabisa.
Hakika nimekumbuka mbali mnooo, najivunia kuwa mtanzania
Kipindi hiki nilikuwa natamani kusikia nyimbo kama huu au Tanzania Tanzania.ubarikiwe
Very melodious song! What are they singing about?
@chrismbalilaki2445
6 жыл бұрын
Aikunle78 beauty of Tanzania
@tegezdomin8363
5 жыл бұрын
Beauty of Tanzania
@christophermwanilwa7074
4 жыл бұрын
It is about the beauty of Tanzania
Tazama ramani utaona nchi nzuri Tanzania
@margaretmkangala7774
5 жыл бұрын
Wimbo ukifungua.kwenye simu upo kwa maandishi bonyeza ule.wenye wamasai.wamesimama
Napenda kutoa ushauri wangu huo ndio uwe wimbo wa taifa la Tanzania,,kwasababu unaonesha uzalendo kwa Taifa la Tanzania,,,
@AndrewKayombo-wm8bw
9 ай бұрын
Katika nyimbo tatu zilizo pendekezwa kuwa nyimbo za Taifa na huu ulikuwa mmoja wapo,ila ukapita wa Taifa wa sasa
Mungu ibariki Tanzania yetu
Watoto wa cku hizi hawazijui hizi wao ni daimond tu nakumbuka shule ya msingi majimaji nachingwea mwaka 1995 chini ya mwl mtila ni hatari
Kuna watu wanauimba lakini wanauaribu kwa kutia majina yasiyomo
Dislikes za wachawi kama kawaida, huwa hazikosi. Hata kwenye wimbo mtukufu kama huu.
Huu wimbo ni bora sana
@athanaskipeto572
4 жыл бұрын
Uwaendee vibaraka wa mabeberu na mafisadi wasio itakia mema tanzania mungu amulindi raisi wetu kwa masirahi ya Taifa tuendelee kufurahiya uzuli wa taifa letu lenye mito mabonde milima maziwa na asari
Ninyimbo ambazo hukamilisha Utanzania wangu
Shukrani sana kwa kuweka wimbo huu 👏👏👏👏👏👏👏
Naipenda nchi yangu
I love my nation TANZANIA
l love this song ever
Kidogo tu ungekuwa wimbo wa taifa!!!
LOVE MY TZ
Tanzania no Moja ya nchi iliyopo kwenye Raman na inayovutia
Thank you!
J'aime mon pays
@lwitikophilipopelela1891
2 жыл бұрын
Teach me French brother. ❤️🇹🇿
kaka Semwaiko umefanya vizur xan
Awersome
Music
I love you Tanzania
@abdunasiriathumani9011
Жыл бұрын
Mambo
MUSIC
Safi
2019
Ubarikiwe sana, ni nani aliandika wimbo huu? Ilikuwa mwaka gani? Mara ya kwanza ilirekodiwa wapi?
I love my country but tuitangaze kwa mema basi.......!!!
Tanzania oyoooo
asante sana nimeutafuta huu wimbo sana , niliupenda enzi za shule ya msingi ni wimbo ulionijengea mapenzi na nchi yangu Tanzania
@isackshinda5886
7 жыл бұрын
Hongera sana Mkuu kwa wimbo huu, nilikuwa nautafuta sana ili niwafundishe wanafunzi wetu wa kitanzania.
mambo VP wadau tupo pamoja
naitaji ata nijue kuimba tu lakini siwezi inaniuma sana
Thanks
Like
Bado wimbo wa taifa kutolewa video sasa
Bwana yule mvuruga nchi anafanya nijute kuwa mtanzania lkn leo Nahisi kurejesha upya utanzania wangu kupitia wimbo huu makini...
lkn pia wapi saut za akina baba? jaman zinatest yake samahani sana kwahilo ila hayo matutu yamenifuraisha sana Ta'r,ara -ra-ra'.. jamani tz inamfano wake
Jaman beti la tatu mistari wa tatu sijausikia vizuri ule unaoishia za moyoni... naombeni mnisaidie maneno yake yanasemaje....
@happyburton694
7 жыл бұрын
Kiboma Mcharo ninakuthamini hadharani na moyoni
@kibomamcharo6583
7 жыл бұрын
Happy Burton MZALENDO nashukuru